Hofu ya mlima wa Manga ilioko Kisii
Вставка
- Опубліковано 20 тра 2024
- Makumi Ya Watu Wanaoishi Chini Ya Mlima Manga Kaunti Ya Kisii Wanaishi Kwa Hofu Kufuatia Mvua Inayoendelea Kusababisha Maporomoko Ya Mawe Katika Eneo Hilo. Wakaazi Sasa Wanataka Serikali Kuweka Juhudi Za Kuokoa Hali Kabla Ya Maafa Kutokea. Na Kama Anavyoripoti Chrispine Otieno, Mlima Huo Wa Manga Una Historia Kubwa Ya Jamii Ya Abagusii.
Sijawai cheka shida lakini hii nimecheka weh 😅😅😅ati kapiga nduru kama Punduki 🔫😂😂
Waja ufala😂😂😂
Sasa mnangojea serikali na hii ni Mali yenu,si muhame kwani ni kila mtu awekelee serikali mzigo kila mala,ama munataka mlima ihamishwe
😂😂😂😂
😂Eeh wakuje wahamishe mlima
Watoe mlima kwao😂😂😂😂
😂😂😂😂 Kenyans
So kijiji kizima chaeza kuja kwenu kuishi bila serikali kuambiwa???wapee pa kuenda basi
Chameni mawe napiga nduru kapisa kama punduki....ghai!!God mercies
Simuangalie penye mnaweza kuhamia ama mnataka aje jamani uhai ni kitu mhimu sana
Wapee mahali pa kuenda hawana shida na kuhama
Ngaangalia ngaigwa 😂 😂 😂 my grandmother..be safe
😂😂😂😂ngaiwa mawe inapiga nduru
😂😂😂😂
Si mnajua vile serikali hutoa watu,ni kubomolewa manyumba
😂😂😂😂nduru kama bunduki
lakini wakisii....is it a must mungoje serikli ikuje kuwatoa surely?
Aki
Niwapi unajua Kuna no body's land uwaambie wahamie huko?
Exactly they're old enough to decide where to go siyo mpaka serikali iwape decision
Milima kitambo ilikuwa pahali takatifu kuombea mungu. Nowadays like ngong hills imejaa condoms, na watu kufanyia ngono .😂😂😂
Ambieni kindiki na osoro president wenyu ako usa anapewa pesa kuenda kupeleka vijana wake haiti
Si wahame Tu!!
Ulisikia wapi msaada Hama kwa usalama wenu serikali ni baadae.maisha niyako kusuia ikingojea msaada.
God's good all the time to get family
Mmmh tanakali za sauti, piga nduru kama punduki
The funny thing they are aware...and waiting 😂😂😂😂
Ngojea msaada kutoka kwa osoro atakupea
Hahaha
Mnagojea serekali saidia
Lake Okari, that formed under similar conditions as Simbi Nyaima in Homa Bay, is located where local resident's house stood before sinking. It's a stone throw away from the precipice that is reported to be falling apart.
It's a national calamity-in-waiting that affects a large population of indigenous community. They need to be relocated
Home place
Ngaskia tulu kupwa 😂 but I love our distinct
Wanifunja bavu zangu yaani nimecheka mpaka watu wakaniangalia yaani umeniongezea siku
😂😂😂😂
😂😂😂
Our home.
Weeee mawe kupiga nduru kama punduki ni makooshaaaaa na nkaankaria nkaigu makoshaaaa sana sana mawe na nduru za punduki ni makoshaaaa😂😂😂😂😂😂
You're there telling them wapewe mahali ya kuhama hawana shida na kuhama na huku unawacheka 😏🙄
Hahaha ati ngangalia nkaigwa😂😂😂
Shenzi kabisa relocat to safe places
Sasa mnataka wahame,okay.Nawanahamia wapi exactly😊
Hapo ni nyumbani wacha Mungu alinde watu wake aki...
Eti mungu awalide?huoni wanafaa kuondoka
Home Ni side gani?
Kila kitu serekali...just vacate to another place
Kama wanadamu tumaini lao limefika mwisho
Mungu Ako mbinguni sio milimani
Ni ukweli vile huyo mzee amesema wapate msaada mapema Bado wakiwa hai,wasisubiri mabaya itendeke ndio msaada iwafikie.....Mungu awalinde na awatende mema
Mnangoja serikali iwatoe ndio muone ni serious
Government will wait for people to vacate and embezzle emergency funds
Redcross inakuja kutoa mawe yenye inapiga nduru kama bunduki
😂😂😂😂
😂😂
Nani anafaa kuondoka, ni mlima ama ni watu?
Hiyo mlima Manga Mr muongo tuaristi Ruto zakayo atakujia achenge affordable housing msijali kama hamtaki kuhama
Silly
Let them vacate the place
Cameraman pia nikama hataki tuone iyo mawe imedunda vifiti
Swali ni si kwa ubaya but .. mnataka aje? Government uwabebe kwa mugongo iwatoe hapo? In Kenya we don’t have a government, so if you waiting for government to help you you will wait till the kingdom come. Jitoeni sasa ivi mko uhai msingoje tukuje tuwatoe mkiwa maiti
Hahaha
Actually this is not news, 😂😂
So your intentions is be given food wake up and stop this ujinga
Si mnajua vile serikali hutoa watu,ni kubomolewa manyumba
Si mnajua vile serikali hutoa watu,ni kubomolewa manyumba
Si mnajua vile serikali hutoa watu,ni kubomolewa manyumba