Kajamaa kanaongea kwa vitendo haka ukiwa karibu kanaweza kukuumiza. Nenda bana maneno mengi watu wamekukataa. Huna weledi wa hiyo nafasi huo ndo ukweli.
@Paul kisatu Lusana,hata mimi nawashangaa hao sijui bodi sijui shirikisho, wanamteua mtu kuwa msemaji ambaye hata communication skills zake ni below zero yaani negative kabisa….anapiga kelele tu lkn mantiki au focal point huioni!
Pole sana Bro umeamua Vyema Wala hujakosea Muda Unakuja wakukuhitaji Nilikuwa nakukubali sana Upande Wangu Usisahau kuwa Bora walinyama kuliko walimwengu Hata atakae kalia nafasi yako lazma atatambishwa tu Wanadamu hawanaga zuri hata Uwabebe mgongoni.
Kajamaa kanaongea kwa vitendo haka ukiwa karibu kanaweza kukuumiza. Nenda bana maneno mengi watu wamekukataa. Huna weledi wa hiyo nafasi huo ndo ukweli.
Ulisahau Mr Steve muziki sio siasa.
Steve Nyerere hajui kuongea kupresent mada yoyote….analipuka sana pasipo sababu
Toka kimya kimya mbona maneno mengiii....😀😀😆😆😆😆🤣🤣🤣...anatafuta sympathy ya crowd....kenge huyu....😀😀
Kweli Bongo Flavor wanaongoza Shirikisho la Muziki, msiwachezee. Ohoooo!
Una Leta sihasa kwenye mzk ahahahhahaa Ila namuomba mama akupe ata ukuu wa wilaya maana unamtaja taja sana 😋😀😀😀😀🤣🤣
1:00 🤣🤣🤣😁😁😁 Nikiwa na akili Timamu nimesikia background music of the movie...
Hii nchi bhana... 😂
Sasa unajiuzulu vipi HATA KAZI YENYEWE HUJAKUBALIWA KUANZA😳🧐🙋🏾♂️
Wewe mbaka hapo una ubanguzi ijierewii kamiongoze mama yko
Nimecheka sana
Steve wajina umetutoka mapema
Ume sweat sana mzee baba punguza jazba.
Ya nini? Ya nini mieeeeee, nimeachiaa😂😂😂😂😂😂
Ondoka baba. Una uchu wa madaraka kupitiliza .
Steve nyerere Umeongea point kubwa sana Bro, kauli uliyoiongea siku moja wataikumbuka.
si ulikuwa unamchamba peter msigwa,shilikisho limekukataa,ubunge nani atakuchagua
Nimeachia ngazi🤣🤣🤣🤣🤣😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣weweee 😆😆 achia ngazi bye bye 👋 comedy mtupu🤣
Aksante sana kwa busari iliyo tumika
Huyu nae kataka kuongelewa tu nawatu 😁😁😁
Huyu jamaa wajumbe walimtema wajumbe ikawa msemo mtaan sasa na wasanii ana damu gani huyu??
Shida ni feki. Anajiona nyerere kweli. Ilitakiwa awe Steve tu
Eti pua puaa 😤😤
@@tyronemofekeng7152 Julius Nyerere baba yetu huko uliko hebu kashughulikie haka kadude kanakodhani kuwa Kako sawa na WEWE
Maneno yenyewe anamezeswa hapa hapa 🤣🤣🤣
Asante kwakushiliki.. next
Next Ni November na FidQ .. wakiomba radhi labda watasamehewa wakikaidi Moto utawaka.. Wait and see
Mbona unafoka master
Af ukitoka hapo urudishe na rozi rozi uliyoazima
Sasa ni vizuri tumekusahau..... ulikua mbwa mwitu mjini!!
Mapabha meeengi kwenda😗
Hata anavyoongea TU, he cannot be a spokesperson
Nimewaelewa sana Wajumbe wa Iringa Mjini ....
nenda mwana kwenda mzee mbn maneno mengi
Honest huyu jamaa alikuwa anafaa Basi tuuu.... Tukiacha kuangalia tukiwa tumefumba macho basi tutafumba macho ili tuangalie...
Kwa upande wa ndani but kimataifa hawezi
Ahaaaaaaaa yanini yanin vmie
Mikono sasa😂😂😂
Duh kamejiuzulu maskin we
🤣🤣🤣🤣Nimeachiya nimecheka sana
Kwa kweli ulikuwa hustagili maana unapiga keleelee tuu
Na hauna Elimu ya huo usemaji
Walikukataa wapo sahihi
@Paul kisatu Lusana,hata mimi nawashangaa hao sijui bodi sijui shirikisho, wanamteua mtu kuwa msemaji ambaye hata communication skills zake ni below zero yaani negative kabisa….anapiga kelele tu lkn mantiki au focal point huioni!
we we neda tu. umelazimishwa kujiuzuli neda. huna vigezo
Tokaaaa banaaaa mbona maneno mengiiii???
