PATANISHO : HUYU KIJANA NI MWENDAWAZIMU ANANIOMBA MSAMAHA NA MIMI SI MKE WAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024
  • Radio Jambo Kenya | Ongea Usikike | Ni kituo nambari moja Kenya kwa matangazo ya kiswahili. Vipindi vyake vina jumuisha Spoti,Mijadala moto moto na muziki wa Kiafrika
    #RadioJamboKenya #patanisho #gidinaghost
    Subscribe to RadioJambo UA-cam - bit.ly/39wwc6u
    Mitandao ya Kijamii
    Instagram - rb.gy/e154d1
    Facebook - rb.gy/09d1b9
    Twitter - rb.gy/e23220

КОМЕНТАРІ • 70

  • @virginiawangui7372
    @virginiawangui7372 8 місяців тому +2

    A very wise woman

  • @agnettakimani3673
    @agnettakimani3673 10 місяців тому +10

    The first one to comment. Please give me some likes

  • @carolinenjoroge9092
    @carolinenjoroge9092 10 місяців тому +5

    😮 the guy is humble and asked humbly. Mbona uyu mama hakuweza kumpa chance juu wako na mtoto wake? Mama mbaya!
    Huyo mama anajua kwenye msichana yuko

    • @missmalaikalee4646
      @missmalaikalee4646 10 місяців тому +1

      Ati na ni mchungani mwitu😅 lol

    • @virginiawangui7372
      @virginiawangui7372 8 місяців тому

      A guy who can not even go to your home and pay brideprice is humble 😂😂😂😂wake-up

  • @JoelSirya-th9lt
    @JoelSirya-th9lt 10 місяців тому +2

    Naomba kupatanishwa na Mkewangu tulieachana miaka mbili SASA.

  • @wanjikueunice8260
    @wanjikueunice8260 10 місяців тому +1

    Huyu mama is so hard on the guy,the lady is over 18,huyu jamaa is so humble

  • @julietmackenzie7345
    @julietmackenzie7345 10 місяців тому +3

    Gidi hapendi mchezo kwa wale waume hawajalipa mahari😂😂😂

  • @hassanbinadow1190
    @hassanbinadow1190 10 місяців тому +6

    Gidi nd fupisha stori ni rafiki 😂😂😂😂😂

  • @kamsoo3
    @kamsoo3 6 місяців тому +1

    😂😂😂😂😂😂 nmekwama kapo kwa elf moja 😂😂

  • @chainbre275
    @chainbre275 10 місяців тому +3

    Mmm hiyo family iko na maneno huyo kijana ajipange tu

  • @marthainnocent9603
    @marthainnocent9603 10 місяців тому +4

    Kumbe mchungaji ana njaa 😀😀 dah!!

    • @wangagirl3508
      @wangagirl3508 10 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @millaag5182
    @millaag5182 10 місяців тому +1

    Mama mkwe ni more 🔥 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @daisyowiti8733
    @daisyowiti8733 10 місяців тому +3

    Wajaluo tafadhali, Patanisho ni ya Mashemeji, tokeni hapa prisssss, ukwodo wii jii, jowa! Pthooh

  • @marykafietrasha4532
    @marykafietrasha4532 10 місяців тому +1

    That guy shouldn't look for that woman,hata mama mkwe amesema hatabui huyo kijana,arafu ako na tamaa ya pesa mjingaaa, May God give that man a wife he deserves him

  • @lynnvion3466
    @lynnvion3466 10 місяців тому +4

    Ghost unaeza cheka mtu afaint 😂😂😂😂😂😂 mama anaongea vibaya kama mwenye hana mtoto kijana 😢

  • @MainChase
    @MainChase 10 місяців тому +3

    Halafu Gidi anapenda kugeuzia majamaa kesi sana, anaonea wanaume hadi anaharibu kila kitu. Whiiippss for Gidi 😅

  • @Mukavana138
    @Mukavana138 10 місяців тому +1

    Eti vile unajua watu wanasikika kwa radio pia wewe unataka kusikika😅😅😅😅huyu mama ni wire 😅😅😅😅

