Kwa kweli jitu zima lili ropoka vibaya je ange Kuwa mtoto wake ange thubutu kujieleza vile sisi tupo nje ya nchi tulijua tu yule mlevi kavimbiwa chakula cha msiba ni kwa sababu watoto wa Marehemu da Mariam tunawajua.
Kwa mwenye akili unajua kabisa yule ndugu Yao umesikia akisema mama Yao mkubwa alisema kuwa mnamjua akili zake ivyo itoshe kuwa ni ndugu Yao sema kalopoka
@@elizabethchabluma-zw5qz hayatuhusu lakini Mzee keshasema ukweli unaofhihirka Ili wengine wapone.. hujui Kuna kitu kinweza kuja kama kuharibu lakini kikawa fundisho kwa wenye kuumwa Ili wasiache dozi Kuna madhara kama hayo..
Sasa yule kamwaga ubwela je na mange kimambi mana yy nae katoa siri kubwa kila mtu kashangaa kua dida alikua na ukimwi kaacha kula dawa ndio mana kafa mange unamwambia nn
Namkumbuka tena hakuongea kwa ubaya, alisema anamshukuru mjomba ake ambaye ni baba ake Dida, labda pale aliposema dida labda hakuwa anatumia dawa vzr ndicho kilichompelekea kifo
Polenta sanq kwa msiba mungu Awape.Subra katika kipindi hiki kigumu ndugu yangu haina haja ya kuleta mtafar7ku jambo limeshapita tuseme Al hamdulillah Dawa hata za vidonda usipozitumia jibu linakuja hakunywa dawa haina haja ya mtafaruku wapendwa wangu.
Alichokua nacho Dida katika mali chache Alizonazo zote zinamstahiki Binti yake.Hata wasafi wamfungulie Account na chakumpa Aekewe kwenye Account yake.Pia wamsimamie binti yake Masuala ya Elimu na ushauri pia.Ili kuepuka fitna dhulma na matatizo
Lkn yule mfanyikazi wa dida boutique alisema alikuwa na dida na kaka yake dida mdogo aliomba karatasi na kalamu Sasa hiyo karatasi na kalamu aliandika nini kama sio usia jamani
Hapa kuna jambo MTOTO babake yupo kwanini atake jukumu kulibeba yeye sheria zipo waza mbona hapa huyu mtoto wa dida tutakuja sikia anzaaaa kumbaa kwa jamii mana watu pesa wata zipoga zote cha kufana NASIBU yamsimamie huyu mtoto kihusu pesa na mali za mamake hawa wajomba ni waku wangalia sana
Huyu mtoto miaka yote amekuwa akilelewa na mama yake na marehemu bibi yake na wajomba zake,hatuwezi jua tatizo ilikuwa Nn kwa baba yake, mengine ni mambo ya kifamilia hamna sababu ya kuyajaji sana, wenyewe watajipanga, sasa kusema mjomba ana jambo sio sawa.
Kwanza ni bora wale hao wajomba waliomlea kuliko huko kwa baba.mbona wakati mama yuko hai mbona huyo baba hata alikuwa hasikiki leo mkamkabizi mali za mama maana walizaa hiyo sio khaki.abaki kwa wajomba alikokulia@@KhadijaBunto
Pole..kaka. kafanana na Marehenu ila huyu Mweusi sana.. Na mjomba Ropo hajakosea😂..alisema vidonda vilipanda mpaka bandama imeoza. Na vidonda vya tumbo vikiwa vikoshamiri hio pia inakua . Inatokkea kama cancer. Pumzika kwa amani Dida
Kuwa kaka sio lazima muwe ndugu wa damu inategemea yule kaka walikuwa wanaishije ndani ya jamaii watu wanashilikiana hata sis mtajani tuna kaka dada hata baba ambao sio ndugu zetu ila inategemea tunaishia nao vp
Ewaaaa huyo ndiyo kaka halali wa Dida, pole kaka Hussein Allah awape subra wewe na Abdallah 🤲🤲🤲
Hakika
Yule Mzee kayamwaga ndugu wameamua kumkataa😂😂😂
Umeonaee
Tena yule kaka kaongea ukweli
Pole hussein
Kayatimba lazima wamtenge familia😅
Kabisa@@annasolomon9855
Kaka anaonekana kaumia sana walhai poleni sana wafiwa Mungu awape subra lnshallah
Pole sana kaka kiukweli ww ndo kaka kamili yule mzee ni chizi kabisa poleni sana
Kwa kweli jitu zima lili ropoka vibaya je ange Kuwa mtoto wake ange thubutu kujieleza vile sisi tupo nje ya nchi tulijua tu yule mlevi kavimbiwa chakula cha msiba ni kwa sababu watoto wa Marehemu da Mariam tunawajua.
