Bony Mwaitege -Acha Nizaliwe! '' (Official Music Audio)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024
  • Kwa Neema ya Mungu kazi zangu zote sasa zitapatikana katika channel yangu hii, nikuombe sana kuungana na mimi kwa hatua nyingine mpya kabisa.Mafuta ambayo Mungu ameyaweka ndani yangu ni wakati mwingine wa kukuvusha ...
    Acha nizaliwe #achanizaliwe
    Pia unaweza kuwasiliana namimi moja kwa moja kwa simu namba:-+255 753 582 739.
    MUNGU AKUBARIKI SANA.

КОМЕНТАРІ • 485

  • @vanessa-vavandikumwenayo2757
    @vanessa-vavandikumwenayo2757 Рік тому +120

    Kama unampenda Mamaako kama mimi gonga like apo tujuane🤝🥰

  • @mercyndoli5296
    @mercyndoli5296 Рік тому +159

    Kenya 🇰🇪 mpoo wa kwanza likes twende sasa

    • @kennedykaduma9104
      @kennedykaduma9104 Рік тому +3

      Mwaitege is from Tanzania

    • @mercyndoli5296
      @mercyndoli5296 Рік тому +4

      @@kennedykaduma9104 understand chenye nimesema oky

    • @rebeccah357
      @rebeccah357 Рік тому +2

      Twende kazi, bonny amefanya Ile kitu

    • @rebeccah357
      @rebeccah357 Рік тому

      @@kennedykaduma9104twajua lakini ss ni shabiki wake

    • @silviak1776
      @silviak1776 Рік тому +1

      🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️

  • @blessedhighlyfavored3318
    @blessedhighlyfavored3318 Рік тому +31

    Bony never disappoint ❤❤❤❤nilianza kuskia songs za bony nikiwa mdogo sana, I'm a parent now and his songs still hits,much love from kenya❤❤❤ it's like bony dedicated this song for me,the massage in it it's the true story of my life 😢😢😢.when I got pregnant I was judged, called all sorts of names, nikaambiwa Nime leta aibu kwa family 😢nitoe Mimba nimalize ku soma,hata mwenye mwenye mimba aka ruka ATI si yake,nilivumilia matusi, madharau Nika beba mimba mwishowe God blessed me with a beautiful girl who will be turning 14yrs this year,God bless you bony for this wonderful song.

    • @elvisikatwa5252
      @elvisikatwa5252 Рік тому +1

      Amen so inspiring

    • @antonymutua4273
      @antonymutua4273 Рік тому +2

      Ooh my God, sorry for what you went through.

    • @blessedhighlyfavored3318
      @blessedhighlyfavored3318 Рік тому +1

      ​@@antonymutua4273 and something funny is that, mwenye alikua akikataa eti mimba si yake,mtoto alichukua sura yake yote😂😂😂, he's so ashamed of himself

    • @felisterkamene1007
      @felisterkamene1007 Рік тому

      For sure

    • @antonymuia9112
      @antonymuia9112 Рік тому +1

      Wow may God bless you with your daughter,God had good plans upon you and your daughter

  • @james008BOND7
    @james008BOND7 Рік тому +21

    Neema ikubebe Mtumishi wa MUNGU@BONY🙏🙏🙏 mbingu zitamke baraka kwako🙏🙏neema ikubebe na ivunje Sheria 🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿1❤na kwa 🙏🙏🙏🙏🙏 tumpe likes Bony mwaitege kwa wingi 🙏🙏

  • @lilianagana4200
    @lilianagana4200 Рік тому +15

    Mama ni mtu wa maana sana katika maisha,may all mothers in the world feel appreciated.

