UKWELI Waanikwa, Kuhusu WANANCHI KUCHELEWA KUPATA VITAMBULISHO VYA TAIFA!

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 20

  • @khadijak3065
    @khadijak3065 5 років тому

    Mmmmm hawa watu wanapenda maji ya kunywaa sana eti wanakiuu wana penda hongoo sana ndio maana watu hawapati kitambulisho

  • @opqsweetbert9598
    @opqsweetbert9598 5 років тому +1

    Wanapenda rushwa sana ukitaka kitambulisho 28000

  • @kacherosimba5762
    @kacherosimba5762 5 років тому

    Hata nimekata tamaa Mimi yani mpaka nimefukuzwa kazi kwakufwatilia kitambulisho tu

  • @andersonkinoga6385
    @andersonkinoga6385 5 років тому +1

    Nyie matapeli mbona vitambulisho havijaja toka mwaka 2017 mpaka leo 2019.huku mpwapwa Dodoma.

  • @ngoshangusa4053
    @ngoshangusa4053 5 років тому +1

    Mimi mwenyewe sijapata hata nikiingia huduma ya *152*00# naishia kuliwa sh 100 bure bila kujibiwa , msaada wenu idara husika maana Niko rural area kabisa

    • @j_gh812
      @j_gh812 5 років тому

      Nida mna matatizo sana na waongo sana...au hata hili swala la vitambulisho pia mpaka raisi alivalie njuga???

  • @rahmakhassani4148
    @rahmakhassani4148 5 років тому

    Mimi kila siku naenda kushinda ukonga Mombasa hakuna ata kinachoendelea natembea na fom ya mahakamani kama naenda kutafuta kazi duuh wajitahid tunachoka jamani

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 років тому

    Kwani ma ofisa si walikua wana hakikisha kama vyote vina fanana na kama imejazwa vizuri ndio atie sahihi? Nahii ilikua ikianzia ktoka kwa mwenyekiti wa kitongoji. Kisha uende kwa mtendaji ahakikishe ndio uruhusiwe kwenda kwa afisa uhamiaji na picha

  • @ruqiyaruq5142
    @ruqiyaruq5142 5 років тому

    Basi mtihani mimi mwaka sijapata kumbe maji ya kunywa hayahaisha me najua sikuhizi hakuna

  • @mwlmazingira8705
    @mwlmazingira8705 5 років тому

    mkoa wa lindi baadhi ya vijiji mpaka leo hawajapatiwa vitambulisho japokuwa wamefanya tatatibu zote huu nao ni upigaji mungine

  • @rosechesko975
    @rosechesko975 5 років тому

    Mnaboa sana mnaseama alafu havitoki haraka

  • @magesatv9659
    @magesatv9659 5 років тому

    Yaan hawa watu hawakujipanga vzur haiwezekani toka mwaka Jana mpaka Leo watu hawajapata vitambulisho

  • @juliascherehani2330
    @juliascherehani2330 5 років тому

    Mbona wengne waja gongewa muhuri na wanavyo vitambulisho

  • @madamloveness7274
    @madamloveness7274 5 років тому

    Nasubiria mwezi wa 12 mnifungie laini sababu mmekuwa too much yaan nikiibiwa kila kitu ,kitambulisho cha kura ,kuzaliwa ,nikaenda polisi nikapewa RB ukienda nida wanataka copy ya kitambulisho ,nikaibe wapi Mimi?

  • @ruqiyaruq5142
    @ruqiyaruq5142 5 років тому

    Nikweli mimi changu toka mwaka jana sijapata

    • @maufikaingilila8846
      @maufikaingilila8846 5 років тому

      Kwa hiyo mkowa mzima wa Rukwa wengi hawana sifa? yaani so watanzania? Tangu Mwaka Jana!!!

    • @khadijak3065
      @khadijak3065 5 років тому

      Wape maji ya kunywaa utapata kitambulisho chako lakini ukiwa unamkono wa birika hupati

  • @juliascherehani2330
    @juliascherehani2330 5 років тому

    Amna kitu hapo uku moshi akuna vitambulisho

    • @aidankapinga2624
      @aidankapinga2624 5 років тому

      Nilijiandikisha 2013 nilipata 2018 wanasumbua sana

  • @zakiazakia4552
    @zakiazakia4552 5 років тому

    Muwshimiwa Rais awatumbue wote nyie mliopo ktk icho kitengo mana kero Inchi nzima asilimia 90 hawajapata vitamburisho