Kwa mwenye akili unajua kabisa yule ndugu Yao umesikia akisema mama Yao mkubwa alisema kuwa mnamjua akili zake ivyo itoshe kuwa ni ndugu Yao sema kalopoka
Kuna mfano yule Mzee wasimkatae, wamekata wakajadili Ili kuja kuukwepa ukweli wa kaka mkubwa.😊😊
Wanamfanano na familia 😅
Yanawahusu nini iwe kweli au si kweli, ya kwenu yanawashinda
@@elizabethchabluma-zw5qz hayatuhusu lakini Mzee keshasema ukweli unaofhihirka Ili wengine wapone.. hujui Kuna kitu kinweza kuja kama kuharibu lakini kikawa fundisho kwa wenye kuumwa Ili wasiache dozi Kuna madhara kama hayo..
Maelezo yanajionyesh ndug yao sema wanamkana hapa na inaonekan yule baba hayupo sawa
Shida yule wana mkana sababu kamwaga ule ubaya ubwela kaumwaga sasa wanaona bora wamkane 😂😂😂
Sasa yule kamwaga ubwela je na mange kimambi mana yy nae katoa siri kubwa kila mtu kashangaa kua dida alikua na ukimwi kaacha kula dawa ndio mana kafa mange unamwambia nn
@@KhadijaMzurikwani mange si alisema ni ugonjwa wa moyo kwani alisema ukimwi?
Yule hakusema ni baba mmoja ila shida ni ule UBAYA UBWELA A.K.A UPUPU alio umwaga
🤣🤣🤣ubaya ubwela
Namkumbuka tena hakuongea kwa ubaya, alisema anamshukuru mjomba ake ambaye ni baba ake Dida, labda pale aliposema dida labda hakuwa anatumia dawa vzr ndicho kilichompelekea kifo
😂😂😂😂bado tuna msiba ujue
Nimaradhi tu kama maradhi mengine jamaa aliongea ukweli
𝐘𝐞𝐲 𝐚𝐥𝐢𝐬𝐞𝐦𝐚 𝐤𝐦 𝐤𝐚𝐜𝐡𝐮𝐤𝐮𝐥𝐢𝐰𝐚 𝐧 𝐁𝐚𝐛 𝐲𝐚𝐤𝐞 𝐝𝐢𝐝𝐚 𝐤𝐮𝐭𝐨𝐤 𝐤𝐢𝐣𝐢𝐣𝐢𝐧𝐢 𝐚𝐤𝐚𝐦𝐥𝐞𝐭𝐚 𝐦𝐣𝐢𝐧𝐢 𝐤𝐰𝐚𝐡𝐢𝐨 𝐤𝐚𝐬𝐞𝐦𝐚 𝐧𝐢 𝐤𝐦 𝐤𝐚𝐤 𝐲𝐚𝐤𝐞
Polenta sanq kwa msiba mungu Awape.Subra katika kipindi hiki kigumu ndugu yangu haina haja ya kuleta mtafar7ku jambo limeshapita tuseme Al hamdulillah Dawa hata za vidonda usipozitumia jibu linakuja hakunywa dawa haina haja ya mtafaruku wapendwa wangu.
Kaka uko vizuri na mungu akuzidishie imani
Jamani tutafuteni ela ili ukifa kila mtu aseme ni ndugu yako😅
Hata kama huyu ni mweusi ila kafanama na didda
Yule Mzee alieropoka ni ndugu Yao Kuna mfanano mkubwa tu .. wanamkataa wamekata wakapanga Ili kuukwepa ukweli wa Mzee 😊😊
Allah atupe mwisho mwema Aminah🤲
Alisema ni mtt wa mjomba wake! Sio kaka baba mmoja mama moja😅 yule yuko sahihi wameamua kumkana tu.
