Israel Mbonyi - UWE Hai (Lyrics)
Вставка
- Опубліковано 5 лют 2025
- Be Sure to Subscribe to see new videos we upload.
If any producer, artist or label has an issue with music upload, please contact me and I will remove the material immediately.
Business inquiries :
deeplyrics281@gmail.com
GOD BLESS YOU All !!!
Ezekiel 37:1-10
Lyrics :
Verse
Mbali ninayatupa hayo yote yakushirakiyo
Maana Mii Ni Mwenyezi Mungu, Usinzie nakufunika
Tena Mimi Niko Naweza kukutunza
kwa Neno la Kinywani mwangu
Na utayalalia haya Maneno
Kisha na mkono wangu
utakandamiza malengo ya wabaya
Maana Mimi Niko
Nitakulinda kwa gongo la Upendo wangu
Uwe hai, natamka, uwe hai.
Chorus :
Uwe hai, eweee Uwe hai
Uwe hai, eweee Uwe hai
Wee mifupa ilio kauka , Ewe uwe hai
Wee mifupa mikavu ewe uwe hai
Akanitazama kwa utele wa upendo wake,
Eti uwe hai
Akanitazama, kwa utele wa Rehema Zake,
Eti uwe hai.
Bridge :
Uko na alama ya damu yake mpenzi
We ni wangu mi wako ooh
Hayo ninayasema.
Amen 🙏
🙏🙏🇨🇩🇨🇩🇨🇩