Nini maana ya KIPUSA ? : SIO HABARI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 189

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 7 років тому +14

    Kipusa ni neno sanifu la Kiswahili ambalo ni kitawe na maana zake ni mbili. 1. Mwanamke mrembo 2. Pembe ya faru.

  • @deborahmlay7861
    @deborahmlay7861 7 років тому +7

    ila we Kaka nakupendaga Sana😂😂😂😂 big 👆

  • @dianadiana2563
    @dianadiana2563 7 років тому +10

    This made my night😀😀😀😀😀😀watching from Dubai

  • @faulatafahmi7733
    @faulatafahmi7733 6 років тому +1

    Yaani imenibidi nisabusklaibu tu kwenye hii channel...Love all the way from Toronto

  • @allenmrema2919
    @allenmrema2919 7 років тому +28

    aisee umenifanya ni subscribe chanel yako,idris umeonekana wa muyimu, oyooooo waliyo kubali kipusa wakowapi! walike

    • @rcpoul4244
      @rcpoul4244 6 років тому

      Du kule kwetu Moro ukimuuluza mtu yeyote nini maana ya kipusa Atakwambia ni aina ya ndizi tamu sana..na ni nzuri kintazanmo..pia kuinunua ni bei kwa tanzania ukiliganisha na ndizi nyengine

  • @victor_isaack
    @victor_isaack 7 років тому +5

    😂😂😂😂😂😂we jamaa ni chiz sana daaah😁😁😁

  • @youngbillionaire7140
    @youngbillionaire7140 6 років тому +1

    Hahhah idrisa unaweza kaka 😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 7 років тому

    jaman wee uko juu ndio mana nakupenda sana ww tuu wallah.......kazi yako iko juuu

  • @manalahmed5749
    @manalahmed5749 6 років тому

    So marvelous and handsome u hit it

  • @abdulrahmanally7199
    @abdulrahmanally7199 7 років тому +1

    Nimekubali. Idrisa kazabuti kipindi kikopoa, hila atamimi sipendi kipusa

  • @nega_ak4729
    @nega_ak4729 7 років тому +10

    Eti ndege zilizokwama canada uyu jamaa dah

  • @stephenmussa7221
    @stephenmussa7221 7 років тому +1

    hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nilijikaza nisicheke loh!!!!!!!!!!!!! nimeshindwa mkuu

  • @mrboogie255-dr2kh
    @mrboogie255-dr2kh 7 років тому +2

    So good Mr

  • @dalahdannan6178
    @dalahdannan6178 7 років тому

    Damn U Gucci blood,Hola Idris,
    Show dem what wagwaan,Me gv Yoo respect,

  • @josephmasokola8343
    @josephmasokola8343 6 років тому +1

    Mmenifanya Ni burst kwa kicheko usiku wa manane.asee acheni bangi idriss Na mwenzio.@kipusa Ni ndizi roast Na utumbo😅

  • @fortuneakankizya5336
    @fortuneakankizya5336 7 років тому

    Nakukubali

  • @missagatha1756
    @missagatha1756 7 років тому +13

    Hahahaaa uwiiii mbavu zangu, kipusa ni mwanamke mrembo bhana

    • @hanxyhappy6669
      @hanxyhappy6669 7 років тому

      ushawah isikiliza nyimbo ya alikiba vizur mpaka unasema kipusa ni mwanamke mrembo! "wananiita kipusa oh pasua kichwa" iyo colas kaimba kiba kwaiyo unamaanixha kiba mwanamke mrembo.na mondi pia kaimba "xilagi vipusa" usitupotoxhe mwulizen kiba anajua maana

    • @MariamsLifestyle
      @MariamsLifestyle 7 років тому

      Mimi nlikua sijui maana yake sema idrisa jamani

    • @missagatha1756
      @missagatha1756 7 років тому +1

      @ happy ndo maana yake hyo

  • @mercynelima4241
    @mercynelima4241 7 років тому +1

    Mbavu zangu bro umezikausha😂😂😂😂😂😂

  • @joelimbanga7221
    @joelimbanga7221 7 років тому

    I like it

  • @agustadickson1562
    @agustadickson1562 7 років тому +10

    Yani idris umenifanya nisabscrais chanel yako maana nimecheka sana,kipusa woyooooooooo