  • @ZaituniMohammed
    @ZaituniMohammed 10 місяців тому +1

    Huyo mchungaji ndie kichaa

  • @belasudi5045
    @belasudi5045 10 місяців тому +1

    Huyo kijana ameasha moto😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @lynnvion3466
    @lynnvion3466 10 місяців тому +2

    Huyu kijana n mpole sana

  • @clintonobegi8458
    @clintonobegi8458 8 місяців тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤ak ghost wew siku moja utafanya nicheke kwa matanga

  • @user-hr5cu5ui2i
    @user-hr5cu5ui2i 10 місяців тому +3

    Huyu mama waaahh😂😂😂😂

    • @emilysawayi5787
      @emilysawayi5787 10 місяців тому

      Mama ako right

    • @mwendapoleee
      @mwendapoleee 10 місяців тому +1

      @@emilysawayi5787 anaita kijana mwendazimu na msichana yake ako na mtoi wake alafu anataka pesa ya mwendazimu aaaaaiiiihhh yawa.

  • @mosesongaro1215
    @mosesongaro1215 10 місяців тому +1

    Ety mchungaji😂😂Wacha nikae kwa nyumba

  • @mrszogi4475
    @mrszogi4475 10 місяців тому +1

    Mama mbona sasa unataka 1000 ya mwendawazimu

  • @Debbyobabi
    @Debbyobabi 10 місяців тому

    Huyo mama naye is a no go zone eti elfu Moja ya nini sasa

  • @lilianrough6896
    @lilianrough6896 10 місяців тому +1

    Huyu mama ni pst? Surely hii dunia hata forgiveness ni pesa?!!! 😮😮😮😮

  • @pendezanamamaeuge812
    @pendezanamamaeuge812 10 місяців тому

    Tuma eflu moja kijana lasivyo utawekwa dani,mama anapenda pesa

  • @moreh462
    @moreh462 10 місяців тому +1

    Mchungaji matako sana

  • @janettemonari8077
    @janettemonari8077 10 місяців тому +3

    Huyu mama ni mchungaji wa kanisa gani hiii? Very embarrassing!
    Mchungaji anatusi Mtu hivyo? It’s wrong!

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 10 місяців тому

      ndo mana bibilia iliwaita mbwa wachungaji

  • @brianrobert84
    @brianrobert84 10 місяців тому +2

    When posting the videos would you mind edditing out ghost's laughs??

    • @lynmoraah
      @lynmoraah 6 місяців тому

      I really hate the laughter

  • @rachelmuch5788
    @rachelmuch5788 10 місяців тому

    Vile mimi ni mama huyu mama ameona hyo boy hana pesa ndio maana amejibu hivo olikhumbayo uko kwa mchezo lakini angekua na doo ungekubali, Nkt

  • @OgencheObed
    @OgencheObed 2 місяці тому

    Kijana atafute mke, huyo mwingine hata angemuua na suju.

  • @dicksonkiraithe6369
    @dicksonkiraithe6369 10 місяців тому +2

    Umweke ndani kwani wewe ni police😂😂😂

  • @stellahokworo3947
    @stellahokworo3947 10 місяців тому

    Tuned in 😂😂😂

  • @RrrrRrrrwrw-wn3jj
    @RrrrRrrrwrw-wn3jj 8 місяців тому

    Fanya ndoa.leta kitunyumbani ndio useme unataka mtoto.hakuna mtoto wa free

  • @annmwariri8119
    @annmwariri8119 10 місяців тому +4

    Ati pastor 🙄 huyo mama ni mkora tu kama huyo mschana wake 😏😏

  • @DessyTT
    @DessyTT 10 місяців тому

    Sasa anaenda kurudisha msichana aje na mama mwenyewe anasema hamtumbui,hawajaooana.Huyo mama ni bure kabisa anataka tu pesa.

  • @pendezanamamaeuge812
    @pendezanamamaeuge812 10 місяців тому

    Gidi eti huumm 🤣🤣🤣kijana utachukuliwa atuwa

  • @malsgithua5309
    @malsgithua5309 4 дні тому

    The mum is bitter about her own things, she just said that she had never seen the dude n now she wants to see him bringing back the daughter, and want to sue him n want cash? Materialistic PASTOR lol😂

  • @marthainnocent9603
    @marthainnocent9603 10 місяців тому

    Huyo mama ni mkorofi, sasa ndg Gidi Kwa nini usimtetee?? Hata kama ni mzazi wakikosea nao inabidi tuwaseme pia. Halafu eti ni mchungaji. Sasa kama hawajafunga
    Ndoa anamdai vipi Kwa huyo kijana??

