BISHOP NA PASTOR WAPAMBANA KWENYE MADA YA KUOA WAKE WENGI.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 жов 2024
  • Please subscribe to our channel ‪@StraightPathDawah‬ .

КОМЕНТАРІ •

  • @HassoNalka-ei6fr
    @HassoNalka-ei6fr 2 місяці тому +7

    ManshAllah Ustad Ramadha bin kuria Allah Akuhifadi na akuzidishie umri ili. Usaidie🤲🤲🤲🤲

  • @rahilyas254
    @rahilyas254 2 місяці тому +5

    Ahsante bwana Ramadhan
    Allah akupe afya na umri mrefu uzidi kuelimisha watu
    Ameen

  • @aminamahamud9333
    @aminamahamud9333 2 місяці тому +3

    I love this debate it's hot sana.
    Sheikh Ramadan keep it up

  • @minaniyasini7834
    @minaniyasini7834 2 місяці тому +3

    Allah aibariki kazi ya daawah
    Nawapongeza sana wahubiri zetu

  • @alinurharun8468
    @alinurharun8468 2 місяці тому +2

    Jazakumullahu Khairan sheikh huyu daudi ataslimu jaribu vizuri ,he is a resource person

  • @fandere3745
    @fandere3745 2 місяці тому +4

    ManshaAllah,What a debate❕Sheikh make it a series 👏🙌,Part 2 plzz 🔥

  • @HassanJabir-g2e
    @HassanJabir-g2e 2 місяці тому +2

    Allah akuhifadh sheikh Ramadhan na inshallah AK watasilimu wote

  • @Baharia
    @Baharia 2 місяці тому +5

    Jamani tunangoja part 2 mashallah mdahalo mtamu sana mpe hongera Brother pilot

  • @Wida_de_boss
    @Wida_de_boss 2 місяці тому +3

    Yani huyu bishop ananifurahishaga kweli 😂😂😂😂😂 Allah amuongoze inshallah

  • @samxx411
    @samxx411 2 місяці тому +5

    Bishop leo hana majibu sana anadefend his dissertation tu kuhusu kuoa wake wengi na anaona bado shule yake bado ndogo ila namkubali sana yupo very friendly inshallah Mungu amfanye awe muislamu

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 2 місяці тому

      Suala siyo shule ila kukaririshwa mahubiri na mafungu ya wazungu, hiyo ni mipangulio ya maisha ya wazungu ya

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 2 місяці тому +5

    Kiukweli nawapenda wote kwa ajili ya Allah. SLEIFIK HAJJIR from Zanzibar

    • @didasmajor9288
      @didasmajor9288 2 місяці тому

      Okoka ktk jina la Yesu,
      Kristo Yesu anakuhitaji

    • @SheeMaryam.M
      @SheeMaryam.M 2 місяці тому +3

      Kuokoka ni ni akhera sio duniani

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 2 місяці тому

      ​@@didasmajor9288waliokuwepo kabla ya yesu kuzaliwa waliokoka kwa jina la nani? Wazungu pia wanaokoka kupitia jina yesu? Maana yesu ni East Africa pekeyake, nchi zengine ukitaja yesu hawajui yesu ni nini

  • @hanifa9153
    @hanifa9153 2 місяці тому +4

    Na pastor c asilim jamen amebakisha kidogo tu😂😂😂 allahumma bariki❤🤲

  • @arqam2020
    @arqam2020 2 місяці тому +4

    Napenda hii, Kimemramba Askofu hahah

  • @halimaali3719
    @halimaali3719 2 місяці тому +2

    Amini yarabi mungu uko❤

  • @MWALIMUCHAKATV
    @MWALIMUCHAKATV 2 місяці тому

    Sijamwona Daudi karibu miaka 10 na kitu. It's good to see him still soldering on. Yehova Elohim bless you both

  • @Natashaamina-u7w
    @Natashaamina-u7w 2 місяці тому +1

    Mashallah sisi ntunawempenda sana ❤

  • @Jingajinga64
    @Jingajinga64 2 місяці тому +3

    Assalamu Alaykum sheikh. Allahumma Barik

  • @Khalifaathumani-cy5om
    @Khalifaathumani-cy5om 2 місяці тому +5

    😂😂😂😂Hawa ndio maaskofu??? Hawa wamechemsha. Allah awape mwongozo kamili inshallah.