  • @happyminja1292
    @happyminja1292 7 років тому +14

    kipusa kwetu ni kitu kama thahabu au kito cha thamani

  • @veronikamkenda5546
    @veronikamkenda5546 7 років тому +1

    daaaaah c kwaayo majbu jaman mmeyabadlsha auuu OMG I can't blv it

  • @anithasalumu6963
    @anithasalumu6963 5 років тому

    Nakupendaaa sanaaaa

  • @rosehillary8742
    @rosehillary8742 7 років тому

    Hahahahahahaaaa....Kipusa mamaaaaaaa..MAjibu ya watoto sasa...Mbavu zangu jamani Idris

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 6 років тому

    Msanii smart kuliko wote Tanzania. Wengine hadi waji geuze wanawake, mibangi, unga, mchanga

  • @selemanihussein7053
    @selemanihussein7053 7 років тому +5

    njoo WCB hatulagi vipusa tunakubaga chakula from KANSAS CITY. IDRIS nakukaribisha kwetu USA, KANSAS CITY. my address 1366 Pinecrest street APT namba 1633, utanipata.

    • @allenmrema2919
      @allenmrema2919 7 років тому

      wee nawe, huna ata aibu ya kuongelea wachafu hapa, ukisikia mtu anajiita msafi jua ndio amelewa sasa maana ya usafi, wala sisi atuko upande huo tena

  • @matowo1990
    @matowo1990 7 років тому +1

    hahaha umetisha kaka

  • @dianadaniel6082
    @dianadaniel6082 7 років тому +4

    daaaa nimecheka mm eti mwambie dada wa kazi akipika tena kipusa mi siriii

  • @husseinpazi861
    @husseinpazi861 7 років тому +1

    Kipusa Ni Mwanamke Ambae Anamchuna sn mwanaume wake kwa jina maalufu Cjui (kudanga )

  • @مريمعلي-و8س
    @مريمعلي-و8س 6 років тому

    Much love from Oman we ❤u idris

    • @Jb40_
      @Jb40_ Рік тому

      ❤️🖤

  • @chumugangs249
    @chumugangs249 7 років тому

    hahahahaha Dull nimekusoma mtu wangu

  • @aishaabdion9802
    @aishaabdion9802 7 років тому

    daaaah chiz kweli wew

  • @shaviercharvinho9380
    @shaviercharvinho9380 6 років тому

    Eu gostei muito essa video

  • @kassimmossi3638
    @kassimmossi3638 3 роки тому

    Mama angu ajarudii Niko darasa LA kwanza😀😁😁😁😁😁😁😁😁😁😂

  • @adinanimasamaki5356
    @adinanimasamaki5356 7 років тому +14

    Nimeagiza mbavu mpya kutoka india😁😂😢

  • @patmush7516
    @patmush7516 7 років тому +4

    *_Kipusa ni Alikibaaaaaaaaaaaa_*

  • @happyalpha1350
    @happyalpha1350 7 років тому

    jamani nmecheka mpaka basi...idris we nouma

  • @salvinasimba7422
    @salvinasimba7422 7 років тому

    Dah wabongo buana| |Kipusaaaaa!! msosi..

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 7 років тому

    umefanya nchekee nikaliia 😂😅😁😅😂😄kipusa jamani

  • @hemedishafii6382
    @hemedishafii6382 7 років тому +1

    Hahahahahah Koi Mzungu unazingua Man

  • @motivationtv9958
    @motivationtv9958 7 років тому +1

    Daaah wewe jamaa ni fundi 😂😂😂😂

  • @gshenlgospel7485
    @gshenlgospel7485 7 років тому +1

    Kipusa sio habari Hila kwa uelewa Wangu kipusa ni kengere

  • @grasskambalecharles4992
    @grasskambalecharles4992 7 років тому

    Niceeeee

  • @jennifernduka720
    @jennifernduka720 6 років тому

    Mbavu zangu jamaniii 😃😃😃😃😃 na hao mnaowahoji kaaaaaa

  • @wambiliwamachalili7325
    @wambiliwamachalili7325 6 років тому

    kipusa ni kitu kitukinachopatikana Kwa nadra sana. kitu kipo lakini kina adimika( kinapotea) = pembe ya kifaru fasaha( vipusa old Swahili wanawake warembo = kipusa mwanamke mmoja mrembo. inategemeya wewe mzungumzaji uko upande gani \|||waniita kipusa [naadimika kwenye muonekano wa watu=kipusa. halisi ni pembe ya kifaru = unaonaje upatikanaji wake= nafikiri ni Kwa. shida sana. |{asili haipotei]

  • @sumyahkalama
    @sumyahkalama 6 років тому

    Wakenya mliojikuta hapa hi😂😂😂

  • @godsonliker9785
    @godsonliker9785 7 років тому

    😂😂😂😂😂 sawa

  • @sajopatrick9184
    @sajopatrick9184 7 років тому +1

    hahhhh hao vilaza wa TM D umewatoa wapi wanapindisha ukweli....

