MZIZE NA MPANZU HAWATAKIWI ULAYA / WAMEDANGANYA UMRI KWENYE VILABU VYAO
Вставка
- Опубліковано 16 вер 2024
- Hii ni CROWN MEDIA, 92.1 CROWN FM & CROWN TV
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
- www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Wanamchukuaje wakati dirisha limeshafungwa mpaka mwezi January
Perez Barbara Lopez Dorothy Martin Mark
Fiston kalala Mayele
Crown sports
Hiyo imeenda kama mtu kadanganya umri abaki tu huku aendelee kucheza mchangani hapa maisha yaendelee
Na walee makinda wa simba je kina MUTALE....
Vp kuhusu kibwana shomari
Wewe hans ni matako,hakuna kizuri kikiwa cha simba,ss kam genk amesema anaishirini akiongeza mine inakujaje za 26?
Hans muongo Simba alipanbana sana ila Vital waliweka ugumu
SASA KM NI HIVYO C WAMCHUKUE SIMBA?MO HAPO VP?
Tukiwambia Simba wababaishaji tu siku zote,
Chance hiyo hapo yuko free badala wambebe sasa ili dirisha dogo wamtambulishe watazubaa yanga watambeba afu waanze kelele, simba bado uswahili mwingi sana
Simba sc hatumuitaji tena..Simba sc wababaisha kivip we mtu mweusi?Simba sc ilishamuitaji kipindi kile wakazingua yeye na club yake..Simba sc ishamchukua bora zaidi yake
Hamna mali hapo kuna usenge mtupu.