MAISHA YA ICOME - NJE YA MITANDAO YA KIJAMII

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 38

  • @AnnaMsofe-y3k
    @AnnaMsofe-y3k Годину тому

    Your so bright from your brain ❤baby keep on

  • @AnnaMsofe-y3k
    @AnnaMsofe-y3k Годину тому

    Well taking girl

  • @AnnaMsofe-y3k
    @AnnaMsofe-y3k Годину тому

    Your really well taking keep on baby

  • @francomkandawile8572
    @francomkandawile8572 7 годин тому +1

    Nilichokiona dada yangu anaongea ukweli unaouma ila niukweli, jamani tujifunze kumeza dawa hata kama ni chungu. Dada i wish ungekuwa dada yangu, may be we share the same characteristics. Napenda ujasili wako.

  • @HanifaChalresy
    @HanifaChalresy 13 днів тому +1

    Kuna watu sio wachoyo mungu awatunze ebm barikiwa sana ❤️💪

  • @graceandrew3988
    @graceandrew3988 10 днів тому +13

    Naomba nitofautiane na wewe kwenye vyakula nimebahatika kutembelea nchi kadhaa ulaya,sisi Afrika tuna vyakula vingi na varieties labda upande wa kuvipangilia na kula healthy.Kwanza wengi wao chakula chao kikuu mikate pia wenyewe baadhi yao ukiongea nao wanatamani vyakula vyetu na wanatuonea raha😂sisi Afrika tumebarikiwa ardhi na hali ya hewa nzuri tunaweza kulima varieties ya vyakula na original. Vya kwao unakuta sio original kihivyo..

    • @leemaccshaban52
      @leemaccshaban52 3 дні тому +2

      Nakubari maneno yako mie naishi ugaibuni sasa miaka 25😂

    • @hoseakipkemei2244
      @hoseakipkemei2244 20 годин тому

      Nakubaliana nawe vyakula vyetu ni vya hasili na vina virutubisho vingi.

  • @Mahene-w1l
    @Mahene-w1l 13 днів тому +3

    😊😂 Mahojiano mazuri na the Best experience

  • @estherkeba24
    @estherkeba24 10 днів тому +2

    Sema majina yake ungeandika amna ata moja nlo elewa, na interview nzuri 🙏

  • @souksoukeventsandmarketing653
    @souksoukeventsandmarketing653 9 днів тому +1

    Roho mbaya 💯 well said

  • @ShabaniSudi-d1x
    @ShabaniSudi-d1x 12 днів тому

    Very smart openly talking.

  • @MartinLorri
    @MartinLorri 10 днів тому +1

    Dada ameponda sana wanaume wa kitanzania, mwanamke wa kitanzania tukiwalinganisha na wa kizungu tutegemee wakitanzania wakawazidi?

  • @gidesbalunguza7152
    @gidesbalunguza7152 13 днів тому +1

    Mkuu wa kazi tunaomba interview na shabani mwampambe

  • @nanija876
    @nanija876 5 днів тому

    Nampenda huyu dada yuko straight

  • @kasangagregory5747
    @kasangagregory5747 6 днів тому

    tunazaliana kama mbwa tutatiana mimba kama mbwa LUGHA JAMANI LUGHA TUSIJIDOGOSHE SANA JAMANI

  • @Montana12-v2c
    @Montana12-v2c 5 днів тому +1

    Tatizo la huyu dada ana over react Sana kwenye maongezi yakepaka haeleweki 😂😂😂😂

  • @tradamus4158
    @tradamus4158 13 днів тому +2

    tatizo sio wanaume tu hata wanawake pia tabia zenu za ajabu sana kwa hiyo msijione nyie mko better ndio maana hata mwanaume pia akipata mzungu hato taka mwanamke mweusi saabu ya tabia zenu zilivyo kwa hiyo wacha kujiona nyie mkopoa kushinda wenzenu sswa

  • @ZubedaPaulo
    @ZubedaPaulo 9 днів тому

    Ebm kama utaona comment yangu naomba msada wako nakuomba najua haunisaidii bure

  • @section8ight174
    @section8ight174 5 днів тому +1

    Jike Dume hili, NOT marriage material

  • @leemaccshaban52
    @leemaccshaban52 5 днів тому +1

    Kuusu chakula umekosea uku wanajua kupika lakini chakula yetu nimikate tu kitu kuna vyakula ala sisi atujue kupandisha jinsi ya kula apa wanalima viazi ulaya tu 😂

  • @ZubedaPaulo
    @ZubedaPaulo 9 днів тому

    Hata mimo nimetapeliwa pia nklimtumia ebm meseji istaram ila sikjjibiwa pia nklijitahidi kutafuta namba yake ila sikufanikiwa mpaka ni😭😭😭mekata tamaa

  • @vero57
    @vero57 9 днів тому

    Huyu dada mrembo sana, haja jichumbua

  • @DeusdedithKwai
    @DeusdedithKwai 12 днів тому

    I come ven asante umeongea vema naomba nijue nkupataje

  • @vero57
    @vero57 9 днів тому

    Naenda uko na mimi pia

  • @evaemil856
    @evaemil856 6 днів тому

    In any professional job, you are not supposed to give out your personal number.

  • @AgredaMoyo
    @AgredaMoyo 12 днів тому +1

    Umetambulishwa na kidole kipi hicho😂

  • @happinessmtani7621
    @happinessmtani7621 12 днів тому

    Naomba mchongo

  • @annamussa185
    @annamussa185 10 днів тому +2

    Unakifua kipana kibaya,unanyonyesha vibabu mkorofi sura mbaya huna maisha ww Mshukuru Babu,kutwa Filter leo sura pana mfuuuu🌚

  • @albinimichael1342
    @albinimichael1342 3 дні тому

    Na shauri nyie mliofika huko ibeni Ivo vitu ambavyo mtaona vitatusaidia then mlete huku kutengeza ajira nyingi kwa watanzania

  • @annamussa185
    @annamussa185 10 днів тому +1

    Nenda vijijini huko wanakodisha Baiskeri na wanarudisha wewe hujatembea tuliza komwe

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 8 днів тому

    VISA SIKU HIZI WANATOA SCHENGEN VISA AMBAYO UTATEMBEA NCHI ZOTE ZA ULAYA.

  • @machozukumuda6596
    @machozukumuda6596 13 днів тому

    Yeah Mwambapa aje apa tumwone

  • @annamussa185
    @annamussa185 10 днів тому +1

    Hiki kidada kijinga hiki,kwanza kifupi kama kinyeo chake sikipendi 😡kwanza unadharau sana ww na mabaya yakupate

    • @gallegalleson4427
      @gallegalleson4427 7 днів тому +1

      Usimtukane mie nampenda cheusi dawa

    • @francomkandawile8572
      @francomkandawile8572 7 годин тому

      Daaah kwanini unamtukana dada watu kiasi hicho? Mbona mimi sijaona kosa lake zaidi naona ni dada mwenye akili iliyofunguka, uwezo na ujasili, mimi nimempenda huyu dada, halafu hata kama humpendi kwanini umuombee mabaya, tena nakuambia kwa Jina la Yeau hayatampata hayo mabaya.

  • @nkonoki7993
    @nkonoki7993 День тому

    She talks too much.

  • @section8ight174
    @section8ight174 6 днів тому

    Czechia is the name, only foreigners call it Czech Republic 😂

  • @ZubedaPaulo
    @ZubedaPaulo 9 днів тому

    Ebm kama utaona comment yangu naomba msada wako nakuomba najua haunisaidii bure