NDARO na LEONARDO wawekewa MKWANJA kwenye SHOW yao/MSHINDI kuondoka nao/NDARO ataka kususia SHOW...
Вставка
- Опубліковано 27 тра 2024
- _________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe UA-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp - Розваги
M naona Bora mmpe tu leornad kabisa kabla io Siku au wakuu mnasemaje
Team ndaro
Gonga like
Nakubali Sana baba levo jambo ulilofanya liko good hawa vijamaa vinaleta makasiliko Kisa wanaugomvi on the stage hasa huyu ndaro kanajifanyafanya,,, km mmemdiss ndaro Weka like hapo maana anazingua kwenye press
Sio msomi kwanza , Leonardo nimsomi kwanza ndo Mana anachekesha kisomi
Leonardo master wa comedy TZ 💯🔥 (kwa mbili mbili kwa mbili mbili) kama huna D mbili huwez kuelewa 😂
Mm namkubali sana ndaro kwa kuwa hana mambo mengi na Wala haji feel sana kama Leonard
Ndaro naku kubali sana ndugu yangu. Toka Congo
Leonardo -hata kama unajua usiongee sana kaza me nakukubali lakin unaongea sana ndaro mkimya mpaka raha kunasehemu zingine Leonardo unakaza sio kujichetua°
Kinaongea kama mwajuma 😂
Aliekua anaongea saana ni Ndaro..
Ndaro nakuombea sana pia nakuaminia kinoma
Mbona tuna wakubali wote 🇨🇩🇨🇩🇨🇩♥️♥️♥️
Mm ni muha na Niko upande wa ndaro lakin ndaro anaonekana kabaha na kumuogopa Leonardo na ukwer ndaro hamuwezi leonardo
Leonardo anaujua sana Ila ttzo lake anaonekan. Anajivuna sana anajiskia
Jamani hajivuni mbona
Ndaro namkubali sana mzee wa kutest kwanza
Ndaro Jeshiii
Leonard ni zaidi ya ndaro , ilo ndaro analijua na kukataa kushiriki yupo sahihi maana ni wazi atashindwa na linaweza likawa anguko lake bora akatae
Ndaro anashinda
Ila mnajua kuingiza. Hasa ndaro, yaani kama ana bifu kweli na Leonardo
Kama ni hivo nampa ndaro
Ndaaro ni bola huyo dogo hanakitu
Yani mtu yupo nyuma ya camera afu mnatuleteya kiki 👍👍
Babalevo bangi dula awe jaji kura zote atampa daro😂😂😂😂😂😂 kesi ya nyani unapeleka kwa ngedere😢😢😢😢
Namkubali saana Leonardo lakini kwa hili shindano inatakiwa ndaro ashinde.
Ndaro anajiona ameshakua star kwann ukatae kuhojiwa na waandishi anapaswa kuelewa ukisha kua na jina hapa bongo lazima waandishi wawashindanishe so unatakiwa kuzoea maisha ya umaarufu dogo
hivi nawewe unaamini unachokiona ni uhalisia
Kila kitu unacho kiona hapo kime pangwa usiwe mshamba wa mitandao
Ndaro 😊😊😊🎉🎉🎉🎉 kapita God bless you Ndaro
6/8/2024 😊😊 ndaro
Ndaro ana akili huyo kwanza ni anaenda na hesabu kila anachokifanya..
Leornaldo is the besty
Ndaro m nakukubari kaka
Jamn, tuongeeni ukweli, ndaro namkubari ila siyo kwa leonard uyuui jamaa n moto kila cripu ana mpya Arfu anamalizia kama hauja d Mbili uwezi kuekewa
We have😂😂😂 tuna mambo mengi ya kuja kuwambiaa😂😂😂
Kama umekimbilia kuangalia comment umejua ndaro anapendwa sana gonga like apaaa
Kamtu kame konda hadi uso ila mdomo bwana ni ashura
Mm nawakubali wote wawili hatar bora itokee draw ili wasigombane
Leonard nikafiki kamekaaa kiongo ongo ndio maana akinenepi
Huu mchezo nimesha ushtukia kitambo
Hapo hao jamaa wa White skim ndo wanatafuta hela kwakutumia vipaji vya hao vijana
Hamna bitu wala nini
Kila kitu hapo kimetengenezwa tu
Kazi nzuri inaonekana hupaswi kuogofya Bro
Huwezi shindana na Leonardo we muha
Ndaro ni mkali sana jamani
Fundi majumba ndani ya jumba
Iyo ni vibaya sana mujiunge muwe wa moja kwa kazi yenu, muna
Ila mnajua kuigiza nyie watu😂😂😂 asee hii mmeifanya kama kweli vile😂😂😂 noumaa😂sana
Leonardo anajua kuchekesha Ila anazngua sana anaonekan mkolof
Mwanang Leonardo hmuezi ng'oo w mshamba Ndaroo☆•••Acha nianze kmzomea ndaro iii ooo waaa 😮😮😮
😆😆😆😆
Nakuombea bro niko nyuma yko japokua nko kenya I wish all the best❤❤❤❤
Ndaro baba
Leonardo anajua ❤❤❤ ndaro pia ana fanya vizuri ila kwangu mm Leonardo
Team Leonardo 🔥🔥
Hii ni promoshen ya show hakuna ugomvi afu wamefanya bora sana asey
Leornad ni master of comedy
Mwanangu ndaro
Yan hayo maneno unajua asa km ni kiki baba levo ameitengeneza ndaro na leornAdo hawana bifu
@Ndaro ashauliwe atulie.
