UKWELI MTUPU: Mchungaji atetea kilichoonekana kwenye video ya mahubiri yake

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 177

  • @AdoAshu80
    @AdoAshu80 6 років тому +10

    Na vipi kuhusu “Unabii na kuvaa nywele bandia??? Imekaaje hiyo??? Mungu hakuwatuma manabii duniani waje kuvaa nywele za bandia” utakuja kupata mapepo ya kibrazilian 😂😂😂😂

  • @heaven.love.foundation
    @heaven.love.foundation 6 років тому +5

    Daah... mshkaji ukiendelea kuhoji namna hii utafika mbali sana.... umehoji vzr sana.... huyo mama amwogope Mungu huu ndio ushaur wangu

  • @nasha4386
    @nasha4386 6 років тому +2

    uko vizuri mtangazaji. Critical questions

  • @annamasesa4561
    @annamasesa4561 6 років тому +8

    Kijana unajua kuhoji big up 👌

  • @happymlay4696
    @happymlay4696 6 років тому

    mi nakushauri mtumishi Wa mungu endelea mbele na kazi ya mungu usiogope maneno ya watu kumbuka hata yesu alitamkiwa maneno hakuangalia maneno aliangalia alichotumwa na mungu duniani sasa angalia kusudi La mungu ndani yako alieanzisha kazi ndani yako ataimaliza usikubali hizo ni hila za shetani kuua huduma

  • @mwlelishamathayo6528
    @mwlelishamathayo6528 6 років тому +8

    umechemka mama majib yako yamepinda pinda hueleweki watu wanafahamu sana mambo ya kinabii hapo umetudanganya na Mungu amekuweka wazi sasa aibu yako

  • @tulamuonaalamagata8559
    @tulamuonaalamagata8559 6 років тому +6

    unajua kuhoji vizur hongera ila bado sijaridhika na majibu ya nabii.

  • @gracew2194
    @gracew2194 6 років тому

    Woman of God you have spoken well. God bless you

  • @annavicent3304
    @annavicent3304 6 років тому

    mimi na mkubali sana nabiii olive kwani amenifungua sana ktk maisha yangu no kweli uyo ni mtumishi katumwa na mungu ameni mungu ni mwema mama vumilia na hill pia litapita kwa jina la yesu

  • @IfahamuTanzania
    @IfahamuTanzania 6 років тому +7

    Ngoja waangamie maana hawataki kusoma maandiko wao wanakimbilia kwenye miujiza,maandiko ndiyo kweli tupu ya MUNGU,watu wa MUNGU achaneni na hao manabii wa uongo wanawapeleka shimoni eidha ni kwa kujua au kutokujua,Neno la MUNGU pekee ndo taa na kupitia,kupitia BIBLIA utamfahamu Yesu na utazifahamu amri kumi zake na upendo wake,#SOMA MAANDIKO

  • @farajalaizer4669
    @farajalaizer4669 6 років тому +4

    kaka umeuliza maswali ya kimsingi kabisa,hongera

  • @kwzjkwz3532
    @kwzjkwz3532 6 років тому +7

    Waislam hongereni Mwenyezi Mungu awape nguvu ya kutangaza dini ya kiislam

  • @zaituniabdallah4719
    @zaituniabdallah4719 6 років тому +7

    huyu nabii Bora nabii tito

  • @aboubakarali9494
    @aboubakarali9494 6 років тому +6

    Nabii ana Nywele za Mfu, aaaa Tuache, kma dada powa wa Viwanja vya Fisi, Mpiga Hela Kanisa lke 😊

    • @shabansalim9454
      @shabansalim9454 6 років тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😉😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mpaka basiiiiiiiii huwelewiki dadaaa

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 6 років тому

      Aboubakar ALI na alikuwa amevaa bana nyonga.

