Sheikh Mselem M/Mungu akuhifadhi na akupe moyo uendelee kutufahamisha juu ya dini.achana na maluuuni huyu anajipendekeza anataka cheo tu na hapati ng'ooo kwa staili hiyooo
Huwezi kumfikia mselem hatashubili viatu vyake huwezi kuvikamata mkononi mwako utangoja sana tena narudia tena ushika adabu yako na mwanachuoni wetu mkubwa
Kwaiyo vile kutukana watu kwenye membari ndio usalafi pole sana wewe namasalafi wenzako munatakiwa kutubia sana . Khutba nzima ya ijumaa unatukana watu eti ndio usalafi endeleeni naharakati zeni zakuwagombanieha waislam
Dunia nzima hivi weee ndo sheikh?we unajifanya peke Yako ndo utaenda peponi?usimuhukumu mtu Mwenyezi Mungu ndo mwenye kujua.hatuwachi na Wala watu hawawezi kuacha kumsikiliza Mselem.
Jamani nawaombeni waislam wa tanzania tuwaombeeni duwa baada ya kwamba washagwanyika wazid kugawanyika hawa masalafia jadida Kwa kuwagawa na kuufarakanisha umma
Hakika ww mungu akuongeze sisi katu hatuto kufata daima ww maana umesoma lakin huja elimika kabsa na huna hata adabu ya kuongeya Wala hekima yakuongeya muombe Allah akupe hekima kwani aliye pewa hekima hakika amepewa kheri nyingi kubwa Sasa
Waislam nahisi njia nzuri ya kuzuia huu uovu wa viumbe waovu kama huyu anaejiita shekhe ni kuziripiti channels zao ili UA-cam wazifungie. Itakuw ni sadaka kwetu. Maasalam.
Kwanza kabisa wewe Akidu msingi huu wa mwanzo ktk misingi ya Sunnah wewe umeukosa, kupitia maneno yako kwanini huchungi heshma ya Sheykh Msellem? Wewe unamtupia tu maneno wakati unaifahamu nafasi yake kwa jamii ya kitanzania, niipi faida ya dharau zako hizi? Wewe una jijengea picha gani kwa kila Muislamu mwenye maarifa ya Dini, na kila anae mpenda Sheykh Msellem? Katika misingi mikubwa ya Da'wah ya Ahlissunnati Wal-Athar ni hekima, busara na maneno mazuri. .قال الله تعالى: ولو كنت فظا غليظ القلب لانفضوا من حولك. Da'wah yenye dharau na kejeli namna hii wewe umeitoa wapi, da'wah isiochunga maswaali'h na mafsadi ninani ktk Salaf alie lingania Dini kwa mtindo huu? Ukifanya Da'wah na kujipa kibali mikononi mwako bila kuangalia waliopita kuanzia Rasulullaahi Swallallaahu 'Alayhi Wasallama na Maswahaba na Walio wafuata kwa wema namna walivyo ilingania Dini na namna Da'wah zao zilivyo kua na barka, na Allaah Azza Wajalla alivyo tia Tawfeeq ktk Da'wah zao, wewe ukajifanyia utakavyo kwa kisingizio cha Sunnah hakika bila ya shaka tarajia maharibiko na watu kuku kimbia na kutahadharishana kuhusu wewe, na nihaki watu kufanya hivyo kama huta badilisha mfumo wa Da'wah na nakuomba nenda kasome kwanza Uswuludda'wah khalafu ukisha fahamu vizuri njoo ufanye Da'wah. Abuu 'Aarif. +255673779519
Huyu jama hajuwi nni anakiongea Kwakweli mana Hana Aya hata1. Towa kosa aliyoongea sheikh Mselem Bin Ali rathiyallahuanghu Huna hata Aya 1 uliyotapsili Kwenye Quran Sheikh Mselem Bin Ali rathiyallahuanghu kama hujuwi ndio sheikh anaye tapsili Quran est Africa na Kati kwa Lugha ya kiswahili Tena fanya kila njia umtafute umuombe radhi
As alaikum ndugu zangu hakika anayemkosoa shekh letu mselem ally sio bure nakuombeni msimtukane kwenye momento zenu maana huyo huwenda nikatika watu walotumwa na mayahudi
Hivi huwa kunawakati mnavuta bangi nini manaake mnajipa majina mazito kweli sijui abuu fulani kumbe hakuna wajinga kama nyie sasa mselemu Ali kawakosa nini? Watu wabaya saana nyie hata sijui huu uislam wenu wa aina gani
Sheikh Mselem M/Mungu akuhifadhi na akupe moyo uendelee kutufahamisha juu ya dini.achana na maluuuni huyu anajipendekeza anataka cheo tu na hapati ng'ooo kwa staili hiyooo
Shekh abu abdulhalim huna kazi mungu akuongoze,akupe na kazi ya kufanya.
