ELIE MPANZU ATANGAZWA RASMI SIMBA | HUYU NI MASHINE YA MASHINE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 118

  • @LaiteteiSagarai
    @LaiteteiSagarai 2 місяці тому

    Jamaaa uko vizuri ubashiri wako huwa unaleta maana sana uko guuuuuuuud niite losieki memirieki

  • @KhalidIsacka-i2k
    @KhalidIsacka-i2k 2 місяці тому

    Vp kuusu mpanzuuuuuuuuuuuu❤❤❤❤

  • @ShambunatGhullam
    @ShambunatGhullam 2 місяці тому +1

    Aje ata asaivi tunamuhitaji sana sana saaana ubaya ubwela

  • @RashidiJuma-p4z
    @RashidiJuma-p4z 2 місяці тому +1

    Karibu San simba Elia mpanzu

  • @NestoryHenlico
    @NestoryHenlico 2 місяці тому

    Ni kweli au uongo tu simba nguvu moja ❤❤❤

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 3 місяці тому +2

    Karibu sana Mpanzu au tuseme (your most welcome)

  • @RolethaRevelian
    @RolethaRevelian 3 місяці тому +3

    Kaka friji bov uko sawa kabisa wachezaji wanaleta upuuz wanatukwaza saana siyo powa ziwekwe kanuni na Sheria za kuwabana wafate utaratibu wa kishelia.

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 3 місяці тому +1

      Zipo sheria na kanuni zipo mfano ulimwona fei Toto bila mama rais wa nchi kuingilia lile swala aiseee lingemsumbua sn fei Sasa sahiz kibu atanyooshwa hawez kucheza popote DUNIANI bila Simba kutoa release letter

  • @gastorsapula2583
    @gastorsapula2583 2 місяці тому

    Bro Mimi nakukubali Sana unaongeaga vitu vya akili Sana Mzee baba

  • @SAIDSALUM1981
    @SAIDSALUM1981 2 місяці тому

    Upo vizuri sana friji bovu kwa uchambuzi mzuri sana

  • @Sebastianmangenyi
    @Sebastianmangenyi 3 місяці тому +1

    Kaka uko vizuri sana keep on educating the community brother!!!

  • @MeshackMlyanginu
    @MeshackMlyanginu 3 місяці тому +1

    Welcome Elie mpanzu, simba nguvu moja, ubaya ubwela

  • @NestoryHenlico
    @NestoryHenlico 2 місяці тому

    Ni kweli au uongo tu simba nguvu moja ❤❤❤
    😅😢😮❤

  • @SamwelOtieno-ky3nh
    @SamwelOtieno-ky3nh 2 місяці тому

    Vipi mpanzu dili done au vip

  • @francisjuly5761
    @francisjuly5761 3 місяці тому +3

    Deal limefelii aisee daah 😢😢😢 Haji tena

  • @ramseyking7694
    @ramseyking7694 3 місяці тому +2

    Nakukubali Frijibovu huna baya mwanangu!

  • @Filbert-i4m
    @Filbert-i4m 3 місяці тому +1

    Kaka uko vzr Mungu akubariki 🙏🙏🙏

  • @Filbert-i4m
    @Filbert-i4m 3 місяці тому +3

    Nawapenda sn hawa ma c.o Babra pamoja na huyu amani kajula aliyetuletea simba kuwa na platform nyingi🙏🙏🙏

  • @InnocentNyanga
    @InnocentNyanga 3 місяці тому +15

    Jamaa nimekuelewa na naendelea kukuelewa, tusilete siasa kwenye mpira wa miguu, ilianzia kwa Fei Toto na Leo ndo Iko kwa Kibu Mzee.

  • @ZainaYusuph-ix7vl
    @ZainaYusuph-ix7vl 3 місяці тому +1

    Welcome simba broo ❤❤❤

  • @florah-u9z
    @florah-u9z 3 місяці тому +3

    mchambuzi wang pendwa❤❤❤

  • @papaanel8160
    @papaanel8160 2 місяці тому

    Nakukubali bro!

