Hakika Mungu ni mkuu sana, laiti watu wangeelewa hiki mwalimu anafundisha , tusingekuwa hivi tulivyo. Ubarikiwe mpaka ushangae mtu wa Mungu. Mungu akupe unyenyekevu ulufikishe kanisa la Mungu kanani.!
Mtumishi mm Nmekuja mara mbl ibadani kwasasa npo chuoni naomba maombi kwaajili ya familia yangu. Unisaidie kumuweka baba yangu kwny maombi yako. Mwaka wa tisa hana kazi please
Bwana yesu asifiwe baba
Utukuzwe Ee Mungu uonaye sirini Amen
Asante mungu kwa mafundisho mungu akubariki mtumishi
Pia naomba direction ya kufika kanisani hapo kwenye huduma
Asanteh baba nmeelewa
Amen from kenya
Ameeeeeeeeen
Amina
Be blessed Mwl Somo limenifungua
Mwl.ana ujasiri wa kiroho. Mungu nikirimie Neema ya baba Yangu.Amen
Oooh asante MUNGU nimepata kitu hapa
Mungu akuinui kwa viwango vya juu sanaa mwalimu
God is so Good. Huyu Dada kapata ushuhuda wake. Kaolewa kafunguliwa, kawekwa huru in Jesus Mighty Name
Barikiwa Sana maomb yako yananivusha
Mungu akubariki mtumishi kwa mafundisho mazuri
Hakika Mungu ni mkuu sana, laiti watu wangeelewa hiki mwalimu anafundisha , tusingekuwa hivi tulivyo. Ubarikiwe mpaka ushangae mtu wa Mungu. Mungu akupe unyenyekevu ulufikishe kanisa la Mungu kanani.!
Amen my Mentor.
Nashukuru kwa Neno lililojaa nguvu ya Mungu.Mungu akupe mafunuo zaidi nazaidi
Amen
Asante Sana mtumishi ubarikiwe mnooo..
Amen
Somo zuri sana
Barikiwa mtumishi wa mungu, kwa somo zuri
Glory to God
Kumbe Mimi ni mshindi kabla hata sijapigana.......Daaaa!! Asante Yesu maana bila wewe wangalifurahia hali Yangu mbaya..
Somo ninzuri sana
Aiseeeeeee MUNGU azidi kukupaka mafuta ya mafunuo zaidi mtumishi
Weka no ya kutoa sadaka
Somo zuri sana mwl tunaomba namba za kutuma sadaka .
GODbless you mtumishi
Imekuwa Kubwa kuhani wa MUNGU BABA
Glory be to God...
Ni Malaika gani unawatuma? Mahubiri ni manzuri lakini una kasoro. Wewe Huna nguvu ya kuwtuma. Malaika wa Mungu?
Hizi ni siri ambazo sijawahi sikia ndio hapa nafunguliwa ufahamu
Mtumishi mm Nmekuja mara mbl ibadani kwasasa npo chuoni naomba maombi kwaajili ya familia yangu. Unisaidie kumuweka baba yangu kwny maombi yako. Mwaka wa tisa hana kazi please
Mh natamani Watanzania na watu wa Arusha wafunguke macho wapate kufaidi neema iliyo juu ya huyu mtumishi
Hili somo nimelipenda natamani kulielewa zaidi, naomba Mtumishi ulirudie tena 👏
Unapatikanawapi mtumishi,ninamatatizo sana.
Ngulelo..... Arusha.MBINGU DUNIANI
Asante mungu kwa mafundisho mungu akubariki mtumishi
Pia naomba direction ya kufika kanisani hapo kwenye huduma