Mashaaaaaallah..... Sheikh Othman ni kipenzi cha waislam ......huzigusa nafsi za waislam na kukuza Iman zetu....... Huko ndiko nawe unakoelekea ......Allah akujalie In Shaa Allah
Allah Akbar yaa Allah yaa Arahman mjalie Sheik wa Allah na simwingine ila Sheik Othman Maalim kwani yeye ni mfano wa kuigwa na barak na aman ziwe juu yake hapa duniani na kesho Akhera
Man'sha Allah Mola akudhidishie elmu yenye manfa akupe kifuwa chenye kuhifadhi sana wawe wengi mfano wko wenye Kuiga wenye khayri kama Hao Mwenyezi mungu Ghaz'wajallah akudhidishieni khayri ln shaa Allah 🙏🙏🙏
Mashaallah Allah akuzidishie umri na afya njema uzidi kufata nyendo mzr na kujifananisha na masheikhe wetu Hizi ndio nyendo na sifa na umaarufu na mambo mazuri yenye kuelimisha jamii waislam
Maa shaa Allah, mwenyez mungu akujaalie uzidi elimu zaidi na zaidi , Allah akujaalie afya njema , Allah akujaalie hekma na busara , hakika umejaaliwa .
Alhamdulih, kwakweli nimefurahi sana kwani sikuzote nilipo msikiza Othman maalim nilimuombea duwa aishi muda mrefu na usio na uzee mbaya na aishi daima ndani utaratibu wake huohuo wa Imani na huduma kwa waislam aishi kwawepesi WA rizki na kujitosheleza yeye familia yake pamoja na jamaa zake na mwishowe kama mwenyezi mungu akitaka kumchukuwa basi azidi kumtia kiu na hamasa ya kumpenda,kumtukuza Allah na kuineza elimu alieirith kutoka kwa mitume yetu na kiongozi wetu wa umma wa kislamu nabii wetu Mohamad sws, Onja yangu ya ujinga haitonikatisha tamaa kwakuambiwa ukweli nao ukweli nimsumeno nakila akuelimishae ujuwe nayeyepia alielimiswa kwa nijia tofauti tena wengine hupitia mazito zaidi, hivyo sitosita hasilani nasitojidhulumu nafsi yangu kwakujiekea kusema kuwa WEWE KIJANA NAKUPENDA SANA NA HUYO OTHMANI MAALIM , WALLAH MOLLA NDIE SHAHIDI JUU YA MAHABA YANGU KWENU NAWENGINE WOTE MNAOFANANA KATIKA ELIMU HIYO JQPO MIE SINA NA NIMIONGONI YAWALE WAZEE WALIOUTIA UJANA WAO KWENYE ONJO LA UJINGA NA KUZEEKA NAO; MWENYEZIMUNGU MWINGI WA REHMA ANIWEKE KARIBU NAMI PAMOJA NA WAJA WEMA.
Mashalllah yupo vizuri. Na si yeye tu, hata wewe unaye muhoji upo vizuri. Muna nafasi ya kuwa wazuri zaidi ya hapo na mimi nawaombea muzidi kuwa wazuri.
Mashaallah tabarakallah kheri kwa binti utakayemuoa na kheri kwa atakayekuoza ila nakuombea kwa Allah aiweke nafsi yako mbali na matamanivo na shaitwani rajimu na aimarishe jina lako ki matendo in'shaallahu ta'ala natamani kupeana mkono na wewe live siku ya kiama baada yakuingia jana pamoja na huyo mpashaji habari karimu ambaye Allah amemfanya kisababu cha kukufahamu kimukhutasari allahumma amiina
MashaAllah Tabarakallah Allah ihfadhak . Allah amjaze kheri ustadh wake MashaAllah hakuwa na khiyana ya kumkuza kijana huyu jazakallahu kheir ya ustadh
Mie ni mkristo ila kiukweli hua nina Muelewa na kumpenda Sana SHK Othman Maalimu, Mungu amjelie kheri na umri mrefu 🙏
Ameena
Mashaalah Mwenyezmngu atupe masheikh Athmani Maalim wengi inshaalah.
Mash Allah tabarakallah sheikh othman mdogo Allah akuhifadhi
Mashaaaaaallah..... Sheikh Othman ni kipenzi cha waislam ......huzigusa nafsi za waislam na kukuza Iman zetu....... Huko ndiko nawe unakoelekea ......Allah akujalie In Shaa Allah
Huyu kweli ni mlithi wa shakhe Othman Maalim mashaallah
Mashaalah. Hawa ndio vijana wanye influence. Allah atupe vizazi vyema vyenye khof nae
Amiin
Ameen
MashaAllah Allah Azidi kukufungua kifua chako na Akupe Elimu Zaidi Uwe mfano wakuigwa hata wewe.