    • @Shillingi
      @Shillingi 2 місяці тому

      Kwani huyoo ambaye ww unamuamini siumwambie aje kama uko tayri ata ww karibu kenya

  • @nurumuhamad3817
    @nurumuhamad3817 2 місяці тому

    Thanks sheikh

  • @josemu870
    @josemu870 2 місяці тому

    Barikiweni sana sana

  • @adanabdi5249
    @adanabdi5249 2 місяці тому +1

    Masha Allah.

  • @AminiIlungajuma
    @AminiIlungajuma 2 місяці тому

    We can’t wait for part two 😊

  • @ChadCommaz-bx6xf
    @ChadCommaz-bx6xf 2 місяці тому +1

    My bishop is shivering today

  • @rashidwalwanda1991
    @rashidwalwanda1991 Місяць тому

    Maashallah ❤❤

  • @SheeMaryam.M
    @SheeMaryam.M 2 місяці тому +5

    Dume uoe dume mwenzako but kuoa wake wawili ni haramu
    Wallahi Hawa wakristo

    • @didasmajor9288
      @didasmajor9288 2 місяці тому

      Elewa kuwa kiongozi wa wakristo wote duniani ni Yesu, usikariri maisha ya kizungu ukayafanya ndiyo utamaduni wa kikristo. Soma kanuni za Imani ya kikristo kabla hujatoa oni mgando

    • @SheeMaryam.M
      @SheeMaryam.M 2 місяці тому +1

      @@didasmajor9288 yesu mwenyewe ni huyo mzungu Brian decon na Kila siku alikuwa aliishi kuwaambia msimuambudu yeye ni actor na Kila siku yesu wenu ako TikTok akiwaambia mpite na like.kama basi maisha yenu kiongozi ni yesu ,basi msioe juu yesu hakuoa, 😂😂😂

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 2 місяці тому

      Wakristo wamechanganyikiwa hawajui Nini ni Nini Yani wapotu kufuata upepo

    • @softymoha5484
      @softymoha5484 2 місяці тому

      @@SheeMaryam.M 🤣🤣

    • @SheeMaryam.M
      @SheeMaryam.M 2 місяці тому

      @@didasmajor9288 si mnawaozesha kanisani sio siri

  • @YusufDaudi-v5f
    @YusufDaudi-v5f 2 місяці тому +1

    Mashallah

  • @MosesMaina-o7k
    @MosesMaina-o7k 2 місяці тому

    Upload part 2 kindly

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 2 місяці тому

    Bishop huwa unanichekesha kwa kweli sana napenda kukusikiliza unavyozungumza.

  • @PaulRichard-vq9xz
    @PaulRichard-vq9xz Місяць тому

    Mm nmemuelewa askofu yko correct saaaana

  • @MWALIMUCHAKATV
    @MWALIMUCHAKATV 2 місяці тому

    Hahaha eti Eve was just one of the many bones of Adam. Very funny argument

  • @Adm9464
    @Adm9464 2 місяці тому +2

    It seems Bishop Steven is confused because the only verse that talks about one wife is directed to the Bishop not the parishioners. So the Bible confirm the Islamic belief of polygamy.

  • @imranbanda3963
    @imranbanda3963 2 місяці тому +1

    Today bishop goes to Sunday school

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 2 місяці тому

    🤣🤣🤣🤣🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️ part 2 please

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 2 місяці тому

    Huyo bishop msimueke na wasomi .. huyo ni mpiga debe .. fujo tupu maandiko zero.😅😅

  • @Adm9464
    @Adm9464 2 місяці тому +1

    Jameni Bishop Stephen seems stuck in a deep mud and has no way out.

  • @warsameabdi9366
    @warsameabdi9366 2 місяці тому

    Bishop Huna Bahati...Biblia imekukataa..😂

  • @arafatabubakar001
    @arafatabubakar001 2 місяці тому

    Bishop,rudi tena shule,bado twakusubiri...Wallahi nashangaa mpaka waikataa kile ulioenda kusomea😂😂😂

  • @Adm9464
    @Adm9464 2 місяці тому +1

    Bishop Stephen is definitely caught off guard and is struggling to confront his pastor opponent. Either he hasn’t read the Bible in its entirety or he is ignoring the teachings of the Bible.

  • @ramadhanrashid1040
    @ramadhanrashid1040 2 місяці тому

    Hee, huyu pilot yuko sharp.