Comedian hapaswi kuw na hasira krahis ivo anatushangaz sana
Leonardo is the best ndaro mwenyewe anaonekana anaogopa mwingine mpeni tu leonardo
Ndaro atashinda
Mbona hajashinda sasa
Mko vzr mnajua kutngeneza trick sana
Ndaro baba lao😂😂😂😂😂
Leodardo kinywa kita kuponza ndaro ni mkali sana!!
Pole saaana kwani hujaona mshindi
Uyo jamaa asipo jilekebisha atapotea hii ni zalau kubwa sana wakati wao waandishi wa abari ndio watuwao wakalibu
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 good
wanatofautiana settings kila mmoja anapoweza kufanya vizuri, kwa uchekeshaji wa kisomi Leonardo ana content za kufikirika saana Ndaro mzuri kuchekesha kitaani kwa watu wasosikiliza content kwa umakin huwez kuelewa kama huna D 2
Let me go 😂nikamchukue ila c e o
Leonard ucjali wakerewe cc huwa tunaanza na upole kwa kumheshimu kila mtu baada ya hapo tutafanya ya kwetu kwa kumwambia bb
Hahaha dakika ya 7sekunde ya 9 ndaro anaongea kuna mkono upande wa Leonard unamsukuma Leonard😅😅😅
Nani ambaye alishindaka ?
Naitaji kujuwa plz
Leonardo huyo Ni fundi wa mafundi 😁😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿👑👑👑👑👑
yan kuna sura ukiziona tu zna chekesha aisee Tx dulla unaznguaga sana 😂😂😂
Leonard anazingua
Wenye D mbili kamwe uwezi mwelewa Leonardo coz anatumia IQ kubwa kwenye comedy especially stending comedy✍✍✍✍✍
Chibaba wangu ndaro
Ndaro ntakuja kukushabikia ww
Huo mpambano ni linii jamn😀😀😀😀😀 3×3 😀😀😀
Ndaro anawatu ww Leonardo atamfikia wap,,,
Wote ni wakali saana ila bro ndaro sijapenda kukataa kuhojiwa
Mwanaume haongei ongei nina wasiwasi na ww leonady pengine sio riziki huwezi kunyamaza kama muimba taarabu
Uyo .comedy
Hahh yani hawa wanatafuta kiki tu hawajagombana
Wanatengeneza bifu tuh hawa
Baba levo mnaleta ngumi kwenye maisha ya ela😅😅😅😅😅😅
Sasa watakua wanachekesha watu kwa kusemana tuu na sio vinginevyo
Atakaeshinda hapo mpelekeni kwa eliud akajifunze
Ila Leonardo
Mkuu wa machawa Tanzania
Waliosema ndaro ni mkali msijisahau nyote😂😂
Namco Bali sana Ronaldo seal camera
Iyo kiki la tangazo lao hao..Amna ugomvi hapo..ilo changa
Oya ndaro ni mkali bana
Ndarooo
Huyo ndaro ajua hamuezi huyo boy
Kwahy gar alichukua mbele ya nani
Leonardo fundi
Tuwa shindanishe baba lv na mwijaku nan zaid😅😅
Leonardo kwanza kiswahili imenyooka
Manatugawa mbona Ndaro na Leonardo wote wakali
Ndro
Ndaro mshamba😂
Eti 3*3 😂😂
Km munataka kuwapa pesa wapeni sio kuwashindanisha hao jamaa wote wakali na hapaswi kushindana
Mzee wanatengeneza promo ili wapate ela usiamini unachokiona mkuu.
Hakunaa kuwapa hela ya bure lazima wafanyee kazii na hio ndo kazii yenyewee
Leonard ajiamini ile 100
Kama huna D mbili huwez kuelewa mtu m bad
3×3 😂😂😂😂
Ndaro ninomaaa moto wakuotea mbali
😂😂😂3+3😂😂😂😂
Ndaro mjeshi kikofia you are the best
Kapumbavu ako ka ndarooo
ndaro ni wakigoma ? ndo maana nimbishi
Ndio
Tunaomba pambano irushwe sie wa mkoani tuone
Hivi kuna mtu aliesoma pcm ajui hesabu za leornado? Mbna watz wngi wnamshangaa wkt mi naona kawaida tu🤔🤔
wewe umesoma PCM aya sas 35*155=
Apreciate uwez wa mwingin iyo wanawez wachache
Sio wot wanajua wewe, acha uchizy 😂
Hesabu ni ugonjwa wa taifa mkuu ndio maana
Hesabu ya kwenye calculator au.