Haivutii kuwa msanii bongo afadhali kenye labda ona maisha linex msanii mzuri kazi alizo fanya mbona hamna faida juma naturel,ferooz hadi sasa nyimbo ya ferooz starehe ikitiwa kwenye nyimbo kumi bora kwasasa nauwakika itakuwa n1 lakini maisha yake mna kitu.nawengineo
KAONGEA PUMBA INTAVIW NZIMA😊,,DEM WAKO ANA GARI 3 SI ANAUZA 1 ANAKUPA MSINGI UNAFUNGUA KADUKA KAKO,UNAZUGA,UACHE GARI UWAN UKAKWEE DALADALA😊 MPUMULIANE.,,SKILIZA EITHA WOTE MUWE MNA PESA AU MWANAUME AZIDI..NA MNAYAONA KWA SHISHI ILA UJEULI😊
Na siku akikuchoka anachukua biashara yake sio ? Jamaa katema madini sana mali ya mkeo sio yako , pia hakikisha mali zako hazina jasho ya mwanamke yaani asikupe mtaji labda muanze wote mfight wote
Kigoma hatoki fara 🙏💪
Yaaanii mm msanii ninae mkubal kuliko wootee na mpaka watoto wangu wanajua no one wangu ni linex ❤ yaaanii nyimbo zake zootee nazpendaaa big up kaka
Baba levo ni friend of benefit to you
Haivutii kuwa msanii bongo afadhali kenye labda ona maisha linex msanii mzuri kazi alizo fanya mbona hamna faida juma naturel,ferooz hadi sasa nyimbo ya ferooz starehe ikitiwa kwenye nyimbo kumi bora kwasasa nauwakika itakuwa n1 lakini maisha yake mna kitu.nawengineo
Swala la mda ndugu Leo huwez kupiga dar mpaka Moro au vavayo kweny club dar mpaka Moro itabamba japo wananunua vavayo😢
Achakuongea pumba wewe maisha ya wasanii unayajua wewe
Wapi amesema ana maisha magumu?
Kilichowafelisha ni mipango tafuta interview chid benz alikua anaweka fedha kwenye buti la gari walizipata wakashindwa kuzimeneji.
Linex Na Baba Levo Ni Blood Wana Big Love
Chawa la chawa😂
Saafi sana
❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Nyie nao washamba kwani FALA ni tusi?
Ndo hapo
TATZO ni media hazina uhuru wake kwahyo wanafanya kama kujilinda
TATZO ni media hazina uhuru wake kwahyo wanafanya kama kujilinda
Kama fala sio tusi Basi Muite Baba yako Hvo Uone 😂
Bora umempa mauwa yake mkiwa hai sio wengine wanaongea mtu akisha kufa❤❤❤
Jamaa yuko Smart sana, anaongea vizuri nampenda alivio
Linex unahekma sana Bro🙌🙌🙌
Vido anasogeza sana maik asee
Respect to you my brother usisahau ulipotoka kaka unajua sanaaa
Hiyo maik sasa ataila 😂
Huyu jamaa hatokuja kuimba ngoma kali kama AIFOLA
Pombe na bangi havijawahi mwacha mtu salama....wasanii wengi hawako salama ki maisha na ki fikra
Hata mambo ya kichoko choko na mambo ya kikundu kundu na usenge usenge wako havijawahi kawacha wasenge kama wewe salama
Unàonekana unatumia pombe, kama Nikweli punguza
😂😂
Umeonaje?
Linex yupo POA SANA.
Amesha kuwa mkongwe tena
point is true
Jiwe
Jiwe
Wajina huyo namkubali sana aiseee
Huyu mwamba anajua kiukwe
Mia mia kaka
Sande mjenda
Linex huyo amekuedit
Wa kwanza mimi
Ww ni msenge umefaidika nn kia wa kwanza tako limeota au
,This is real love aisee
KAONGEA PUMBA INTAVIW NZIMA😊,,DEM WAKO ANA GARI 3 SI ANAUZA 1 ANAKUPA MSINGI UNAFUNGUA KADUKA KAKO,UNAZUGA,UACHE GARI UWAN UKAKWEE DALADALA😊 MPUMULIANE.,,SKILIZA EITHA WOTE MUWE MNA PESA AU MWANAUME AZIDI..NA MNAYAONA KWA SHISHI ILA UJEULI😊
Na siku akikuchoka anachukua biashara yake sio ? Jamaa katema madini sana mali ya mkeo sio yako , pia hakikisha mali zako hazina jasho ya mwanamke yaani asikupe mtaji labda muanze wote mfight wote
Unaupewo wakueleweka hekima kama izoo
💯
💯💯💯
KUWA MAKINI ANGALIA NILICHOPOST UA-cam PLZ UTALIA😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😮😮😅😅😅😅
😂😂 ndyo unatafuta views kwa mtondo huo
Nice
Mwenewachu
Haya maisha bhn ukifanikiwa tu kila mmoja anakuja na yake mby sasa huna nyuma wala mbele hamna atakae kukumbuka kwa lolote
Huwajui we umenunua sim juzi
@EmmanuelSima: wewe ni wa mwaka gani Linex na baba Levo ni chanda na pete linex ndie kamleta baba levo Dar wanafahamiana kuanzia miaka ya 90's huko
Stupid emmaulel