Bony Mwaitege -Acha Nizaliwe! '' (Official Music Audio)
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
Acha nizaliwe #achanizaliwe
Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
MUNGU AKUBARIKI SANA.
Kama unampenda Mamaako kama mimi gonga like apo tujuane🤝🥰
Kenya 🇰🇪 mpoo wa kwanza likes twende sasa
Mwaitege is from Tanzania
@@kennedykaduma9104 understand chenye nimesema oky
Twende kazi, bonny amefanya Ile kitu
@@kennedykaduma9104twajua lakini ss ni shabiki wake
🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️
Bony never disappoint ❤❤❤❤nilianza kuskia songs za bony nikiwa mdogo sana, I'm a parent now and his songs still hits,much love from kenya❤❤❤ it's like bony dedicated this song for me,the massage in it it's the true story of my life 😢😢😢.when I got pregnant I was judged, called all sorts of names, nikaambiwa Nime leta aibu kwa family 😢nitoe Mimba nimalize ku soma,hata mwenye mwenye mimba aka ruka ATI si yake,nilivumilia matusi, madharau Nika beba mimba mwishowe God blessed me with a beautiful girl who will be turning 14yrs this year,God bless you bony for this wonderful song.
Amen so inspiring
Ooh my God, sorry for what you went through.
@@antonymutua4273 and something funny is that, mwenye alikua akikataa eti mimba si yake,mtoto alichukua sura yake yote😂😂😂, he's so ashamed of himself
For sure
Wow may God bless you with your daughter,God had good plans upon you and your daughter
Neema ikubebe Mtumishi wa MUNGU@BONY🙏🙏🙏 mbingu zitamke baraka kwako🙏🙏neema ikubebe na ivunje Sheria 🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿1❤na kwa 🙏🙏🙏🙏🙏 tumpe likes Bony mwaitege kwa wingi 🙏🙏
Amen,maombi mazuri kwa mtumishi wa mungu
@@solomonmuema5720 Amen 🙏 🙏 blessings
@@james008BOND7 neema imbebe bony mwaitege
@@jacklinemasyuko262 Amen 🙏🙏🙏🙏
Mama ni mtu wa maana sana katika maisha,may all mothers in the world feel appreciated.
Coming song : reka mvuke mama wanje. 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 Naipendaga Sana God bless you mzee
Heshima na baraka kwa mama zetu Mungu awape maisha marefu sanaa🙏🙏🙏
More fire!!!!! Huo ufunuo sio wa kibinadamu,ni mpaka Mungu awe amehusika
Kiukweli wimbo umenibariki sana from msg the msg mpaka innovation
Mungu azidi kukupa neema ili dunia Zima ikombolewe na nyimbo zako barikiwa Sana mtumishi wa mungu
I dedicate this song to all mums,feel appreciated and loved ,may God bless you ,❤❤❤❤
Barikiwa sana kaka napenda nyimbo zako sana
Thank you very much the servant of may God keep and bless you abundantly I like song here in Zambia, lusaka .and am looking forward to see the video .
Nakupenda sana na nyimbo zako ubarikiwa sana ajah nizaliwe upia
Much love mummy
Wenye wameskia more than twenty times pitieni apa....🥰
Hongela sana Bony. Ujumbe umefika hakika na balikiwa ...mama roho yangu ipo mikononi mwako
acha nizaliwe nyimbo nzuri,mungu akubaliki pastor🎉🎉🎉❤❤❤
Dah anae jua anajua tu wimbo wakipekee Sana ulio jaa mafunuo.
Nalia bonny 😭😭hii song imenikumbusha kule jijini kwetu maneno dada zetu husikia wakiwa wajawazito ni mengi
acha tuzaliweeee🍼🍼🍼🎂🎂🎂🎂🎂
Kwa kweli hakuna mwimbaji Bora kama bony, nampenda Sana ebu tu scribe
Am also among those following you mwaitege from kenya 🇰🇪 always blessed with your songs 🙏.
