''TUTAWANYOOSHA NINYI - AKIYAMUNGU'' - MAKONDA AJIAPIZA - SAKATA ZITO la WAZEE wa SACCOS na MATREKTA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 тра 2024
  • ''TUTAWANYOOSHA NINYI - AKIYAMUNGU'' - MAKONDA AJIAPIZA - SAKATA ZITO la WAZEE wa SACCOS na MATREKTA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 74

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Місяць тому +5

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @user-jz6wu1ed1h
    @user-jz6wu1ed1h Місяць тому +8

    Ninakufunika kwa damu ya Yesu kristo mwana wa Mungu aliye hai, Makonda wewe ni mtumishi wa Mungu

    • @dorahmushi-we6ts
      @dorahmushi-we6ts Місяць тому

      .tumishi wa Mungu aliye hai, Mungu azidi kuwalinda kundi lote la ukombozi....
      Hii ni ukombozi timu ikiongozwa na Makonda..Mungu azidi kuwatangulia.

  • @JosephSaidi-db2rv
    @JosephSaidi-db2rv Місяць тому +5

    Makonda Mungu aendelee kukupigania
    Kwa kuwa unapambania haki ya masikini na watu wa hali ya chini

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Місяць тому +8

    T M U...
    Team Makonda Ukombozi.
    Naomba wote tunaoiona kazi ya mheshimiwa Makonda na team yake chini ya uongozi wa mama Samia tujuane.

    • @maryamabdallah3140
      @maryamabdallah3140 Місяць тому +1

      Tupoooooooooooooo tumejaaaa teleeeeee hata wale waliokuwa wanamuita Bashite nao wameungana nasiiiii....safi sana Makonda Mungu akufunike pande zote ...

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 Місяць тому +4

    Mkuu wa mkoa wa kipekee🇹🇿
    Mungu akupe nguvu

  • @user-dq1wz9fw6n
    @user-dq1wz9fw6n Місяць тому +3

    Hii nchi Mungu aliumba vizuri sana akamuumba Makonda ,Mungu naomba umlinde huyu,

  • @JosephSaidi-db2rv
    @JosephSaidi-db2rv Місяць тому +8

    Raisi wetu mheshimiwa Dakitari Samia Suluhu Hasani tunakushukuru kutuletea huyu kiongozi mahiri Makonda
    Kiongozi mwenye maono
    Asiependa mtu kudhulumiwa
    Mwenye kutetea haki
    Mama Yetu Samia Mungu akubariki

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Місяць тому +2

    Makonda na timu yako, Mungu wa mbinguni azidi kuwatangulia...awalindeee....
    Hiyo kazi siyo rahisi kabisa,
    Zaburi ya 35..Bwana akatete nao watakaoteta nanyi na akapigane nao watakaopigana nanyi, jina la Yesu likawafunike kwa jina kuu la Yesu Kristo.

  • @laizermaasai6759
    @laizermaasai6759 Місяць тому +5

    Yaani najiskia vibaya mpka machozi yananitokaa. Kuna sehem nying sanaaa watu wananyimwa haki zao na kutesekaaaa. Makonda Mungu wa Mbinguni akubarik kwa hivi unavyovifanya

  • @rabylicious7178
    @rabylicious7178 Місяць тому +2

    Mzee anawapa za vichwa tuu "humu tu, humu tu" makonda Baba mungu akulinde 🤲🙏😘

  • @japhetkarori5230
    @japhetkarori5230 Місяць тому +10

    Uyu jamaa makonda ata mumpe mwenyekiti wa kijiji anajaza watu tu...kwa kazi zake.

    • @petersilas4234
      @petersilas4234 Місяць тому

      Kwani ukiwaaminisha watu kwamba una dawa ya matatizo yao yote wataacha kukufuata, ila utaweza kuwaona wote, mfumo ndio unaotakiwa kufanya kazi sio mtu.

  • @GodlistenNdetaulwa
    @GodlistenNdetaulwa Місяць тому +1

    Kwakweli Makonda kazi unayo fanya kutetea hawa watu ni Mungu akulipe tu .

