Uyu jamaa anaongea point kishenzi sema watu wanamchukulia poa poa tyu ila ALLAH AKUBLEESS BRO LEO UMENIGUSA SEEMU NYETI JAPOKUWA MI NAMSHUKURU MUNGU KANIJALIA FAMILY YANGU IMENIFANYIA MAMBO MAKUBWA ILA KUNA FAMILY APO BONGO BALAA TUPU NI PASUA KICHWA SO BIG AP BRO ENDELEA KUWA FUNGUA AKILI WABONGO BRO
Ndio maana nilisema situmi pesa yngu eti najengewa n ndugu never I will do it by myself nikirudi inshaallah saai nawale hizo pesa za shule 2 n zamatumizi ninazo watumia hahaha nacheka kma mazr eti come come come yaan kma uko uku yaan Dr kumbuka
Dr. Kumbuka wasema kweli kabisa na si ndugu tu hata waume wa mletea mume pesa ajenge ukija Kuna mke mwezie ameolewa na pesa za uarabuni. Mungu atatulipia sote tulodhulumiwa
Oman hapa mm ndugu yangu aliniambia nitumie nikujengee nikamwambia pesa yangu nakufa nayo huku ameniblock hadi leo miaka 2 penda sana kumbuka na timu yako
Jamani leo umenigusa sana kaka nna miaka 5 na miezi 4 sijarudi tz mana nimepigwa pesa nyingi na ndugu kl nnaemuamini ni mtihan tu ALLAH atusaidie ss tunapitia magumu sana huku ila wao hawajui
🤣🤣🤣come come jmn Ila jmn umeongea kweli kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣. Yaani mm namjengea Mama yangu na hivoy tu yupo mwenyewe anangalia. Nimemnunulia cm video call kila mara . Na hili Baridi la ujerumani acha kabisa. Kufika kazini on time. Rugha yao bac ndo hivyo , urudi home upike , kisafisha nyumba , kuangalia mtoto .Alafu huko watu wanasogoa wanataka tu pesa khaa. Jmn watanzania tubadilike tusisubiri kupewa
@@عمريونس-ط9ع 🤣🤣 yani hata mengine yana chekesha Mtu amekaa nyumbani kisha anakupangia na pesa zako zenye umehangaika miaka 2 bila kupumzika watuache bana.
Nashukuru mmetusema jamani mimi nilishtuka mapema mtoto nilimuacha kwa mama angu mdogo kila mwezi natuma pesa kila na nisipotuma ananinunia wala salamu hanipi walahi mbaya zaidi mwanangu hata haelweki malezi zero nikaamua kufanya maamuzi magumu kupiga simu kwa mama angu aliyoko kijini mtoto amfate yani saiz nina amani ya moyo mtoto amenawiri kuliko hata alivypkuwa mjini analimchukua mwanangu kwa maslahi mimi tena nikasema aah hakuna shida si mama mdogo atamuangalia vizuri weee yani Achane Mungu aitwe Mungu ,huku sie tunapiigika kwa kazi unaamka saa kumi alfariji unalala saa sita usiku alafu mtu anakuja kutumia pesa zako bila malengo inauma aisee
imenigusa hiyo mm nilibambikizwa deni wallah na mama mzazi tena wala hanijali anajali hela ukiwanacho ndio mwema naogopa hata kutuma hela African ila ukiwa huku unaonekana kama unazo tu hutaki kuwapa ina uma yani
Udugu sio damu nimejifunza hivyo long time! Mthamini anae kuthamini, muonee huruma anae kuonea huruma. Ndugu zetu ndio wanao tuumiza na kuturudisha nyuma kila siku! Mimi mtu baki akiniheshim akanithamin na kuwa mwenye huruma na imani kwangu? Huyo ndio ndugu yangu.
Duuuh hii story imenikuta Aki kuna ndugu hawathaminiki maana hii story imenikuta sana nlitumna pesa ya 3 months lkn siamini vile mtu alikula na kunidanganya tu hwa ndugu zetu hawaaminiki aki jamni familia zetu hazijui thamni yetu
Yaani kaka umetuona ss tuliokua nje ya kwetu, yanatukuta sana. Allah atusaidie tu.
