Be careful let it be a lesson. Kuna Fisi au pastor mwitu. Hizi ni siku za mwisho shetani Ako kazini. Pray before you get into a relationship don't go in blindly. God speaks but we do not perceive he speaks through dreams, visions circumstances etc. Don't ever be desperate to please a Man 🙏. .
I really learned a very big lesson one day I was almost to be conned apo kwetu Ruiru in the name of God,mm sai wacha nijitume kwa Mungu anifichulie asitumane aki,alafu Huwa wanatyme wakati mtu Ako deep in spirit,thank God hakumanange.
Hawa watu wa kanisa ndo wabaya,,, bt Imagne hyu dame angemjua vle alianza kuitishwa pesa,, coz our parents teach as a lot on marriage and money is not payed by us girls
I love how wambu you always advise people..there is one pastor who told me that he had a message for me but some few day before that day I had a dream that related to that man but from there onward I have been very careful with all people because it seems there is no one that can be trusted.
A close friend of mine was in a similar situation. And she insisted on the relationship until ruracio day. We tried to warn her over & over lakini wapi. For dowry payment, her dad was given a cheque which bounced later. By that time, she had funded this man until he started his business & stabilised it.
My pressure Is going up while listening to this story,, Yani watu wa gulf wen will u learn NOT to send money to this online boyfriends?? Yani mtu akona audacity ya kufika kenya kama umeenda direct to someone u met online n spend ur hard earned money with him???? Aki hii pesa ya gulf venye tunaitafuta na uchungu
Hee hiyo ni kama uchawi ama hiyo ni nini aki Jesus Christ online scammers na imagine anaacha kazi c ata agekua muuaji agepona kweli 😏😏 kwa room na mtu hajui sielewi 😏
Msee ametembea hizo diffrent gulf countries na huna exposure,experience n online all these stories are all over 🤦♀️wee wina kanyama ukwenda “man of God” ta ucio utige urimu nkt
Huyo pastor nimeona ametajwa sana,please ladies in gulf,may God grant you discernment,then kuweni wachoyo na pesa zenyu ata tithes,save God will understand.350k na riua rere,take heart gal.❤
My sister let's agree you were so desperate for this man, he showed you his character from the word go, I don't understand how a man will divert my future plans niache job anoie na ananikopa pesa, wueh! may God restore you, its 😭
Thank you for sharing your story so that we can learn from it however, you has no one to blame but yourself… Not juju, not the devil, and not the power he got from Nigeria not even the so called pastor Sam ……. It’s YOU, YOURSELF.
The real meaning of ""Being Brainwashed"" ladies ni vizuri kujipenda 🥰 Put yourself first always na pia ni vizuri kusema No where necessary,,,how can a guy be driving you crazy with burdens mpaka unasahau wazazi na familia yako,,,,,This is a lesson to us🙏
Praying to God for the best is key...a con is a con whether they are far away or there with you ...haujawahi skia mtu anaconiwa na mtu wanalala kitanda moja...hapo ni God tu o
I can't even finish this story cz it's annnoying!! I donno what happens to us women when we are in love...hatutumii Akili!!! huyu dame ametumiwa Live...na haoni?? 😢😮😢😮😢😅😢😮😢
Red flags zlikua mob ukaignore Khaii... Mapenzi ya online arafu Mtu anakuitisha pesa it's a scam kabisaa..Ata ukirudi don't share your money na stranger atafute zake bcoz at end pesa ikiisha nihivyo
Waah be desperate for love is a curse. Mm hii pesa ya uchungu nipatie mwanaume sijui weeh siwezi wacha nikae single hainiumi .mrembo jipende na stop being pressured by marriage take your time imagine kaa ulipatana na wauaji hungeruka be careful being single doesn't hurt pliz
Ladies let us be prayerful and ask God for discernment bcoz like this lady the red Flag was on the first time she started talking to him, already the Man was a😂 gay,...but thru ignorance she end up taking all the responsibilities, she was blinded bcoz of so called love. Imagine getting a such good job with a good saraly even being added another saraly. May God help us to put Him in front of everything.😂
Si kwa umbaya but how mtu akwambie ukuje haraka n yet hakutumii fare, plus gift ya your mom akwambie usimpatie ukijua nani kama mama, any mnabembwa ujinga na wanaume, think twice before doing, coz tym uliona anakuitisha ndio ungemblock na 80 padlocks na umsahau.