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 2 місяці тому

    Bishop leo hataki kizungu leo haaaahaaha si amesomea Bible Theology, au amesoma kwa kiswahili 😁😁, kizungu hakipandi leo.

  • @jei_Ibrahim
    @jei_Ibrahim 2 місяці тому

    Kama kuna muisilamu hapendi bishop uyo atakuwa na issue zake tu personal Rama ambia bishop waislamu tunampenda sana 😂😂😂😂😂😂😂

  • @Adm9464
    @Adm9464 2 місяці тому +1

    The two Christian pastors can’t agree with one another.

  • @AssumaniKibiriti
    @AssumaniKibiriti 2 місяці тому

    Assalam alayikum warahmatulilah wabarakatuh kwa kweli bishop hajuwi maandiko wako wanampa somo longine alikuwa halijuwi 😂😂

    • @AssdfAssd-g3y
      @AssdfAssd-g3y 2 місяці тому

      😂😂😂😂kimemkuta Leo bishop aamini tu na awache upotofu😢

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 2 місяці тому

    Hebu sema kwa kiswahil tusikie😂😂😂😂

  • @salimbahatisha3003
    @salimbahatisha3003 2 місяці тому

    😂😂😂Bishop yuko hoi bin taaban....ety ah😅😂😂

  • @husha6372
    @husha6372 2 місяці тому

    Sheikh Ramadhan ungekwenda na daudi kule Bungoma Tomgaren Kwa Yesu wa TONGAREN am am AME Kwa maandiko

  • @emmanuelgongoro1014
    @emmanuelgongoro1014 2 місяці тому

    Mke mmoja hio ni uzungu...Mungu hakuadhibu walio oa wake wengi...uzungu ndio unao tawala makanisa mengi...

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 2 місяці тому

      Hao wazungu wenyewe uacha wake zao uzunguni nakuja nchi za Africa kuoa wake wengine

    • @emmanuelgongoro1014
      @emmanuelgongoro1014 2 місяці тому

      @@fatumamwalimu5765 kabisa na ss wanatudanganya hapa

  • @Wida_de_boss
    @Wida_de_boss 2 місяці тому +1

    Hebu ongea Kiswahili tuskieew😂😂😂😂

  • @SALIMHINZANO-f7m
    @SALIMHINZANO-f7m 2 місяці тому

    Bishop rafikiangu leo ni kizungu 😂😂😂😂😂😂

  • @AlexEinstein-by8wo
    @AlexEinstein-by8wo 2 місяці тому

    Poligamy is humanity way to whitewash sin and legalize it with scriptures!!

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 2 місяці тому +1

    Hawajui.kama.wanawakeawengi.kuliko.wakiume

  • @MedpearlHealthcare
    @MedpearlHealthcare 2 місяці тому +1

    Bishop Stephen gachochi kapigwa na butwaaaa

  • @ShahazaMarsha-jo9ct
    @ShahazaMarsha-jo9ct 2 місяці тому

    New testament inapotosha,old testament ndio yenyewe na Qur'an

  • @gechtv580
    @gechtv580 2 місяці тому

    So called bishop alijigamba vile amesoma na amewekwa chini vibaya sana.

  • @alinurharun8468
    @alinurharun8468 2 місяці тому

    Naona bishop anajaribu kuficha msalaba wake

  • @AllySilwamba
    @AllySilwamba 2 місяці тому

    Nimecheka saana 😂😂

  • @MWALIMUCHAKATV
    @MWALIMUCHAKATV 2 місяці тому

    By the way Zipporah is the very lady mentioned as Cushite . The black Ethiopian, the cushite or medianite . It's the very woman

  • @bashirmahero7021
    @bashirmahero7021 2 місяці тому +1

    Bishop anaona kivumbi😂😂😂😂😂 anaganda

  • @RamadhaniRamadhani-yd4hq
    @RamadhaniRamadhani-yd4hq 2 місяці тому

    Huyo baba ni mwalimu, ilifaa awafundishe maaskofu bibilia

  • @omaar5693
    @omaar5693 2 місяці тому

    mzee anatetea mke m1 kwa utashi tu...
    adam alikatwa ubavu mmoja..
    iyo ni uumbaji inausianaje ma ndoa.
    mama alitoka kwa mwili wa adam.
    tungesema hakupaswa kuwa mkewe...
    na watoto wao walioana ndugu...
    haimanishi ni ruhsa kuoana ndugu...
    ILIKUWA NI UUMBAJI NA WA WALIPOTOSHA MUNGU AKAWEKA SHERIA...