  • @salummohd6127
    @salummohd6127 6 років тому

    Ndio uchekeshaji gani kwanza nasikia jina lako lipo kwa mkuu umetajwa kweny list

  • @Mimi.Official76
    @Mimi.Official76 7 років тому

    Kipusa au vipusa means.ni Msichana mwenye uzuri msafi mrembo.....kwa mfano :wamepita vipusa wawili hapa umewaona?Hii ni lugha ya mtaani ambayo hutumika. .......

  • @selemanihussein7053
    @selemanihussein7053 7 років тому +1

    ndo nyimbo wanazotuimbia wengine wetu hazijulikani, na vifata upepo vinaimba tu havijuwi vinatukanwa.

  • @seifali2473
    @seifali2473 7 років тому +1

    Savage level 🤣🤣🤣🤣

  • @mwajumahassan3595
    @mwajumahassan3595 7 років тому

    yani nimecheka😃😃😃😃😃

  • @swalihinatv2031
    @swalihinatv2031 7 років тому

    ​Tanzania ya viwanda​
    1.Tatu Mzuka
    2.Biko
    3.PremierBet
    4.MeridianBet
    5.SportPesa
    6.GSB
    7.PrincesBet
    8.MkekaBet
    9.Supa Bets
    10.Bet Now
    11.Bet Ham
    12.Throne Bet
    13.M-Bet
    🤓🤓🤓🤓🤓
    🏃🏻🤓🏃🏻🏃🏻

  • @josephmurphyjosephmurphy7294
    @josephmurphyjosephmurphy7294 7 років тому +1

    imekaa poa aisee

  • @sumyahkalama
    @sumyahkalama 6 років тому

    Wacha niku follow Twitter

  • @TanzaniOman
    @TanzaniOman 4 роки тому

    Nyote mmefeli sasa mm nategua kitendawili (kipusa ) ni boss au tajir au mtu mwenye pesa nying io ndio maan halisi ya kipusa

  • @musamusa1722
    @musamusa1722 6 років тому

    Kipusa ni kitu ambacho kilikuwepo then kitawa shida kupatikana ndio kipusa#Zanzibar Swahili

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 6 років тому

    Hahahaha Miss Agatha Kipusa ni mtu anaetafutwa na Polisi na donge nono kutolewa huyo ni kipusa

  • @jafarsalum2123
    @jafarsalum2123 7 років тому

    hahahahahaahhaa yaaan hao wanaojibu maswali wanafurahisha

  • @mpendahaki_home_decor
    @mpendahaki_home_decor 7 років тому

    KIPUSA ni (1)Mwanamke Mrembo (2)Pembe Ya Faru
    *Swahili Sanifu*
    #SitakiUgomvi

  • @Amylotu
    @Amylotu 6 років тому +2

    Kipusa, ina maana nyingi mbili ninzojua Mimi ni kwanza ni pembe ya kifaru na maana ya pili ni mtu mwenye sura nzuri anaye pendeza kwa kila namna.

  • @Jb40_
    @Jb40_ Рік тому +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @davidroche3471
    @davidroche3471 7 років тому

    ww jamaa unautani wa ngumiii sana,,,,😂😂😂😂😂😂

  • @majidseif3845
    @majidseif3845 7 років тому

    Suti zako kali sana mkuu

  • @jennifernduka720
    @jennifernduka720 6 років тому +1

    😁😁😁😁😁😁 poziii kwa poziii

  • @mwangattazuberi8289
    @mwangattazuberi8289 7 років тому

    Aiseee watu wa ufahamu wa wetu wetu na lugha yetu kumbe bado uko hivi... waulize maana ya pembe 🐂🐰.. utasikia pembe la n'gombe