  • @itsjudynjoroge266
    @itsjudynjoroge266 10 місяців тому

    mama mkwe amekua commercialized.

  • @sharonwangui7786
    @sharonwangui7786 10 місяців тому

    Nawewe unaweza aje tusi mtu vile amekonda kweda nauko

  • @ruthn9381
    @ruthn9381 10 місяців тому

    First should worry about the relationship and meeting the parents. Respect first, mahari later. Mahari doesn't sustain marriage.

    • @RrrrRrrrwrw-wn3jj
      @RrrrRrrrwrw-wn3jj 8 місяців тому

      Wacha kijidanganya,it does,hawa watu wote wamekosana uki notice hawajatoa mahari.ndio wanaambiwa hawarambuliki.

    • @ruthn9381
      @ruthn9381 8 місяців тому

      @@RrrrRrrrwrw-wn3jj I never said that one shouldn't do it but, that's not the first thing that makes marriage last.

  • @christinemariah9622
    @christinemariah9622 10 місяців тому +2

    The lady is stupid, katoka KwaZulu Evans kashaenda kwa mwengine pia huko hajachumbiwa ywapigwa atazalia Kenya nzima. Arudi kwa mamake mzazi angojee achukuliwe kihalali

  • @fiddiggokirimi9630
    @fiddiggokirimi9630 10 місяців тому

    Mchungaji mwitu.

  • @bobogitau5383
    @bobogitau5383 10 місяців тому

    😂😂😂😂😂😂

  • @thogonuii
    @thogonuii 10 місяців тому

    😂😂😂😂😂

  • @mwendapoleee
    @mwendapoleee 10 місяців тому

    Huyu ni mchungaji?

  • @gilbertuwizeyimana6160
    @gilbertuwizeyimana6160 10 місяців тому

    Nataka kupatanishwa na mama mkwe anaweza kuwa na Miaka 21 kupazia Ako nakazi Tena Ako tayali kuunga familia Sina uwezo wakuwapigia simu lakini anaweza kuandika nambari zake Kwa comment yangu tutazungumza Mimi natoka Rwanda

  • @decoloniz_afro
    @decoloniz_afro 10 місяців тому

    Mchungaji wa wapi huyu omg...fake pastors ..this not way you talk

  • @Waziri77
    @Waziri77 10 місяців тому

    sasa huu ni uchungaji gani? matusi tupu, son inlaw unamtusi na wewe ni mluhya?

  • @sabinaamboko6449
    @sabinaamboko6449 10 місяців тому

    Mchungaji arrogant,mama watch your speech

  • @jackieshamim3162
    @jackieshamim3162 10 місяців тому +1

    Wewe mama ni mjinga.pepo wewe.msichanako atakuwa single milele na milele.atakuzalia wajukuu kwa hiyo boma yako mpaka utajuta.kijana wachana na hao watu.mtoto atakuwa mkubwa atakuja

    • @rachelmuch5788
      @rachelmuch5788 10 місяців тому

      Very true mama shetani sana hawa ndio wale wamama wanakulia Watoto kwa wanaume

  • @stephenndiritu1250
    @stephenndiritu1250 10 місяців тому +2

    Hawa wanawake ni makende sana wako na maringo sana wakwende uko

    • @qharolefrancie587
      @qharolefrancie587 10 місяців тому +1

      😂😂😂uko na makasiriko

    • @christineamlinger5630
      @christineamlinger5630 10 місяців тому

      ​@@qharolefrancie587 amewashwa heee😂😂😂😂😂

    • @Purry-ut5di
      @Purry-ut5di 10 місяців тому +2

      Acha kuichukulia too personal stress itakumaliza😂😂🤣🤣🤣

  • @siwajibufarida7288
    @siwajibufarida7288 10 місяців тому

    😂😂😂