Zipo sheria na kanuni zipo mfano ulimwona fei Toto bila mama rais wa nchi kuingilia lile swala aiseee lingemsumbua sn fei Sasa sahiz kibu atanyooshwa hawez kucheza popote DUNIANI bila Simba kutoa release letter
Ndio mana mm kibu sijawah kumkubari Kwanza amekaa mshamba mshamba alaf anatamaa muonekano wake tuu unaongea mm kibu sijawah kumkubari, anatumia mingivu nguvu tuu akili ya Mpira Hana,, kudribo Mpira kwake n kaz kama robot aaah aende tuu
Leo frij limekufa kabisa mana umeongea utumbo utumbooo.....hasa kwenye swala Ceo wa Simba...yani ww umekariri kua ili mtu afanye vzr lazma atoke timu kubwa hapo umekunya
Simba pana tatizo masiku mengi imekuwa ikihsishwa na wachezaji wakbwa wazuri mwshowe inabaki speculation, bado nataka kuona timu inapata kocha atakaeinua vipaj vya wachezaj wa kitanzania ni kpnd tunatakiwa tjfnze kwa yanga wachezaji wa 3 pale nyuma ni wabongo, kwa nn tunawachia hawa makocha bila ya kutuimarishia wabongo
Uongo Si mzuri, Wala wanasimba hawajaamini taarifa zako, binafsi sikupongezi kwa huongo wako. Hakikisheni mnatoa taarifa za ukweli na ss tunatumia pesa kama mnavyotafuta nanyie
Jamaaa uko vizuri ubashiri wako huwa unaleta maana sana uko guuuuuuuud niite losieki memirieki
Vp kuusu mpanzuuuuuuuuuuuu❤❤❤❤
Aje ata asaivi tunamuhitaji sana sana saaana ubaya ubwela
Karibu San simba Elia mpanzu
Ni kweli au uongo tu simba nguvu moja ❤❤❤
Karibu sana Mpanzu au tuseme (your most welcome)
Kaka friji bov uko sawa kabisa wachezaji wanaleta upuuz wanatukwaza saana siyo powa ziwekwe kanuni na Sheria za kuwabana wafate utaratibu wa kishelia.
Zipo sheria na kanuni zipo mfano ulimwona fei Toto bila mama rais wa nchi kuingilia lile swala aiseee lingemsumbua sn fei Sasa sahiz kibu atanyooshwa hawez kucheza popote DUNIANI bila Simba kutoa release letter
Bro Mimi nakukubali Sana unaongeaga vitu vya akili Sana Mzee baba
Upo vizuri sana friji bovu kwa uchambuzi mzuri sana
Kaka uko vizuri sana keep on educating the community brother!!!
Welcome Elie mpanzu, simba nguvu moja, ubaya ubwela
Ni kweli au uongo tu simba nguvu moja ❤❤❤
😅😢😮❤
Vipi mpanzu dili done au vip
Deal limefelii aisee daah 😢😢😢 Haji tena
Nakukubali Frijibovu huna baya mwanangu!
Kaka uko vzr Mungu akubariki 🙏🙏🙏
Nawapenda sn hawa ma c.o Babra pamoja na huyu amani kajula aliyetuletea simba kuwa na platform nyingi🙏🙏🙏
Jamaa nimekuelewa na naendelea kukuelewa, tusilete siasa kwenye mpira wa miguu, ilianzia kwa Fei Toto na Leo ndo Iko kwa Kibu Mzee.
Welcome simba broo ❤❤❤
mchambuzi wang pendwa❤❤❤
Nakukubali bro!
Friji bovu wewe ni mwamba kweli kweli mkuu na nimejenga Imani kwako na hujawahi kutuangusha 👊
Bro uko vizuri
Nakukubali mwamba
❤❤❤❤❤❤
Karibu Msimbazi mchezaji we2 🦁💪
Karibu elia mpanzu
Boss ni kweli mpanzu atatua unyamaniiiiiii
Habari za mpanzu ni kweliiii msimbaziiii
Unachambuwa vizuri lakini acha nokupe mauwa yk.Ubaya ubwela.
Tunakuamini kaka kwa taarifa zako
Usajili bora sana aixee
Good kabsa
Nakukubari unajua
Tukimuon mpanzu apo rutakua na aman na tm yetu brother
Ivi jamni kweli au mana mnatuumiza moyo 😊
Frige bovu wewe ni zaidi ya zaidi ❤❤🎉🎉
Yani kiukweli broo unaongeaga ukweli sana mana hili dili nilakweli
Unaakili nyingi sana brother unaongea vitu vyenye kueleweka na umesema ukweli simba huongozi auna meno upo sahihi
Nakubali unaongea point 👉😮
VP Kaka Simba ndo mech moja Tu pre season?