Imagine heri hyo doh ijisaidie na mum/siblings.hzo countries ameenda na Ako hapa Sasa wah kuabiwa aongezwe hyo salary yote na bado akakataa.God bringing blessings in your door& you refuse to refuse them🥺
Mimi as a daughter of gikuyu na mumbi the okuyu in me ichose not to disclose my financial status to any one be it who. Alafu tena before mtu ani con atazunguka and at the end hatafaulu ..ladies bana wacheni kua desperado design ata unajisahao kaeni rada nikubaya ...wallai hii story inanikulisha moto sijui ni kwanini😬😬
Sasa hii 30k huwa mnagawa aje na yangu huwa ata haitoshi 😭💔😭💔, I have lost money but through family and it hurt me so much ,but again the desperation of trusting an online lover and giving him all your earning mm hainimakiii sense ,let's have sense women hii gulf ni very hard jameni 🤦🤦🤦🤦Sammy is a con but u are unwise ....
To every other person going to work in the middle east, please be cautious. Huku nje kuna wezi hatari sana. They dupe you and eat your money without caring.
Wueh!!! What kind of love was that unatoka gulf unkuja direct kwa mtu hujui that was cheap..ungekam kwaza mjuane zaidi Hadi mpimwe the minute he asked you to pay for your own clothes that was red flag and I think alikua anataka kujua kaa uko na pesa with you.pole lakini next time be smart
Uyu ona maheni enamo, ati niamuhenirie bururi uria araruta wira kai ari kirimu, tondu nie uria njue angikorwo niamuhuragira thimu namba yathimu nonginya ikorwo na code namba naniho mundubamenyaga kuria mundu ari
Kuna mtu ametagg huyo pastor Sammy kwa comment section, anaitwa Sammy Mwiti kanisa ni Shiners Hope Ministry, mimi huyo hadi kwa page yake kutuma salamu kufika huko sijapata mtu ametuma salamu😂😂😂 nikasema wacha niheshimu mafuta😂😂😂
I guess ni watu hawajafikiwa na ujumbe jesus erased the curtain now you directly reach out to God through him without using any means.juu vituko watu huonyeshwa before they come crawling back to God this time directly weuh ni moto.
I can't even finish the story...gal umesoma na I wonder how you couldn't even see the red flags...si kwa ubaya lakini ulikuwa mjinga sana....how can you choose a man over your family members and especially your lovely mum...don't even say its devil...hii ni ujinga yako...good thing umejifunika uso.coz ya aibu...online swindlers are all over to desperate gals like you
Kwani hao wanaume huwaitisha pesa muwezi wa block mm zangu akuna mtu atawai kula unless watoto wangu na wazazi hii kuchoka yote alf mtu ni mtumie pesa yangu ati juu atanioa NEVER
Mnajiabisha kila mahali kwa kutotumia akili then shifting the blame to a person who did nothing but spot an opportunity to feed their greedy self and grabbed it!! Gullible people everywhere. I'd cover my head in shame if I was such a dunder head!!😂😂😂😂
I was conned 820 know in 2021 and another 1.2M last yr me Ata sisemi kitu only God knows But God has řestored me n now I'm un connable n I've learnt serious lessons
Act 8:14-24, hi people, if you have ever offered money to get anointing, offered to be blessed, offered to get water, any offering in exchange of anything including delivarance, you are cursed by God. God's gifts are never bought, and preachers will never tell you, because they aren't servants of God, but business oriented people. That's why Christians suffer more than non Christians.
If a man keep on asking for financial favours especially during dating, run!! RUN!!!
Sure nigutee
Even in women,I believe dating someone does not involve transferring all her financial burdens to my burden
Should be vice-versa dating someone doesn't mean you play a father figure to a lady's need unless you have an agreement in place
@@kinuthiakinuthia2000 wee stop being stingy 😅😅 don't act as a father figure but you should act like a husband
@@جانستاالشهراني When it comes to marriage thats a different scenario and i believe a man has to step up and fulfill his responsibilities as a husband
If you live alife without focus n targets conmen will always take advantage of you.