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 3 місяці тому +3

    Friji bovu wewe ni mwamba kweli kweli mkuu na nimejenga Imani kwako na hujawahi kutuangusha 👊

  • @JamesSweetbart
    @JamesSweetbart 3 місяці тому +1

    Bro uko vizuri

  • @gervaskashegu1940
    @gervaskashegu1940 2 місяці тому

    Nakukubali mwamba

  • @KhalidIsacka-i2k
    @KhalidIsacka-i2k 2 місяці тому

    ❤❤❤❤❤❤

  • @iddiramadhan
    @iddiramadhan 3 місяці тому +1

    Karibu Msimbazi mchezaji we2 🦁💪

  • @KulwaMartine
    @KulwaMartine 3 місяці тому +2

    Karibu elia mpanzu

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 3 місяці тому +1

    Boss ni kweli mpanzu atatua unyamaniiiiiii

  • @jaydenbedas5729
    @jaydenbedas5729 3 місяці тому +3

    Habari za mpanzu ni kweliiii msimbaziiii

  • @ImranSalum
    @ImranSalum 3 місяці тому +5

    Unachambuwa vizuri lakini acha nokupe mauwa yk.Ubaya ubwela.

  • @KulwaMartine
    @KulwaMartine 3 місяці тому +1

    Tunakuamini kaka kwa taarifa zako

  • @BallohoVicent
    @BallohoVicent 3 місяці тому +2

    Usajili bora sana aixee

  • @sirajubwango
    @sirajubwango 3 місяці тому +1

    Good kabsa

  • @BennySisala
    @BennySisala 2 місяці тому

    Nakukubari unajua

  • @YunusuYekonia
    @YunusuYekonia 2 місяці тому

    Tukimuon mpanzu apo rutakua na aman na tm yetu brother

  • @SalumWazilly
    @SalumWazilly 3 місяці тому +1

    Ivi jamni kweli au mana mnatuumiza moyo 😊

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat1927 3 місяці тому +1

    Frige bovu wewe ni zaidi ya zaidi ❤❤🎉🎉

  • @BakariHamisi-ke6zv
    @BakariHamisi-ke6zv 3 місяці тому +1

    Yani kiukweli broo unaongeaga ukweli sana mana hili dili nilakweli

  • @igweemsuto6141
    @igweemsuto6141 2 місяці тому

    Unaakili nyingi sana brother unaongea vitu vyenye kueleweka na umesema ukweli simba huongozi auna meno upo sahihi

  • @modestusndunguru7183
    @modestusndunguru7183 3 місяці тому +1

    Nakubali unaongea point 👉😮

  • @makinyamigeto7621
    @makinyamigeto7621 3 місяці тому +1

    VP Kaka Simba ndo mech moja Tu pre season?

    • @makinyamigeto7621
      @makinyamigeto7621 3 місяці тому

      Pi kaka friji bovu unajua Kaka Simba watakup maua yako😅😂

  • @HusseinBakari-f8e
    @HusseinBakari-f8e 3 місяці тому +1

    Ndio mana mm kibu sijawah kumkubari Kwanza amekaa mshamba mshamba alaf anatamaa muonekano wake tuu unaongea mm kibu sijawah kumkubari, anatumia mingivu nguvu tuu akili ya Mpira Hana,, kudribo Mpira kwake n kaz kama robot aaah aende tuu

  • @joelmichael9752
    @joelmichael9752 3 місяці тому +1

    Frito bonus umechemsha,Elie ametangazwa huko Belgium,unaongea saaana lakini huna jipya..

  • @ramadhankilango9088
    @ramadhankilango9088 2 місяці тому

    Kibu sio wa sifa ya Simba tunayo ihitaji, ana sifa Moja tu ya kupambana Hana tageti Wala kontroo ya kutosha

