PART 1 Inside story of the most wanted gangster that hid in full plain sight

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 кві 2024
  • Sammy is very sick and he is suffering from NEFHROTICSYNDROME which is a kidney disease and the medicines are very expensive, Kindly lets help the brother out with the small we have and give him a second chance in living a normal life.. (Paybill 400222 - ACCT -34859#SAMMY) Go bless
    WATCH PART 2 HERE
    • PART 2 inside story of...

КОМЕНТАРІ • 86

  • @davidshepherd846
    @davidshepherd846 Місяць тому +4

    Let the person speak let the story flow. Very simple lakini haushiki

  • @loidmutuma9765
    @loidmutuma9765 2 місяці тому +18

    Edu tutaftie broker mmoja mwenye ashawai patikana na hizo vitu hua wanauziwa za wizi.. I would really love to hear a story from one of them ju it's quite risky

    • @antonynkanata1834
      @antonynkanata1834 2 місяці тому +2

      Kuna mathy fulani alikuwa ltugi Tv. She was not lucky one day she bought laptop,carpet and stuff wueh!😢

    • @footballhd8260
      @footballhd8260 2 місяці тому +4

      Wengi wao wanakula na polisi wa izo area

    • @antonynkanata1834
      @antonynkanata1834 Місяць тому

      @@footballhd8260 Yeah. Some cops are partners in crime.

    • @festusokinda4702
      @festusokinda4702 Місяць тому +1

      Nigeria nake inafaa ibomolewe

    • @timmusumba5846
      @timmusumba5846 Місяць тому

      Huyu boy alianza wizi kitambo hata kabla "Thika Super Highway" ijengwe 🤔! Thika Super Highway serikali ya Kibaki ilianza construction January 2009 naikafunguliwa November 2012!
      He is a very intelligent boy though na hata kingoso tena ako sawa sana!

  • @boniface3710
    @boniface3710 Місяць тому +8

    Good story teller the guy is smart upstairs

  • @BRYANPOISER456
    @BRYANPOISER456 2 місяці тому +8

    Change is inevitable....
    Ugwangi halipi..
    2nd chance given by the Most High

  • @backupaccount7198
    @backupaccount7198 2 місяці тому +13

    Buda i have to commend you on just how professional you have become in moderating these interviews , umekua kegonyi wa story kweli .... Alafu hii part 2 teketeke hehe

    • @user-gl5vt8ee2g
      @user-gl5vt8ee2g Місяць тому

      I wish bro yake Lefty agekuwa uhai na awe reform alikuwa matheri wa mathare

  • @johnkamau8867
    @johnkamau8867 2 місяці тому +5

    Hii kufura uso ni effects za maini juu ya changaa mingi unaeza thani ni mtu healthy😢😢changaa sio poa

  • @harrisonogalo4630
    @harrisonogalo4630 Місяць тому +3

    This guy used to be my best friend back then in Mathare, a great footballer, and a fun fact among the few families who used to own a TV back then in Mathare. He was good in school work and most guys didn't understand why he left school. A second chance is deserved, I also got one and transformed.

  • @gracey_5049
    @gracey_5049 Місяць тому

    Best interviewer🔥

  • @meshacklumumba7432
    @meshacklumumba7432 24 дні тому +1

    Maze Sammy is a good story teller,the guy is smart upstairs

  • @peterkaruri508
    @peterkaruri508 Місяць тому +3

    Enyewe no one wishes to be sick pole Samuel

  • @davidshepherd846
    @davidshepherd846 Місяць тому +2

    Unaharibu interview kuuliza maswali mengi story ingekua tamu lakini haiangaliliki

  • @libanmilano673
    @libanmilano673 Місяць тому +1

    story noma i cant wait to wach part 2 thank you edmic

  • @user-gl5vt8ee2g
    @user-gl5vt8ee2g Місяць тому +2

    Ochieng ukweli ilikuwa unaftwa ur bro footstep na tulikuwa tunaogapa 12:00 Lefty sana alale pema peponi. God will heal u wacha tucheze na mpesa

  • @lyimmzy
    @lyimmzy Місяць тому +2

    Great initiative but try to limit interference with questions. Let them speak man.