Maashaallah,tunatakiwa tuige mambo mema,Alhamdulillah kijana anaelekea vizuri Allah azidi kumuelekeza.
Allah Akbar yaa Allah yaa Arahman mjalie Sheik wa Allah na simwingine ila Sheik Othman Maalim kwani yeye ni mfano wa kuigwa na barak na aman ziwe juu yake hapa duniani na kesho Akhera
Allahu akbar mwenyenzi mungu aje na mimi a nijarie watoto wema kama mfano wao
Allah Akbar... Allah amuhifadhi Shekh Othamn Maalim na pia amuongeze maalim Swidq
ALLAH Akbar,, yaarabi nakuomba uniongoze ktk njia iliyonyooka wallahi natamani kua kama muswadiq na vijana wngine wny maadili mema ya kiislam 😢 😢
Allah akuwezeshe in shaa Allah fatanafasilmutanafisun
Masha Allah Allah awazidishie tena nate.
Allahumma amiin,ALLAH AKUJAALIE
Amin
Ameen
Mashaallah nimempenda sana mungu akubariki pia sheikh Othman maalim kwavijana kufuata nyayo zako
Maanshallah Allah aqbar subhanallah Allah akwihifazi na atujalie janah yarrabbiy
Mashaallah Mashaallah Mashaallah, Allah atupe wepesi nasi katika kutekeleza ya kheri .
MashaAllah Mwenyezimungu akujaalie kila lenye kher
Umekuwa ktk misingi mizuli ya dini, nawapa ongera wazazi, mashallah mashallah,
Mashaallah
Amin Amin Amin Ya Rabal Enlamin
Mashallwah Hongereni sana Riyadh TvZnz kwa kutuhabarisha habari zenye heri.
Allah akulinde na maadui akupe umri wa maisha marefu innsha allah
Man'sha Allah Mola akudhidishie elmu yenye manfa akupe kifuwa chenye kuhifadhi sana wawe wengi mfano wko wenye Kuiga wenye khayri kama Hao Mwenyezi mungu Ghaz'wajallah akudhidishieni khayri ln shaa Allah 🙏🙏🙏
kila la khri
Mola akudhidishie
Good ustaadh mdogo wangu mungu akuweke na ukuzidishiye elimu
Masha Allah Masha Allah Thuma Masha Allah.Allah Akuhifadhi kakangu katika Uislamu🙏🙏🙏
Mashaall
Mashallah jazakaallahu kher daaaah huyu shekhe yaaani ni kama othman maaaalim mashallah tulikuwa tunaomba mutuweeekee mawaidha yake inshallah natumai ujumbe utakuwa umefika inshallah
Insha ALLAH kuanzia wiki ijayo utayaona
Manshallah Allah ampe pepo sheikh othman kwa kuwapa wanetu elim ya milele
Maashallah mungu akuzidishie fahamu na akuepushe na husda za walimwengu
Aaaaamin
Allahumma amiin
Masha Allah mwezimungu haziwajaala akuzidishe elmu apate kuyifikishia wangine inshaallah
Mashaallah kila mtu anapenda kumuiga shekh othman maalim
Mashallah mungu akubariki na akuzidishie elimu amiiin
Mashallah jitahidi Sana na kua mkweli Allah atakuzidishia ameen
Ma shaa Allah sauti yake inafanana kweli na sh othman maalim haswa anaposoma qur'an ma shaa Allah Allah azidi kumuongoza na vizazi vyetu in shaa Allah
Salut sana kwa Othman maalim Allah amjalie afya njema na umli mlefu sheikh wetu kipenzi Othman maalim
Amiin
MASHA ALLAH.... MWENYEZI MUNGU AKUEPUSHE NA HASAD ZA WATU WABAYA... NA SISI WENGINE MUNGU ATUPE TWAUFIQ NA FAMILIA ZENU.... AMIIIN
Allah amlipe kila LA kher katika kazi yake ya uhadhir
MashaAllaah tabarakaAllaah
Allaah azidi kumuongoza na Neema zake na kuongoza vizazi vingine ....
