Asante sana
Asante ❤
Ubarikiwe sana
Nauliza nikitaka kutumia plate ni lazima kuset temperature na time??
Hata mm lakwangu haliivishi itakuwa shida nini
Control plate za juu,chini pembeni ili lipokee moto kote pia jifunze kucontrol moto maana ukiona kitu hakiivi jua moto ulioweka hautoshi kuivisha
Mim mbn lng jpy nimewash haliwak
Mimi ninalo kama hili bado linatoa ushamba
Ninaswali kaka hivihili haliwaki taa kwandani kamaunapika ili uwone ndani yanikukiwa namwanga ndani siunaona unachokipika hatakama umefunga oven
LAkini nahili unalionajw uimara wake likovizuri lakini mwaga siunapatikana naje feni linalo lakupoza mashine
Habari mwalimu mimi naomba nijuwe hayo majiko yajuu. UK I taka kupikiya nayounaseti moto ngapi iliyapate moto upikiye
Kupika keki unatumika Moto wa juu au
Ili izo plat zifanye kaz ni lazima uwashe TEMPERATURE
Naomba unielekeze jnsi ya kuzitumia izo plat t maan kla nikjaribu nashindwa
naulizaka ukitaka kuwasha pleti unaseti moto ngapi
Plate hauset moto unakuwa unanyonga button tu kama unavyofanya kwenye mtungi wa gesi
Asante sana umefundisha vizuri sana hatamimi ninalo kama hilo nimenunuwa ila sijaanza kulitumiya safisana dungu hongera endeleya kutufunza hakuna alozaliwa anajuwa bwana lazima tufunzane asante barikiwa
Karibu sana