😍😍😍❤❤😍😍🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥Zuchu ni karembo masha Allah...nywele fupi she look amazingly..ndio maana simba kafa kaoza chezea mzanzibar...mola awajaalie kila la kheri
Jpo ni Team Bakhresa Ila sna Uteam wa Kijinga Wasafi Ninacho Wapendea Yni Body Yke Inajua Kuwasimamia Wasanii wake ningependa Kumuona Bakhresa Na Yye Body Yke iwe kma Wasafi Sio kila siku Yye pia Akitaka Awe Strong Kma Diamond Bas Harmonize Atafute Collabo na Artist Wa Njee Ya Africa Na sio Hpa Tz
Uyu MLA Sembe Anapenda Kik Za kijinga Mala Ya Kwanza Aliku Anatudanganya Na kik Ya Nimenunua Private jet Mara Private hachiii Alivyo Ona Amezoeleka Na Kiki Iyoo Ssa Kila siku Anakuja na kik Ya Zuchu Kma sehemu Ya kuboost Kazi zke
Wewe Kaka kweli unaroho mbaya ulijifanya mtakatifu kumbee wewe ndo mweny chuki na utimu akaa km yeye mla sembe na wewe mla mjani ni chakushangaza umpati kimaisha hata uzikiri uchi.
Zuchu is a really cute Africa Princess,too cute with a beautiful smile,and also humble
Zuchu Blackbarbie kazuri kwa nywele hizi mashallah🥰
Mahusiano ya zuchu na mondi kuna kitu wameongeza sio uongo Watasumbua sana chemisty yao Iko juu na kibiashara wanatengeza hela sana
Uliosema yametimia sasa! 2yrs down the line
Lengo ni mzri, ni vema kushikamana zaidi Ili tupate wasanii wengi wakubwa hakuna haja ya kugombana wao kwa wao 🇹🇿✍️🙌
Esco upo vizuri mwamba now Confidence ni nyingi mno🔥🔥🔥
Kaupiga mwingi sana kushinda hata hao wengne
Nice simba and zuchu
The look on Zuchu’s face explains everything
Big up DP. Great definition of “bongoflava” . I have been waiting to hear that for a long time.
😍😍😍❤❤😍😍🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥Zuchu ni karembo masha Allah...nywele fupi she look amazingly..ndio maana simba kafa kaoza chezea mzanzibar...mola awajaalie kila la kheri
Zuchu uwe makini kwasasa manaa nakupenda
moto sana 🔥🔥 you both look great
Woow so amazing ❤❤❤
Diamond 💎🧡🧡
Simbaaaa ❤
🔥🔥🔥💯
Nguo za Diamond na Zuchu leo haziendani
Simba diamond reo nimekereka video zikowapi irabasitu kwakuwa mimi ni shabikiako sinanamna ❤💪💎🙏🦁🙆
Jamani jimy umeandika ujumbe kwa uchungu
Mungu akubariki simba
Huyu Simba anatumia Zuchu kama pambo tu.....kutiya nakshi....kusukuma biashara....akuna kitu ya maana hapa.....take that to the nearest bank.
I second you.
True
Give it one year .u will see he's using her to sell his music 🎶
umejuaje ww
Two years later@@masikalagatrude6618
Esco Donald wa SnS leo kamuuliza Diamond platnsss mswali najuwa amefurahi Sana😂😂😂
Zari muda wake ulisha kwisha
Jmn huyu mondi juz simlipost kanyoa kiparaaaa kaacha mindevu leo mbona ana nywelew
❤❤❤👍👍
Mbn zuchu karudia mavazi hayo mavazi alivaa kwenye Bata la bort baharin 😅🤣🤣🤗🤗🤗😍😍
Hajafua kwani?
Esko donald
Simber ujawahi kutu Angusha #foa ep number one kwenye digital platform tunafanya vizuri wcb for life
Mmmh
The legend
Nagufan uyomutoto usimuac kwaju yamaneno yawatu usiwasikie
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
Zuchu apo penye uko paliwayi kuwa bangine sasa uwe makini
ZUCHU WHY YOU DIDN'T LOOK CONFOTABLE
Mbona waandishi wa clouz siwaoni
Ushamba kuvaa dark glasses usiku.
Kule kumpost zari ilikuwa namna yakumwambiya asikuwaze uko. Kwenye mahusiano na zuchu 😂😂😂
Zuchu anakufaa achana na Foa muoe zuchu..
Kitu najua mtu hawezi kua 31st 😂😂😂😂😂😂
@@dasaky9028 Wengine wanaleta tu ushabiki mandazi na chuki zao
kama mond anawachosha kunywen sum maana atawachosha mpaka basi
Zuchu thats kiki i know bat boss cant marry you,ur not a type of his girl he used to take
31st rais wa kiki
Kalia hayo hayo maskini mwenzangu
Chapa kazi akisha mapenzi hayatuusu
🦁🦁🙌🙌🔥🇨🇩🇨🇩💣💣
Kana ngongo utafikiria kanabeba zege
Zuchu una shingo fupi, hayo mahereni ahahaa au basi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙄🤣🤣🙄🤣🤣🤣
Tunachoka kuangaliya mambo yenu
Unachoka sio tunachoka,,,simple way ya kutochoka ni #UNSUBSCRIBE
Msichanganye mapenzi na musik. Mapenzi ni privat.
mafuta ya Nazi mgongoni 😆😆😆😆
joto jmn😂😂😂
Usitizame filamu iyi ukiwa na watoto wadogo 🤭ua-cam.com/video/ZG7Z0naQf2Q/v-deo.html
Jpo ni Team Bakhresa Ila sna Uteam wa Kijinga Wasafi Ninacho Wapendea Yni Body Yke Inajua Kuwasimamia Wasanii wake ningependa Kumuona Bakhresa Na Yye Body Yke iwe kma Wasafi Sio kila siku Yye pia Akitaka Awe Strong Kma Diamond Bas Harmonize Atafute Collabo na Artist Wa Njee Ya Africa Na sio Hpa Tz
Uyu MLA Sembe Anapenda Kik Za kijinga Mala Ya Kwanza Aliku Anatudanganya Na kik Ya Nimenunua Private jet Mara Private hachiii Alivyo Ona Amezoeleka Na Kiki Iyoo Ssa Kila siku Anakuja na kik Ya Zuchu Kma sehemu Ya kuboost Kazi zke
Haha useless comment
Wewe Kaka kweli unaroho mbaya ulijifanya mtakatifu kumbee wewe ndo mweny chuki na utimu akaa km yeye mla sembe na wewe mla mjani ni chakushangaza umpati kimaisha hata uzikiri uchi.
Kale sembe ulale huko
@@matumuhatibu4636 ndugu na uki upo🤣🤣🏃♂️🏃♂️
@@sanoureyaliwadoakaroyo1696 chamsingi kuliko zote rudi shule jifunze kuandika na ku tamka maneno elimu ni bure