  • @jpetitnizeyimana5422
    @jpetitnizeyimana5422 Рік тому +10

    Coming song : reka mvuke mama wanje. 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 Naipendaga Sana God bless you mzee

  • @gloriaamase9764
    @gloriaamase9764 Рік тому +19

    Heshima na baraka kwa mama zetu Mungu awape maisha marefu sanaa🙏🙏🙏

  • @isackphares
    @isackphares Рік тому +7

    More fire!!!!! Huo ufunuo sio wa kibinadamu,ni mpaka Mungu awe amehusika

  • @eliudmwalugelo5191
    @eliudmwalugelo5191 Рік тому +7

    Kiukweli wimbo umenibariki sana from msg the msg mpaka innovation

  • @mpendozadok123
    @mpendozadok123 Рік тому +11

    Mungu azidi kukupa neema ili dunia Zima ikombolewe na nyimbo zako barikiwa Sana mtumishi wa mungu

  • @judybarasa-qj2ko
    @judybarasa-qj2ko Рік тому +23

    I dedicate this song to all mums,feel appreciated and loved ,may God bless you ,❤❤❤❤

  • @wilickomweri2640
    @wilickomweri2640 Рік тому +12

    Barikiwa sana kaka napenda nyimbo zako sana

  • @sangwamugala1692
    @sangwamugala1692 Рік тому +7

    Thank you very much the servant of may God keep and bless you abundantly I like song here in Zambia, lusaka .and am looking forward to see the video .

  • @bettynekesa7836
    @bettynekesa7836 Рік тому +7

    Nakupenda sana na nyimbo zako ubarikiwa sana ajah nizaliwe upia

  • @sharonjeptoo8038
    @sharonjeptoo8038 Рік тому +4

    Much love mummy
    Wenye wameskia more than twenty times pitieni apa....🥰

  • @obadiamsoma6465
    @obadiamsoma6465 Рік тому +6

    Hongela sana Bony. Ujumbe umefika hakika na balikiwa ...mama roho yangu ipo mikononi mwako

  • @princedesire6270
    @princedesire6270 Рік тому +5

    acha nizaliwe nyimbo nzuri,mungu akubaliki pastor🎉🎉🎉❤❤❤

  • @rabeckpatrick6275
    @rabeckpatrick6275 Рік тому +3

    Dah anae jua anajua tu wimbo wakipekee Sana ulio jaa mafunuo.

  • @emmanuel.m.mabonga.9224
    @emmanuel.m.mabonga.9224 Рік тому +2

    Nalia bonny 😭😭hii song imenikumbusha kule jijini kwetu maneno dada zetu husikia wakiwa wajawazito ni mengi

  • @PAULMAKONDA-TV
    @PAULMAKONDA-TV Рік тому +4

    acha tuzaliweeee🍼🍼🍼🎂🎂🎂🎂🎂

  • @emanuelwanyonyi9980
    @emanuelwanyonyi9980 Рік тому +2

    Kwa kweli hakuna mwimbaji Bora kama bony, nampenda Sana ebu tu scribe

  • @hellenchepkemoi7730
    @hellenchepkemoi7730 Рік тому +7

    Am also among those following you mwaitege from kenya 🇰🇪 always blessed with your songs 🙏.

  • @enockmongoi3880
    @enockmongoi3880 Рік тому +10

    Brother God is good this song is powerful message to me is blessing to me may the lord Give you power and ENCARAGMENT ON HIS WORK THAT YOU ARE DOING MAY THE LORD INTERVINE.

  • @williceotieno7721
    @williceotieno7721 Рік тому +15

    To all my beloved Mothers,God bless you all🥰😍💯

  • @officialmwabambatv1350
    @officialmwabambatv1350 Рік тому +6

    God bless

  • @alistidiatyphon3832
    @alistidiatyphon3832 Рік тому +1

    Msanii wangu Pendwa wa Nyimbo za Injili hajawahi kuchuja,,, Nyimbo zake zote ninazo kwenye Simu yangu,
    Nb:Hata zile hits ambazo Bado hajaachia ninazo tayari😂😀 Jokes

  • @petrolunyali6350
    @petrolunyali6350 Рік тому +6

    Hongera sana mtumishi kwa kazi nzuri

  • @oscarzeze6452
    @oscarzeze6452 Рік тому +11

    Huu Wimbo unagusawengi kwakizazihiki changamoto Nyingi, Ubarikiwe sana baba

  • @emmaemmanuel2844
    @emmaemmanuel2844 Рік тому +3

    Unajua unajua tena

  • @papajuniorandphelixramirez4543
    @papajuniorandphelixramirez4543 Рік тому +10