Very true
Do not trust anyone apart from yourself
Please Ladies kaa uko gulf acheni mapenzi ya online tena nowadays pastors ni fake
Wakiambiwa hawaskii . 🤔🤔
@@Truthfulmen_women aki walai mimi siezi
Wacha online mimi ath face to face sitaki mapenzi akh 💔😥
Hawa watu wa gulf hawaskiangi
Ukweli kabisa mm nikipata mtu ananitisha pesa na kuweka chini
We need to seek the face of God and have a personal relationship with God the author of wisdom. Our young girls need a lot of mentorship.
Very true.
Aki its so sad that those hardworking ladies are blinded by love so easily and end up conned everything.
Be careful let it be a lesson. Kuna Fisi au pastor mwitu. Hizi ni siku za mwisho shetani Ako kazini. Pray before you get into a relationship don't go in blindly. God speaks but we do not perceive he speaks through dreams, visions circumstances etc. Don't ever be desperate to please a Man 🙏. .
WanUme ni wezi sàna
😊
I really learned a very big lesson one day I was almost to be conned apo kwetu Ruiru in the name of God,mm sai wacha nijitume kwa Mungu anifichulie asitumane aki,alafu Huwa wanatyme wakati mtu Ako deep in spirit,thank God hakumanange.
Hawa watu wa kanisa ndo wabaya,,, bt Imagne hyu dame angemjua vle alianza kuitishwa pesa,, coz our parents teach as a lot on marriage and money is not payed by us girls
I love how wambu you always advise people..there is one pastor who told me that he had a message for me but some few day before that day I had a dream that related to that man but from there onward I have been very careful with all people because it seems there is no one that can be trusted.
Trust only yourself and those in morgues.
Wooiiye atakama ni kutaka kuolewa. This is dangerous.
The red flags were in CAPITAL LETTERS AIIIIIIISH😢😢😢😢 WE NAWE
Aki dio nashidwa 🙆 unawezaje kupatana na mtu Facebook na akufaye uwache kazi aiiii haiya maajabu , mwathani 🙄🙄🙄 razima atumie akili ☝️
Ntakúrita ati ndúguthii kwanyu b4..Who does that unafuata stranger aki
HIZO HATA NI RED DUVET😔😔🤭🤭
Kabisaaa
Ati sio mamako amekuita weuh
Red flag, guy kuomba omba dame pesa na hata are not yet married.
He's the one supposed to shower the lady with gifts not vise versa..
A close friend of mine was in a similar situation. And she insisted on the relationship until ruracio day. We tried to warn her over & over lakini wapi. For dowry payment, her dad was given a cheque which bounced later. By that time, she had funded this man until he started his business & stabilised it.
Leo sina maoni 😢😢Girls look after your hard earned money...some men are worse than prostitutes.😢😢😢😢
My pressure Is going up while listening to this story,, Yani watu wa gulf wen will u learn NOT to send money to this online boyfriends?? Yani mtu akona audacity ya kufika kenya kama umeenda direct to someone u met online n spend ur hard earned money with him????
Aki hii pesa ya gulf venye tunaitafuta na uchungu
Hee hiyo ni kama uchawi ama hiyo ni nini aki Jesus Christ online scammers na imagine anaacha kazi c ata agekua muuaji agepona kweli 😏😏 kwa room na mtu hajui sielewi 😏
I pity this lady...how do you spend your hard earned money to an online stranger and to make it worse unaingia kwa taxi😮😮unaenda intro😂😂
Kuharibu sana ye ndie anajilipia adi taxi🙄🙄 hii story inanijamisha sana
We need to stop calling thieves and scammers pastors, they are wachawi.
Msee ametembea hizo diffrent gulf countries na huna exposure,experience n online all these stories are all over 🤦♀️wee wina kanyama ukwenda “man of God” ta ucio utige urimu nkt
Huyo pastor nimeona ametajwa sana,please ladies in gulf,may God grant you discernment,then kuweni wachoyo na pesa zenyu ata tithes,save God will understand.350k na riua rere,take heart gal.❤
Me ningetaka kumjua sana
My sister let's agree you were so desperate for this man, he showed you his character from the word go, I don't understand how a man will divert my future plans niache job anoie na ananikopa pesa, wueh! may God restore you, its 😭
The kind of generosity you had for this man was excessive and unnecessary. I hope you have learnt your lesson. Thank you for sharing your story.