Brother God is good this song is powerful message to me is blessing to me may the lord Give you power and ENCARAGMENT ON HIS WORK THAT YOU ARE DOING MAY THE LORD INTERVINE.
To all my beloved Mothers,God bless you all🥰😍💯
Amen
God bless
Msanii wangu Pendwa wa Nyimbo za Injili hajawahi kuchuja,,, Nyimbo zake zote ninazo kwenye Simu yangu,
Nb:Hata zile hits ambazo Bado hajaachia ninazo tayari😂😀 Jokes
Hongera sana mtumishi kwa kazi nzuri
Huu Wimbo unagusawengi kwakizazihiki changamoto Nyingi, Ubarikiwe sana baba
Unajua unajua tena
Congratulations bonny my favorite Gospel artist 🤝
Hii wimbo ni Mimi nimeimbiwa pia mamangu,,,tulikua na same problems,,,alinipata🤰 akiwa shule,,,pia Mimi nilipata ujauzito🤰 nikiwa shule weeeeeh😭😭😭😂😂😂
ACHA NIZALIWE, HUKU GEITA TUNAENDELEA KUBARIKIWA NA HUU WIMBO
GEITA OYEEEEE
Ndagha fijho nkamu usajigweghe
My favorite artist
Kweli kabisa
Amina sana baba
hii imeenda wapi likes ya mtumishi wa mungu kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 hoyeee twende kazi
May God bless my mum ❤❤❤❤😢
God bless bonny mwaitege for this wonderful song
Haukosei baba kazi nzuri
I dedicate this song to all pregnant mothers,and every man especially men,I insist men,infact if you are that man,let every unborn have his or her right to be born.
🕺🦸🕺🦸🕺
Wooow ❤❤
This is song is good. Bony we need a video of this song please. I can only imagine how it will look like. Much love from Nairobi 💞💞🥰
God bless u napenda nyimbo zako
Hit after hit....thanks for coming back mtumishi...nabarikiwa sanaaaaa🔥🔥🔥🇰🇪🇹🇿😁😘⚡💪
Waoooooo
you never disapoint baba,kazi nzuri kila kukicha
Salute to u Bony.u keep us young youths and generation motivated and hopeful.stay blessed 🤝🤝💟
Kibao Cha baraka
Live long mum nakupenda yangu yote ❤❤❤❤🥰🥰🥰
🔥🔥🔥
Ni kweli hakimu wa mwisho ni mama nikama umeniimba mimi mwanaume alikataa mimba ya miezi 3 na sasa mtt ana miaka 3 anavofanana na baba yake sasa jamani 😭😭😭😭😭 Nakupenda mama mungu akupe maisha marefu kwani wewe ndiyo Roho yangu ❤ Amenilea kwa shida mungu akupe maisha marefu ❤❤
Ameen for this song it made me cry but i thank you my mom .keep resting mama 😢😢😢 .. team strong hit a like if you're an orphan 😢😢😢❤
Mtumishi wa Mungu, Mungu akupe maisha marefu sana hiyo nimeipenda sana
Mtumishi wa Mungu, Mungu akupe maisha marefu sana hiyo nimeipenda sana
Asante kwakueneza.injiri jina rabwana rihimidiwe nawapa wakinamama wanao tunza watoto
hongera bony kutuletea wimbo new paka imenitoa machosi
Ahahah😂😂😂 hapo wababa ndo umetufanya " killer " ❤❤❤❤mzuri sana mchungaji
Hongera sana kaka mkubwa kazi safi sana
Amen kiongozi
🇰🇪Wish girls who think of abortion could know how sweet it is to hold a new born baby and know that the child can face uncertain days because christ lives
Hii nyumba ni funzo kwetu wanawake wote tuache kuavya mimba ju watoto ni baraka.Mungu akubariki Bonny na akuinue zaidi katika uimbaji
King of gospel music apewe like Jamani?