mbona unashupalia mtu mmoja,wakati umekataliwa na wengi
Steve anajikuta kambarage🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Watu wafupi kwa ukorofi 😂🙌🏾
Ww toka bana muzic sio comedy
Ww toka icho cheo akikufai huna mvuto kabisaaa
🤣🤣🤣🤣 nchi tamu Sana hii🤣🤣🤣
Taifa linakujaje na rais anakujaje kwenye ushenzi wenu huo..... Mwisho mtatafuta na msemaji wa wahuni sasa hahahaha
Nenda bana siasa nyingi
Wajumbe sio watu 🤣🤣🤣
Kaombe usemaji kwa simba sports club🤣
Haka kajamaaa kana mbwembwe roporopoooooo siasa hakajui, music hakajui, huko bongo movie nako chenga tuuu
Kapumunzike kwa amani mbaba na udunya wako🤣🤣
Haha 😄 🤣 😂 😆
Watamuweke wanae mtakaa alafu yatakuja yatokeee yakutokea..Ila tusishau kuwa Teknolojia Haifichii kituu..Muda utaongea
Umeongea pumba
Tatizo katiba tuu ndo imem-bana mpaka kajiuzulu, tumeweka katiba ituongoze ili tusifuate mahaba na mihemko kwenye mambo ya msingi.
Ndo maana wanyaru walikukataa,, kumbe unabwata hivyo,,,
Hii nchi ngumu sana! Kuna mwamba anakazi ya kukumbusha script hapo.
😁
Hahahaaaa bongo raha
Yanini yanini mie?nimeachia🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wangekuwa wa naweka japo kafeni mbele ya msemaji
Kazi yako ya kutupotezea katiba mpya umeizima vizuli Sana. Mana ndo ulio kuwa mpango wa selikali tusijadili katiba
Kaa Pemben ww huna swaga tupisheeeeee
Mbona kama umekasirika na unafoka sana!!
Hicho kinafik mkubwa Ccm mabwanazake wamemtosa hehehe 😂😂 kachote maji huko hehehe
Wahogyo haba elimu yakukaa pale
Mbona anaambiwa
Umoja Gani?
Stigilazi gate😂😂
kanaongea kama feni
Pole sana Bro umeamua Vyema Wala hujakosea Muda Unakuja wakukuhitaji Nilikuwa nakukubali sana Upande Wangu Usisahau kuwa Bora walinyama kuliko walimwengu Hata atakae kalia nafasi yako lazma atatambishwa tu Wanadamu hawanaga zuri hata Uwabebe mgongoni.
Sas mshahara hamna kwann ulikua unang'ania kaz ya bure
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Tulichokitaka tumekipata subiri misiba ukatapeli
Anapewa maneno ya kuongea
Nenda bhana xteve unaongea pumba tu
😁😁😁🤭🤭
Unaleta Siasa Kwenye Kazi acha ujinga Movie na mziki vitu viwili tofaut waachie wenye Sifa wagombee
Tivu akeee🤣🤣🤣umelala yooooooooo
😂😂😂😂😂
Jamaa alishapata ugali moto fitna imepita ameacha
Poor, poor,Pua
Pua kabisaaaa
Hata usinge jiuzulu ungetolewa tu boya wewe😂
Tatizo kimo chake
Hiyo ndio Busara "Funika kombe Mwanaharamu apite"
Delusion of granduer
Ulikosea pale uliposema mbunge wa vimemo
Huu mchezo auitaji asila
tatizo cyo akili za shule ni akili za asil pia haunah
Amefanya la maana make wote wasanii hatumpendi akaongoze kina mkali wenu😄😄😄😄😄😄
Sizitaki mbichi hiziii
nenda bhna..kaigize comedy maana unabwata tu huna points
Utafikiri ka mjusi fulani
Too much iz harmful
Background jamaa anamkumbushia script
Wewe Steve Nyerere kuma kibuyu. Huna kazi msenge wewe kazi yako kujipendekeza kwa watu tu mkundu mkubwa wewe. Nenda uka firwe.
Kaka una matusi ....sio vzur jirekebishe
Astaghfirullah laadwim una jina Zuri mashallah ila mdomo wako una maneno machafu kama debe la takataka
Vp yale masaa 48 uliompa f.a 🤣🤣🤣
hajayazungumza wakubwa wamemwambia acha.
alichelewa tu.... ila siku ya pili baada ya kina mwana fa kuongea ilitakiwa aseme hivi... kila la kheri kwa tivu akee
Afadhali hufai
Uliona aibu kufukuzwa umeamua kujiuliza
Bitter Hu just lost a meal ticket
Huyo jirani yake nahisi ameloa mate
🤣🤣🤣🤣🤣
Achana na ugali bhna hapa ni maslah bhn
Hilo tamasha lawalevi
Is he a leader or a clown? Please help me
Bongo nyoso