Baarakallah fiika Sheikh wangu Allah awatie nguvu ktk kuondosha Upaulo (Bidaa),, ktk dini yetu ya Uislam.
ssarafii niukhafirii
Nyinyi ni mawakala wa mayahudi2
Ww kama daimond
Mm Naona ww huna adabu choyo tu chingi
Tena ni muhuni
Nyinyi munaojiita masalafi ndio hamufai kusikilizwa wala kufuatwa
Nakumbatia bin ali au lete mama yako
Namkubal kassim mafuta ila sh mselem na othman maalim pia wana nafac kubwa moyon mwang , uyu akidu bado sana
Naskia kila wakala wakulu tuu😂😂😂. Hivi huoni aibu na hio porojo yakoo. Allah sw akuongeze na amhifadhi Shekh Mselem inshallah kwa hasadi zenu
5:34 pesa wanawake kula ndio sifa zenu
Mama ako inafaaaaaa kumsikiliza
Nyie wabara hususan masalafia jadida mnachuki sana a wazanzibar
Hapa usilete utaifa hii dini
Acheni mambo ya rad ktk mitandao
Huwezi kumfikia mselem hatashubili viatu vyake huwezi kuvikamata mkononi mwako utangoja sana tena narudia tena ushika adabu yako na mwanachuoni wetu mkubwa
Ana kaumajinuni kanamnyemelea huyo
Mselem akili nyingi nyinyi vichwa maji ilo ndo tatizo
Naomba dua na wewe yakukute ufungwe usitoke uone kiburi chako
Umechelewa sana wewe. Choyo tu kwa Msalem. Hufikii hata robo ya Mselem. Nenda kakae kitako ujifunze tena dini.
Kwaiyo vile kutukana watu kwenye membari ndio usalafi pole sana wewe namasalafi wenzako munatakiwa kutubia sana .
Khutba nzima ya ijumaa unatukana watu eti ndio usalafi endeleeni naharakati zeni zakuwagombanieha waislam
kasome tena broo
Unatumia sunna gan kumkosoa mtu
Yy sunna ya kufungwa ndani gerezani kateswa sana ww una lipi ulolipata kwenye hii dunia misukosuko kwaajili ya dini
Dunia nzima hivi weee ndo sheikh?we unajifanya peke Yako ndo utaenda peponi?usimuhukumu mtu Mwenyezi Mungu ndo mwenye kujua.hatuwachi na Wala watu hawawezi kuacha kumsikiliza Mselem.
tubia ww huna adabu
Nimesoma comment zinanipa jawabu kuwa sheikhe mselem ni mtu wa haki na huyu Alie toa rradi ni mtu wa batili
Umepatia huyu ni muongo mshenzi
Huyu anamuonea choyo Sheikh Msellem Ally.Huyu anaogopa hata kuonesha sura yake kwenye video. Apache kuwagawa Waislamu.
Ww unaumia unachuki yawazi kuruadi wamtu wote tupiga ikisomwa ili tukulewe mlete mama yako tusikilize hundtukafahamu
Jamani nawaombeni waislam wa tanzania
tuwaombeeni duwa baada ya kwamba washagwanyika wazid kugawanyika hawa masalafia jadida
Kwa kuwagawa na kuufarakanisha umma
Salafy msihudhurie tulobaki tutahudhuria msitushikie akili
ilimu huna unakaa mitandaoni unaongea ujinga. mumetumwa na mayahudi kugombanisha waislam
ww wacha ujinga huo huna cha kuzungumza din yenyewe huijui
Bamkubwa achana na hasadi yako SH MSELLEM akikosea ni binaadamu ila ww yaonekana wajipa uhakika ya kupatia kila jambo ALLAH akuongoze katika haki
Sisi tunamuelewa Sheikh Msselem
Wao ni watu wa dini mpya
Ww huna mpango mlete mana yako tusikilize
Mama ako ji mtu wa sunns
Na ww sio mtu wasuna nyinyi wanafiki
Hakika ww mungu akuongeze sisi katu hatuto kufata daima ww maana umesoma lakin huja elimika kabsa na huna hata adabu ya kuongeya Wala hekima yakuongeya muombe Allah akupe hekima kwani aliye pewa hekima hakika amepewa kheri nyingi kubwa Sasa
Waislam nahisi njia nzuri ya kuzuia huu uovu wa viumbe waovu kama huyu anaejiita shekhe ni kuziripiti channels zao ili UA-cam wazifungie. Itakuw ni sadaka kwetu. Maasalam.