  • @blendabenny271
    @blendabenny271 6 років тому +6

    kilicho tupa Mashaka ulivoongelea pemben ya maik ungeongelea kwenye maiki ,Ilo host ukovizir kwa maswal

  • @mtumishimarthamao2283
    @mtumishimarthamao2283 6 років тому +4

    nabii wakizazi kipya, hakuna na mwanamke katika biblia , wewe nina nabii ulie chaguliwa na na baba yako wakiroho Edward wa Akuzamu ministry, Mungu hajuwi hayo unayo yafanya , kuwa nakarama siyo kuwa nabii wa Mungu , kwenye biblia kuna kina simoni mchawi walikua wanakarama tena walitenda miujiza mikubwa lakini hawakutumwa na Mungu, we we nawe unahitaji deliverance utoke kwenye hayo maroho machafu ya kiganga na ubashiri ,huna Roho mtakatifu , Roho mtakatifu angekuwa ndani yako kwanza usinge weka hayo mamywele kichwani kwako , ungemuheshimisha ,naukiwa na Roho wa Mungu kamwe huwezi kuitetea kazi yake , hiyo umekuja kutetea biashara yako maana wateja wasije wakalala mbele, jiangalie sana , mimi nimtu warohoni nimekukataaa nimeipima roho iliyo ndani yako haisemi kwangu .

  • @jifunzekuhusuwewe7475
    @jifunzekuhusuwewe7475 6 років тому

    Piga kazi Dada kila mtu humpokea Mungu kwa njia yake na namna yake,

  • @mirajifikirini6305
    @mirajifikirini6305 6 років тому +1

    Mmmmh vyuma vimekaza kwel . Piga kerere kwa nguvu duh!

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 6 років тому

    Kijana anamhoji mama kama anamshushua nimeenjoy😂😂😂😂

  • @happymariki5355
    @happymariki5355 6 років тому

    mungu hutumia watu mbali mbali usiwe MTU wa kujudge anayejudge ni mungu

  • @sky-wz5zi
    @sky-wz5zi 6 років тому +6

    hv huyu dada anaelewa swali kweli? unaulizwa unaitwa nan? eti "namshukuru Mungu kunileta hapa en so on.... bla blah'" stupid

    • @194summer
      @194summer 3 роки тому

      Shida yako unaongea sana hujui kujieleza,jibu kwa kifupi hadi unakera

  • @anethihuyukschanganyikiwas8815
    @anethihuyukschanganyikiwas8815 6 років тому

    mungu akubariki sana nabii na aenderee kukutumia kwa viwango vya juu sana unabii kwetu ss ambao hatujawahi kusikia sauti ya mungu nivigumu kuerewa ulichokuwa unakifanya

    • @magrethkibiki2508
      @magrethkibiki2508 6 років тому

      usijali mama wote wanao nena kinyume nawe jua in wa upande mwingine

  • @prigethanthony6524
    @prigethanthony6524 5 років тому

    Mungu kakuumbuua,katuonyesha jinsi kulivyo na manabii wa uongo,wewe ni mmojawapo,tubu dada.

  • @naomisamwel5264
    @naomisamwel5264 6 років тому +1

    Uongo 2

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 6 років тому

    sema uyu mchungaji mkali sana ,,sura nzuri,, shepu la maana ,,sauti la mahaba ,,yuko vizuri ,,

  • @rosemengo8348
    @rosemengo8348 6 років тому

    mama unadanganya madhbahuni mpk radioni.Mungu akusaidie saana muongo mkubwa pepo kuzimu weee,bora hata ungevaa miwani huna aibu kabisa

  • @Machakujr_
    @Machakujr_ 6 років тому +6

    acha uongo mwizi mkubwa ww

  • @juzelujo2169
    @juzelujo2169 6 років тому

    Braza nimependa unavohoji aseee....good

  • @selemanimkonga8150
    @selemanimkonga8150 6 років тому +1

    Watakuja makristo wa uongo wewe ni mmoja wa uwongo

  • @sky-wz5zi
    @sky-wz5zi 6 років тому +3

    "hawawezi kulalamika kitu ambacho hakipo" kwahyo kumbe unajua KIPO,! jmn uyu nabii katokea wp kwan😄 halafu haelewi maswali huyu nabii kabila gan kwan😂😂😂

  • @josejuma103
    @josejuma103 6 років тому

    Mwandishi upo vzr wewe unajua kazi yako big up sanaa

  • @brightnessmmuni8081
    @brightnessmmuni8081 6 років тому

    kaka uko vizuri sana ktk kumhoji mtu ubarikiwe

  • @thauratali3656
    @thauratali3656 6 років тому +2

    😂😂😂😂😂😂😂umemwambia alie ili tumuone ana jini

  • @happinessmwaipopo7426
    @happinessmwaipopo7426 6 років тому +6

    Huyu dada mkavu jamani kha!