    Congratulations bonny my favorite Gospel artist 🤝

  • @sarahmiles1120
    @sarahmiles1120 Рік тому +2

    Hii wimbo ni Mimi nimeimbiwa pia mamangu,,,tulikua na same problems,,,alinipata🤰 akiwa shule,,,pia Mimi nilipata ujauzito🤰 nikiwa shule weeeeeh😭😭😭😂😂😂

  • @RaphaelJacksonOfficial
    @RaphaelJacksonOfficial Рік тому +7

    ACHA NIZALIWE, HUKU GEITA TUNAENDELEA KUBARIKIWA NA HUU WIMBO

  • @derickboniphace-ci9jn
    @derickboniphace-ci9jn Рік тому +3

    Ndagha fijho nkamu usajigweghe

  • @sharonprecioustanui1854
    @sharonprecioustanui1854 Рік тому +5

    My favorite artist

  • @papatomaso4874
    @papatomaso4874 Рік тому +3

    Kweli kabisa

  • @aronmvembezi4375
    @aronmvembezi4375 Рік тому +2

    Amina sana baba

  • @Sylvia-gx4gj
    @Sylvia-gx4gj Рік тому +1

    hii imeenda wapi likes ya mtumishi wa mungu kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 hoyeee twende kazi

  • @kevoodongo2698
    @kevoodongo2698 Рік тому +5

    May God bless my mum ❤❤❤❤😢
    God bless bonny mwaitege for this wonderful song

  • @noahmwakalombaofficial1961
    @noahmwakalombaofficial1961 Рік тому +3

    Haukosei baba kazi nzuri

  • @davidnyika4296
    @davidnyika4296 Рік тому +6

    I dedicate this song to all pregnant mothers,and every man especially men,I insist men,infact if you are that man,let every unborn have his or her right to be born.
    🕺🦸🕺🦸🕺

  • @petergitonga7497
    @petergitonga7497 Рік тому +4

    Wooow ❤❤
    This is song is good. Bony we need a video of this song please. I can only imagine how it will look like. Much love from Nairobi 💞💞🥰

  • @gladnessmaganga6755
    @gladnessmaganga6755 Рік тому +4

    God bless u napenda nyimbo zako

  • @duncanmulu2450
    @duncanmulu2450 Рік тому +4

    Hit after hit....thanks for coming back mtumishi...nabarikiwa sanaaaaa🔥🔥🔥🇰🇪🇹🇿😁😘⚡💪

  • @denniskhaemba3803
    @denniskhaemba3803 Рік тому +4

    you never disapoint baba,kazi nzuri kila kukicha

  • @dangotemajor6198
    @dangotemajor6198 Рік тому +7

    Salute to u Bony.u keep us young youths and generation motivated and hopeful.stay blessed 🤝🤝💟

  • @mcabrahamomoding
    @mcabrahamomoding Рік тому +2

    Kibao Cha baraka

  • @deffencemtagwa9795
    @deffencemtagwa9795 Рік тому +1

    Live long mum nakupenda yangu yote ❤❤❤❤🥰🥰🥰

  • @obedishimwela
    @obedishimwela Рік тому +6

    🔥🔥🔥

  • @rahmaamgoo7919
    @rahmaamgoo7919 Рік тому +2

    Ni kweli hakimu wa mwisho ni mama nikama umeniimba mimi mwanaume alikataa mimba ya miezi 3 na sasa mtt ana miaka 3 anavofanana na baba yake sasa jamani 😭😭😭😭😭 Nakupenda mama mungu akupe maisha marefu kwani wewe ndiyo Roho yangu ❤ Amenilea kwa shida mungu akupe maisha marefu ❤❤

  • @kellydeunshakableempires7425
    @kellydeunshakableempires7425 Рік тому +1

    Ameen for this song it made me cry but i thank you my mom .keep resting mama 😢😢😢 .. team strong hit a like if you're an orphan 😢😢😢❤

  • @PastorIsaacMnyandwa
    @PastorIsaacMnyandwa Рік тому +1

    Mtumishi wa Mungu, Mungu akupe maisha marefu sana hiyo nimeipenda sana

  • @PastorIsaacMnyandwa
    @PastorIsaacMnyandwa Рік тому +1

    Mtumishi wa Mungu, Mungu akupe maisha marefu sana hiyo nimeipenda sana

  • @SiliviaMwalizi-uu3mz
    @SiliviaMwalizi-uu3mz Рік тому +1

    Asante kwakueneza.injiri jina rabwana rihimidiwe nawapa wakinamama wanao tunza watoto

