Bishop leo hana majibu sana anadefend his dissertation tu kuhusu kuoa wake wengi na anaona bado shule yake bado ndogo ila namkubali sana yupo very friendly inshallah Mungu amfanye awe muislamu
@@didasmajor9288waliokuwepo kabla ya yesu kuzaliwa waliokoka kwa jina la nani? Wazungu pia wanaokoka kupitia jina yesu? Maana yesu ni East Africa pekeyake, nchi zengine ukitaja yesu hawajui yesu ni nini
Elewa kuwa kiongozi wa wakristo wote duniani ni Yesu, usikariri maisha ya kizungu ukayafanya ndiyo utamaduni wa kikristo. Soma kanuni za Imani ya kikristo kabla hujatoa oni mgando
@@didasmajor9288 yesu mwenyewe ni huyo mzungu Brian decon na Kila siku alikuwa aliishi kuwaambia msimuambudu yeye ni actor na Kila siku yesu wenu ako TikTok akiwaambia mpite na like.kama basi maisha yenu kiongozi ni yesu ,basi msioe juu yesu hakuoa, 😂😂😂
It seems Bishop Steven is confused because the only verse that talks about one wife is directed to the Bishop not the parishioners. So the Bible confirm the Islamic belief of polygamy.
Bishop Stephen is definitely caught off guard and is struggling to confront his pastor opponent. Either he hasn’t read the Bible in its entirety or he is ignoring the teachings of the Bible.
mzee anatetea mke m1 kwa utashi tu... adam alikatwa ubavu mmoja.. iyo ni uumbaji inausianaje ma ndoa. mama alitoka kwa mwili wa adam. tungesema hakupaswa kuwa mkewe... na watoto wao walioana ndugu... haimanishi ni ruhsa kuoana ndugu... ILIKUWA NI UUMBAJI NA WA WALIPOTOSHA MUNGU AKAWEKA SHERIA...
Hapa hautawaona wale makafili wanaotetea mwanaume kuoa mwanaume mwenzake na kukataza mwanaume kuoa wake wengi wakristo hawajielewi ya ni wanakataza mwanaume kuoa wake wengi harafu wanaotetea ushoga na LGBTQ hatasijui wanaamini bibilia Gani au ukristo gani
Kwani wewe unajua Biblia inasemaje kuhusu ushoga? Au huwa mnaamini watu na sio Biblia? Wakristo wanaongozwa na Biblia na sio mihemuko ya watu, ndio maana wapo waislamu wengi sana mashoga ila quran sidhan kama inaruhusu ushoga, au unataka tuhoji uislamu kwa sababu wapo mashoga pia
Askofu tu ndio inasema mtu aoe bb mmoja Lkn manabii hakuna alie kuwa na bb mmoja Japo wao wanasema manabii niwazinifu ..... Bb mmoja lkn mahawara akonao akifa ndio unajuwa you were not alone😂😂
@@mobutu3884kwanza ningependa kujua wewe nimwanaume au mwanamke maana kama wewe nimwanaume utakua natatizo la nguvu zakiume na kama wewe nimwanamke utakua na wivu ndio inakusumbua nakama wewe nshoga huna tofauti na mwanamke au kama wewe nimwanaume unaogopa majukumu maana hueleweki kwani wete watatu wanosoma hapo wanasoma bibilia au nimanenoyao yakutunga ???
Mm nilikuwa nataka bishop nimsikilize vizuri leo lkn amekuwa ????nyingi tu kwn haya yametoka wp bishop utaiibika ww na kuna hao ma sister ambao hawailewi lkn ...... Mungu atuongoze maana iyo ni kufuru kubwa 😂😂😂😂😂😂😂bishop awe na mmoja masisters wasiolewe kweli huo ni ungwana???
Lakini nyie wakristo mnang'ang'ania mke mmoja lakini wanawAke ni wengi kuliko wanaume! Na kadri siku zinavyoenda ndivyo tofauti ya ke inavyokuwa kubwa maaana na ndiyo wote wameumbwA na mwenyezi Mungu nani apate mume nani akose, hata sasahivi na nyie mna mabinti kama siyo mabinti ni dadAe zenu wanatamani kuolewa lakini wanaume hakuna
Kukumbusha ndugu Ramadhan. Hii aya ya kuoa wake wanne ilipoteremshwa mtume Muhammad (s.a.w) alikua tayari ana wake tisa. Kuna aya nyengine inayomwambia mtume kuwa hana ruhusa ya kuongeza wala kuoa tena ikiwa yeyote katika hao tisa atakufa ama kuachika. Yaani Allah alimpa ruhusa ya kuendelea na hao wake alionao kwa kuwa tayari wameshaolewa. Kwa hiyo kama Mathalan kama katika hao tisa wake watano wangefariki wakabaki 4 mtume asingeruhusiwa kuongeza.