  • @rahmsjames9365
    @rahmsjames9365 6 років тому +3

    Nabii gan mwanamke

  • @saidalshaibany4986
    @saidalshaibany4986 6 років тому

    Jamaa anajua kuhoji 100%

  • @tunubashiri4118
    @tunubashiri4118 6 років тому

    unajua kuhoji sanaaaaaa kaka big up..

  • @beatricepaul9023
    @beatricepaul9023 6 років тому

    watu wangu wanahangamia kwa kukosa maarifa... uvivu wa kusoma neno ndo unatupelekea kuamini sana miujiza... asante mtangazaji unahoji vizuri sana

    • @abuuiddi9110
      @abuuiddi9110 6 років тому

      Beatrice Paul asante sanAa dada kwa coment yko yaani wakiristo lwa kupenda miujiza na kuiamini ndio maana kila pastor anaekuja bac anakuja na miujiza yke feki....hakuna mtu anaweza kukifua wafu ispokua mungu tu pekee bac ingekua wanafufua watu c angewafufua walokufa kwenye familia yke huyo pastor.

  • @asiamatitu1573
    @asiamatitu1573 6 років тому

    Huyo njaa inamsumbua. Hakuna nabii mwanamke kwa mwenyezimungu

  • @happyalicko5207
    @happyalicko5207 6 років тому +3

    ananichefua huyu mama

  • @mcbennehemiah8088
    @mcbennehemiah8088 6 років тому

    Bro (mtangazaji) uko vizuri anayekupondea ni mfuasi wa....

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 6 років тому

    Aisee huyu mtangazaji anajuwa kuhoji nampa100%

  • @johnmapunda99
    @johnmapunda99 6 років тому

    Pamoja na matatizo yanayoweza kumpata mtu, ni vizuri kutafuta ufumbuzi kwa njia sahihi, akili ikiwa tulivu. Vinginevyo utajikuta matatizo yakizidi huku hela yako ikiishia kwa wajanja hapa mjini

  • @SmartBrainTv2020
    @SmartBrainTv2020 6 років тому +1

    Dizzim big up

  • @halimajuma9524
    @halimajuma9524 6 років тому

    Wangejua maana ya Nabii hata wasingelitumia ndo zile karne za mwisho

  • @kelvinbarnabas347
    @kelvinbarnabas347 6 років тому

    we mwongo hujui hata kudanganyaa

  • @rahmsjames9365
    @rahmsjames9365 6 років тому +1

    Et roho mtakatifu😅😅😅 subiri kiama kifike utalia wew

  • @latifahasan5987
    @latifahasan5987 6 років тому

    yani we mwanamke jasiri kweli hivi unafaham dunii hakuna mkaaji was milele acha tamaa yapesa

  • @ashadimpls495
    @ashadimpls495 6 років тому

    Wazimu uko aina nyingi kweli

  • @saliminaathumani9332
    @saliminaathumani9332 6 років тому

    Hawa watu utasema wale wanaofanya promotiona naona zoezi lao la kwanza ni kujua kuongea sana na kukoroga mambo. Hata kama jibu ni fupi atakuapa kwa kirefu atazunguka ili kukuchanganya tu

  • @rockyvlogs2214
    @rockyvlogs2214 6 років тому

    Hapo dakika ya 7:3 _6 kijana unavisa na nabii eti haimshawish mtu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kirakamasini8777
    @kirakamasini8777 6 років тому

    hapo hamna shughuli....ni maigizo tu na kutafuta pesa

  • @mariamukajiru1898
    @mariamukajiru1898 6 років тому

    Jaamanii hizi ajira zifunguliwe yote hii kutafuta riziki kwa njia mbadala ...piga kelele

  • @nicholausmushi44
    @nicholausmushi44 6 років тому

    Huyu muongo na bado anaendelea kudanganya

  • @evancelyimo6764
    @evancelyimo6764 6 років тому

    Olivia tubu tuu kuendelea kudanganya sio suluhu. Suruhu mludie huyo yesu alie hai.