Wamemkana kwa kusema ukweli.. 😊😊
Mbona anafanana na Yule kaka
Sahihi hussein. Waislm dhambi kumweka mtu mimi baba yangu kafa sijamuona nimefika nimekutwa ameshazikwa
iyo anamkana ndugu ye. wakato wanafanana hadi sauti
Shikamoo Ukimwi 😢kama mlimpeleka Sinza Parestina Basi ni ukimwi Fangasi zimemuua
Duh so wote tunaoendaga Palestina tuna ukimwi 😮😮
Jamani nyinyi ha! Tumuwachie mungu tu
Mhhhhhhhh
Dah,wew nusu niweke na emoj ya kucheka
Kwani Palestina wanatibiwa ukimwi peke yake?
Mh uongo Kama alikuwa sio ndugu asingekuwa na udhibutu wa kusema yote hayo.kwa nnmsingemshtak tuyaache yamepita mungu ampumzishe kwa aman
Poleni kwa msiba familiar ya shaibu na majirani
Kweli maneno yako kaka
Wameamua tuu kumkanaa 😂😂😂maana yule sio chizi mpaka akurupuke
Yule kaonganisha umeme direct 😂😂😂
Pole sana hayo majamaa hayakosekani kwenye misiba hivyo usijali mungu awape utulivu
Huyu ndio kaka wakweli macho yamevimba kwa kulia😢😢
Mashaallah kaka unae,kmaa Allah awape Subirah
Alicho ongea yule na huyu hakuna tofauti ni kile kile na ikiwa hamjui amejuaje kama yule hayupo sawa?
Mtamgombania kwakuwa mama yake kaacha Mali nyingi,hapo ndio mjomba atasimamia na vinginevyo.😊
Tatizo hizo mali ndio zitaleta shida
Mali gani basi?
@@johnmichaellukindo21 hizo hizo
@@ummySheikh72 dada ummy umeshinda♥️
Jamaniiii wacheniii tunguuu wafamiria waturizeee kichwaaa kutwaaa kuwaojiiii mpakaaa wakatahaneee unduguuu tenaaa kwajiriii yenuu yureee kasemaaa nauyuuu anasemaaa akunaaa arichohongezaaa magonjwaaa ndohayooo mnatakaa ninitena
Inna lillah wainna ilayhi raajiuun ☝, Allah awapengu na Subra zaidi katika kipindi hiki kigumu.
Ŵanafanana sana...ila mtoto si maamuzi ya upande wa kiume??? Damu kwa mjomba tena???😂😂😂
Labda upande wa baba hawaku husika na malezi ya mtoto
Pole sana Husein kuondokewa na dada yako.
Sasa ao ndugu wanamkataa nini mbona yule mzee kajieleza vizur waache makasiliko bhna😂
Pia ata ukitizama kama vile wamefanana
Yan MTU hamumjui anapataje nafac ya kumuona dokta na kupewa habari za mgonjwa
MENGI TUTAYASIKIA
Alichokua nacho Dida katika mali chache Alizonazo zote zinamstahiki Binti yake.Hata wasafi wamfungulie Account na chakumpa Aekewe kwenye Account yake.Pia wamsimamie binti yake Masuala ya Elimu na ushauri pia.Ili kuepuka fitna dhulma na matatizo
Ankle kaogeya vizury sna😊😊
Kaka kama ana n'gan'gania madaraka hivi....