  • @RossaMengo
    @RossaMengo 2 місяці тому

    Huyu brother dawood bado asilimu tu maana hapo ako sawa kabisa..askofu leo umekutana na pastor anakutoa jasho

  • @Therealkhalid254
    @Therealkhalid254 2 місяці тому

    Bishop ameishiwa hoja kabisaaaa.

  • @muhinabakali7377
    @muhinabakali7377 2 місяці тому

    Mdahalo mwengine mwambie huyo mchungaji aongee kixwa hili

  • @JoelKathata
    @JoelKathata Місяць тому

    Ramadhani please tell the bishop to read the whole verse. Corinthians 7varse 1 and 2

  • @husseinmoha7959
    @husseinmoha7959 2 місяці тому +1

    Asalamu aleykum

    • @hamisiomari6181
      @hamisiomari6181 2 місяці тому

      Walaikum salaam warahmatullah wabarakat

  • @MohamedAli-ng9jg
    @MohamedAli-ng9jg 2 місяці тому

    Bishop yani Ame'jam lakini Bado anajaribu kuuza Sura 😅
    Kama so hizo camera, angerusha makonde hapo 😅

  • @SusanWanjiku-yq6bk
    @SusanWanjiku-yq6bk 2 місяці тому +1

    Harakisha nataka kuona ndacha na bishop nataka kujua maana ya kamungu kadogo

  • @imranbanda3963
    @imranbanda3963 2 місяці тому

    Bishop for second wife

  • @PaulRichard-vq9xz
    @PaulRichard-vq9xz Місяць тому

    Mke zaidi ya mmoja huo ni uzinzi uliojificha ktka ndoa ya wake zaidi ya mmoja

  • @mohamedsoud3225
    @mohamedsoud3225 2 місяці тому

    Brother pilot we kweli umesoma unabishana kwa hoja ,so kwa ubabaishaji

  • @MuhashamKhalil
    @MuhashamKhalil 2 місяці тому

    Joseph njaa itakuua, nakuuliza unipe andiko moja Yesu mwenyewe aseme MIMI NI MUNGU,wacha kujipambaniza

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa3714 2 місяці тому +2

    Hapa hautawaona wale makafili wanaotetea mwanaume kuoa mwanaume mwenzake na kukataza mwanaume kuoa wake wengi wakristo hawajielewi ya ni wanakataza mwanaume kuoa wake wengi harafu wanaotetea ushoga na LGBTQ hatasijui wanaamini bibilia Gani au ukristo gani

    • @mobutu3884
      @mobutu3884 2 місяці тому

      Kwani wewe unajua Biblia inasemaje kuhusu ushoga? Au huwa mnaamini watu na sio Biblia? Wakristo wanaongozwa na Biblia na sio mihemuko ya watu, ndio maana wapo waislamu wengi sana mashoga ila quran sidhan kama inaruhusu ushoga, au unataka tuhoji uislamu kwa sababu wapo mashoga pia

    • @SheeMaryam.M
      @SheeMaryam.M 2 місяці тому

      Askofu tu ndio inasema mtu aoe bb mmoja
      Lkn manabii hakuna alie kuwa na bb mmoja
      Japo wao wanasema manabii niwazinifu
      ..... Bb mmoja lkn mahawara akonao akifa ndio unajuwa you were not alone😂😂

    • @MohamedMohamed-u3t1n
      @MohamedMohamed-u3t1n 2 місяці тому

      ​@@mobutu3884biblia pia inaruhusu polygamy nyie mnapinga nyie mnaamua tu mnavyotaka wala hamfati bibilia

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 2 місяці тому

      ​@@mobutu3884kwanza ningependa kujua wewe nimwanaume au mwanamke maana kama wewe nimwanaume utakua natatizo la nguvu zakiume na kama wewe nimwanamke utakua na wivu ndio inakusumbua nakama wewe nshoga huna tofauti na mwanamke au kama wewe nimwanaume unaogopa majukumu maana hueleweki kwani wete watatu wanosoma hapo wanasoma bibilia au nimanenoyao yakutunga ???

