JINSI YA KUPIKA PILIPILI YA EMBE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 33

  • @ChausikuIsmal
    @ChausikuIsmal 12 годин тому

    Wow 😊😊unauza shingp dear,,,na faida unapata km shingp kwa mpiko mmoja ukijumlisha na hizo package zake

  • @ShaydaAlly-rm8ft
    @ShaydaAlly-rm8ft 10 місяців тому

    shukrani sanaaa dada mungu akubariki

  • @gracemathayo6128
    @gracemathayo6128 3 місяці тому

    Embe lolotee au

  • @loycesaid2352
    @loycesaid2352 Рік тому

    Ngoja nipike nitaleta😂 mrejesho hapa ❤

  • @pendomsigwa810
    @pendomsigwa810 8 місяців тому

    Asante Dada

  • @bernadetaowino7742
    @bernadetaowino7742 8 місяців тому

    Ni nzuri Dina, kuna kitu sijapata matamshi Vizuri.... ...hiyo inaitwa Cori flour, Corn flour au Cori fly?? Naomba jibu sahihi ili nikienda dukani nijue ninachoenda kununua

  • @user-dt2pp5jz1t
    @user-dt2pp5jz1t 5 місяців тому

    👌

  • @user-oo1cr7vx5z
    @user-oo1cr7vx5z 2 місяці тому

    Unauza shingap???

  • @saidbildo9365
    @saidbildo9365 Рік тому

    Hope you doing fine.
    Samahani kwausumbufu sister Dina illa just nilikuwa nauliza jee nikifanya achari ya beti jekundu inaleta faida nakitu gani unachanganyisha

  • @_.sheisherself._
    @_.sheisherself._ 2 роки тому

    Mungu akubariki sana 🥰

  • @jacklinegeorge7034
    @jacklinegeorge7034 2 місяці тому

    Madame vinegar wengine inawaletea kiungulia au gas hasa wenye vidonda vya tumbo je wakat wa kuchemsha huwez kuiacha na mchuzi mchuzi wa kutoshea kusagia kwenye brenda!?

  • @RacheLady21
    @RacheLady21 3 місяці тому

    Plz anwer this
    Hata isipowekwa kwenye fridge haiharibiki?

  • @saidbildo9365
    @saidbildo9365 Рік тому

    Asalam aleikum dear Dina.
    Hope you doing fine

  • @FinyasMakame
    @FinyasMakame Рік тому +2

    Na ikiwa nzito unaweka maji ya moto au ya baridi ili iwe nyepesi maana nafanya kwa ajili ya biashara

  • @annasamba4869
    @annasamba4869 Рік тому

    Kichupa kama hcho unauza bei gan dear nahitaj

  • @zanahbiaalmasi3586
    @zanahbiaalmasi3586 Рік тому

    Km hauna vinegar unaweza kuweka limao

  • @yunicefesto3740
    @yunicefesto3740 11 місяців тому

    Uwo unga Ni unga wa Nini dada?

  • @Jastus100
    @Jastus100 Рік тому

    Unaweka sodium kwa kipimo cha maji ya kupikia viungo vyako?

  • @gloryshirima8904
    @gloryshirima8904 Рік тому

    Unaitwa sodium nn?

  • @maryaugustino8716
    @maryaugustino8716 Рік тому

    Ukiweka sukari kwenye pili pili je watu wenye sukari hawawezi kutumia kwa hiyo biashara yako unauza kwa watu wasio na kisukari

  • @mwajumaally1041
    @mwajumaally1041 Рік тому

    Sh ngapi unauza chupa moja ya pilipili

  • @sarahkhan7965
    @sarahkhan7965 Рік тому

    Kama hamna pilpil mbuz unaweza kuweka za kawaida

  • @maryammohammed1991
    @maryammohammed1991 Рік тому

    iyo nayo nini

  • @maryammohammed1991
    @maryammohammed1991 Рік тому

    niandikie namba yk

  • @mwanaidimwinyi7759
    @mwanaidimwinyi7759 Рік тому

    Wanasema et vijiko viwili kwa lita kumi je imekaaje hii

    • @Dina-py8js
      @Dina-py8js  Рік тому +1

      Kwa mimi ninavyofahamu unatakiwa kuweka gram moja kwa lita moja mamy

    • @neemaedgar1786
      @neemaedgar1786 Рік тому

      Kwa hiyo Lita moja kijiko kimoja cha sodium so ndio jamani maana na Mimi nataka kuanza hii biashara hivyo nafuatilia haya mafunzo

  • @asmaabdul2302
    @asmaabdul2302 2 роки тому

    Nisipoweka hiyo sodium benzoate inaweza kukaa kwa mda gani dear?

    • @Dina-py8js
      @Dina-py8js  2 роки тому +1

      Unaweza usiweke sodium benzoate lakini lazima uweke vinegar ili ikae muda mrefu unaweza ukaweka vinegar pekeyake na ikakaa zaidi ya miezi sita