Kweli kbsa
Kuna mali apo
Hata mimi nimeliona hilo yule mtoto baba yake akisema anamtaka hawatokua na nguvu kisheria
Ni kwasabab ya umaarufu wake ndomana watu wanaongea wanachojua Ili kupata kiki tu
Huyu mwandishi emu akasome kwanza yani yupo ovyo sana kwenye kuuliza maswali
Alafu mwandishi wa ovyo sana et anasikiliza pembeni ndyo ana hoji kumamae
Mungu amechuma tunda lake waandishi acheni kukuza maneno tumuombee apunguziwe azabu za kaburi, sisi tulimpende mungu alimpenda zaidi.🙏
We mtangazaji nakupenda lk hilo vazi msibani nguo imebana kweli jamani kujifunza ni kifo sasa umeona fashion show
Kaka ameongea vizuri sana,haumi maneno
Lkn yule mfanyikazi wa dida boutique alisema alikuwa na dida na kaka yake dida mdogo aliomba karatasi na kalamu Sasa hiyo karatasi na kalamu aliandika nini kama sio usia jamani
Ss unataka kila kitu cha familia wakiweke mitandaoni?je ww ungeyasema yote
Sawa bos upo na kwenti
Baada yakuongea na cm dah!! Ukute aligombana na mpenz wake
Yaani ukifa naukiacha Mali ndugu wanakua wengi kufa kapuku uwone kila mtu hakujui msibawako wanasusua
Na ukifanya masihara wananyang'anya hadi mali zote za mtt
Ni ndugu yao vizuri tu wanamkataa kwakuwa katoa siri za mgonjwa
Mhuuu jamani kweli
Hapa kuna jambo MTOTO babake yupo kwanini atake jukumu kulibeba yeye sheria zipo waza mbona hapa huyu mtoto wa dida tutakuja sikia anzaaaa kumbaa kwa jamii mana watu pesa wata zipoga zote cha kufana NASIBU yamsimamie huyu mtoto kihusu pesa na mali za mamake hawa wajomba ni waku wangalia sana
Fedha Kaka anataka majukumu 😅
Kikubwa mtoto sio mdogo sana asaidiwe tu mali zisiingie kwa ndugu kwa visingizio kumlindia watamdhulumu tumeyaona mengi
Huyu mtoto miaka yote amekuwa akilelewa na mama yake na marehemu bibi yake na wajomba zake,hatuwezi jua tatizo ilikuwa Nn kwa baba yake, mengine ni mambo ya kifamilia hamna sababu ya kuyajaji sana, wenyewe watajipanga, sasa kusema mjomba ana jambo sio sawa.
Kwanza ni bora wale hao wajomba waliomlea kuliko huko kwa baba.mbona wakati mama yuko hai mbona huyo baba hata alikuwa hasikiki leo mkamkabizi mali za mama maana walizaa hiyo sio khaki.abaki kwa wajomba alikokulia@@KhadijaBunto
Kwani mama ake marehem si yupo huyo ndio mlezi wake muhimu
Dida toka kifo chamamaake hakuwa namnawala tena nahisi nimawazo yakukosa mama mpaka kapata vidonda
sasa maneno si yale yale tu sema kuvumilia
Ni yale yale kweli kabisa
Kugombania ukaka 😅😅
Huyu ndiyo kaka halali wa marehemu aliyemnyang'anya ziwa na marehemu akifatiwa na mdogo wao wa mwisho Abdallah(Dulla)
Hahahahah jamni kiherehere jamni
Asking too many personal questions while he's grieving her sister 😢😢honestly hata kama ni interview ona haya mdada
Yule nilisema hajitambui
Wewe huyo
Pole..kaka. kafanana na Marehenu ila huyu Mweusi sana..
Na mjomba Ropo hajakosea😂..alisema vidonda vilipanda mpaka bandama imeoza. Na vidonda vya tumbo vikiwa vikoshamiri hio pia inakua . Inatokkea kama cancer.
Pumzika kwa amani Dida
Jamaa wamefanana nae sana kweli ni kaka yake na dida sema kaongea ukweli ndio wanamkana
Ugomvi wa Mali za dida unaanza
Haya majitu kumbe ni meusi ada dida alijipodoa tu
Wanasemaga alikuw anatumia drip za kuw mweupe mwil mzima
Kwani kwenye familia lazima wote wawe rangi moja?basi huyo pia mrefu dida alikuwa mfupi mijitu bana fyuu
Duh 😂😂😂 bongo vitimbi haviishi
Mmesema amumjui aliend hospitali mbona sasa unasem tena bi mkubwa wenu kasem mwacheni ayupo saw asa mtu msiemfaham umejuaje ayupo saw
Ivi vidonda hupanda kichwani jamani? Mungu atusaidie
Hii pua ya dida kabisaa
Kwani shida iko wapi ?
Umekosea we kaka wa Dida ulivokataa kuwayule baba hamumjui hukutakiwa kusema alikuja hosptali
Mbona aliongea vizuri hakusema kama ndugu baba mmoja waandishi na nyie wachonganishi
Hahaha dah baba wa watu kapita na upepo
Tena wa kisulisuli
Hawa wanao coment leo ndio haohao walio coment jana au wengine kweli ukishazikwa basi
Upo sahihi kaka sisi dini yetu hatukai na maiti ukifa ni kuzikwa tu
Km sioo ndy ynu mbn anazotaarifa kmli kma zakoo
Diamond nisame ndugu yangu nilikufikilia vibaya kuendelea na show huku msiba ukiendelea kumbe uliomba asizikwe
Wamekosea sana Hawa jamaa wakat ni mfanyakaz wako
Ila ni kweli yule kaka wa kwanza anaonekana didhi limeyumba
Mmm ham a kazi mbona wote watatu mnafanana?
