MashaAllah mke wa Ali kiba mzuriii mwarabu rangi fresh mtoto mrembo sio huyu kama mvutu😂😂😂😂
King's Alikiba for ever
Kuna kitu hamjuwi Aminaa wife wa Ally anapenda kumona mmewe akifanya kiki bt Ally hana hizo ndio maana anazifanya yeye
Nimeipenda sana Mtangazaji alivo kua anamuuliza maswali kumbe tunawatangazaji Bomba kabisa kwambaliii namuona Salama Jabiri kwenye maswali
Nampenda sana niffer Yuko vizur na ni mpambanaj
Piga kazi mwaya mungu atakusadia
Akuna urafiki wa mume na mke ww dada sema ukweli
Wewe niffer hivi akili zako ni sawa na amina mke wa Ally kiba , najilaumu sn amina kuolewa na kiba huyu dada alitakiwa aolewe na kiongozi frani wa inchi,
Duuuh,Yani akiambiwa kuhusu alikiba anachanganykiwa,
Nakupenda you are very intelligent congrats!!
Wewe mume wa mtu koma kuwa mbali hata ww hutokubali mumewo kuwa na shanging eti rafiki picha peke yke zinaonyesha
Huyu demu anakili. Yani napenda Sana interview zake. Anakupa ukweli
NIFFER ni mzuri JAMANII
Salama jabar upo rick now
Kwakweli unakubalika sana🎉🎉🎉🎉🎉
We mtangazaji ni mnafiki wew hayo ni maneno yako sio ya watu ...sijawah ona star wa kike akimuongelea niffer wew ni mchonganishi acha kusema watu kiazi wew
🥰♥️😘💕 Niffer wangu
Kwa mbali sauti ya mtangazaji kama ya salama jabr
Sio ata kwa mbali sana kama humuoni utajuwa tu jabir kabisaaa ki sauti
Wewe ndo sababu mjinga hovyo sura kama dum ww mume wa mtu sum
Malipo nihapahapa chini yajuwa 🙏🙏🙏
Yule ni mke sio mwanamke....... mwanamke ni niffer ndio hajaolewa lkn wa ally ni mke
Ata mobeto nae alikuwa anakataa atok na mond mwisho wasiku mtoto akawaumbua😁 ukwel wanaujua wao bhna
Atajuwa mwenyewe iyo ndio kazi yao mtu kama unajiamini mbona asikuoe fact you tena umukome amina wetu
Huyo nifa kasomea wapi utangazaji au ndio kugaiyana kiurafiki
Moja ya sifa nnayoipenda ya huyu dada alisema anawivu sana, akipenda anamchunga sana mtu wake
Chombo ya ali kiba😂😂😂
Huyu Dada Nampenda Lakini Kwanini Watu Wanamsema Vibaya!?!! 🤔
Natak aowe wote wawili maan mnachonga xan chongen viaz
Simpendi mwanamke anaye jipa kipaumbele yy mwenyew chakua na m2 ambaye ht ajawai kusema hazarani kama nimtu wake🙌wanawake aibu sana kiba kuna sehem ipi mnioneshe aliyosema kamdet uyu mende?
Niffer hatukuzaliwa jana, eti wewe na Ali Kiba ni marafiki tu 😏
Watanzania mnapenda ngono looo kwahiyo mtu asiongeeee na mtu anamtombaaaa heeee mwacheni akili za chini hizo washezi wakubwaaaa
Niffe nakupenda coz mpambanaji mno
Huyu anaemhoj ni ndugu wa salam
Sauti ya mtangazajji nu salama jabiri
Tatizo la niffer ana shobo za wazi wazi pozi Hana ,nihivyo tu lakini Kwa akili anazo na nimpambanaji
Huyu mfanyabiashara sio msanii, so wafanya biashara Shobo ni sehemu ya biashara mzee
Dah ila uyu mdada Sawa tu
Kibaa kasha mzagamua mtuuu😂😂😂usituchoshe niffa unataka umalufuuu😅
Sikupendi wewe mbwa umevunja ndowa yawatu ninao wapenda pumbav wewe kabisa 😏😏
Hata kama huna mausiano na Ali Kiba ila una shobo za kijinga jinga pi guza shobo u are forcing kiki na Ali Kiba u talk too much punguza
Mwache awe na shobo wewe hata alikiba kumgusa nguo tuuu ali ataichana kabisaa acheni wivu
NIFFER NI KICHWA SANA....MAASHAALLAH....Kila lak heri MAISHANI MWAKO.... Unajitambua sana..
Akili ya kuambiwa changanya na yako