Tangu Umeanza Kufundisha Dr now nina PhD Ya Madini unayo tufundisha. # Sina Neno Zuri Zaidi Ya Kusema Shukuran Na Mungu Akubarki Zaidi.Maaana NAMI nmekuwa Mtu wabaraka Kwa wengine Kupitia Ww Dr.
Dr. Ellie, nakufuatilia Sana na unatoa elimu kubwa Sana ambayo nami nanufaik nayo Sana. Natamani siku Moja ufungue code juu ya Kanisa la kwanza in relation to denominations/Religion and other beliefs after 100 years AD.
Dr Ahsante sana kwa Kuwa mafundisho yako ni Nuru kwa Maisha Yetu
Asante sana Kwa kushare Tena mapema mno! Mungu awabariki nyote. Dr. Ellie Akhsante sana
Kizingiti namba mbili ni UPENDO.Upendo ni dhamira ya kutokufelisha mambo na maisha ya watu wengine. Asante Chomoza. Pongezi Dr Ellie, ❤🎉 nimejifunza.
Hakika dr wewe utabaki kuwa ww kiupekee daima umenitoa mbaali hapa nilipo niseme t Mungu azidi kukuzidishiaaa zaidii🙏🙏
Mbarikiwe sana team chomoza
kwapamoja tunajifunza
Thanks dr ellie
Asante sana,Mungu awabaliki
Tangu Umeanza Kufundisha Dr now nina PhD Ya Madini unayo tufundisha. # Sina Neno Zuri Zaidi Ya Kusema Shukuran Na Mungu Akubarki Zaidi.Maaana NAMI nmekuwa Mtu wabaraka Kwa wengine Kupitia Ww Dr.
Asante sana dr Ellie,ninajifunza mengi na mafundisho yalo yamebadili maisha yangu kabisa na mtazamo wangu wa maisha
asante baba ad nataman selekali ingetengeneza utaratib juu yaulinzi wako japo mungu yu nawe ubarkiwesana baba
As usually from burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮
God bless you Dr. ❤
Asanteni sana kwa kutuhudumia.Sisi hatuna cha kuwalipa. Mungu mwenyewe atawalipa. Amina. Jimmy, sehemu ya 8 na 9 hazionekani. Tunaziomba. Asanteni.
Dr. Ellie, nakufuatilia Sana na unatoa elimu kubwa Sana ambayo nami nanufaik nayo Sana. Natamani siku Moja ufungue code juu ya Kanisa la kwanza in relation to denominations/Religion and other beliefs after 100 years AD.
Shukran Sanaa kwa ujenzi huu wenye msingi wa ukweli harisi wa maisha ya umilele, Hakika MUNGU Ni mwema
God bless you.
Mashaalah ya salam ya salam. Kwa hakika nafurahia kipindi hichi
Sina maelezezo mungu wewe ni mwema
Jamani like tafadhali views 250 kwa like 30 sio sawa kabisa.
Un
Sehemu ya 56 vipi
Nitajiungaje kwenye madarasa ya dr Ellie
Tayari umeshajiunga fatilia mengine chomoza tv utabarikiwa sanaaaa
As
Sasa ina maana gani kufeli ili usi felishe wengine, Hao ndio upendo huyo
je kufukuza mfanyakazi ujalenga kufelisha naomba jibu na ufafanuzi