  • @zahranyasa9351
    @zahranyasa9351 3 місяці тому +2

    Sisi tunaamini uongo wake we hujalazimishwa kuamini

  • @Filbert-i4m
    @Filbert-i4m 3 місяці тому +1

    Wambie kbs Nabi n kocha yule ni mwl kwl

  • @MethodJohn-o5f
    @MethodJohn-o5f 3 місяці тому +4

    Tunata simba mpya❤

  • @PiusJordan
    @PiusJordan 2 місяці тому

    Kaka we mwamba

  • @gasparyeugene4855
    @gasparyeugene4855 3 місяці тому +1

    mtaua jaman

  • @juliussteven3440
    @juliussteven3440 2 місяці тому

    Huuu sio uongo kweli

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 3 місяці тому +2

    Namkubari sana friji bovu kwa uchambuzi

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 3 місяці тому +3

    tuna mtaka ata kesho mpanzu ubaya ubwela paka ubingwa

  • @ChristinaLazaro-oy4kb
    @ChristinaLazaro-oy4kb 3 місяці тому +1

    Kibu asepe

  • @EDWARDJEROME
    @EDWARDJEROME 3 місяці тому +2

    Nakupata

  • @NestoryHenlico
    @NestoryHenlico 2 місяці тому

    6:32

  • @FredrickShanguya
    @FredrickShanguya 3 місяці тому +4

    Karibu Elie Mpanzu Unyamani

  • @GulackSotela
    @GulackSotela 3 місяці тому +1

    Dili la mpanzu kuja simba nigumu mno kwani anahitajika na team ya ubelgiji

  • @FanuelyChaula
    @FanuelyChaula 2 місяці тому

    IME hiyo

  • @allyhuyu1892
    @allyhuyu1892 3 місяці тому +2

    Wee jamaa unatamanisha Yani mpaka unatamani ngao ya jamii iwe kesho

  • @castroydaimon3107
    @castroydaimon3107 3 місяці тому +4

    Litakuwa jambo zuri likikamilika

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 3 місяці тому +2

    Kaka unatema madiniiiiiii vibaya munoo

  • @makamekhamis-cu6qc
    @makamekhamis-cu6qc 3 місяці тому +2

    Mimi japokiwa atanidanganya firiji bovu Lakin wakati inanitajia Simba inanikosha Sanaa

  • @SifaKayaya
    @SifaKayaya 3 місяці тому +2

    mambo sindo hayaa??

  • @ramadhanmlaly4049
    @ramadhanmlaly4049 3 місяці тому +3

    Hili jamaaa linajua mpira

  • @bobsaid4324
    @bobsaid4324 2 місяці тому

    Bado dili la mpanzu halijakamilika

  • @Abuumagela
    @Abuumagela 3 місяці тому +1

    Dili bado mpanzu anaenda Genk

  • @saidymbagalla6622
    @saidymbagalla6622 3 місяці тому +1

    Leo frij limekufa kabisa mana umeongea utumbo utumbooo.....hasa kwenye swala Ceo wa Simba...yani ww umekariri kua ili mtu afanye vzr lazma atoke timu kubwa hapo umekunya

  • @jumakiduka4625
    @jumakiduka4625 3 місяці тому +1

    Kibu ameji dhalilisha , Bado ni mchezaji wetu na turanfungia miaka 2

  • @GeofreyLauliani
    @GeofreyLauliani 3 місяці тому +1

    Nipo na ww braza

  • @athumanidilunga7770
    @athumanidilunga7770 3 місяці тому +1

    Kibu anajiteke ya mwenyewe

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 3 місяці тому

    Huo ndiyo ukweli mkuu! Simba viongozi wamekosa MENO mkuu kuwabana wachezaji kisheria , (utovu wa nidhamu)

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 3 місяці тому +1

    Kibu ni mchezaji mzawa, uyu mpanzu ni wakigeni, vipi atatoka badala yake?

  • @HARUNSIMON-hj6up
    @HARUNSIMON-hj6up 3 місяці тому

    Simba pana tatizo masiku mengi imekuwa ikihsishwa na wachezaji wakbwa wazuri mwshowe inabaki speculation, bado nataka kuona timu inapata kocha atakaeinua vipaj vya wachezaj wa kitanzania ni kpnd tunatakiwa tjfnze kwa yanga wachezaji wa 3 pale nyuma ni wabongo, kwa nn tunawachia hawa makocha bila ya kutuimarishia wabongo

  • @SaidBudi-u9v
    @SaidBudi-u9v 3 місяці тому

    Namba 6 atakua nani ?