  • @moseskayan3705
    @moseskayan3705 6 років тому

    Utajibu mbele ya mungu siku ya mwisho

  • @rehemarajabu3590
    @rehemarajabu3590 6 років тому

    Inamaan alikua haelew haelew maswal au🤔 maan anaulizwa swalingine anajib lingine😂😂😂anaongea mpak anachosha khaaaaa

  • @rosemerynyombi9860
    @rosemerynyombi9860 6 років тому

    kama unajua kulia ni tiba kwanini usimfungie ndani akalia kabisa ata saa kumi ndio ukamuombea. si siwatoto. si km tunamatatizo tutalia nyumbani si ndio tiba

  • @mariej6962
    @mariej6962 6 років тому

    Umekamatwa pabaya shostito.
    Ila kwanini watu wanawaamini hawa wezi?? Why oh why?
    Ndugu unayesoma huu ujumbe achana na hawa majambazi. Nenda kanisa linalohubiri maisha baada ya kifo siyo kanisa linalofanya miujiza ya uganga wa kienyeji na mazingaombwe.
    Yesu hayuko huko!!! Amka!!!

  • @mariamukajiru1898
    @mariamukajiru1898 6 років тому

    Aaahaa Mungu aliona akuumbue kwakuwa ukiendelea utaanza kucheza na taarabu kama Tito, hakuna cha 'watorinto' jibu swali

  • @amabofashion6682
    @amabofashion6682 6 років тому

    yaan ni mwongo mpaka anaogopa kujielezaa… na siku zote mtu hawezi kuomba msamahaa kwa neno la Mungu

  • @deokessy9738
    @deokessy9738 6 років тому

    nabii feck huyo.

  • @felistaherman8907
    @felistaherman8907 6 років тому

    Duuuuu! Mungu tusaidie

  • @happinessmwaipopo7426
    @happinessmwaipopo7426 6 років тому +1

    Kha wewe dada utakuwa kuni aisee

  • @daudimligo289
    @daudimligo289 6 років тому

    ooh my God !!!!?

  • @beathermwakyenda8334
    @beathermwakyenda8334 6 років тому +1

    Iv bdo anamtaja roho ntakatifu😤

  • @luckymilani8927
    @luckymilani8927 6 років тому

    Duh anaehoji mwenyewe hapo haamini mana anamtega kwa maswali haa haaa haaaa ina lillahi wa ilahi rajiun

  • @shalisanga6892
    @shalisanga6892 6 років тому

    Ameni

  • @happinessmataluma1948
    @happinessmataluma1948 6 років тому +1

    we umetumwa kwel na waiz

  • @a.skatuga2956
    @a.skatuga2956 6 років тому

    Acha uongo we boya...!! Lia kwa uchungu mungu akupe kwanza nywele badala ya short cut za wigi...utakuwa ni ufunuo wa jini mkosa nywele..njaa mbaya jamani!

  • @muktartz7314
    @muktartz7314 6 років тому +3

    piga yoweeeeeee

  • @breezycoby6306
    @breezycoby6306 6 років тому

    Nabii wakike daaaa 🤣🤣🤣

  • @japhetkasewa9372
    @japhetkasewa9372 6 років тому

    Kama hakuna kosa alilolifanya basi hakuna sababu ya kuomba msamaha. Anaomba msamaha kwa kuwa kuna kosa

  • @miriamngosha6856
    @miriamngosha6856 6 років тому

    Unawazimu kweli wew mtu kuponywa anaambiwa aliye pepo mkubwa

  • @mafiaclic2544
    @mafiaclic2544 6 років тому

    Kalime acha ujanja ujanja

  • @mwandungadorcas843
    @mwandungadorcas843 6 років тому

    😰😰😰

  • @augustinofifi
    @augustinofifi 6 років тому

    nabii umeweka miwiving minywele kama kichaaaa PUMBAVUU

  • @fredrickmatiku536
    @fredrickmatiku536 6 років тому

    Nabiiiii Oliver mie nakutolea posaaa nikuoe

  • @lucynhembelo9214
    @lucynhembelo9214 6 років тому

    eti lia lia kwa nguvu hahahaaa

  • @mariapaul8914
    @mariapaul8914 6 років тому

    duh hata ueleweki jamani unamfundisha MTU alie apige kelele jamani MTU analia bila kufosiwa we nabii fake unafanya wenzio wengine wasiaminike Kwa ili jambo unajiuma uma hakuna hata jibu hapo we ni tapeli na ushawatapeli miaka yote mungu sasa kakuumbua

