Du kule kwetu Moro ukimuuluza mtu yeyote nini maana ya kipusa Atakwambia ni aina ya ndizi tamu sana..na ni nzuri kintazanmo..pia kuinunua ni bei kwa tanzania ukiliganisha na ndizi nyengine
ushawah isikiliza nyimbo ya alikiba vizur mpaka unasema kipusa ni mwanamke mrembo! "wananiita kipusa oh pasua kichwa" iyo colas kaimba kiba kwaiyo unamaanixha kiba mwanamke mrembo.na mondi pia kaimba "xilagi vipusa" usitupotoxhe mwulizen kiba anajua maana
njoo WCB hatulagi vipusa tunakubaga chakula from KANSAS CITY. IDRIS nakukaribisha kwetu USA, KANSAS CITY. my address 1366 Pinecrest street APT namba 1633, utanipata.
kipusa ni kitu kitukinachopatikana Kwa nadra sana. kitu kipo lakini kina adimika( kinapotea) = pembe ya kifaru fasaha( vipusa old Swahili wanawake warembo = kipusa mwanamke mmoja mrembo. inategemeya wewe mzungumzaji uko upande gani \|||waniita kipusa [naadimika kwenye muonekano wa watu=kipusa. halisi ni pembe ya kifaru = unaonaje upatikanaji wake= nafikiri ni Kwa. shida sana. |{asili haipotei]
Kipusa au vipusa means.ni Msichana mwenye uzuri msafi mrembo.....kwa mfano :wamepita vipusa wawili hapa umewaona?Hii ni lugha ya mtaani ambayo hutumika. .......
Kipusa ni kitu ambacho kilikuwepo mda fulani baadae kikatoweka mfano saiv maharage yapo mengi tu madukani kama itafika kipindi yatakuwa shida kupatikana ndio unaweza sema maharage saivi kipusa
hahahahahaha hehehehehehehe kipusa yededeeeeee kipusa ni pilipiliiiii nizile ndege zilizokwama Canada hahahahahaha mecheka mpaka nalia wallah losti ya utumbo hahahahahaha
Kipusa ni neno sanifu la Kiswahili ambalo ni kitawe na maana zake ni mbili. 1. Mwanamke mrembo 2. Pembe ya faru.
ila we Kaka nakupendaga Sana😂😂😂😂 big 👆
This made my night😀😀😀😀😀😀watching from Dubai
funny videos safiii
Yaani imenibidi nisabusklaibu tu kwenye hii channel...Love all the way from Toronto
aisee umenifanya ni subscribe chanel yako,idris umeonekana wa muyimu, oyooooo waliyo kubali kipusa wakowapi! walike
Du kule kwetu Moro ukimuuluza mtu yeyote nini maana ya kipusa Atakwambia ni aina ya ndizi tamu sana..na ni nzuri kintazanmo..pia kuinunua ni bei kwa tanzania ukiliganisha na ndizi nyengine
😂😂😂😂😂😂we jamaa ni chiz sana daaah😁😁😁
Hahhah idrisa unaweza kaka 😀😀😀😀😀😀😀😀
jaman wee uko juu ndio mana nakupenda sana ww tuu wallah.......kazi yako iko juuu
So marvelous and handsome u hit it
Nimekubali. Idrisa kazabuti kipindi kikopoa, hila atamimi sipendi kipusa
Eti ndege zilizokwama canada uyu jamaa dah
hatari
hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nilijikaza nisicheke loh!!!!!!!!!!!!! nimeshindwa mkuu
So good Mr
Damn U Gucci blood,Hola Idris,
Show dem what wagwaan,Me gv Yoo respect,
