Hayo yalikuwa maneno bila vitendo hayana mshiko kbsa coz rais uhuru alitukanwa sana wakati wa uongozi wake mpka mamake pia lkni hatukuona akitumana maaskari kwenda kulawiti watu joho alikua mmoja wawalio tukana uhuru mbne uhuru hakutuma watu wakafanyie kitendo ambacho huyu Bruce amefanyiwa
Eehh kwani Ana wazimu uyu ata alike kutukana mzazi wa mtu tena kwa mirandao hata ningrkua na uwezo ningemkata kichwa mm kama kuna kitu charisma ni kunitukania mamaangu weeeee
He speaking the truth the maziwa lala Governor 🤔 has done nothing for mombasa...by sayings Ji kaze kabla huja kazwa...means that do what u suppose to do as ur duty before someone else does ur duty....he spoken nothing wrong
Huyu kijana anatumika vibaya na wanasiasa,ajichunge,bado mchanga,aangalie future yake, kiongozi,mradi ako uongozini,sharti aheshimiwe,kama huridhishwi na uongozi wake,tumia mbinu za hikma kumwondoa,utaratibu upo. Walomlawiti walikosea lakini yeye naye kamkosea zaidi gavana, kiongozi hakaripiwi kwa maneno makali.
Mimi kitu najiuliza kila siku kwa uchungu gani huyu kijana mpaka amtukane governor..kama angetukaniwa wazazi wake hapo angelipiza kwa uchungu lakn kumbe ujitie kwenye shida kwa kumpigania mtu mwenye hata baiskeli hajakununulia wamtetea ati..tetea wazazi wako bro ona sasa aibu ya kilimwengu imekupata pole lakn mungu ndio hakimu
Uyu ni mpumbavu ajui wanasiasa ni wamoja angalie tu vita vya ruto na joho ebu niajiulize saa hii ruto na joho wako wapi wajinga ni walio kosana kisa ni hawa
True hakistahili na pia kutukaba mtu kupita kiasi pia sio vizuri BT angemchukulia hatua akaenda kii serekali sio kumfanyia unyama kiasi hicho 😢😢hapo siezi kubaliana coz kutukana tukana mm naona mombasa ni school yao…
Ruto na Raila wanatukanana lakini hujaskia Ruto ama Raila akitukana Mama ama mke,,,huyu ametukana Mama na mke wa mtu,,Hakuna kitu itakua kwa Abduswamad ni Governor 2027
Sheria kwani alitumwa na kwa nini atoe matusi tena kumtusi mzazi mm pia angetukana mzazi wangu ningekua na uwezo ningemuuwa hasa mbona kutoka mwanzo ao wanao mtetea mbona awakumwambia hivi sivyo yuachukua mifano ya wafodi yeye maskini mlala hoi acheni na wanasiasa uyu mwisho ataoatwa smekauka sura ngumu kama naisha yangu
Hii ni disrespect ya viongozi. Na nani ako na uhakika gavana ndio yuahuskia
SubhanAllah weee kumekuchaaa 001 ata sina usemi ALLAH atuongoze jamani 🤔
Ameen
Ji kaze kabla huja kazwa...ni msemo tu, sio kusema ati uta kazwa nyuma..
Yes Kaka,kukazwa Ina maana mengi sio kulawitiwa
Ishara inatuonyesha alicho maanisha😀😀
Kulawitiwa ni kuingiwa kwa nguvu bila ridhaa yake mhusika na kukazwa yategemea ilivyotamkwa
Kweli
Hayo yalikuwa maneno bila vitendo hayana mshiko kbsa coz rais uhuru alitukanwa sana wakati wa uongozi wake mpka mamake pia lkni hatukuona akitumana maaskari kwenda kulawiti watu joho alikua mmoja wawalio tukana uhuru mbne uhuru hakutuma watu wakafanyie kitendo ambacho huyu Bruce amefanyiwa
Eehh kwani Ana wazimu uyu ata alike kutukana mzazi wa mtu tena kwa mirandao hata ningrkua na uwezo ningemkata kichwa mm kama kuna kitu charisma ni kunitukania mamaangu weeeee
@@AtifaIslam-t6g😢😢
Uyu nae yualitaka
Kutukana kina mama hapo sio mzuri kabisa...lakini labda Maziwa lala Governor alifanya kitu ajili Bruce alim tukana..kwani Bruce ni Maziwa
Govener aane yy kutukwanwa bt kiongoz yoyte yuatkanwa moi,kibaki kiyetta uhuru hta ruto pia walituka so alivyo Fanya sio poa angepeleka kotini ingeelewejka bt sio kitendo hicho govener amekosea
But tuna uhakika gani kama gavana ahusika kutuma watu wakamfanyie icho kitendo? Kama alituma watu basi alikosea pakubwa sana
Yeye mwenyewe anamuambia governor ajikaze kabla hajakazwa na kutakana mama yake na mke wake.Yaani umvalishe Diraa na arembue macho, Duuh.