  • @johnsmolle504
    @johnsmolle504 Рік тому +1

    hongera bony kutuletea wimbo new paka imenitoa machosi

  • @benjaminsteven7350
    @benjaminsteven7350 Рік тому +1

    Ahahah😂😂😂 hapo wababa ndo umetufanya " killer " ❤❤❤❤mzuri sana mchungaji

  • @jamesrugaspel3876
    @jamesrugaspel3876 Рік тому +4

    Hongera sana kaka mkubwa kazi safi sana

  • @mteulehumblej6820
    @mteulehumblej6820 Рік тому +3

    Amen kiongozi

  • @trickeredbayaza7901
    @trickeredbayaza7901 Рік тому +1

    🇰🇪Wish girls who think of abortion could know how sweet it is to hold a new born baby and know that the child can face uncertain days because christ lives

  • @perischari3630
    @perischari3630 Рік тому +3

    Hii nyumba ni funzo kwetu wanawake wote tuache kuavya mimba ju watoto ni baraka.Mungu akubariki Bonny na akuinue zaidi katika uimbaji

  • @nicksonmwinuka6850
    @nicksonmwinuka6850 Рік тому +3

    King of gospel music apewe like Jamani?

  • @danwanjala
    @danwanjala Рік тому +1

    Umenikumbusha vile yf alitoa mtoto wangu kisa et anaogopa wazaz wake na kutunza heshima yake inaniuma Sana kila ninapomuona ninaumia sana

  • @mokamiburuna5484
    @mokamiburuna5484 Рік тому +6

    Good work ! GOD bless you 👏👏

  • @onelovedjonlinetz5989
    @onelovedjonlinetz5989 Рік тому +1

    Glory to God. Huu. Ni. Utukufu wako Mungu

  • @sarahmartin4794
    @sarahmartin4794 Рік тому +1

    @bony mwaitege your so fire God bless you so much lakin kwanini kaka hiyo picha yako yautoto umefungwa nepi but still uko na ndevu zako kaka 😂 but jokes

  • @rahmaamgoo7919
    @rahmaamgoo7919 Рік тому +1

    Asante Bony kwa ujumbe huu mzir kwa mama Love you mom

  • @paulpeter9440
    @paulpeter9440 Рік тому +5

    💪🙏👀

  • @mzabibuskills3596
    @mzabibuskills3596 Рік тому +4

    Acha nizaliwe 👍❤❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nabiibikemwayowele
    @nabiibikemwayowele Рік тому +1

    Ongera KUBWA ƙwakweli

  • @augustuskateeofficial6945
    @augustuskateeofficial6945 Рік тому +5

    Mwimbo mzuri huu, Tena ni funzo kwa wadada wanaoafya mimba, Mungu awafunguwe macho waone maana ya kuwa watoto ata bila ndoa 🎉❤

  • @janejeptanui8033
    @janejeptanui8033 Рік тому +2

    Before I was born the LORD called me; from my mother’s womb he has spoken my name. Shukrani sana kwa wimbo ya ACHE NIZALIWE . Imenifanya kutafakari kwa makini mapenzi ya Mungu. Ubarikiwe.

  • @578k
    @578k Рік тому +2

    Acha nizaliwe moto sana

  • @davidngonyani5599
    @davidngonyani5599 Рік тому +1

    Ukisikiliza wimbo huu huwezi kutowa mimba

  • @samwelmakanzajr1194
    @samwelmakanzajr1194 Рік тому +4

    Kazi nzuri sana mtumishi! Barikiwa

  • @francisokanga6153
    @francisokanga6153 Рік тому +8

    Continue resting in peace my mum😢

  • @shellakoech6766
    @shellakoech6766 Рік тому +3

    Gained one subscriber thanks for the song I really love that woman she's my hero ❤ may God keep her to enjoy the fruits of my success which is from her struggle's ❤❤

