Nilichokiona dada yangu anaongea ukweli unaouma ila niukweli, jamani tujifunze kumeza dawa hata kama ni chungu. Dada i wish ungekuwa dada yangu, may be we share the same characteristics. Napenda ujasili wako.
Naomba nitofautiane na wewe kwenye vyakula nimebahatika kutembelea nchi kadhaa ulaya,sisi Afrika tuna vyakula vingi na varieties labda upande wa kuvipangilia na kula healthy.Kwanza wengi wao chakula chao kikuu mikate pia wenyewe baadhi yao ukiongea nao wanatamani vyakula vyetu na wanatuonea raha😂sisi Afrika tumebarikiwa ardhi na hali ya hewa nzuri tunaweza kulima varieties ya vyakula na original. Vya kwao unakuta sio original kihivyo..
tatizo sio wanaume tu hata wanawake pia tabia zenu za ajabu sana kwa hiyo msijione nyie mko better ndio maana hata mwanaume pia akipata mzungu hato taka mwanamke mweusi saabu ya tabia zenu zilivyo kwa hiyo wacha kujiona nyie mkopoa kushinda wenzenu sswa
Kuusu chakula umekosea uku wanajua kupika lakini chakula yetu nimikate tu kitu kuna vyakula ala sisi atujue kupandisha jinsi ya kula apa wanalima viazi ulaya tu 😂
Daaah kwanini unamtukana dada watu kiasi hicho? Mbona mimi sijaona kosa lake zaidi naona ni dada mwenye akili iliyofunguka, uwezo na ujasili, mimi nimempenda huyu dada, halafu hata kama humpendi kwanini umuombee mabaya, tena nakuambia kwa Jina la Yeau hayatampata hayo mabaya.
Your so bright from your brain ❤baby keep on
Well taking girl
Your really well taking keep on baby
Nilichokiona dada yangu anaongea ukweli unaouma ila niukweli, jamani tujifunze kumeza dawa hata kama ni chungu. Dada i wish ungekuwa dada yangu, may be we share the same characteristics. Napenda ujasili wako.
Kuna watu sio wachoyo mungu awatunze ebm barikiwa sana ❤️💪
Naomba nitofautiane na wewe kwenye vyakula nimebahatika kutembelea nchi kadhaa ulaya,sisi Afrika tuna vyakula vingi na varieties labda upande wa kuvipangilia na kula healthy.Kwanza wengi wao chakula chao kikuu mikate pia wenyewe baadhi yao ukiongea nao wanatamani vyakula vyetu na wanatuonea raha😂sisi Afrika tumebarikiwa ardhi na hali ya hewa nzuri tunaweza kulima varieties ya vyakula na original. Vya kwao unakuta sio original kihivyo..
Nakubari maneno yako mie naishi ugaibuni sasa miaka 25😂
Nakubaliana nawe vyakula vyetu ni vya hasili na vina virutubisho vingi.
😊😂 Mahojiano mazuri na the Best experience
Sema majina yake ungeandika amna ata moja nlo elewa, na interview nzuri 🙏
Roho mbaya 💯 well said
Your beautiful and skin tone is on point
Very smart openly talking.
Dada ameponda sana wanaume wa kitanzania, mwanamke wa kitanzania tukiwalinganisha na wa kizungu tutegemee wakitanzania wakawazidi?
Mkuu wa kazi tunaomba interview na shabani mwampambe
Nampenda huyu dada yuko straight
tunazaliana kama mbwa tutatiana mimba kama mbwa LUGHA JAMANI LUGHA TUSIJIDOGOSHE SANA JAMANI
Tatizo la huyu dada ana over react Sana kwenye maongezi yakepaka haeleweki 😂😂😂😂
tatizo sio wanaume tu hata wanawake pia tabia zenu za ajabu sana kwa hiyo msijione nyie mko better ndio maana hata mwanaume pia akipata mzungu hato taka mwanamke mweusi saabu ya tabia zenu zilivyo kwa hiyo wacha kujiona nyie mkopoa kushinda wenzenu sswa
Ebm kama utaona comment yangu naomba msada wako nakuomba najua haunisaidii bure
Jike Dume hili, NOT marriage material
Kuusu chakula umekosea uku wanajua kupika lakini chakula yetu nimikate tu kitu kuna vyakula ala sisi atujue kupandisha jinsi ya kula apa wanalima viazi ulaya tu 😂
Hata mimo nimetapeliwa pia nklimtumia ebm meseji istaram ila sikjjibiwa pia nklijitahidi kutafuta namba yake ila sikufanikiwa mpaka ni😭😭😭mekata tamaa
Huyu dada mrembo sana, haja jichumbua
I come ven asante umeongea vema naomba nijue nkupataje
Naenda uko na mimi pia
In any professional job, you are not supposed to give out your personal number.
Umetambulishwa na kidole kipi hicho😂
Huyu si upinde
Naomba mchongo
Unakifua kipana kibaya,unanyonyesha vibabu mkorofi sura mbaya huna maisha ww Mshukuru Babu,kutwa Filter leo sura pana mfuuuu🌚
Na shauri nyie mliofika huko ibeni Ivo vitu ambavyo mtaona vitatusaidia then mlete huku kutengeza ajira nyingi kwa watanzania
Nenda vijijini huko wanakodisha Baiskeri na wanarudisha wewe hujatembea tuliza komwe
VISA SIKU HIZI WANATOA SCHENGEN VISA AMBAYO UTATEMBEA NCHI ZOTE ZA ULAYA.
Yeah Mwambapa aje apa tumwone
Hiki kidada kijinga hiki,kwanza kifupi kama kinyeo chake sikipendi 😡kwanza unadharau sana ww na mabaya yakupate
Usimtukane mie nampenda cheusi dawa
Daaah kwanini unamtukana dada watu kiasi hicho? Mbona mimi sijaona kosa lake zaidi naona ni dada mwenye akili iliyofunguka, uwezo na ujasili, mimi nimempenda huyu dada, halafu hata kama humpendi kwanini umuombee mabaya, tena nakuambia kwa Jina la Yeau hayatampata hayo mabaya.
She talks too much.
Czechia is the name, only foreigners call it Czech Republic 😂
Ebm kama utaona comment yangu naomba msada wako nakuomba najua haunisaidii bure