Yani hii imenigusa sana dr kumbuka nakupenda bule ❤
Doctar kumbuka...yaani hapa umenigusa sana...Mm niko omani..lkn mitihani...nakupenda sana kumbuka kwaajili ya Allah..
Brother Kumbuka nilikuwa sijakufaa ww mtu gani kweli sawa sasa nakuelewa maneno yako yanaukweli ndaniyake ww brother number 1 in tz salute
Nakupenda sana Dr.kumbuka wape makavu live mm ni mkenya niko saudia ila mada yako imenilenga mm nilivyo fanyiwa. Shukran sana ujumbe umefika
😂😂😂😂😂Ukweli mtupuuu.....Much love to uhondo team, huu ukweli unagusa sana!!!
we jamaa aisee..hapana..salute!
Uyu jamaa anaongea point kishenzi sema watu wanamchukulia poa poa tyu ila ALLAH AKUBLEESS BRO LEO UMENIGUSA SEEMU NYETI JAPOKUWA MI NAMSHUKURU MUNGU KANIJALIA FAMILY YANGU IMENIFANYIA MAMBO MAKUBWA ILA KUNA FAMILY APO BONGO BALAA TUPU NI PASUA KICHWA SO BIG AP BRO ENDELEA KUWA FUNGUA AKILI WABONGO BRO
Daah Dr. Kumbuka umenigusa mm jaman ujumbe umefika NA MUNGU anawaona lnshaallah atawahukumu
kakaa hujakosea kbs wanatuumiza sana familia wanaangalia yao tu
Ya kwangu mm hayo tangu nilipo tuma pesa Hadi leo mwaka mzima huo matofali yapo chini haijajegwaaaa
Uhondo mpango mzima mimi napenda sana iki kipindi
Ndio maana nilisema situmi pesa yngu eti najengewa n ndugu never I will do it by myself nikirudi inshaallah saai nawale hizo pesa za shule 2 n zamatumizi ninazo watumia hahaha nacheka kma mazr eti come come come yaan kma uko uku yaan Dr kumbuka
Dr kama kumbuka wewewewewe umeongeya kweli kabisa 👌👌👌👌👌👌👌
Siku zote maneno yanaeeleweka safi dr kumbuka yameshanikuta hayo 👍🔥 mungu akubariki from 🇨🇵 faransa
Hahaaaaa.kumbuka
Ni ukwel kabisaa jogoooo
Kbc jmniii ndug awabebeki
Mumeongea jambo muafaka kabisa na ni kweli watu wanateswa yani huku watu wanafanyishwa kazi balaa from🇰🇪 ila nipo 🇸🇦 mm dereva
Dr. Kumbuka wasema kweli kabisa na si ndugu tu hata waume wa mletea mume pesa ajenge ukija Kuna mke mwezie ameolewa na pesa za uarabuni. Mungu atatulipia sote tulodhulumiwa
Waambie msemaji wetu from Abudhabi 😍😍😍🤩🤩
Kweli dk kumbuka ndugu waregesha nyuma
Asante baba ulijuaje kama tunapata tabu huku yani.
Kweliiii I 🏴
Uhondoooooo raha
Maneno yamenigusa Asante dr kumbuka
Dokta kumbuka umeniliza leo
Kumbuka ww noma sana asante
Tunakupata vizuri Emirates Mimi pesa yangu Alhamdulillah nikituma labda kuna mgonjwa! Au msiba, Zaidi ya hapo situmi pesa! , hongera dokta Kumbuka
Oman hapa mm ndugu yangu aliniambia nitumie nikujengee nikamwambia pesa yangu nakufa nayo huku ameniblock hadi leo miaka 2 penda sana kumbuka na timu yako
Hahahaha wallahi nimecheka sana
@@najumshamisi6505 ndiyo hivyo my
Mh mtihani..
😂😂😂😂
Kweli wengi wameshalizwa na ndugu! Kwenye pesa hakuna undugu
Wambie wakome huku kazi ngumu sanaa..