Mashallh mungu akuzidishie kheriii
Mashaallah m/mungu akuongoze vyema
MaashAllah Alhamdulilah Allah atuongeze katika njia ilonyoka shukran Sana
Mashaallah Allah akuzidishie umri na afya njema uzidi kufata nyendo mzr na kujifananisha na masheikhe wetu Hizi ndio nyendo na sifa na umaarufu na mambo mazuri yenye kuelimisha jamii waislam
Maashaallah Mungu azid kutuongoz vijan ktk uislam, Allah ampe kila la Kheri sheikh Othman Maalim
Mashaalah kijan mungu akupe umri mrefu hapa dunia na kesh akher Amiin.
Aaamin
Masha'Allah anaongea kiarabu vizuri Sana Kama muarabu vile
MashaAllah Mola akuhifadhi pamoja na waislamu wote.
Ameen
Amin
Hakika mm nampenda sana sheikh Othman Maalim na Allah atuwekee nuru yetu hii aihifadh na mabaya amuondoshee mazito amletee wepes Wa kila jambo.
Mashaa Allah kijana mungu akulinde na husda na vijicho vya watu wabaya.... ((Ameen))
Mungu akuongeze innshaallah
Mashaaaaaaaaaaaaallaaaaa Allah akubaarik akuzidishie zaid nazaidiiiiiiii ahsante sanaaaaaaaaa
Masha allah
ma shaa allah. allah tubariki ss pamoja na vizazi vyetu utuongoze kufanya mema in shaa allah
Maa shaa Allah, mwenyez mungu akujaalie uzidi elimu zaidi na zaidi , Allah akujaalie afya njema , Allah akujaalie hekma na busara , hakika umejaaliwa .
Mashallah mashallah, mwenyezi mungu akuendeleze kakaangu, future sheikh othman 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kabisa mpaka raha Masha Allah
Maashaallah ivi ndo adhari nzur zinazotakiwa kuziacha dunian sheikh othuman maalim hongera kwako una da'awa nzur kiasi kwamb adi kuongea anaongea uyu kijan anaongea kam sheikh maalim
Maa shaa Allah,sheikh othuman amepata mrithi mzur wa ilim mpk sauti maashaa Allah
Alhamdulih, kwakweli nimefurahi sana kwani sikuzote nilipo msikiza Othman maalim nilimuombea duwa aishi muda mrefu na usio na uzee mbaya na aishi daima ndani utaratibu wake huohuo wa Imani na huduma kwa waislam aishi kwawepesi WA rizki na kujitosheleza yeye familia yake pamoja na jamaa zake na mwishowe kama mwenyezi mungu akitaka kumchukuwa basi azidi kumtia kiu na hamasa ya kumpenda,kumtukuza Allah na kuineza elimu alieirith kutoka kwa mitume yetu na kiongozi wetu wa umma wa kislamu nabii wetu Mohamad sws, Onja yangu ya ujinga haitonikatisha tamaa kwakuambiwa ukweli nao ukweli nimsumeno nakila akuelimishae ujuwe nayeyepia alielimiswa kwa nijia tofauti tena wengine hupitia mazito zaidi, hivyo sitosita hasilani nasitojidhulumu nafsi yangu kwakujiekea kusema kuwa WEWE KIJANA NAKUPENDA SANA NA HUYO OTHMANI MAALIM , WALLAH MOLLA NDIE SHAHIDI JUU YA MAHABA YANGU KWENU NAWENGINE WOTE MNAOFANANA KATIKA ELIMU HIYO JQPO MIE SINA NA NIMIONGONI YAWALE WAZEE WALIOUTIA UJANA WAO KWENYE ONJO LA UJINGA NA KUZEEKA NAO; MWENYEZIMUNGU MWINGI WA REHMA ANIWEKE KARIBU NAMI PAMOJA NA WAJA WEMA.
Mashaalah nimempenda Sana natamani mtoto wangu awe Kama true ishaalah
Ma sha Allah mungu akuzidishie
Mashaallah amjaalie kher sheikh Othman maalim
Mashaallah Allah akuzidishie ktk elim yk
Aaaamin
Mashaa Allah kweli kampatia mungu amzidishie
mashaAllah mashaAllah mashaAllah baraka Allahu fik ya Akhuyi Hapo kwa Qiraa Ipo sawa Kabisa Tabaraka Ar Rahman
Ahmdulillah ndugu nimependa kuaiga watuwema nimependa nami naiga mungu ainyanyue darjayako f dunia all akhera Allah human amin
Masha Allah mungu ambark kwa Rhma xake
Mashaa Allah YAA RAB tujaalie nasi kizazi kilicho chema yailahi
Mashalllah yupo vizuri. Na si yeye tu, hata wewe unaye muhoji upo vizuri.