If a man keep asking Yu to support him wt yr money ad you're not yet married to him,"""Run, run"""like mùrife.
Yeah múrife run run kwanza stranger Akiaooo
Even married man I can't send money to him ,he can ask you money and he married to a another lady
@@marykariuki7529 My self ican only send pesa ya watoto nasiati ntumie mwanaume
Thank you for sharing your story so that we can learn from it however, you has no one to blame but yourself…
Not juju, not the devil, and not the power he got from Nigeria not even the so called pastor Sam …….
It’s YOU, YOURSELF.
Truest, she's so stupid
Pole but wambui u can advice her to go for deliverance if true he has spirit from Nigeria. Dio maisha yake isiwe complicated
Yaani when you came back to Kenya the only thing you talked about , was about your money ...heeeh mama kanisa ulikua umefungwa macho
The real meaning of ""Being Brainwashed"" ladies ni vizuri kujipenda 🥰 Put yourself first always na pia ni vizuri kusema No where necessary,,,how can a guy be driving you crazy with burdens mpaka unasahau wazazi na familia yako,,,,,This is a lesson to us🙏
Very true wambo,nyeki ya jaa niyo iririyagwo riu 😊. Take courage my sister and very sorry for what happened 💕
Watching from Mars, you Kenyans are funny people 😅😂
😂😂😂
Alaaa ww n mzungu
Praying to God for the best is key...a con is a con whether they are far away or there with you ...haujawahi skia mtu anaconiwa na mtu wanalala kitanda moja...hapo ni God tu o
It is extremely hard to sympathize with these Gulf and Middle East Countries. Extremely hard. How now again?
Ati noorage mundu wakumuhitha maundu 🤔🤔na bado mkaendelea na safari , isorite
Can you imgn aki...😡😡
Ngai
I can't even finish this story cz it's annnoying!! I donno what happens to us women when we are in love...hatutumii Akili!!!
huyu dame ametumiwa Live...na haoni?? 😢😮😢😮😢😅😢😮😢
AKI AM Soo angry ati Edie broti iria aguriire nyina Khai....
Kwa nini alijifunika na hana makosa😊? Anyway red flags after r flags 😮😮😮😢pole lakini
Red flags zlikua mob ukaignore Khaii... Mapenzi ya online arafu Mtu anakuitisha pesa it's a scam kabisaa..Ata ukirudi don't share your money na stranger atafute zake bcoz at end pesa ikiisha nihivyo
Waah!! 🤔 How is this kind of greenness possible? . 🙆🏿♀️
This lady very innocent n good hearted. May God fight for her
Waah be desperate for love is a curse. Mm hii pesa ya uchungu nipatie mwanaume sijui weeh siwezi wacha nikae single hainiumi .mrembo jipende na stop being pressured by marriage take your time imagine kaa ulipatana na wauaji hungeruka be careful being single doesn't hurt pliz
Haki ndio maana watu wanauliwa kama kuku...unaenza aje enda mbali hivo nani kwa mtu hujui....waah mungu tushaindie haki...
Anika that con!
Ladies we need to prioritize our selves! Plus marriage is not an achievement! Tujijenge kwanza
No to sending money to men.
we want to know him
Sure
anaitwa Douglas Kanja ni wa Naivasha but ako na ofisi nature. a criminal yet anakuaga na bible 24/7
si kwa ubaya lakini hizi red flags zote,, why baby girl hey ata kama ngai
So many red flags but hakuona she was very much desperate for marriage.
He is Sammy Mwiiti ,that he call himself pastor. I was almost to get to the trap ..His home is mikinduri ...ladies wamepitishwa na huyo jamaaa ...
Shiners Ministry..ladies pliz take care over this guy .