  • @irenemangoli4040
    @irenemangoli4040 6 років тому

    kwahyo unataka kutuambia sisi wote tulio angalia na kupinda hatupo kiroho alafu utamwambia jini alie kwanguvu awiii umeshindwaa kujibu hoja alafu majibu yako yamepinda pinda yan unakwepa hujibu direct

  • @hassanjuma7164
    @hassanjuma7164 6 років тому

    Aoni haya mama mtu mzima na watoto juu lakini muongoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 6 років тому

    Ole wenu mnaotumia jina la Bwana kujitafutia kipato
    Sio Kweli unavyojieleza
    Kubali ulichemka, maana ulijisahau ukaongelea kwenye mike, na ulinong'ona.
    Kulia kunakuja automatically.

  • @allyramadhani9830
    @allyramadhani9830 6 років тому

    hehehehe pole mama

  • @bintibaibe1958
    @bintibaibe1958 6 років тому

    wanataka kutuibia pesa zetu hivi hivi tu, sababu ya shida zetu wenyewe? watanzania tunateseka sn kila mahali tunapigwa

  • @barikikaroli6088
    @barikikaroli6088 6 років тому +1

    😂😂😂😂😂 ni shida

    • @abuuiddi9110
      @abuuiddi9110 6 років тому

      Bariki Karoli pliz ebu nicheki tuongee mrembo +97477053859

  • @lydiahneriss6183
    @lydiahneriss6183 6 років тому

    Ewe tawe, mapepe haya, nyakati za mwisho dah!

  • @umiy1971
    @umiy1971 6 років тому

    mwiziiiiiiiiii,tapeli,muongo,mnafiki,jambaziiiii acheni kuibia masikini za mungu nabii gani unaenda kujitetetea kwa lilotokea unaonekana nabii wewe huamini maamuzi ya mungu na unathamini mtazamo wako kwa wanaadamu

  • @catherinenemes2940
    @catherinenemes2940 6 років тому

    Mwizi mkubwa nikikutana nae namchapa makofi

  • @jestinamwakyanjala1502
    @jestinamwakyanjala1502 6 років тому

    Hana akili huyu boyaa

  • @dullyprinc7886
    @dullyprinc7886 6 років тому

    jaman ni fumbo LA mung ili sasa wanadamu ndo kujua kufumbua ndo hapo bora usitukane atujui sote ni mung au Wa kinachibu ndo anamtumia

  • @happinessmwaipopo7426
    @happinessmwaipopo7426 6 років тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂shindwa usije ukatupeleka kuzimu wewe nabii fake.

  • @mesozimkombozi432
    @mesozimkombozi432 6 років тому

    Hamezi hata mate. anatumia nguvu nyingi kukanusha kitu kinachoonekana

  • @brightnessmmuni8081
    @brightnessmmuni8081 6 років тому

    anaulizwa vingine anajibu vingine...looooh

  • @shalisanga6892
    @shalisanga6892 6 років тому

    Piga yoweee

  • @godfreyjulius536
    @godfreyjulius536 6 років тому

    ni nyakati za mwisho

  • @ericmandalu7531
    @ericmandalu7531 6 років тому

    hata cmwelewi..!!!

  • @mbwaggermndali2038
    @mbwaggermndali2038 6 років тому

    Achana na nabii, sikiliza jamaa anavojua kuhoji!!

  • @194summer
    @194summer 3 роки тому

    Ili aamini anatakiwa kuendelea kusikia husomi biblia wewe?imani huja kwa kusikia Rum 10:17,,,kabla hujajibu swali fikiri vzr maana hujui utasikilizwa na watu wa namna gani wewe ni mtumishi ila bado unashida nyenyekea sana,,unajibu kirahisi hadi aibu

  • @hassanjuma7164
    @hassanjuma7164 6 років тому

    Weweeee umeumbuka muongo kwamala ya kwanza kuona mchungaji muongo halafu uongo ulio pitiliza ana nikera mm huyo basi tu kwanza yesu ali sema watakuja manabii wa uongo ndio wewe sasa