😂😂Askofu kashaji kufunga kwa sentence za kwanza kusema "initially" ndio maana mungu ka tuma Manabi na vitabu za sharia! STOP SAYING WOMEN R BYPRODUCTS. That's degrading women n questioning the intelligence of the creator and his wisdom. Pastor ako na shida. Tht was God's wisdom at the time of Adam.
Ramadhani kama unataka debait ya kisomi njoo Tanzania kuna bishop anaitwa bishop ngonyani , fundi WA maandiko geneous , njoo na mada yyte unayojua wewe hasa ya Uungu wa yesu karibu Sana
@@MuhashamKhalil Narudia tena Yesu NI Mungu asilimia 💯💪 niache niamini nacho amini , Yesu hakuja kujisia Uungu wake Bali Kwa KAZI zake yatupasa kuamini
ManshAllah Ustad Ramadha bin kuria Allah Akuhifadi na akuzidishie umri ili. Usaidie🤲🤲🤲🤲
Ahsante bwana Ramadhan
Allah akupe afya na umri mrefu uzidi kuelimisha watu
Ameen
I love this debate it's hot sana.
Sheikh Ramadan keep it up
Allah aibariki kazi ya daawah
Nawapongeza sana wahubiri zetu
Jazakumullahu Khairan sheikh huyu daudi ataslimu jaribu vizuri ,he is a resource person
ManshaAllah,What a debate❕Sheikh make it a series 👏🙌,Part 2 plzz 🔥
Allah akuhifadh sheikh Ramadhan na inshallah AK watasilimu wote
Jamani tunangoja part 2 mashallah mdahalo mtamu sana mpe hongera Brother pilot
Yani huyu bishop ananifurahishaga kweli 😂😂😂😂😂 Allah amuongoze inshallah
Bishop leo hana majibu sana anadefend his dissertation tu kuhusu kuoa wake wengi na anaona bado shule yake bado ndogo ila namkubali sana yupo very friendly inshallah Mungu amfanye awe muislamu
Suala siyo shule ila kukaririshwa mahubiri na mafungu ya wazungu, hiyo ni mipangulio ya maisha ya wazungu ya
Kiukweli nawapenda wote kwa ajili ya Allah. SLEIFIK HAJJIR from Zanzibar
Okoka ktk jina la Yesu,
Kristo Yesu anakuhitaji
Kuokoka ni ni akhera sio duniani
@@didasmajor9288waliokuwepo kabla ya yesu kuzaliwa waliokoka kwa jina la nani? Wazungu pia wanaokoka kupitia jina yesu? Maana yesu ni East Africa pekeyake, nchi zengine ukitaja yesu hawajui yesu ni nini
Na pastor c asilim jamen amebakisha kidogo tu😂😂😂 allahumma bariki❤🤲
Napenda hii, Kimemramba Askofu hahah
Amini yarabi mungu uko❤
Sijamwona Daudi karibu miaka 10 na kitu. It's good to see him still soldering on. Yehova Elohim bless you both
Mashallah sisi ntunawempenda sana ❤
Assalamu Alaykum sheikh. Allahumma Barik
😂😂😂😂Hawa ndio maaskofu??? Hawa wamechemsha. Allah awape mwongozo kamili inshallah.
Kwani huyoo ambaye ww unamuamini siumwambie aje kama uko tayri ata ww karibu kenya
Thanks sheikh
Barikiweni sana sana
Masha Allah.