  • @user-gx4vx5ru2u
    @user-gx4vx5ru2u Місяць тому +1

    Mwenyezi Mungu akulinde baba njoo oljoro

  • @LeonardKasulwa
    @LeonardKasulwa Місяць тому +1

    Hivi mambo haya anayo shughulika nayo Makonda leo Arusha, viongozi wa serikali waliopita mkoa huo, hawaoni aibu kuishi katika nafasi zao miaka yote hiyo wakipokea mishahara minono na bila kuwashughulikia wananchi si wanaona aibu sana? Hawastahili kuendelea kushika nafasi zozote serikalini. Hongera Baba Makonda, nakufunika kwa damu ya Bwana Yesu, na Mungu peke yake akulinde asbh, akulinde mchana, akulinde jioni na siku zote za maisha yako. AMEN

  • @salvakimati1944
    @salvakimati1944 Місяць тому +5

    Mzee yuko nondo sana

  • @neemaemanuel1058
    @neemaemanuel1058 Місяць тому +1

    Kazi nzuri sana makonda

  • @NicIbrahim
    @NicIbrahim Місяць тому +1

    Makonda unakazi kubwa hapa God with you

  • @yothamgwanika9530
    @yothamgwanika9530 Місяць тому +2

    Slaa +makonda good solver

  • @nowamateyo3318
    @nowamateyo3318 Місяць тому

    Mungu akubariki saxna makonda endelea kuwa zikilisa wanyongeeee

  • @maryjames7438
    @maryjames7438 Місяць тому

    Hahahahaha nimempenda Bure Mzee amsi safi sana baba

  • @IsufuRajabu
    @IsufuRajabu Місяць тому

    Hii nidamu ya Marehemu Dr John Pombe Magufuli

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552 Місяць тому +3

    Unapeleka kesi kwa bashe.hana msaada huyo bashe

  • @WazirJuma-gd5oo
    @WazirJuma-gd5oo Місяць тому

    Makonda mungu akusaidie unapambana sana daah

  • @faridahalil4456
    @faridahalil4456 29 днів тому

    Microphone 🎤 sio nzuri

  • @edwinmsuya3813
    @edwinmsuya3813 Місяць тому +1

    Saccos nishida sana kuna sacoss moja ipo mwanga inaitwa chawakuko nijipu

  • @nellynathan-hf2by
    @nellynathan-hf2by Місяць тому +2

    Mhhhh,,,nikimwangalia rais WA bukinafaso na waheshimiwa wetu hawa kuna kitu naona.... Safr yetu ni ndefu sana

  • @IbrahimMotors-vl9ii
    @IbrahimMotors-vl9ii Місяць тому

    Babu hanamsuka hatar sana, safi sana mzee

  • @hategekimanamariespeciose5701
    @hategekimanamariespeciose5701 Місяць тому

    Kweri kbx baba

  • @judicalosika7642
    @judicalosika7642 Місяць тому

    Dah hii kali kweli.
    Eti hii ndiyo Tz ya ANANI!!!??

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe Місяць тому

    🎉🎉🎉🎉maua yangu kwa Mzee

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Місяць тому +1

    MWAKA YOYOTE KULA ZA URAISI TANZANIA 🇹🇿 ATAFANYA RICODI YA KULA TANZANIA 🇹🇿 HUYU MAKONDA NI MAKUFULI JUNIOR ❤❤❤❤❤

  • @janethelitwaza213
    @janethelitwaza213 Місяць тому

    Ee MUNGU mtunze MAKONDA

  • @zawadisisto8188
    @zawadisisto8188 Місяць тому

    Ndio hayo makonda wanamuandama kusaidia watu kupata haki zao

  • @zaitunihussein
    @zaitunihussein Місяць тому

    Kimeumana

  • @salvakimati1944
    @salvakimati1944 Місяць тому +1

    Hahahaha eti komaa mzee daaah!

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 Місяць тому

    Ndio maana mimi sijui masakosi sijui upatu sijui kupena hela uwaga sifanyagi uo Upuudhi bora nife masikini unaona ubabaishaji

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 Місяць тому

    Duh!!

  • @user-ks7zc6kd7u
    @user-ks7zc6kd7u Місяць тому +2

    Hao watu siyo wastaarabu

  • @richardmaimu9596
    @richardmaimu9596 Місяць тому

    Hapa ndipo napomkumbuka Magufuli,

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 Місяць тому

    Makonda mimi siku tukikutana nitakupa mkono wangu wa shukurani

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Місяць тому

    Ndo maana sipendi issue za saccos wizi mtupu

  • @mc-stephenmasome6553
    @mc-stephenmasome6553 Місяць тому

    Baadhi ya watumishi wa Umma, wanasababisha serikali yetu inaonekana mbaya

  • @issaidrisamusa5962
    @issaidrisamusa5962 Місяць тому

    Hii nchi Ina shida nyingi , atakayeniona namtukana, kumkosoa, ama kumpinga Rais anikate shingo. Hivi tu jambo la kimkoa linaumiza dogo je makubwa makubwa

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 Місяць тому +1

    Tatizo LIKO SARCOSSSSS

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 Місяць тому

    Mzee Nicodemsi ana point Asilimia 100% wapewe kadi zao

  • @user-zw6lg3px6d
    @user-zw6lg3px6d Місяць тому

    Ivi tunajifunza nini?.