Kweli baba unayoongea
Ah leo umenitoa machozi baba umeongea ukweli umeniliza baba
Dr Kumbuka umesema kweli
Love you team #UHONDO
Your write wallah...nimependa hiyo
🤣🤣🤣🤣 lizee la kiarabu lasumbua kama nini kumanina zao awa warabu
Daah aisee umepga ikulu kakaa nimesha poteza milioni 20 Kaka yangu wa tumbo 1 Daaa
Pole sana
Pole mpenz
Maansha Allah umetukosha,unakuwa umeamka toka saa kumi ya usku ndgu wabaya,unabwaka kingumvu
Ndungu zetu Tanzania ndungu Awana uluma
Mmesema ukweli , kipindi chenu kizuri sana
Nimependa kweli watching from Saudi arabia but home town is Kenya 🇰🇪 🇰🇪.... Is true
Pamoja mtu wangu 254🇰🇪🇰🇪
Pamoja pia mm nko saudia Arabia lkn nyumbni ni Kenya
ua-cam.com/video/SUUexujAB-8/v-deo.html
@@victoriadaizy5277 🙏💯🔥
@@fahimaumazi7048 🔥🔥🔥🙏
Kweli kabisa tunateseka sana uku
Jamani leo umenigusa sana kaka nna miaka 5 na miezi 4 sijarudi tz mana nimepigwa pesa nyingi na ndugu kl nnaemuamini ni mtihan tu ALLAH atusaidie ss tunapitia magumu sana huku ila wao hawajui
Kabisa wallah wana tu umiza sana lisha nikuta ilo
Hapo kwa kufua ni kweli hawa watu kwa siku hawa watu huvaa nguo mara tano kwa siku
Jamani jamani mbona muna ongea ukwel jamani
Sahihi ukweli mtupu...tunayo pitia simchezo
Yani Leo imeningusa sana 😢😢😢😢😢😢😢
Kweli kbsa
Ni kwl kbsa
kumbuka mwezi 10..Narudi..Tz..unapesa ya vocha kutoka kwangu
🤣
Mtihan
Jogoo nakumba uwike na baathi ya mawifi #mashangazi
Unaongea point kabisaa Dr
Kulea wazee umenigusa baba
Kabisa yani hujakosea
Nakosaje uhondoo🤣🤣
Sema sema kaka
na waarab wanavyotumisha huku , we acha tu..mungu awalani wote wanakula pesa za ndugu zao. washenzi wakubwaa..wangejua tunavyopinda migongo huku
Nikweli yani wallah ina uma yani hawabebeki wallah mithili ya gulia la upupu
afazali weye umeona
Afrika yote iko hivyo, watu wafunze na kuombewa, ili Afrika iendelee huu ujinga uondolewe kwa akili zao. Ughaibuni sio paradise.
Wa kwanz kucomnt...frm qatar...kwel hayo usemayo...
yaani leo umenikosha kwelikweli
Daaa ukweli maan huk wa nadhani sisi hatucheki
🤣🤣🤣come come jmn
Ila jmn umeongea kweli kabisa 🤣🤣🤣🤣🤣. Yaani mm namjengea Mama yangu na hivoy tu yupo mwenyewe anangalia. Nimemnunulia cm video call kila mara . Na hili Baridi la ujerumani acha kabisa. Kufika kazini on time. Rugha yao bac ndo hivyo , urudi home upike , kisafisha nyumba , kuangalia mtoto .Alafu huko watu wanasogoa wanataka tu pesa khaa. Jmn watanzania tubadilike tusisubiri kupewa
Kweli kabisa kumbuka 🙏. Ndio dunia ya leo.
Minakukubal unasem ukwel👍🙏🙏
Tawile kumbuka
Waambie hao nduguuu
Uwwih dokta shikamoo naangalia nikiwa Oman
Kunywa soda kumbuka kwa bili yangu yani true kabisa unayoongea
Kichwa kikubwa hata akiwezi kutikisika jamani hahahahaha Dr nakupenda sana jamani unasema ukweli
Haki leo umeniongelea sio uongo haki pesa ya Saudia inaonekana kama twaokota chini.