  • @EzekieliAndrew
    @EzekieliAndrew 3 місяці тому +2

    kibu sio kakimbia huko akajuwa ataikomoa simba kajikomoa mwenyewe

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 3 місяці тому +1

    Hivi huyu huwa mnamwelewa?

  • @jilalamaligisa4854
    @jilalamaligisa4854 3 місяці тому +1

    Huyu jamaa mbona anajua sana

  • @PaschalChigwiye
    @PaschalChigwiye 3 місяці тому +1

    Mwamba unajua

  • @hockingsshangali1747
    @hockingsshangali1747 3 місяці тому +1

    friji bovu ni mbovu kweli. unaonyesha upande wako. jitahidi basi uwe msemaji na sio mchambuzi .usije kalia.

  • @davidgodfrey2510
    @davidgodfrey2510 2 місяці тому

    Mpanzu anaend Genk tuachie uongo

  • @PeterMuhina
    @PeterMuhina 3 місяці тому

    Ubaya ubwelaaaa

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 3 місяці тому +2

    Friji bovu muongo mpanzu haji simba
    Anaenda Yanga
    Vyanzo vyako ni vya uongo

    • @bahatimshali2731
      @bahatimshali2731 3 місяці тому

      Hongereni, maana, kila mchezaji ni Yanga. Hata Kinzumbi mlisema anakuja kwenu. Msemaji wenu amesema rasta pia anakuja kwenu

  • @piusalex6589
    @piusalex6589 3 місяці тому

    Uongo mtupu jamaa mpanzu kaenda GENK

  • @HamisiRashidi-h5t
    @HamisiRashidi-h5t 2 місяці тому

    Mmmhh

  • @HamisiRashidi-h5t
    @HamisiRashidi-h5t 2 місяці тому

    Mmmmhhhhh

  • @DrNangwaIP_international
    @DrNangwaIP_international 2 місяці тому

    Mpanzu katua kweli?

  • @homeafricaone
    @homeafricaone 3 місяці тому

    Liongo hili jamaa

  • @islamIbrahimmussa
    @islamIbrahimmussa 3 місяці тому +1

    Huyu jamaa ni mnafiki simba wamesema saa ngapi ndio maana ukaitw friji bovu si

  • @FadhiliKato
    @FadhiliKato 3 місяці тому +1

    Blog za kisenge kama hiz haziwez kufika mbali mbwa nyie😅

  • @MzaliwaLuis
    @MzaliwaLuis 3 місяці тому +1

    Uongo Si mzuri, Wala wanasimba hawajaamini taarifa zako, binafsi sikupongezi kwa huongo wako. Hakikisheni mnatoa taarifa za ukweli na ss tunatumia pesa kama mnavyotafuta nanyie

  • @SalmaChamy-tg4bo
    @SalmaChamy-tg4bo 3 місяці тому

    Vita ya panzi imani ya kunguru kwa hiyo sisi kama simba tumevuna faida kubwa sana I say

  • @OliverMalindi
    @OliverMalindi 2 місяці тому

    Mnh m napita tuuu

  • @MichaelCharles-uo6rw
    @MichaelCharles-uo6rw 3 місяці тому +1

    Uongooi

  • @nyanzaonlinetv2762
    @nyanzaonlinetv2762 3 місяці тому +1

    Tank limejaa mafuta...dribing je

  • @AdicoRashidi
    @AdicoRashidi 3 місяці тому

    Huyu jamaa muongo sn sijui ht hizo habar anazit wap acha ywongo

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 3 місяці тому +2

    Kweli umeongea kitaalam sana mkuu safi

  • @jacksonmsalenge
    @jacksonmsalenge 2 місяці тому

    Acheni uongo mpanzu kaetekea uraya nivp unatudanganya vp wewe??

  • @NestoryHenlico
    @NestoryHenlico 2 місяці тому

    Hapo tumelamba dume mnyama lazima aungulume

  • @GodfreyDaud-jv2qc
    @GodfreyDaud-jv2qc 3 місяці тому

    Mpanzu yupo ubeligiji

    • @duaelly2206
      @duaelly2206 3 місяці тому

      Nipo video ya mpanzu akiwa ubeligiji

  • @MustMatag
    @MustMatag 3 місяці тому +1

    Oowkkkky