  • @user-pe8wh5bw2h
    @user-pe8wh5bw2h Місяць тому

    Making baba nisaidie jm cna biashar mm ndy baba ndy mama naomb nipat ha lak moj

  • @FlorenceOttaru-jv4fi
    @FlorenceOttaru-jv4fi Місяць тому

    Kosa la huyu dada ni lipi hapo

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 Місяць тому

    Apo kuna janja janja apo iyo Insu wapewe kadi zao na hati zao waache utapeli

  • @hbdina
    @hbdina Місяць тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Hivi hawa watumishi wa serikali akili mbovu.Haya madudu yote vipi mikoa mingine?Watu weusi tuna tabu sana.

  • @rukiawagaba2080
    @rukiawagaba2080 Місяць тому

    Kunasii kumbwa sakosi

  • @apolinarymboya3231
    @apolinarymboya3231 Місяць тому

    Wana karatuu kuweni na ukimya mbona hamsikilizani

  • @simonjuma2912
    @simonjuma2912 Місяць тому

    Mzeee ana piga kwenye mshono tu ...hawa ndio wazee wa arusha ninao wajua mm sio wazee wa Dar.....tu

  • @SelijusiMalambo-ur6cr
    @SelijusiMalambo-ur6cr Місяць тому

    Ww mama acha ujanja mwanzo umesema Nini

  • @saadatiyahyashabani-yg2xy
    @saadatiyahyashabani-yg2xy Місяць тому

    Duh

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 Місяць тому

    Populism huzaa matatizo makubwa in the long run. Tumieni mifumo ya serikali na mkuu afuatilie kama mfumo unafanya kazi na ndio auwajibishe. Nabii Musa alifuata ushauri wa mkwewe, vinginevyo utachoka sana bwana .🤓🤓

    • @user-dq1wz9fw6n
      @user-dq1wz9fw6n Місяць тому +2

      Mfumo hauwezi tengenezwa kwenye pango la wezi,kuchoka Kwa kutetea haki ndiyo mwanzo wa kuotesha m egu za haki vichwani mwa wananchi wa kesho

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee Місяць тому

      ​mfumo hujengwa kuanzia ngazi ya familia, @@user-dq1wz9fw6n

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Місяць тому

    Haramu ya mikopo

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab Місяць тому

    Weifa Za Tanzania Zingekua Na Kasi Kama Ya Makonda Basi Tz Isingeitwa Dunia Ya Tatu Mana Dunia Moja Lakini Tuko Dunia Ya Tatu Wazungu Wanaenda Mwezini Sisi Intaneti Tabu

  • @deniskamamba7347
    @deniskamamba7347 Місяць тому +2

    Huyu ni mkuu wa mukowa au ni rais wa inchi.?naomba taifa ritafakari juu ya utendaji wa makonda ktk taifa hili .

    • @magrethmeela154
      @magrethmeela154 Місяць тому

      Jamani naomba mtuelewe hawa tib wana matatizo makubwa wanapenda kuuza na kung'ang'ania mali au dhamana za wateja wao

    • @tazrywiser5126
      @tazrywiser5126 Місяць тому +1

      Rais tu kumpa hiyo dhamana tiyari hapo anafanya kazi ya rais sababu hayo ni matatizo ya mko a wake na ndivyo anatakiwa ashughulikie, sasa rais kweli atembee mkoa moja siku sita ?

  • @sanduulemo
    @sanduulemo Місяць тому

    Je? Ni wananchi wangapi? Wenye shida nchi nzima hawana pakwenda kulalamika? Je? Niviongozi wangapi wanapenda kusikiliza matatizo yanayowakera wananchi?

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 Місяць тому +1

      WENYE VYEOO VYAO WENGI sana wanakula mishahara ya BURE MAGARI YA BURE NINGEFURAHI WANGENUNULIWA BAJAJI

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 Місяць тому +1

      Mawaziri wenyewe hawajulikani wanawasaidiaje wananchi wizi ndio huo ubakaji ndio ule TOP OF AGENDA mauaji ndiyo hayoĺ🎉 Magonjwa ndio hayo ma accident kila leo mafuriko duu balaa balaa juu ya balaa WARUSHAJI NI HATARI

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 Місяць тому +1

      MAMA SAMIA APEWE HONGERA ZA MAKONDA NA SILAA. Wengine NO COMMENT😂