  • @johnkaris5559
    @johnkaris5559 Місяць тому +3

    huyu anakaa mtoi wa miguna

  • @beavaneomwenga1987
    @beavaneomwenga1987 Місяць тому +1

    Iyo Nigeria sahii Rashid alijaribu kuinyorosha

  • @samkrooo8017
    @samkrooo8017 2 місяці тому +2

    Ma boy itabidii tujitume manze

  • @BaTafari1
    @BaTafari1 2 місяці тому +2

    Manna Badman

  • @jeremiahmuniafu4022
    @jeremiahmuniafu4022 Місяць тому

    Waaaah

  • @Young_nyuki
    @Young_nyuki Місяць тому +2

    Second chance inakufaa kabisaa

    • @edmacmedia
      @edmacmedia  Місяць тому

      ua-cam.com/video/sPHzbgkjpEA/v-deo.html

  • @LennyNjenga-vz6fv
    @LennyNjenga-vz6fv Місяць тому +1

    Too many Questions by interviewer SPOILED IT..can't even follow

  • @maxwellyiema
    @maxwellyiema Місяць тому

    Lete part 2, nimegoja sana

    • @edmacmedia
      @edmacmedia  Місяць тому

      ua-cam.com/video/sPHzbgkjpEA/v-deo.html

    • @edmacmedia
      @edmacmedia  Місяць тому

      Tumchangie apate madawa kindly

  • @davidshepherd846
    @davidshepherd846 Місяць тому +1

    Interviewer interruptions punguza una bore

  • @suleimanmatege3899
    @suleimanmatege3899 5 днів тому

    Part2

  • @samuelmuriuki5849
    @samuelmuriuki5849 2 місяці тому +1

    Innocent face..😢 order yako siwezi tii..wizi ni sura..ya Dimosh..Onyi..na kama..danko😢

  • @ezekielonyango6354
    @ezekielonyango6354 2 місяці тому +6

    Hope me ndio wa kwanza ku commemt wapi likes zangu

  • @johnmartin2733
    @johnmartin2733 2 місяці тому +1

    Edwin wapi part 2 ya hii story umetuweka pending Sana.

  • @moembithi363
    @moembithi363 2 місяці тому +1

    Heri mtoi akae ushago aki kuliko alelewe ghetto zingne 😢 This is just sad.

    • @user-wt9be2pd4t
      @user-wt9be2pd4t Місяць тому

      Kwani Wezi wa Ng'ombe wako Ghetto ama?

    • @moembithi363
      @moembithi363 Місяць тому

      @@user-wt9be2pd4t sasa weweh....Ata sitajichokesha aki

  • @delavive
    @delavive Місяць тому

    Nimetoka na word moja, "kabarieng'"

  • @simonjomo9122
    @simonjomo9122 2 місяці тому +1

    seasoned gangster ....weh!....na kwani hamfikiriangi biz mkifanya hii wizi yenu...uibee upate capital not once not twice not thrice na uko tu...😂😂....vile beings

    • @footballhd8260
      @footballhd8260 2 місяці тому

      Ndio me hushangaa walai. Me nikieza iba mara tatu nipate Niko na Ka 100k naachana na hao marafiki naanzisha biz

    • @pharaohraheemangelofdeath
      @pharaohraheemangelofdeath Місяць тому

      Akuna biz utaanzisha na 100k hii economy ya ruto i last 1 year labda ulipe agent 65k uende qatar roho safi​@@footballhd8260

  • @timmusumba5846
    @timmusumba5846 Місяць тому

    30:35 Yaani munaambiwa "inueni ma t-shirt ikakuwa hatuna visu".... Kwani huyu karau alikuwa anarisk maisha yake akiingia huko kwa kituo "man solo"! What if mmoja wao ama wawili wangekuwa armed wampige risasi 🤔?