Muna nafasi ya kuwa wazuri zaidi ya hapo na mimi nawaombea muzidi kuwa wazuri.
Mashaallah tabarakallah kheri kwa binti utakayemuoa na kheri kwa atakayekuoza ila nakuombea kwa Allah aiweke nafsi yako mbali na matamanivo na shaitwani rajimu na aimarishe jina lako ki matendo in'shaallahu ta'ala natamani kupeana mkono na wewe live siku ya kiama baada yakuingia jana pamoja na huyo mpashaji habari karimu ambaye Allah amemfanya kisababu cha kukufahamu kimukhutasari allahumma amiina
MashaAllah
Mashhaalah kweli ume muhusudu Othman maalim
Mashaallah mashaallah, jazakha llahu khery
MashaAllah Tabarakallah Allah ihfadhak . Allah amjaze kheri ustadh wake MashaAllah hakuwa na khiyana ya kumkuza kijana huyu jazakallahu kheir ya ustadh
Mashaallah Allah akuepushe na Mahasadi wa Kibinaadam na Majini.Allah akupe umri mrefu
Mashallah jazakallah kheir
Mashaa Allah tabarakallah Allah akijaalia afya njema
MASHALLAH MASHALLAH MASHALLAH MASHALLAH MASHALLAH JAZAAAKALLAHUL KHAYRA
MASHALLAH Allah anijalie mume kama huyu
Maaa shaa Allah Allah Akupe afya na umri mref hakika ww ni mfan wa kuigwa
Maa shaaa Allah umejitahidi Allah akujalie elimu zaidi. Amini
Man'sha Allah man'sha Allahu jazak'um llah khayri👍 💞
Bismilllah mashallah shekh muswaddiq mungu aniongoeze ktk njia iliyoonyooka anijaaliwe niwe na hof ya mungu na kumcha allah
mashaallah nakuombea kwa allah akuzidishie elim
Muswadkq hongera sana Allah akuzidixhie
Mashaallah Allah ambariki na mola atufungulie milango ya elimu atulide na hasadi
Allah ajaalie vijana wengi waige shekh Othman yarab
ماشالله جزكالله خير أختى
Mashallah
Mashallah.musadik.mungu.akuzidishe.
Masha Allah kheri kaka yangu
Masha Allah hiyi ndio mfano mzuri inshallah mungu atujaaliye tuige mfano Kama huu inshallah.keeep going mungu Yuko nawewe inshallah
Maashaallah Allah akupe wepesi ktk kutafuta ilmu zaidi...ila usimkate jina sheikh ukamwita Othman..muite kwa heshma...
MashaAllah,hao ndio Watoto wakujivunia sio mtoto alelewa na taraabu na wasanii. Allah akulipe kila la kher kijina na akuepushe na hasadi
ALLAH AKUPE UMRI MREFU NA Allah atuongozee vizazi vyetu viwe kama hao
ما شاء الله.
بارك الله فيك يا شيخ صادق.
أسأل الله أن يوفق مما تحب و ترضا .
كل سنة و انت طيب.
Mashallah allah akudhidishiye
MashaAllah 😘😙💞💞👌👍
Mashaallah Allah azidi kumuongoza kwenye kheri Allah awaongoze nasie watoto wetu kwenye njia ya kheri kama hii
Mashaa Allah, baraka llah fihi
Allah akuzidishie ishaallah
Masha Allah Allah akuzidishie
MashaAllah, Tabaraka Rahman👍👍👍
ماشاءالله 🌷
Masha Allah Mungu amhifadhi
Maa shaa Allah barakaallah
Maashaallah maabrooq
mashaa ALLAH ALLAH akubariki akupe ikhlas n thibat.uso wako una nour
Masha allah
We are so proud to be with u big up broo forever
MashaAllah mungu akuongoze kwa kil jamb in shaa Allah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻 Allah akutilie wepes
MashaAllah TabarakaAllah Allah akuzidishie ilmu na awaongoze na watoto wa kiislamu wote
Jazakallahul kheir
ما شاءالله
Duh ebwanae MASHAALLAH zawadi hizi ALLAH anatuletea
Siku nyingine tanguliza Mashaallaah na jitahid hiyo Duh ipotee katika ulimi wako.
Biidhnikallah hilo lina wezekana.