Mmenifanya Ni burst kwa kicheko usiku wa manane.asee acheni bangi idriss Na mwenzio.@kipusa Ni ndizi roast Na utumbo😅
Nakukubali
Hahahaaa uwiiii mbavu zangu, kipusa ni mwanamke mrembo bhana
ushawah isikiliza nyimbo ya alikiba vizur mpaka unasema kipusa ni mwanamke mrembo! "wananiita kipusa oh pasua kichwa" iyo colas kaimba kiba kwaiyo unamaanixha kiba mwanamke mrembo.na mondi pia kaimba "xilagi vipusa" usitupotoxhe mwulizen kiba anajua maana
Mimi nlikua sijui maana yake sema idrisa jamani
@ happy ndo maana yake hyo
Mbavu zangu bro umezikausha😂😂😂😂😂😂
I like it
Yani idris umenifanya nisabscrais chanel yako maana nimecheka sana,kipusa woyooooooooo
Mi pia
kipusa kwetu ni kitu kama thahabu au kito cha thamani
daaaaah c kwaayo majbu jaman mmeyabadlsha auuu OMG I can't blv it
Nakupendaaa sanaaaa
Hahahahahahaaaa....Kipusa mamaaaaaaa..MAjibu ya watoto sasa...Mbavu zangu jamani Idris
Msanii smart kuliko wote Tanzania. Wengine hadi waji geuze wanawake, mibangi, unga, mchanga
njoo WCB hatulagi vipusa tunakubaga chakula from KANSAS CITY. IDRIS nakukaribisha kwetu USA, KANSAS CITY. my address 1366 Pinecrest street APT namba 1633, utanipata.
wee nawe, huna ata aibu ya kuongelea wachafu hapa, ukisikia mtu anajiita msafi jua ndio amelewa sasa maana ya usafi, wala sisi atuko upande huo tena
hahaha umetisha kaka
daaaa nimecheka mm eti mwambie dada wa kazi akipika tena kipusa mi siriii
😂
Kipusa Ni Mwanamke Ambae Anamchuna sn mwanaume wake kwa jina maalufu Cjui (kudanga )
Much love from Oman we ❤u idris
❤️🖤
hahahahaha Dull nimekusoma mtu wangu
daaaah chiz kweli wew
Eu gostei muito essa video
Mama angu ajarudii Niko darasa LA kwanza😀😁😁😁😁😁😁😁😁😁😂
Nimeagiza mbavu mpya kutoka india😁😂😢
hahaha
Adinani masamaki 😂😂😂😂niagizie nami😃😃😃😃
tena sana mpnz mimi china😂😂😂😂😂
*_Kipusa ni Alikibaaaaaaaaaaaa_*
jamani nmecheka mpaka basi...idris we nouma
Dah wabongo buana| |Kipusaaaaa!! msosi..
umefanya nchekee nikaliia 😂😅😁😅😂😄kipusa jamani
Hahahahahah Koi Mzungu unazingua Man
Daaah wewe jamaa ni fundi 😂😂😂😂
Kipusa sio habari Hila kwa uelewa Wangu kipusa ni kengere
Niceeeee
Mbavu zangu jamaniii 😃😃😃😃😃 na hao mnaowahoji kaaaaaa
kipusa ni kitu kitukinachopatikana Kwa nadra sana. kitu kipo lakini kina adimika( kinapotea) = pembe ya kifaru fasaha( vipusa old Swahili wanawake warembo = kipusa mwanamke mmoja mrembo. inategemeya wewe mzungumzaji uko upande gani \|||waniita kipusa [naadimika kwenye muonekano wa watu=kipusa. halisi ni pembe ya kifaru = unaonaje upatikanaji wake= nafikiri ni Kwa. shida sana. |{asili haipotei]
Wakenya mliojikuta hapa hi😂😂😂
😂😂😂😂😂 sawa
hahhhh hao vilaza wa TM D umewatoa wapi wanapindisha ukweli....