Umenikumbusha vile yf alitoa mtoto wangu kisa et anaogopa wazaz wake na kutunza heshima yake inaniuma Sana kila ninapomuona ninaumia sana
Good work ! GOD bless you 👏👏
Glory to God. Huu. Ni. Utukufu wako Mungu
@bony mwaitege your so fire God bless you so much lakin kwanini kaka hiyo picha yako yautoto umefungwa nepi but still uko na ndevu zako kaka 😂 but jokes
Hahahaaaa
Asante Bony kwa ujumbe huu mzir kwa mama Love you mom
💪🙏👀
Acha nizaliwe 👍❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ongera KUBWA ƙwakweli
Mwimbo mzuri huu, Tena ni funzo kwa wadada wanaoafya mimba, Mungu awafunguwe macho waone maana ya kuwa watoto ata bila ndoa 🎉❤
Daah mungu ambariki sana mama
Before I was born the LORD called me; from my mother’s womb he has spoken my name. Shukrani sana kwa wimbo ya ACHE NIZALIWE . Imenifanya kutafakari kwa makini mapenzi ya Mungu. Ubarikiwe.
Acha nizaliwe moto sana
Ukisikiliza wimbo huu huwezi kutowa mimba
Kazi nzuri sana mtumishi! Barikiwa
Mungu akubariki sana mtu mishi wimbo umetugusa
Continue resting in peace my mum😢
Pole sana
@@hellenlovembe8007 asante
Karin sana. Wacha YESU asimame nawe
Gained one subscriber thanks for the song I really love that woman she's my hero ❤ may God keep her to enjoy the fruits of my success which is from her struggle's ❤❤
Kazi nzuri Kaka mwaitege...hii ni ujumbe nzuri kwa wanaume wote wasiotekeleza Majukumu yao...Bidii ya Mama mzazi Shukrani ziwaendee Mama zetu waliojinyima ili tupate zaidi ya yote....tujafanikiwa tufike tulipo
Have been through that but thank the Lord I didn't abort
😭😭😭hii Ngoma inanihusu aki,
hakika asante mama
Thanks for the message sir,aMay God grant you more life.
❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huu wimbo umenikumbusha juu ya mwanangu wa kwanza God bless you bonny much love from Kenya
Bony mwaitege you're songs they are on another level May Almighty God lift you highly highly ❤❤ listening from Kenya 🇰🇪🇰🇪countinue blessing us man of God 🙏🙏
kazi nzuri bro nakukubali sana
Happy mother's day🎉🎉
Hongera sana nyimbo kari imenikumbusha mbali sana
Amina Mchungaji
Asanteee 😘😘😘😘😘mungu azidi kukupa uhai mrefu ili utupe maujumbe mitamu 😍😍😍😍Asanteee mamaaaaaaa 😘😘😘😘😘moyo wangu 😘😘😘😘
My favourite song,,,tangu asubuhi 🎧📸
Kwa baba wote waliotelekeza watoto wao iwafikie hii mtoto ni baraka
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU, nyimbo zako hakika zinanibariki sana
Mimi na fanana na Baba na mama
ubarikiwe matumishi kwa ujumbe wako Mungu haku bariki kwa mafunzo mazuri
hakika natamani kufanya kazi na wewe
Powerful 🙏
❤️❤️❤️❤️❤️❤️🥰🌹🌹I love the song wooow my brother may God continue to bless you sanaaa
A I'm Kenya, I love this song ingawa mma yangu alikupa❤❤❤
2:49 2:55 2:58 ❤inanikubusha mengi🎉🎉
barikiwa kaka bony
Ubarikiwe Sana.
Salute braza you know
Sisemi kitu ...ila wimbo huu una ujumbe mkubwa sana😢😢
Tayari DJ MUSA KASEKESE MPANDA KATAVI kafika Kwa Bony
❤❤❤❤Amen imagine watu wanajadili mimba utazani wao ni mungu