  • @timmusumba5846
    @timmusumba5846 Місяць тому

    17:34 Huyu boy alianza wizi kitambo hata kabla "Thika Super Highway" ijengwe 🤔! Thika Super Highway serikali ya Kibaki ilianza construction January 2009 naikafunguliwa November 2012!
    He is a very intelligent boy though na hata kingoso tena ako sawa sana!
    Hiyo kufura kwa uso, mikono na miguu ni kwasababu ya mihadarati ama kupigwa kwa Jela? You should come clear on that!

  • @joejunior3340
    @joejunior3340 2 місяці тому +2

    Nikiona part 1 na 2 ndio najua story iko chonjo..hao wengine wote walikua jaba

    • @edmacmedia
      @edmacmedia  Місяць тому

      ua-cam.com/video/sPHzbgkjpEA/v-deo.html

  • @emmanuelmutuku3456
    @emmanuelmutuku3456 Місяць тому

    Hii kamsi mpya naeza ipata wapi jameni 😊

  • @kaystyle614
    @kaystyle614 Місяць тому

    interviwer puguza maswali kwanza kuna story mob unarukisha na interruption ya maswali

  • @anthonykinuthia9201
    @anthonykinuthia9201 Місяць тому

    Kumbe wezi wengi ni wajaka

  • @crazykids5779
    @crazykids5779 2 місяці тому +2

    Miaka nane ni mtoto wa class 2 wala sio 4

  • @njerunjiru609
    @njerunjiru609 Місяць тому

    "Hutia" ni touch screen.

  • @johnmartin2733
    @johnmartin2733 2 місяці тому

    Part 2 iko wapi buda tumengoja Sana.

    • @edmacmedia
      @edmacmedia  Місяць тому

      ua-cam.com/video/sPHzbgkjpEA/v-deo.html

  • @bievinnie1644
    @bievinnie1644 Місяць тому

    The guy looks sick anyway

  • @LeonardChepkwony-ey6lm
    @LeonardChepkwony-ey6lm Місяць тому

    Halijuaje kutumia gun,any way ako msmaeter sana

  • @wairimu6547
    @wairimu6547 Місяць тому

    Hii paybill haifanyi

  • @benshermansherman6662
    @benshermansherman6662 2 місяці тому

    Buda part 2 iko wapi

  • @mambosawa-rm7hy
    @mambosawa-rm7hy 2 місяці тому

    Sasa mutu amesumbua watu,,,kuiba na kuchoma watu visu. Sasa tumchangie tena??

    • @tashagee6941
      @tashagee6941 2 місяці тому +2

      You don't have a reason to judge, judgment achia God😊,we all deserve a second chance

    • @mambosawa-rm7hy
      @mambosawa-rm7hy Місяць тому

      @@tashagee6941 People have come to collect money on you tube. Anapost story,,then anaweka paybill. Hapo zii..

    • @mambosawa-rm7hy
      @mambosawa-rm7hy Місяць тому

      The huyu msee amekuwa mwizi,,kuwacha watu wakilia. Even if he was my brother,,,,siimpi kitu. Atleast Hes now reaping the tears that he made people to shed.

  • @Kinyua6
    @Kinyua6 2 місяці тому

    Ako na Kidney failure. He needs treatment

  • @SmadyMauru-vm1ww
    @SmadyMauru-vm1ww Місяць тому

    Huyu ni mmbuda

  • @danmutokah1457
    @danmutokah1457 2 місяці тому

    Paybill ni ya nini?

  • @mambosawa-rm7hy
    @mambosawa-rm7hy 2 місяці тому

    But you guys this has become common,,,you come up with a story,,,then munaweka paybill. This means munachanga pesa from people ama vipi? I understand that you tube pays.....does it pay this way??

    • @brendanafula7105
      @brendanafula7105 Місяць тому

      Haujalazimishwa kutoa Me man

    • @mambosawa-rm7hy
      @mambosawa-rm7hy Місяць тому

      @@brendanafula7105 Better tolea flood victims,,not retired wezis.

    • @re.a_ga.n9000
      @re.a_ga.n9000 Місяць тому

      Natuma pesa towards what?

  • @BRYANPOISER456
    @BRYANPOISER456 2 місяці тому +1

    Change is inevitable....
    Ugwangi halipi..
    2nd chance given by the Most High