  • @atimnedibae9555
    @atimnedibae9555 7 років тому +1

    hhhhhhhh hhhhhhhh my night was fun

  • @Onge-shabani1994
    @Onge-shabani1994 4 роки тому

    ❤️❤️😂😂😂😂😂

  • @shamsaally9385
    @shamsaally9385 7 років тому

    mond hoyooo Halagi vipusaa@idrissultan

  • @DeeDiyo5
    @DeeDiyo5 7 років тому

    We mchizi kwa kweli 😀😀😀😀😀😀😀

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 7 років тому +1

    Hahahahahaaa kipusa hatareeee

  • @leahonesmo9649
    @leahonesmo9649 7 років тому +1

    mama angu ajarudiii

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 6 років тому

    Haaahaaaa mtoto kasema mama ake hajarudi

  • @irenebernard1331
    @irenebernard1331 7 років тому +3

    Mbavu zangu mimiiiii

  • @nzokakudema2885
    @nzokakudema2885 7 років тому

    hahaa Aise unatishaa kipusa idris unatisha

  • @naimumwahu2988
    @naimumwahu2988 7 років тому +1

    mama yangu hajarud, hahaaaa

  • @daudilazaro1448
    @daudilazaro1448 7 років тому

    nipo darasa la 1

  • @michaeldonasian5450
    @michaeldonasian5450 6 років тому

    hahahahaha matataaaaaaaaaa

  • @boazmtileghe9161
    @boazmtileghe9161 6 років тому

    Kipusa ni maboss walio shindikana hata ushuru hawalipi

  • @mwanunukiyungi8487
    @mwanunukiyungi8487 7 років тому

    nINAVYOJUA MIMI KIPUSA KWA KINYAMWEZI NI KITU KIZURI

  • @musamusa1722
    @musamusa1722 6 років тому

    Kipusa ni kitu ambacho kilikuwepo mda fulani baadae kikatoweka mfano saiv maharage yapo mengi tu madukani kama itafika kipindi yatakuwa shida kupatikana ndio unaweza sema maharage saivi kipusa

  • @epifaniamponda5676
    @epifaniamponda5676 6 років тому +1

    hahahahahaha hehehehehehehe kipusa yededeeeeee kipusa ni pilipiliiiii nizile ndege zilizokwama Canada hahahahahaha mecheka mpaka nalia wallah losti ya utumbo hahahahahaha

  • @benitholuambano9381
    @benitholuambano9381 7 років тому +3

    acha kiki kuma

  • @deewallance9354
    @deewallance9354 7 років тому +1

    Akili zenu mbovu.
    Huwez muuliza mtu kitu ambacho hajuw maana yake.
    Bora mngeuzila alikiba not hawo wasio na akili kazi fitina tu.
    Forsake,

  • @mwandiadam5490
    @mwandiadam5490 7 років тому

    hatari sanaaa

  • @angeledesius426
    @angeledesius426 6 років тому

    hahahah! xo poa asipike tena kipusa

  • @khadijaarkam5701
    @khadijaarkam5701 6 років тому

    😃😃😃😃

  • @saidemmanuel2181
    @saidemmanuel2181 7 років тому

    duuuuuuh kipusa makoch??????? bangi hzooo

  • @fatumamasudi365
    @fatumamasudi365 7 років тому +1

    hahahahaaaaa

  • @khadijaomar3299
    @khadijaomar3299 6 років тому

    😂😂😂😂😂😂

  • @man-zh6ug
    @man-zh6ug 7 років тому

    Kipusa ni mnyama aliye jifia nakuliwa bila kuchinjwa hiyo ndo maana ya kipusa

    • @DeeDiyo5
      @DeeDiyo5 7 років тому

      Joram Chonya hapana sio hivo kipusa ina maana nyingi

  • @lylyshadianzoyihaya3433
    @lylyshadianzoyihaya3433 7 років тому

    😂😂😂😂kipusaaaa

  • @harunajames8172
    @harunajames8172 7 років тому

    kipusa ni maandazi yalivunda 😂😂😂😂

  • @craytosmark5946
    @craytosmark5946 5 років тому

    Ndege imekwama😂

  • @hapakazi7907
    @hapakazi7907 7 років тому +1

    Kipusa ni kipande cha nyama

  • @abyhabibabiber8865
    @abyhabibabiber8865 7 років тому

    😅😅😅😅 we Idris mbona mchokoz hivo

  • @فاطمهسالم-ج7ت
    @فاطمهسالم-ج7ت 7 років тому +1

    Hahahahahahhhh

  • @isackjulius4341
    @isackjulius4341 6 років тому

    Aachane na kipusa aingie mtaani kufight

  • @waduduinctv6537
    @waduduinctv6537 7 років тому +2

    Uuuuu