We can’t wait for part two 😊
My bishop is shivering today
Maashallah ❤❤
Dume uoe dume mwenzako but kuoa wake wawili ni haramu
Wallahi Hawa wakristo
Elewa kuwa kiongozi wa wakristo wote duniani ni Yesu, usikariri maisha ya kizungu ukayafanya ndiyo utamaduni wa kikristo. Soma kanuni za Imani ya kikristo kabla hujatoa oni mgando
@@didasmajor9288 yesu mwenyewe ni huyo mzungu Brian decon na Kila siku alikuwa aliishi kuwaambia msimuambudu yeye ni actor na Kila siku yesu wenu ako TikTok akiwaambia mpite na like.kama basi maisha yenu kiongozi ni yesu ,basi msioe juu yesu hakuoa, 😂😂😂
Wakristo wamechanganyikiwa hawajui Nini ni Nini Yani wapotu kufuata upepo
@@SheeMaryam.M 🤣🤣
@@didasmajor9288 si mnawaozesha kanisani sio siri
Mashallah
Upload part 2 kindly
Bishop huwa unanichekesha kwa kweli sana napenda kukusikiliza unavyozungumza.
Mm nmemuelewa askofu yko correct saaaana
Hahaha eti Eve was just one of the many bones of Adam. Very funny argument
It seems Bishop Steven is confused because the only verse that talks about one wife is directed to the Bishop not the parishioners. So the Bible confirm the Islamic belief of polygamy.
😂😂😂
Today bishop goes to Sunday school
🤣🤣🤣🤣🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️ part 2 please
Huyo bishop msimueke na wasomi .. huyo ni mpiga debe .. fujo tupu maandiko zero.😅😅
Jameni Bishop Stephen seems stuck in a deep mud and has no way out.
Bishop Huna Bahati...Biblia imekukataa..😂
Bishop,rudi tena shule,bado twakusubiri...Wallahi nashangaa mpaka waikataa kile ulioenda kusomea😂😂😂
Bishop Stephen is definitely caught off guard and is struggling to confront his pastor opponent. Either he hasn’t read the Bible in its entirety or he is ignoring the teachings of the Bible.
Hee, huyu pilot yuko sharp.
Bishop leo hataki kizungu leo haaaahaaha si amesomea Bible Theology, au amesoma kwa kiswahili 😁😁, kizungu hakipandi leo.
Kama kuna muisilamu hapendi bishop uyo atakuwa na issue zake tu personal Rama ambia bishop waislamu tunampenda sana 😂😂😂😂😂😂😂
The two Christian pastors can’t agree with one another.
Assalam alayikum warahmatulilah wabarakatuh kwa kweli bishop hajuwi maandiko wako wanampa somo longine alikuwa halijuwi 😂😂
😂😂😂😂kimemkuta Leo bishop aamini tu na awache upotofu😢
Hebu sema kwa kiswahil tusikie😂😂😂😂
😂😂😂Bishop yuko hoi bin taaban....ety ah😅😂😂
Sheikh Ramadhan ungekwenda na daudi kule Bungoma Tomgaren Kwa Yesu wa TONGAREN am am AME Kwa maandiko
Mke mmoja hio ni uzungu...Mungu hakuadhibu walio oa wake wengi...uzungu ndio unao tawala makanisa mengi...
Hao wazungu wenyewe uacha wake zao uzunguni nakuja nchi za Africa kuoa wake wengine
@@fatumamwalimu5765 kabisa na ss wanatudanganya hapa
Hebu ongea Kiswahili tuskieew😂😂😂😂
Bishop 😢😢😢😢
Bishop rafikiangu leo ni kizungu 😂😂😂😂😂😂
Poligamy is humanity way to whitewash sin and legalize it with scriptures!!
Hawajui.kama.wanawakeawengi.kuliko.wakiume
Sure!!
Bishop Stephen gachochi kapigwa na butwaaaa
New testament inapotosha,old testament ndio yenyewe na Qur'an
So called bishop alijigamba vile amesoma na amewekwa chini vibaya sana.
Naona bishop anajaribu kuficha msalaba wake
Nimecheka saana 😂😂
By the way Zipporah is the very lady mentioned as Cushite . The black Ethiopian, the cushite or medianite . It's the very woman
Bishop anaona kivumbi😂😂😂😂😂 anaganda
Huyo baba ni mwalimu, ilifaa awafundishe maaskofu bibilia
mzee anatetea mke m1 kwa utashi tu...
adam alikatwa ubavu mmoja..
iyo ni uumbaji inausianaje ma ndoa.
mama alitoka kwa mwili wa adam.
tungesema hakupaswa kuwa mkewe...
na watoto wao walioana ndugu...
haimanishi ni ruhsa kuoana ndugu...
ILIKUWA NI UUMBAJI NA WA WALIPOTOSHA MUNGU AKAWEKA SHERIA...
