UJINGA UMASKINI NA MAGONJWA NIMAPACHA
Вставка
- Опубліковано 26 вер 2024
- #GRC kwa mzee wa upako (Athony Lusekelo)
Follow our Social Media:
FB: / mzeewaupakotzz
IG: / mzeewaupako_tz
TIKTOK: / mzee__wa__upako
Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za UA-cam Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.
Ni kitu gani kitakachotutenga na upendo wa kristo?je dhiki,njaa,au upanga.Siwezi kumuacha Yesu harafu nifuate imani za majini
Mzee jua linazama tena mm naamini ww msomi na unajua yesu sio mungu silimu mzee kabla hujafa huna njaa mzee ukoka ukiristo sio dini ya kwel ila ushaur wa bure tu