Ladies let us be prayerful and ask God for discernment bcoz like this lady the red Flag was on the first time she started talking to him, already the Man was a😂 gay,...but thru ignorance she end up taking all the responsibilities, she was blinded bcoz of so called love. Imagine getting a such good job with a good saraly even being added another saraly. May God help us to put Him in front of everything.😂
Take home was you relaxed so much in prayers, if you want to get married involve God continually, he will unmask him before you fall into that trap
Si kwa umbaya but how mtu akwambie ukuje haraka n yet hakutumii fare, plus gift ya your mom akwambie usimpatie ukijua nani kama mama, any mnabembwa ujinga na wanaume, think twice before doing, coz tym uliona anakuitisha ndio ungemblock na 80 padlocks na umsahau.
Imagine heri hyo doh ijisaidie na mum/siblings.hzo countries ameenda na Ako hapa Sasa wah kuabiwa aongezwe hyo salary yote na bado akakataa.God bringing blessings in your door& you refuse to refuse them🥺
I don't know why I don't trust those who cover themselves on set...???? Anyway
Already here watching
Mimi nilisema nanitarudia tena, mwanaume mwenye naweza pea pesa ni my brother ama my dad, end of the story.
Ohh poor girl you were conned this easily hata kama ni pastor you need to think twice.The world is surely ending.
It's called love blind. Online dating doesn't end well. A lesson well learned.
Take care when talking to those men called themselves man of God
Kweri love is blind. unapumbazwa openly na hauoni? Pole sana
She is still young arundi tu gulf
Mimi as a daughter of gikuyu na mumbi the okuyu in me ichose not to disclose my financial status to any one be it who. Alafu tena before mtu ani con atazunguka and at the end hatafaulu ..ladies bana wacheni kua desperado design ata unajisahao kaeni rada nikubaya ...wallai hii story inanikulisha moto sijui ni kwanini😬😬
Sasa hii 30k huwa mnagawa aje na yangu huwa ata haitoshi 😭💔😭💔, I have lost money but through family and it hurt me so much ,but again the desperation of trusting an online lover and giving him all your earning mm hainimakiii sense ,let's have sense women hii gulf ni very hard jameni 🤦🤦🤦🤦Sammy is a con but u are unwise ....
To every other person going to work in the middle east, please be cautious. Huku nje kuna wezi hatari sana. They dupe you and eat your money without caring.
Nice job wambui kuhenio na online wasichana muache plz
Red flags were all over infact hio ilikua red duvet..ungejitoa easily sana.move on you have a bright future..
Beautiful, pretty and shining as always.
Yes, especially the TSHIRT! That logo reminds me of..........🤫🤫🤫
Uyu nayeye akona kasoro😏😏. Izo redflags zote and she's still pushing on kwani alikua desperate aje
How can you trust a stranger na mpaka unaingia kwa taxi na yy na angekugeuka akunyonge...weee....ino thii ii maundu na hii..kawari muthiororee
That man he was living with was the"wife"!
What is the use of such a story if the criminal cannot be apprehended? Why share?
Wueh!!! What kind of love was that unatoka gulf unkuja direct kwa mtu hujui that was cheap..ungekam kwaza mjuane zaidi Hadi mpimwe the minute he asked you to pay for your own clothes that was red flag and I think alikua anataka kujua kaa uko na pesa with you.pole lakini next time be smart
Imagine am soo angry listening to this story.
How can you let a man manipulate you tbis way.
How ????
I share the same feelings sister
Me too I'm so angry and sad☹️
I blame this lady how do you send someone money eti juu ni pastor/rafiki / relatives how stupidity can you be. pesa haina rafiki.
Nìe wambùi nìndaremirwo nikuhe arume aa online numba cia thimu jiraga mundu tu chat na messenger
😢😢Love is blind
Mmi nguvu yakutumia mwanaume pesa natoa wapi natujai onana
Uyu ona maheni enamo, ati niamuhenirie bururi uria araruta wira kai ari kirimu, tondu nie uria njue angikorwo niamuhuragira thimu namba yathimu nonginya ikorwo na code namba naniho mundubamenyaga kuria mundu ari
but thru what's up, Kuna njia watu hu edit numbers
Najua mtu ako Iraq but anatumia code ya Qatar thru what's up
@@nelsonbett2660 ata ya kenya tunatumia whatssapp bora uwe na wifi
Ata imo unatumia sio lazima direct
Whatsap unatumia number ya kenya ata ukiwa outside country like me am out na natumia ya kenya
Alafu vile alinunua tikoo alimtumia na huwa inaonyesha kwenye unatoka na kwenye unaenda,
Countless red flags..but you ignored all of them.