Huyu brother dawood bado asilimu tu maana hapo ako sawa kabisa..askofu leo umekutana na pastor anakutoa jasho
Bishop ameishiwa hoja kabisaaaa.
Mdahalo mwengine mwambie huyo mchungaji aongee kixwa hili
Ramadhani please tell the bishop to read the whole verse. Corinthians 7varse 1 and 2
Asalamu aleykum
Walaikum salaam warahmatullah wabarakat
Bishop yani Ame'jam lakini Bado anajaribu kuuza Sura 😅
Kama so hizo camera, angerusha makonde hapo 😅
Harakisha nataka kuona ndacha na bishop nataka kujua maana ya kamungu kadogo
😂😂😂 insha'Allah
Bishop for second wife
Mke zaidi ya mmoja huo ni uzinzi uliojificha ktka ndoa ya wake zaidi ya mmoja
Brother pilot we kweli umesoma unabishana kwa hoja ,so kwa ubabaishaji
Joseph njaa itakuua, nakuuliza unipe andiko moja Yesu mwenyewe aseme MIMI NI MUNGU,wacha kujipambaniza
Hapa hautawaona wale makafili wanaotetea mwanaume kuoa mwanaume mwenzake na kukataza mwanaume kuoa wake wengi wakristo hawajielewi ya ni wanakataza mwanaume kuoa wake wengi harafu wanaotetea ushoga na LGBTQ hatasijui wanaamini bibilia Gani au ukristo gani
Kwani wewe unajua Biblia inasemaje kuhusu ushoga? Au huwa mnaamini watu na sio Biblia? Wakristo wanaongozwa na Biblia na sio mihemuko ya watu, ndio maana wapo waislamu wengi sana mashoga ila quran sidhan kama inaruhusu ushoga, au unataka tuhoji uislamu kwa sababu wapo mashoga pia
Askofu tu ndio inasema mtu aoe bb mmoja
Lkn manabii hakuna alie kuwa na bb mmoja
Japo wao wanasema manabii niwazinifu
..... Bb mmoja lkn mahawara akonao akifa ndio unajuwa you were not alone😂😂
@@mobutu3884biblia pia inaruhusu polygamy nyie mnapinga nyie mnaamua tu mnavyotaka wala hamfati bibilia
@@mobutu3884kwanza ningependa kujua wewe nimwanaume au mwanamke maana kama wewe nimwanaume utakua natatizo la nguvu zakiume na kama wewe nimwanamke utakua na wivu ndio inakusumbua nakama wewe nshoga huna tofauti na mwanamke au kama wewe nimwanaume unaogopa majukumu maana hueleweki kwani wete watatu wanosoma hapo wanasoma bibilia au nimanenoyao yakutunga ???
😂😂😂😂😂wewee
Basi kulingana na Bishop, anamaanisha mungu amekosea kuwaumba wake wengi kuliko waume? Ikiwa mungu hapendi polygamy, angeumba idadi sawa
Naona Bishop ameganda kama ametiwa kwenye friji
Kamungu.kadogo.mwenyewe.hujiita
Bishop huanzi leo kupingana mzee. UMESAHAU 6YRS AGO NA GERISHEN, YAHYA ETC.
#Armie2Palestine
#WorkForChange
#WorkForPeace
#WorkForKhilafah
Mm nilikuwa nataka bishop nimsikilize vizuri leo lkn amekuwa ????nyingi tu kwn haya yametoka wp bishop utaiibika ww na kuna hao ma sister ambao hawailewi lkn ...... Mungu atuongoze maana iyo ni kufuru kubwa 😂😂😂😂😂😂😂bishop awe na mmoja masisters wasiolewe kweli huo ni ungwana???
Lakini sheikh watu uko mchokozi unatupa jiwe jizani kumwambia pasta anavaa kofeya ya wayahudi😂😂😂😂😂
Anajifananisha na mayuda
Lakini nyie wakristo mnang'ang'ania mke mmoja lakini wanawAke ni wengi kuliko wanaume! Na kadri siku zinavyoenda ndivyo tofauti ya ke inavyokuwa kubwa maaana na ndiyo wote wameumbwA na mwenyezi Mungu nani apate mume nani akose, hata sasahivi na nyie mna mabinti kama siyo mabinti ni dadAe zenu wanatamani kuolewa lakini wanaume hakuna
Huyu Bishop ni mgonjwa.
