JOYCE KIRIA Awajibu Kuhusu MPENZI Wake MPYA, NI ASKOFU ANAVAA HERENI - "NABEMBELEZWA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 87

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 2 роки тому +5

    Ila dada Joy Mungu akusaidie aisee, me mwanaume aliyetoboa maskio, akajichubua, anavaa Helen, nywele breach, anavaa suruali iliyo chanwa chanwa magotini aisee hapana Kwa kwel, namshukuru Mungu amenipa mwanaume niliyekuwa namhtaji🙏🙏

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 2 роки тому +1

      Mwambie akuoe sio wapenzi tu ndio itapendeza zaidi mpenzi wa kweli hukuzawadia ndoa sio akuchezee mamy

    • @gradnessshitindi3694
      @gradnessshitindi3694 2 роки тому

      @@maryamalli9090 amenioa dear tuna mtoto kabisa🙏🙏

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 2 роки тому +1

      @@gradnessshitindi3694 hongera yako mamy mungu awadumishe katika ndoa yenu Amiin

    • @gradnessshitindi3694
      @gradnessshitindi3694 2 роки тому

      @@maryamalli9090 🙏🙏🙏🥰

    • @misschagga8042
      @misschagga8042 2 роки тому

      Basi kina diamond waliotoboa kina konde boy na wengine huko hawawezi kuoa kisa hereni na bleach, rasta, matatoo weee upo dunia ya kizamani ya ukolonii utumwa huo endelea kua mtumwa.

  • @erickmichaelmugele2107
    @erickmichaelmugele2107 2 роки тому +2

    Wanaume wanaume tubaki wanaume,walioamua kuanza kushare hisia na mitindo na wanawake waendeleee.....
    Na ngumu sana kuelewa Akili ya Mwanamke,Ngumu sana....kikubwa ni kushukuru Mungu kama unaweza kuwa na machale yakutosha

  • @joykanjadavid2617
    @joykanjadavid2617 2 роки тому

    Mashalla!!!Mashalla !!!,mahaba tamtam,hapo umefikia jambaaa... # joyce kiria... ..💋💞💞💞🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 2 роки тому +1

    Nice Joice Kiria ❤️❤️❤️

  • @glorymsopa4221
    @glorymsopa4221 2 роки тому +1

    Dada joyce sijui maisha yk ya nyuma kwajinsi ninavyokuona heshima yk mshauri atoe hiyo ereni

    • @shamimushittindi1418
      @shamimushittindi1418 2 роки тому

      Mmh Ina kosa gani wenye heshima zao ndio hao kutwa kulala na mashoga hebu tulia wewe

  • @Nzorama
    @Nzorama 2 роки тому

    Mi nawapenda saana. Ichi kipindi nikitamu sana.

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 4 місяці тому

    Mm niyaweka mkono kichwani

  • @gladysmbulla5441
    @gladysmbulla5441 2 роки тому

    Shida ni kwamba Wakiume wa kibongo wakipata wanawake wanaowazidi umri unaenda kwa mengi La kuchunaa n.a. sio mapenzi wachache sanna sana true love

  • @robinmlilo3547
    @robinmlilo3547 2 роки тому

    🤣🤣🤣🤣mm huyu mtu aijue password yang bank oneee

  • @mamamzury1369
    @mamamzury1369 2 роки тому +1

    Kwani lazima avae hereni jaman.kama ana hofu ya Mungu atoe hiyo hereno

  • @dorothtobias8053
    @dorothtobias8053 2 роки тому +3

    Here! Hujakoma ee ! MPE hiyo namba ya Siri . Siku utaenda bank ukute kweupe ndo utaelewa. Ndo itakua hujui.

  • @shamimushittindi1418
    @shamimushittindi1418 2 роки тому

    JOYCE UNACHOONGEA NI UKWELI ARON NI KIJANA MZURI SANA NA MPIGA KAZI MZURI SANA NA AMETOKA FAMILIA YENYE HOFU YA MUNGU SANA.HONGERA JOYCE MUNGU AMEKUSIKIA TUNAOMJUA ARON SINCE ARUSHA TUNAELEWA

  • @JenniferDenis-q9z
    @JenniferDenis-q9z 7 місяців тому

    Nataka namba ya Joyce kiriya

  • @rendozrendo7804
    @rendozrendo7804 2 роки тому +3

    Mmmmh Joy hivi Kuna mapenzi kweli siku hizi?? Kuna chang's moto Sana dada kipenzi.