Pi kaka friji bovu unajua Kaka Simba watakup maua yako😅😂
Ndio mana mm kibu sijawah kumkubari Kwanza amekaa mshamba mshamba alaf anatamaa muonekano wake tuu unaongea mm kibu sijawah kumkubari, anatumia mingivu nguvu tuu akili ya Mpira Hana,, kudribo Mpira kwake n kaz kama robot aaah aende tuu
Frito bonus umechemsha,Elie ametangazwa huko Belgium,unaongea saaana lakini huna jipya..
Kibu sio wa sifa ya Simba tunayo ihitaji, ana sifa Moja tu ya kupambana Hana tageti Wala kontroo ya kutosha
Sisi tunaamini uongo wake we hujalazimishwa kuamini
Wambie kbs Nabi n kocha yule ni mwl kwl
Tunata simba mpya❤
Kaka we mwamba
mtaua jaman
Huuu sio uongo kweli
Namkubari sana friji bovu kwa uchambuzi
tuna mtaka ata kesho mpanzu ubaya ubwela paka ubingwa
Kibu asepe
Nakupata
6:32
Karibu Elie Mpanzu Unyamani
Dili la mpanzu kuja simba nigumu mno kwani anahitajika na team ya ubelgiji
IME hiyo
Wee jamaa unatamanisha Yani mpaka unatamani ngao ya jamii iwe kesho
Litakuwa jambo zuri likikamilika
Kaka unatema madiniiiiiii vibaya munoo
Mimi japokiwa atanidanganya firiji bovu Lakin wakati inanitajia Simba inanikosha Sanaa
😂
mambo sindo hayaa??
Hili jamaaa linajua mpira
Bado dili la mpanzu halijakamilika
Dili bado mpanzu anaenda Genk
Upo dunia gani wewe genk ni lameki lawi
Leo frij limekufa kabisa mana umeongea utumbo utumbooo.....hasa kwenye swala Ceo wa Simba...yani ww umekariri kua ili mtu afanye vzr lazma atoke timu kubwa hapo umekunya
Kibu ameji dhalilisha , Bado ni mchezaji wetu na turanfungia miaka 2
Nipo na ww braza
Kibu anajiteke ya mwenyewe
Huo ndiyo ukweli mkuu! Simba viongozi wamekosa MENO mkuu kuwabana wachezaji kisheria , (utovu wa nidhamu)
Kibu ni mchezaji mzawa, uyu mpanzu ni wakigeni, vipi atatoka badala yake?
Simba pana tatizo masiku mengi imekuwa ikihsishwa na wachezaji wakbwa wazuri mwshowe inabaki speculation, bado nataka kuona timu inapata kocha atakaeinua vipaj vya wachezaj wa kitanzania ni kpnd tunatakiwa tjfnze kwa yanga wachezaji wa 3 pale nyuma ni wabongo, kwa nn tunawachia hawa makocha bila ya kutuimarishia wabongo
Namba 6 atakua nani ?
kibu sio kakimbia huko akajuwa ataikomoa simba kajikomoa mwenyewe
Hivi huyu huwa mnamwelewa?
Huyu jamaa mbona anajua sana
Mwamba unajua
friji bovu ni mbovu kweli. unaonyesha upande wako. jitahidi basi uwe msemaji na sio mchambuzi .usije kalia.
Mpanzu anaend Genk tuachie uongo
Ubaya ubwelaaaa
Friji bovu muongo mpanzu haji simba
Anaenda Yanga
Vyanzo vyako ni vya uongo
Hongereni, maana, kila mchezaji ni Yanga. Hata Kinzumbi mlisema anakuja kwenu. Msemaji wenu amesema rasta pia anakuja kwenu
Uongo mtupu jamaa mpanzu kaenda GENK
Mmmhh
Mmmmhhhhh
Mpanzu katua kweli?
Liongo hili jamaa
Huyu jamaa ni mnafiki simba wamesema saa ngapi ndio maana ukaitw friji bovu si
Blog za kisenge kama hiz haziwez kufika mbali mbwa nyie😅
Uongo Si mzuri, Wala wanasimba hawajaamini taarifa zako, binafsi sikupongezi kwa huongo wako. Hakikisheni mnatoa taarifa za ukweli na ss tunatumia pesa kama mnavyotafuta nanyie
Mbona Kama unaumia kimya kimya
Vita ya panzi imani ya kunguru kwa hiyo sisi kama simba tumevuna faida kubwa sana I say
Mnh m napita tuuu
Uongooi
Tank limejaa mafuta...dribing je
Huyu jamaa muongo sn sijui ht hizo habar anazit wap acha ywongo
Kweli umeongea kitaalam sana mkuu safi
Acheni uongo mpanzu kaetekea uraya nivp unatudanganya vp wewe??
Hapo tumelamba dume mnyama lazima aungulume
Mpanzu yupo ubeligiji
Nipo video ya mpanzu akiwa ubeligiji
Oowkkkky