Sorry for what you went through though.
Wahumbili na mapensi ya online or anyone you don't know, sio poa
why do you think he was taking you to Mombasa?
Hii ata sio redflag ilikua red duvet😂weeh Aki mapenzi wewe 😂
😄 😄 😄
Kuna mtu ametagg huyo pastor Sammy kwa comment section, anaitwa Sammy Mwiti kanisa ni Shiners Hope Ministry, mimi huyo hadi kwa page yake kutuma salamu kufika huko sijapata mtu ametuma salamu😂😂😂 nikasema wacha niheshimu mafuta😂😂😂
😂😂
Ata mngetuwekea kapicha Ka pastor Sammy tumjue😷
Sijui wanafichanga nni
Mbona alikuwa pesa Zako basi number 2 alikuwa anaoa tongues ama Ni Bibi alikuwa anaoa
What is it with kasarani police 😮😢
True kwanza mapenzi ya imo
Wah ati mama kanisa 😂😂😂
😅😅😅
I guess ni watu hawajafikiwa na ujumbe jesus erased the curtain now you directly reach out to God through him without using any means.juu vituko watu huonyeshwa before they come crawling back to God this time directly weuh ni moto.
Wambo wacha nikulize swali kama anaongea ukweli kabisa mbona ajifiche anastahili kusema Huyo MTU wazi wazi ili a save mtu mwingine
I can't even finish the story...gal umesoma na I wonder how you couldn't even see the red flags...si kwa ubaya lakini ulikuwa mjinga sana....how can you choose a man over your family members and especially your lovely mum...don't even say its devil...hii ni ujinga yako...good thing umejifunika uso.coz ya aibu...online swindlers are all over to desperate gals like you
Ngai pole sana Rudi gurf
Any man asking for money during dating is a very biiiiiig redflag
Eagerly waiting
Kwani hao wanaume huwaitisha pesa muwezi wa block mm zangu akuna mtu atawai kula unless watoto wangu na wazazi hii kuchoka yote alf mtu ni mtumie pesa yangu ati juu atanioa NEVER
youtube.com/@wathoniguomuoyo uka uhingure andu meciria matige gutunywo mbeca ni "pastors"
ma con hao ma pastor sio kazi wanapenda ,mikora
Still bado kuna watu huwa conned na pastors after all those stories of how people are conned.😮
Mnajiabisha kila mahali kwa kutotumia akili then shifting the blame to a person who did nothing but spot an opportunity to feed their greedy self and grabbed it!! Gullible people everywhere. I'd cover my head in shame if I was such a dunder head!!😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
enyewe hii ni unpopular opinion 😂😂😂😂😂
Waaah🙆
I earn my money so hard no way I can fund anyone in favor of husband never never
Na Kuna Pastor mkora online. Anajiita Tabby Njoroge. Huyo ni con,moto wa kuotea mbali sana
Men will show you how they love you but there are after your money open your ear and eye wide
Waiting Mombasa
Tuonyeshwe pic ndio tumfahamu
I was conned 820 know in 2021 and another 1.2M last yr
me Ata sisemi kitu
only God knows
But God has řestored me
n now I'm un connable n I've learnt serious lessons
Ati 🙆🙆🙆🙆 ebu rudia Tena wacha jokes 😏😏
1.2m😢😢😢siunitumie 20k niingishe mtoi shule yawa
@@estherithagu3602 uko serious 🤣🤣🤣🤣
Mm.nikiwaster 200 hi headache
@@estherithagu3602 nilipoteza 1.6m Goldenscape greenhouses.
Uyu ti muhujia ni coneman na ni guy, anafanya nino na boys
Don’t even call him Pastor!!!😢
Pastor ngoma
Nií úngínyenda wícírítie atí níúkúría beca ciakwa no ngoriruo ndímúgúrúki tondo ona ten bob ndúngíona😬😬
Picha tumujue😮
Act 8:14-24, hi people, if you have ever offered money to get anointing, offered to be blessed, offered to get water, any offering in exchange of anything including delivarance, you are cursed by God. God's gifts are never bought, and preachers will never tell you, because they aren't servants of God, but business oriented people. That's why Christians suffer more than non Christians.