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 2 роки тому +6

    Dada Joyce kuwa makini na huyo mkaka hiyo hereni tu nina mashaka nae

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 2 роки тому

      mhusika hana mashaka nae wewe mashaka ya nini!! kabiliana na ya kwako kabla ya kuuliza ya wengine

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 2 роки тому

    Pendanani joy hivyo hivyoooo

  • @hannajoseph645
    @hannajoseph645 2 роки тому

    Mmmmm hereni tena Askofu ooo

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 4 місяці тому

    Hii ndoa bado ipo??

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 2 роки тому

    Halloo huyu kaka ana akili mingi mno. Big up Aaron Joyce hubby

  • @rosemiho2670
    @rosemiho2670 2 роки тому

    Dada Joyce hivi baba wa mtoto haliyemleta Duniani au anamcare mtoto au watoto na mke

  • @ainesndosi4759
    @ainesndosi4759 2 роки тому

    Dida mswahili sana jamani

  • @johnbatashaka8181
    @johnbatashaka8181 2 роки тому +5

    Mungu atuhurumie sana. Yaani ninyi mnaulizwa mwawezaje kuwa na ndoa 2 kama wakristu? Halafu mnajifanya ķuja na mistari ya biblia ya kudànganya, Nyie Mungu anawaona wapuuzi nyie. Hapo mnasumbuliwa na tamaa za mwili tu ambazo zina mwisho wake.ok, go on

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 2 роки тому +1

    Joyce dada yangu huo mkono wenye Pete, saa na kucha unauonea sana,mkono uko busy kweli....hahahahahaaa

  • @simonballu1124
    @simonballu1124 2 роки тому

    WEWE JIKANYAGE TU LAKINI HAO WATOTO SIO WA HUYO KENGE AENDELEE KUVAA HELEENI NA USHOGA WAKE HANA CHAKE.

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 4 місяці тому

    Aya yatima wa mapenzi tujuane

  • @ElizabethMgeni
    @ElizabethMgeni 11 місяців тому

    Usiangalie makosa madogo madogo ya mtu, Aroon ni mtu wa hatima ya Joyce hata kama anavaa heleni, Moyo wake wa upendo ni zaidi ya hizo heleni mnazoziona

  • @mariamswedi1140
    @mariamswedi1140 2 роки тому

    Mwanamke nani mwanaume nani hapo mtumishi anavaa hereni

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 2 роки тому +1

    🤣🤣🤣🤣aliye olewa ni nani hapo?

  • @careenpatrick2759
    @careenpatrick2759 2 роки тому +1

    Bado wew mbwa watapasua hicho kichwa na bastola kiherehere

    • @erickmichaelmugele2107
      @erickmichaelmugele2107 2 роки тому +1

      Huyu ni kofi la kisogoni tu,bastola anapigwa kisu haswa

    • @misschagga8042
      @misschagga8042 2 роки тому

      Halafu ni mwanamke wewe duuu kweli utumwa hauishi.

    • @careenpatrick2759
      @careenpatrick2759 2 роки тому

      @@erickmichaelmugele2107 😁😁😁😁

    • @careenpatrick2759
      @careenpatrick2759 2 роки тому

      @@misschagga8042 utumwa upi sasa vitabu vya mungu ndy muongozo wa maisha yetu, sa kama ww utapingana na maagizo ya mungu sawa we pingana nayo

    • @misschagga8042
      @misschagga8042 2 роки тому

      @@careenpatrick2759 unajuaje kama Mungu ndio kaandika?ulikuwepo wazungu ndio wametuwekea haya yote hata yesu unaemuona hakua mzungu alikua mwafrika tukabadilishiwa tukawekewa mzungu mtaliano chunguza sio unakurupuka ndoa ni maelewano ya wawili na Mungu anabariki sio mmoja kua mtumwa kwa mwenzake hajasema hivyo.

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 2 роки тому +1

    Jamaa anajimaliza... Subiri tuone mwisho wake

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 2 роки тому

      Hakuna kujimaliza Wala kujianza hakuna mapenzi siku hizi

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 2 роки тому +1

    Wanawake nadhani mnaelewa
    Aaron unaongea

  • @happyelias9465
    @happyelias9465 2 роки тому

    🤣🤣🤣🤣hongera dada joyce

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 2 роки тому

    Nisawa mchunfaji anaishi na hawara?