Ndio uchekeshaji gani kwanza nasikia jina lako lipo kwa mkuu umetajwa kweny list
Kipusa au vipusa means.ni Msichana mwenye uzuri msafi mrembo.....kwa mfano :wamepita vipusa wawili hapa umewaona?Hii ni lugha ya mtaani ambayo hutumika. .......
ndo nyimbo wanazotuimbia wengine wetu hazijulikani, na vifata upepo vinaimba tu havijuwi vinatukanwa.
we mwenye wa kwanza
Savage level 🤣🤣🤣🤣
yani nimecheka😃😃😃😃😃
Tanzania ya viwanda
1.Tatu Mzuka
2.Biko
3.PremierBet
4.MeridianBet
5.SportPesa
6.GSB
7.PrincesBet
8.MkekaBet
9.Supa Bets
10.Bet Now
11.Bet Ham
12.Throne Bet
13.M-Bet
🤓🤓🤓🤓🤓
🏃🏻🤓🏃🏻🏃🏻
imekaa poa aisee
Wacha niku follow Twitter
Nyote mmefeli sasa mm nategua kitendawili (kipusa ) ni boss au tajir au mtu mwenye pesa nying io ndio maan halisi ya kipusa
Kipusa ni kitu ambacho kilikuwepo then kitawa shida kupatikana ndio kipusa#Zanzibar Swahili
Hahahaha Miss Agatha Kipusa ni mtu anaetafutwa na Polisi na donge nono kutolewa huyo ni kipusa
hahahahahaahhaa yaaan hao wanaojibu maswali wanafurahisha
KIPUSA ni (1)Mwanamke Mrembo (2)Pembe Ya Faru
*Swahili Sanifu*
#SitakiUgomvi
Kipusa, ina maana nyingi mbili ninzojua Mimi ni kwanza ni pembe ya kifaru na maana ya pili ni mtu mwenye sura nzuri anaye pendeza kwa kila namna.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ww jamaa unautani wa ngumiii sana,,,,😂😂😂😂😂😂
Suti zako kali sana mkuu
😁😁😁😁😁😁 poziii kwa poziii
Aiseee watu wa ufahamu wa wetu wetu na lugha yetu kumbe bado uko hivi... waulize maana ya pembe 🐂🐰.. utasikia pembe la n'gombe
hhhhhhhh hhhhhhhh my night was fun
❤️❤️😂😂😂😂😂
mond hoyooo Halagi vipusaa@idrissultan
We mchizi kwa kweli 😀😀😀😀😀😀😀
Hahahahahaaa kipusa hatareeee
mama angu ajarudiii
Haaahaaaa mtoto kasema mama ake hajarudi
Mbavu zangu mimiiiii
hahaa Aise unatishaa kipusa idris unatisha
mama yangu hajarud, hahaaaa
nipo darasa la 1
hahahahaha matataaaaaaaaaa
Kipusa ni maboss walio shindikana hata ushuru hawalipi
nINAVYOJUA MIMI KIPUSA KWA KINYAMWEZI NI KITU KIZURI
Kipusa ni kitu ambacho kilikuwepo mda fulani baadae kikatoweka mfano saiv maharage yapo mengi tu madukani kama itafika kipindi yatakuwa shida kupatikana ndio unaweza sema maharage saivi kipusa
hahahahahaha hehehehehehehe kipusa yededeeeeee kipusa ni pilipiliiiii nizile ndege zilizokwama Canada hahahahahaha mecheka mpaka nalia wallah losti ya utumbo hahahahahaha
acha kiki kuma
Akili zenu mbovu.
Huwez muuliza mtu kitu ambacho hajuw maana yake.
Bora mngeuzila alikiba not hawo wasio na akili kazi fitina tu.
Forsake,
hatari sanaaa
hahahah! xo poa asipike tena kipusa
😃😃😃😃
duuuuuuh kipusa makoch??????? bangi hzooo
hahahahaaaaa
😂😂😂😂😂😂
Kipusa ni mnyama aliye jifia nakuliwa bila kuchinjwa hiyo ndo maana ya kipusa
Joram Chonya hapana sio hivo kipusa ina maana nyingi
😂😂😂😂kipusaaaa
kipusa ni maandazi yalivunda 😂😂😂😂
Ndege imekwama😂
Kipusa ni kipande cha nyama
😅😅😅😅 we Idris mbona mchokoz hivo
Hahahahahahhhh
Aachane na kipusa aingie mtaani kufight
Uuuuu