  • @halimaali3719
    @halimaali3719 2 місяці тому

    😂😂😂😂😂wewee

  • @JoelKathata
    @JoelKathata Місяць тому

    Basi kulingana na Bishop, anamaanisha mungu amekosea kuwaumba wake wengi kuliko waume? Ikiwa mungu hapendi polygamy, angeumba idadi sawa

  • @samxx411
    @samxx411 2 місяці тому +1

    Naona Bishop ameganda kama ametiwa kwenye friji

  • @chiefmkalikibz1503
    @chiefmkalikibz1503 2 місяці тому

    Bishop huanzi leo kupingana mzee. UMESAHAU 6YRS AGO NA GERISHEN, YAHYA ETC.
    #Armie2Palestine
    #WorkForChange
    #WorkForPeace
    #WorkForKhilafah

  • @AssdfAssd-g3y
    @AssdfAssd-g3y 2 місяці тому

    Mm nilikuwa nataka bishop nimsikilize vizuri leo lkn amekuwa ????nyingi tu kwn haya yametoka wp bishop utaiibika ww na kuna hao ma sister ambao hawailewi lkn ...... Mungu atuongoze maana iyo ni kufuru kubwa 😂😂😂😂😂😂😂bishop awe na mmoja masisters wasiolewe kweli huo ni ungwana???

  • @AssumaniKibiriti
    @AssumaniKibiriti 2 місяці тому

    Lakini sheikh watu uko mchokozi unatupa jiwe jizani kumwambia pasta anavaa kofeya ya wayahudi😂😂😂😂😂

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 2 місяці тому +1

    Lakini nyie wakristo mnang'ang'ania mke mmoja lakini wanawAke ni wengi kuliko wanaume! Na kadri siku zinavyoenda ndivyo tofauti ya ke inavyokuwa kubwa maaana na ndiyo wote wameumbwA na mwenyezi Mungu nani apate mume nani akose, hata sasahivi na nyie mna mabinti kama siyo mabinti ni dadAe zenu wanatamani kuolewa lakini wanaume hakuna

  • @hasinaalrahbi6681
    @hasinaalrahbi6681 2 місяці тому +1

    Huyu Bishop ni mgonjwa.

    • @mohamednurmohamed8812
      @mohamednurmohamed8812 2 місяці тому

      Brother Asalam Aleikum nakuomba tujaribu kutumia language nzuri tujenge heshima shukran brother ALLAH Barik❤

  • @SusanWanjiku-yq6bk
    @SusanWanjiku-yq6bk 2 місяці тому +1

    Bishop heri wanawake wengi badala ya ketembea inje

    • @SheeMaryam.M
      @SheeMaryam.M 2 місяці тому

      Unaambiwa uko solo, bwana akinyoria ndio unajuwa u were not alone😂😂

  • @salamalsawaqi1206
    @salamalsawaqi1206 2 місяці тому

    Nyinyi mlisha telemshiwa kitabu inaeleza majibu yooooteeee ya kweli na ya haki kur'an lakini bado hamfahamu moto unawangoja

  • @kassimabdilatif1802
    @kassimabdilatif1802 2 місяці тому

    Kukumbusha ndugu Ramadhan. Hii aya ya kuoa wake wanne ilipoteremshwa mtume Muhammad (s.a.w) alikua tayari ana wake tisa. Kuna aya nyengine inayomwambia mtume kuwa hana ruhusa ya kuongeza wala kuoa tena ikiwa yeyote katika hao tisa atakufa ama kuachika. Yaani Allah alimpa ruhusa ya kuendelea na hao wake alionao kwa kuwa tayari wameshaolewa. Kwa hiyo kama Mathalan kama katika hao tisa wake watano wangefariki wakabaki 4 mtume asingeruhusiwa kuongeza.

    • @saidissa8273
      @saidissa8273 2 місяці тому

      Mbona suali rahisi.hakuambiwa tisa.ameoa tisa.angetaka angeendelea

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 2 місяці тому +1

    Huyu.asiyejuwaSwahili.naeAnamambo.eti.AnaaminiYesu.mwanawamungu.napiaMungu.yahn.kuanza.tu.haeleweki

  • @martinchambala9399
    @martinchambala9399 2 місяці тому

    Watu kama huyu daudi sikunyingine hatumtaki anaongea kingereza wengine anatuacha solemba

  • @adrisshagi1255
    @adrisshagi1255 2 місяці тому

    Oooh. Mr iskof. Naku salamiya kaka . And Ramadan Korea kaka. Asalamu aleykum.