Brother Asalam Aleikum nakuomba tujaribu kutumia language nzuri tujenge heshima shukran brother ALLAH Barik❤
Bishop heri wanawake wengi badala ya ketembea inje
Unaambiwa uko solo, bwana akinyoria ndio unajuwa u were not alone😂😂
Nyinyi mlisha telemshiwa kitabu inaeleza majibu yooooteeee ya kweli na ya haki kur'an lakini bado hamfahamu moto unawangoja
Kukumbusha ndugu Ramadhan. Hii aya ya kuoa wake wanne ilipoteremshwa mtume Muhammad (s.a.w) alikua tayari ana wake tisa. Kuna aya nyengine inayomwambia mtume kuwa hana ruhusa ya kuongeza wala kuoa tena ikiwa yeyote katika hao tisa atakufa ama kuachika. Yaani Allah alimpa ruhusa ya kuendelea na hao wake alionao kwa kuwa tayari wameshaolewa. Kwa hiyo kama Mathalan kama katika hao tisa wake watano wangefariki wakabaki 4 mtume asingeruhusiwa kuongeza.
Mbona suali rahisi.hakuambiwa tisa.ameoa tisa.angetaka angeendelea
Huyu.asiyejuwaSwahili.naeAnamambo.eti.AnaaminiYesu.mwanawamungu.napiaMungu.yahn.kuanza.tu.haeleweki
Watu kama huyu daudi sikunyingine hatumtaki anaongea kingereza wengine anatuacha solemba
Oooh. Mr iskof. Naku salamiya kaka . And Ramadan Korea kaka. Asalamu aleykum.
Bishop ako na mke mmoja lkn mpango wa kando hawezi kosa
Bishop huko shule alikua anasoma bible gani anashangaa
Sheikh ramadhan wape wageni angalau soda au maji au nimekuja saana ndugu zangu?
This bishop should do bible reading thoroughly before presenting himself to debate
Hawataki tuowe wanawake zaidi ya mmoja lkn wako tayari kupigia debe tuowe wanaume wenzetu
Uoe dume mwenzako 😂😂😂 na wanawake rate Yao Iko juu kuliko wanaume na wanaweka mahawara nje
Nini swali kaini uliowa wapi ju, kulikuwa na watu wainne tu Dunia na alipo muuwa duguye alikimbia nyumba, na kwenda kuowa je aliowa wapi
😂😂😂Bibilia hapo iliwadanganya na unafaa uende kwa pastor wako umuulize hilo swali uone kama hatakukemea kwa sababu hakuna jibu
@@yusufmwangichannel6692 aaah mwangi ATI kiî 😂😂😂 wallahi alhamdulillah kwa neema ya uisilamu
Ndio ujue bibilia nikitabu cha story zajabatu
@@fredrickgitonga1972 alienda nchi ya Nondi
@@fredrickgitonga1972 nchi ya Nondi alienda kuoa huko
Huyo pastor ni zuzu hajui anachozungumza, yusakataa mpaka maandiko yakitabu chake.
😂😂Askofu kashaji kufunga kwa sentence za kwanza kusema "initially" ndio maana mungu ka tuma Manabi na vitabu za sharia! STOP SAYING WOMEN R BYPRODUCTS. That's degrading women n questioning the intelligence of the creator and his wisdom.
Pastor ako na shida. Tht was God's wisdom at the time of Adam.
please do not provide a platform to these people to confuse multitudes
Ramadhani kama unataka debait ya kisomi njoo Tanzania kuna bishop anaitwa bishop ngonyani , fundi WA maandiko geneous , njoo na mada yyte unayojua wewe hasa ya Uungu wa yesu karibu Sana
MAANDIKO YAPI HAYO YALIOBADILISHWA AU KUNA MAPYA?
Endelea kuota mchana,andiko Moja pekee Yesu anasema "Mimi ni mungu"
WrweKweli.umevurugwa.uungu.waYesu.Yesu.kawamungu.Innalilah.SubiriUfe.Nahuyo.giniaz.wako
@@SalmanMughal-lq5lt Mimi naamini Yesu Mungu , asilimia 💯💪, wewe kama huamini NI wewe kwani shida iko wapi amini unacho amini
@@MuhashamKhalil Narudia tena Yesu NI Mungu asilimia 💯💪 niache niamini nacho amini , Yesu hakuja kujisia Uungu wake Bali Kwa KAZI zake yatupasa kuamini
Leo.msalaba.umedondokasiuon
Masha Allah