Mimi nasema wanajua tunachuma kwenye mti ndugu yangu
@@عمريونس-ط9ع 🤣🤣 yani hata mengine yana chekesha Mtu amekaa nyumbani kisha anakupangia na pesa zako zenye umehangaika miaka 2 bila kupumzika watuache bana.
@@victoriadaizy5277 umeonaeee
@@mwakahassan8742 bwanae🤔
Wangejua tunayopitia huku😭😭
ua-cam.com/video/SUUexujAB-8/v-deo.html
Ubarikiwe kwa hili tunasumbuliwa sana jamani tumekuwa kama ATM Machine jamani Ulaya hatuokote pesa kama mikusu
Yaan Eti watu wanaona ss tunazichota tu huku
na ukiwanyima pesa wananuna wanakwambia unalinga kabisa yaani mtihani
Wape makavu ndio walivo wanarudisha ndugu zao nyuma wambie wambie
Yani mmejuaje acheni yani ndomaisha niliyo yapitia mm
😀😀😀😀😀😀😀uwondooooooo ww kumbuka wewe unatujenga sana some time 😀
Yaan ni kweli kabisa hayo yapo watu wakirudi nyumban unakuta hata nyumba kwenye lenta haijafika
From Bahrain very true hatutumii pesa. ..huku hatulali. hatukai
Ulijuaje kaka yangu wape ukweli wae na huruma pesa wanazo tumiwa
Nashukuru mmetusema jamani mimi nilishtuka mapema mtoto nilimuacha kwa mama angu mdogo kila mwezi natuma pesa kila na nisipotuma ananinunia wala salamu hanipi walahi mbaya zaidi mwanangu hata haelweki malezi zero nikaamua kufanya maamuzi magumu kupiga simu kwa mama angu aliyoko kijini mtoto amfate yani saiz nina amani ya moyo mtoto amenawiri kuliko hata alivypkuwa mjini analimchukua mwanangu kwa maslahi mimi tena nikasema aah hakuna shida si mama mdogo atamuangalia vizuri weee yani Achane Mungu aitwe Mungu ,huku sie tunapiigika kwa kazi unaamka saa kumi alfariji unalala saa sita usiku alafu mtu anakuja kutumia pesa zako bila malengo inauma aisee
Very true, like me, nahangaika kwenye inchi za watu. so painful
imenigusa hiyo mm nilibambikizwa deni wallah na mama mzazi tena wala hanijali anajali hela ukiwanacho ndio mwema naogopa hata kutuma hela African ila ukiwa huku unaonekana kama unazo tu hutaki kuwapa ina uma yani
Udugu sio damu nimejifunza hivyo long time! Mthamini anae kuthamini, muonee huruma anae kuonea huruma. Ndugu zetu ndio wanao tuumiza na kuturudisha nyuma kila siku! Mimi mtu baki akiniheshim akanithamin na kuwa mwenye huruma na imani kwangu? Huyo ndio ndugu yangu.
Duuuh hii story imenikuta Aki kuna ndugu hawathaminiki maana hii story imenikuta sana nlitumna pesa ya 3 months lkn siamini vile mtu alikula na kunidanganya tu hwa ndugu zetu hawaaminiki aki jamni familia zetu hazijui thamni yetu
Kaka anguu hii imenigusaa twalala saa nane za usiku uhaibuni
Hii intav tunaokoment ni ss tuliopo ughaibuni tunatesekana ss
mie sisemi naona uchungu
Dk nakuletea zawadi kaka
😃😃😃hakika sichoki kukusikiliza ww
Mimi nashukulu ananisimamia babayangu kujenga imebaki kuweka bati
Tena pesa zetu wanatunzana mbwa hawa
hehehehee kweli kabisaaa
Waambie hao mie najibana navaa tait zimetoboka halafu mtu anakuomba pesa
Maneno uliyo sema nikweli weka namba zako kumbuka
Swadakta Dr.
Ujawai kosea kumbuka akeee
Wee kumbukaaa unanizungumzia mie jamani
Kumbuka umejuaje watanzania wansjua ulaya tunapata pesa tumekaa tu hawajui tunavoteseks
KAMA umeniona kumbuka
🤣🤣 Ujumbe umefik kk angu nakuombea maisha km yote