  • @abdulJambe
    @abdulJambe 2 місяці тому

    Bishop ako na mke mmoja lkn mpango wa kando hawezi kosa

  • @Alithoya-qr7di
    @Alithoya-qr7di 2 місяці тому

    Bishop huko shule alikua anasoma bible gani anashangaa

  • @bacteria5184
    @bacteria5184 2 місяці тому

    Sheikh ramadhan wape wageni angalau soda au maji au nimekuja saana ndugu zangu?

  • @dickkagari8952
    @dickkagari8952 2 місяці тому

    This bishop should do bible reading thoroughly before presenting himself to debate

  • @HamadMbark
    @HamadMbark 2 місяці тому

    Hawataki tuowe wanawake zaidi ya mmoja lkn wako tayari kupigia debe tuowe wanaume wenzetu

    • @SheeMaryam.M
      @SheeMaryam.M 2 місяці тому

      Uoe dume mwenzako 😂😂😂 na wanawake rate Yao Iko juu kuliko wanaume na wanaweka mahawara nje

  • @fredrickgitonga1972
    @fredrickgitonga1972 2 місяці тому

    Nini swali kaini uliowa wapi ju, kulikuwa na watu wainne tu Dunia na alipo muuwa duguye alikimbia nyumba, na kwenda kuowa je aliowa wapi

    • @yusufmwangichannel6692
      @yusufmwangichannel6692 2 місяці тому

      😂😂😂Bibilia hapo iliwadanganya na unafaa uende kwa pastor wako umuulize hilo swali uone kama hatakukemea kwa sababu hakuna jibu

    • @SheeMaryam.M
      @SheeMaryam.M 2 місяці тому +1

      ​@@yusufmwangichannel6692 aaah mwangi ATI kiî 😂😂😂 wallahi alhamdulillah kwa neema ya uisilamu

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 2 місяці тому +1

      Ndio ujue bibilia nikitabu cha story zajabatu

    • @SheeMaryam.M
      @SheeMaryam.M 2 місяці тому

      @@fredrickgitonga1972 alienda nchi ya Nondi

    • @SheeMaryam.M
      @SheeMaryam.M 2 місяці тому

      @@fredrickgitonga1972 nchi ya Nondi alienda kuoa huko

  • @SuleimanJuma-dv8gt
    @SuleimanJuma-dv8gt 2 місяці тому

    Huyo pastor ni zuzu hajui anachozungumza, yusakataa mpaka maandiko yakitabu chake.

  • @yabdul1782
    @yabdul1782 2 місяці тому

    😂😂Askofu kashaji kufunga kwa sentence za kwanza kusema "initially" ndio maana mungu ka tuma Manabi na vitabu za sharia! STOP SAYING WOMEN R BYPRODUCTS. That's degrading women n questioning the intelligence of the creator and his wisdom.
    Pastor ako na shida. Tht was God's wisdom at the time of Adam.

  • @buyuni1
    @buyuni1 2 місяці тому

    please do not provide a platform to these people to confuse multitudes

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 2 місяці тому +6

    Ramadhani kama unataka debait ya kisomi njoo Tanzania kuna bishop anaitwa bishop ngonyani , fundi WA maandiko geneous , njoo na mada yyte unayojua wewe hasa ya Uungu wa yesu karibu Sana

    • @Smart_jarm
      @Smart_jarm 2 місяці тому +4

      MAANDIKO YAPI HAYO YALIOBADILISHWA AU KUNA MAPYA?

    • @MuhashamKhalil
      @MuhashamKhalil 2 місяці тому +4

      Endelea kuota mchana,andiko Moja pekee Yesu anasema "Mimi ni mungu"

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 2 місяці тому +3

      WrweKweli.umevurugwa.uungu.waYesu.Yesu.kawamungu.Innalilah.SubiriUfe.Nahuyo.giniaz.wako

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 2 місяці тому +1

      ​@@SalmanMughal-lq5lt Mimi naamini Yesu Mungu , asilimia 💯💪, wewe kama huamini NI wewe kwani shida iko wapi amini unacho amini

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 2 місяці тому

      ​@@MuhashamKhalil Narudia tena Yesu NI Mungu asilimia 💯💪 niache niamini nacho amini , Yesu hakuja kujisia Uungu wake Bali Kwa KAZI zake yatupasa kuamini

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 2 місяці тому +1

    Leo.msalaba.umedondokasiuon

  • @husseinmoha7959
    @husseinmoha7959 2 місяці тому +1

    Masha Allah