Mbona mtu akifa mnakua mnamambo mengi kila Moja ndugu yake waache ujinga
Yule jamaa alisema fangasi wamepanda kichwan
Kwani janaulikua wapi
Huyu ndio kaka mkubwa na jana ndio mazishi aache kumzija ndugu yake akimbilie waandishi ukiwa mkubwa kila kitu unaitwa weye
We unaweza msiba km ule kaka uhojiwe uongee au hukuwaona km wapo busy kule Muhimbili hebu acheni mambo huyo ndy Husein kaka mkubwa wa Dida
@@Shuu.AWala SIYO ukiwa MKUBWA,ndo utaulizwa,Mimi ni MDOGO kabisa kati ya watoto 10,ikitokeaga issue,Mimi ndo naulizwa mpaka chumvi ya jikoni😢
@@OfficialA83640 sasa kama hakuwepo akae kwakutulia siri zimwage
@@OfficialA83640 utajiju limekuchoma ukweli.utabakia kuwa ukweli.alicha kunywa dawa utajaza wewe apo
Ile bwana mbaya sana.Even if he's related to her. He's bad.
Si vizuri kutaja maradhi ya mtu
Kuwa kaka sio lazima muwe ndugu wa damu inategemea yule kaka walikuwa wanaishije ndani ya jamaii watu wanashilikiana hata sis mtajani tuna kaka dada hata baba ambao sio ndugu zetu ila inategemea tunaishia nao vp
Wewe binti hujajipanga kwenye mahojiano.
Kwan yule mzee kip kibaya aricho sema ni ivyo ivyo vidonda va tumbo na kuusu bia sawa na kuacha dawa iyo inatokea
Kaka wamekuwa wengi😂😂
Huyu ndo kaka yake anaitwa hussein shaibu
Pia Mimi ni shangazi 🇰🇪😂😂😂
Huyu ndo kakayake tumbo moja
Unamkana ndugu yenu kwa kusema ukweli?????ww Huna akili
Ndugu sio lazima kuzaliwa nae
mmh mbona huyu ndo kama kanjanja
Sasa kwani nyie waandishi wa habari huwa hamjiongezi kuuliza kama ni ndugu yake mkarusha hewani.
YULE MZEE ALIKUJA KUTAFUTA. UGALI KWA DIAMOND. NDIO AKAROPOKWA SAAANA KWA KUMTETEA NA KU WA CHAWA WA DIAMOND TUU BAAS
Wewe mtangazaji mbona unamaswali yakimbea
Uchawi uyo na mama Yao mkubwa ndo anawamaliza kala mdogo wake wa Zanzibar na watoto wake wa 7 mhuu
Hee makubwa
Uyo dada si muigizaji uyo,,,aliekti na mlela
Hata mimi kama namfananisha. Yule machepeleee
Ghafla dida alipogundua mamkubwa wake ndo anaemaliza familia akawa amempa mamkubwa makavu ila mamkubwa alimwambia subiri
Jamani?Ila na yeye iko cku atakufa tu
Wewe una uhakika na unachoongea?
Hata ukiwatazama sura unaona kabisa ni ndugu ila mwamba aliharibu ndo maana wana m'petro😂
Siyo ndigu yake kaka yake wa kweli hawezi kuongea hivyo
Mepata neno "m'petro"
Sio kumkana ni kumpetro kumbe😅😅
Ww Kaka Mungu anakuon ety Wana m'petro
Dullasultan 😂😂😂😂😂😂shikamooo et wamempetro
Mnatuchanganya
Poor interview.
Ukiwi na izi dozi zetu unakatika tu
Waandishi nao wamezdi kilamtu kumuhoji wengine dishi inayumba ndomana kabwabwaja
Kabisaaa na wala hawajifunzi
Mtu aongee vile afu mseme ety ni uongoo mmmh mna shakaa
Hakika yule kaka fake apana anatafuta umaarufu kakaentu umeachiwa hiyo ni Amana Allah akupe busara na hekma umlee bint kwa wema
Jamania damu mazito kuliko majia huyo kaka nibro tu wake marehemu mungu ajuwa zaidi