Uyu kazi anayo bado
Mimi naona wote wanamakosa ruto ametukanwa marangap..alicho kifanya gavana alienda kinyume na sheria..angemshika sheria ikafata mkondo wake😮
Lakini jamani hatuna surety kama gavana ndio katuma watu wamfanye alivyofanyiwa siasa izi
KG, I really appreciate you for sharing this, May God bless you, brother 🙏
Ameen 🙏🏾
😂Hahaha huyu anastahili kukwangurwa tena
😀😂
kakazwa yy sasa hata km ni mitandao lkn yafaa achague maneno ya kuongelea ashukuru bd ako hai aombe sn
He speaking the truth the maziwa lala Governor 🤔 has done nothing for mombasa...by sayings Ji kaze kabla huja kazwa...means that do what u suppose to do as ur duty before someone else does ur duty....he spoken nothing wrong
Weeeeeee😂😂🤣🤣😀😀tumezaliea Mombasa Kisauni jikaze mtoto wa kiume kabla hujakazwa we understand what it means buana😂😀
Alifanya vibaya kumtukana Abdulswamad but alipata funzo hato vifanya tena
Japo c o njia nzuri yakupewa funzo😌
Mm mniregeshe enzi za analog hii digital imeharibu mambo 😢
Wee hayo ni mapkubwa kg asate sana kwa kazi nzuri kabisa keep it up
hii digital iko na mambo kweli haize
Huyu kijana anatumika vibaya na wanasiasa,ajichunge,bado mchanga,aangalie future yake, kiongozi,mradi ako uongozini,sharti aheshimiwe,kama huridhishwi na uongozi wake,tumia mbinu za hikma kumwondoa,utaratibu upo. Walomlawiti walikosea lakini yeye naye kamkosea zaidi gavana, kiongozi hakaripiwi kwa maneno makali.
Anashinda na untouchable,vita vya ndovu waachie wenyewe ndovu..hayo ndio matokeo kujidhalilisha mwenye...
😢
This video was so sad justice for this blogger
Came back after 30mins please uone kinacho jiri🥹🥹
@@kgchippy am in
Mimi kitu najiuliza kila siku kwa uchungu gani huyu kijana mpaka amtukane governor..kama angetukaniwa wazazi wake hapo angelipiza kwa uchungu lakn kumbe ujitie kwenye shida kwa kumpigania mtu mwenye hata baiskeli hajakununulia wamtetea ati..tetea wazazi wako bro ona sasa aibu ya kilimwengu imekupata pole lakn mungu ndio hakimu
Uyu ni mpumbavu ajui wanasiasa ni wamoja angalie tu vita vya ruto na joho ebu niajiulize saa hii ruto na joho wako wapi wajinga ni walio kosana kisa ni hawa
Ata kama,,...lkn njia aliyoitumia governor sio sahihi ,,niunyama sana
Jamaa ni msenge
Dalili😌
Htka chipande ziko adhabu lkn sio adhabu iyo vaa,viatu vyake angekua kkako ugesikiaje bladi wJisahau ww nimwanaume xwa
Sasa umekazwa wewe mbona walia sasa mkundu wazi yuastahili alikua yuatetea mtu ambae yujo kazini yeye sura ya njaa
Uyu akatafute kazi sas alicho kitaka amekipata haha dera swished yeye matako wazi shenziii
True hakistahili na pia kutukaba mtu kupita kiasi pia sio vizuri BT angemchukulia hatua akaenda kii serekali sio kumfanyia unyama kiasi hicho 😢😢hapo siezi kubaliana coz kutukana tukana mm naona mombasa ni school yao…
Huyo Bruce alitia blanda kutukana,lakini ni funzo kwa wengine
Kabisaaa 😢😢
Ruto na Raila wanatukanana lakini hujaskia Ruto ama Raila akitukana Mama ama mke,,,huyu ametukana Mama na mke wa mtu,,Hakuna kitu itakua kwa Abduswamad ni Governor 2027
Mwana kulitka mwana kulipata ..aya ushafunguliwa
Uyu ni kama taari alkua wazi😢😢
Huyu mshitakiwa namba mbili Abdulswamad anafaakushitakiwa kwa kuchukua maamuzi kwa mikono yake nahuyu anafaa kushitakiwa kwamatusi wote wanamakosa
Akuna venye watafanya kuusu gavana ni kelele tu kwani wangapi washafanya vitu na poa tu serikali ni serikali bora waache iyo story tu kwakweli
Kwani kg bro naona Kama umekua ukimtetea gavana,sababu hayo maneno kwanini unayaleta Sasa broo
Hyu kijana ndie ale na makosa
😢😢
Tunakubali kijana ana makosa lkn mbona governor amfanyie hivyo, Sheria anaijua
Wewe wapendelea viongozi hutukanwa sana hata ruto hutukanwa
Ndio maana ukatombwa fala wewe
😂😂😂😂😂
Huyu mbona anaongea kama shoga hawakukosea
Dalili zasema taari kafunguliwa😢😢
Umekosa wewe sio uwanaume wa kutukana mama wa watu
Plus bibi😢😢
Mwiba wakujitakia..wacha aumie
😢😢
Uyu kweli ni choko anavo ongea tu jmn
Sisi tunataka kujua adabu ya kosa hilo ninn?
Ahhh Sasa amesha tobwa ni msenge tu huyu
Huyu jamaa anatafuta lawama kwa gavana bure
Ila kwa kukazwa sio poa
Huyo ni msenge kijana
Huyu jamaa hana adabu
Kama katuna kwani hakuna sheria za kumchukulia? Kufirwa ndio unaona sawa?
Sheria kwani alitumwa na kwa nini atoe matusi tena kumtusi mzazi mm pia angetukana mzazi wangu ningekua na uwezo ningemuuwa hasa mbona kutoka mwanzo ao wanao mtetea mbona awakumwambia hivi sivyo yuachukua mifano ya wafodi yeye maskini mlala hoi acheni na wanasiasa uyu mwisho ataoatwa smekauka sura ngumu kama naisha yangu
Waaah
Noma😢
Mwakirunge kiboko take
😂😂😂Mwakirunge ndio kusema🎉🎉🎉