  • @maryamalli9090
    @maryamalli9090 2 роки тому

    Mpenzi huyu noma ni sharo kweli

  • @glorymsopa4221
    @glorymsopa4221 2 роки тому +1

    Hakuna mchungaji anavaa ereni huo ni ushoga tu hana jipy condoo wanajifunza nini kwako

  • @zuenahamoud1532
    @zuenahamoud1532 2 роки тому

    Mmmhhhh

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge 2 роки тому +1

    MWAMBIE HUYO JUMA AJIFUNZE WANAUME WATAKIWA WAWEJE WANAUME. DIDA SAUTI KAMA RAADI JIFUNZE KUJIREKEBISHA

  • @dorothtobias8053
    @dorothtobias8053 2 роки тому +1

    Ndo utajua hujui. Kufanya kosa si kosa. Lakini umerudia Tena. Utajua hujui baadae. Hustuki tu hata watangazaji wanakucheka.. hahaaaaaa

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge 2 роки тому +1

    Wambea wasafi ndokazi yen

  • @shalomkubali4884
    @shalomkubali4884 2 роки тому +1

    Hamna mwanaume Wala Askofu shogatu huyu

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge 2 роки тому

    HUYO SIO ASKOFU NI MSANII TU ANGALIA ANAVO VAA HERENI ANAJICHUBUA. NICHOKACHOKA

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 2 роки тому

    Mbona huyo jamaa simu elewi elewi ivii

    • @sophiedanny3702
      @sophiedanny3702 2 роки тому

      Naona kama vile dada angu J atakuja kupigwa na kitu kizito vile Kwa baadae

  • @aishachambo8663
    @aishachambo8663 2 роки тому +2

    Wote wanawake wamekutana 😂😂😂😂😂

    • @georgesikazwe5914
      @georgesikazwe5914 2 роки тому

      Acha wivu fala ww tafuta wako tumuone

    • @aishachambo8663
      @aishachambo8663 2 роки тому

      @@georgesikazwe5914 Tafuta bwana kama unawashwa😏😏😏😏

  • @ainesndosi4759
    @ainesndosi4759 2 роки тому

    Makubwa

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 2 роки тому +1

    Huyu mwanaume au mwanamke?

    • @careenpatrick2759
      @careenpatrick2759 2 роки тому

      😁😁😁hili swali inabidi tumuulize hili paka Joyce

  • @listerlujiso6009
    @listerlujiso6009 2 роки тому

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nickjuma3937
    @nickjuma3937 2 роки тому

    Matatizo ya Dida ni kwamba ana mambo ya kiswahili Swahili yaani maswali ya kiswahili swahili kucheka kiswahili Swahili!!

  • @rahmatgateka6461
    @rahmatgateka6461 2 роки тому

    🤣🤣🤣

  • @careenpatrick2759
    @careenpatrick2759 2 роки тому +1

    Mwanaume atakuwa huyo,,hilo shoga pumbavu wewe

    • @elizabethmaleko7887
      @elizabethmaleko7887 2 роки тому +1

      Hapa huyu dada kajivunjia heshima kabsa waliokua wakimuona nidada anae jitambua kwahuyu jamaa wana kuona bado unahitaji elimu sio wewe kuelimisha yaonekana kabsa unafanya utoto kweli kabsa unamtambulisha huyu mbele ya wa Tanzania tulie kuamini? kama ungekua nidada yangu walah ninge mtimua mumeo kwangu akija au nyumbani kwa wazazi wasinge kubali hereni zawanawake avae mwanaume tena shemeji hapana pangechimbika jirekebshe dada umetukosea wa tz

    • @georgesikazwe5914
      @georgesikazwe5914 2 роки тому

      Wivu t unateseka san eeh

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 2 роки тому +1

    Kutoka kwa yule baba mpk kwa huyu mpk bleach ni anguko na kushuka kimapenz

  • @aldeamasuki6196
    @aldeamasuki6196 2 роки тому +1

    Kweli dunia ina mambo Askofu anavaa hereni du Joy ndo yule tunayemjua au

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 2 роки тому

      Hahahahaha😄😄😄😄😄😄😄😄askofu kwani havai herini?

    • @danielmtanda1223
      @danielmtanda1223 2 роки тому

      @@maryamalli9090 naamin ata akija kuvaa kimini utakuja kusema pia kwn askofu havai kimini😊

    • @maryamalli9090
      @maryamalli9090 2 роки тому

      @@danielmtanda1223 😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔😔

  • @omarmkumba3547
    @omarmkumba3547 2 роки тому

    Mchapuko utamjua2 anavyopayuka

  • @rahmatgateka6461
    @rahmatgateka6461 2 роки тому +1

    🤣🤣🤣