  • @wilsonsentero3339
    @wilsonsentero3339 Рік тому +2

    Kazi nzuri Kaka mwaitege...hii ni ujumbe nzuri kwa wanaume wote wasiotekeleza Majukumu yao...Bidii ya Mama mzazi Shukrani ziwaendee Mama zetu waliojinyima ili tupate zaidi ya yote....tujafanikiwa tufike tulipo

  • @linetmalete
    @linetmalete Рік тому +1

    Have been through that but thank the Lord I didn't abort

  • @KilelJazzKillerBoyofficial
    @KilelJazzKillerBoyofficial Рік тому

    😭😭😭hii Ngoma inanihusu aki,

  • @isaacpsalm4584
    @isaacpsalm4584 Рік тому +3

    hakika asante mama

  • @kirua21abraham93
    @kirua21abraham93 Рік тому +3

    Thanks for the message sir,aMay God grant you more life.

  • @calvincedolomanmusic
    @calvincedolomanmusic Рік тому +3

    ❤❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @mamaian-iv3zt
    @mamaian-iv3zt Рік тому +2

    Huu wimbo umenikumbusha juu ya mwanangu wa kwanza God bless you bonny much love from Kenya

  • @naomydaniel4462
    @naomydaniel4462 Рік тому +4

    Bony mwaitege you're songs they are on another level May Almighty God lift you highly highly ❤❤ listening from Kenya 🇰🇪🇰🇪countinue blessing us man of God 🙏🙏

  • @meckmkolima2909
    @meckmkolima2909 Рік тому +1

    kazi nzuri bro nakukubali sana

  • @annj316
    @annj316 Рік тому +1

    Happy mother's day🎉🎉

  • @yakobomwamboya7312
    @yakobomwamboya7312 Рік тому +1

    Hongera sana nyimbo kari imenikumbusha mbali sana

  • @zulfasaeed7445
    @zulfasaeed7445 Рік тому

    Asanteee 😘😘😘😘😘mungu azidi kukupa uhai mrefu ili utupe maujumbe mitamu 😍😍😍😍Asanteee mamaaaaaaa 😘😘😘😘😘moyo wangu 😘😘😘😘

  • @dolginemoraa712
    @dolginemoraa712 Рік тому +3

    My favourite song,,,tangu asubuhi 🎧📸

  • @christineknight-bi8ni
    @christineknight-bi8ni Рік тому +1

    Kwa baba wote waliotelekeza watoto wao iwafikie hii mtoto ni baraka

  • @deomakanda5308
    @deomakanda5308 Рік тому +2

    Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU, nyimbo zako hakika zinanibariki sana

  • @isaacpsalm4584
    @isaacpsalm4584 Рік тому +3

    Mimi na fanana na Baba na mama

    • @isaacpsalm4584
      @isaacpsalm4584 Рік тому +1

      ubarikiwe matumishi kwa ujumbe wako Mungu haku bariki kwa mafunzo mazuri
      hakika natamani kufanya kazi na wewe

  • @bropaulwanga
    @bropaulwanga Рік тому +6

    Powerful 🙏

  • @rebeccaatemo5838
    @rebeccaatemo5838 Рік тому +2

    ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🥰🌹🌹I love the song wooow my brother may God continue to bless you sanaaa

  • @CatherineKaluki-cv7yj
    @CatherineKaluki-cv7yj Рік тому

    A I'm Kenya, I love this song ingawa mma yangu alikupa❤❤❤
    2:49 2:55 2:58 ❤inanikubusha mengi🎉🎉

  • @kapedo0001
    @kapedo0001 Рік тому +1

    barikiwa kaka bony

  • @officialjoakim3555
    @officialjoakim3555 Рік тому +1

    Ubarikiwe Sana.

  • @fordingofabian6956
    @fordingofabian6956 Рік тому +1

    Salute braza you know

  • @masekete
    @masekete Рік тому +1

    Sisemi kitu ...ila wimbo huu una ujumbe mkubwa sana😢😢

  • @djmusakasekesetz8126
    @djmusakasekesetz8126 Рік тому

    Tayari DJ MUSA KASEKESE MPANDA KATAVI kafika Kwa Bony

  • @jeannetambwe9213
    @jeannetambwe9213 Рік тому +2

    ❤❤❤❤Amen imagine watu wanajadili mimba utazani wao ni mungu