Porojo tu 😂😂😂😂
Izo bangi sheikh Akidu
Kwaiyo huyu Sheikh yy anajiona ndio ameongoka,, Sub-haanallah
Hiki ni kigenge Cha porojo
Mwalimu wao ni bilisi na matamanio waulize Mtume amewahi kujiita salafi japo Mara moja?ni taasubi tu.
Dah huu niunafiq uliyowazi. Msitutatize. Wewe. Unajiamin vipi kuwa uposahihi. Mche allah
Wewe mama yako ni mtu wa sunna
Kwanza kabisa wewe Akidu msingi huu wa mwanzo ktk misingi ya Sunnah wewe umeukosa, kupitia maneno yako kwanini huchungi heshma ya Sheykh Msellem? Wewe unamtupia tu maneno wakati unaifahamu nafasi yake kwa jamii ya kitanzania, niipi faida ya dharau zako hizi?
Wewe una jijengea picha gani kwa kila Muislamu mwenye maarifa ya Dini, na kila anae mpenda Sheykh Msellem?
Katika misingi mikubwa ya Da'wah ya Ahlissunnati Wal-Athar ni hekima, busara na maneno mazuri.
.قال الله تعالى: ولو كنت فظا غليظ القلب لانفضوا من حولك.
Da'wah yenye dharau na kejeli namna hii wewe umeitoa wapi, da'wah isiochunga maswaali'h na mafsadi ninani ktk Salaf alie lingania Dini kwa mtindo huu?
Ukifanya Da'wah na kujipa kibali mikononi mwako bila kuangalia waliopita kuanzia Rasulullaahi Swallallaahu 'Alayhi Wasallama na Maswahaba na Walio wafuata kwa wema namna walivyo ilingania Dini na namna Da'wah zao zilivyo kua na barka, na Allaah Azza Wajalla alivyo tia Tawfeeq ktk Da'wah zao, wewe ukajifanyia utakavyo kwa kisingizio cha Sunnah hakika bila ya shaka tarajia maharibiko na watu kuku kimbia na kutahadharishana kuhusu wewe, na nihaki watu kufanya hivyo kama huta badilisha mfumo wa Da'wah na nakuomba nenda kasome kwanza Uswuludda'wah khalafu ukisha fahamu vizuri njoo ufanye Da'wah.
Abuu 'Aarif.
+255673779519
Jamani mnajua sababu ya kuto kuonekana hawa jamaa nihivi hawa ni wajumbe wa shetwani siku akionekana nahawa jamaa pia mtawaona.
Shekh mselem hajawahi kuwatukana viongozi ana akili zake na adabu zake
Huyu jama hajuwi nni anakiongea Kwakweli mana Hana Aya hata1. Towa kosa aliyoongea sheikh Mselem Bin Ali rathiyallahuanghu
Huna hata Aya 1 uliyotapsili
Kwenye Quran
Sheikh Mselem Bin Ali rathiyallahuanghu kama hujuwi ndio sheikh anaye tapsili Quran est Africa na Kati kwa Lugha ya kiswahili
Tena fanya kila njia umtafute umuombe radhi
Kwa upuuzi huo wa kuwakejeli watu wallah mutasota sana ila hamuwezi kupendwa
Huyu hana tofauti na myahudi
We na mselem ni mbingu na ardhi
Salafy wanataka sheh mselem arudi ktk sunnah wakati sheh msem mwenyewe ni mtu wa sunnah hebu tumwachie mungu yy ndo atoenda kutoa hukumu
Hili jamaaa ni jinga sana, huna ata hekma na busara. Hujielewi, lete ushahidi wa kauli za muutazilah.
Assalaam alaykum warahmatullaah wabarakaatuh mmemnaasihi musellem mkamjuza kosa lake?? Au raddituu ?? Sasa masalafii usuulubu daawa twakosea sana...
Hawa si masalafi ni matalafi
Ifike wakat mueache hasadi.
Ww acha kumzalilisha shekhe mselem ally kwan lini kamtukana kiongozi au yeye alikuwa anateteya Zanzibar kwa ukafiri uliyopo
Tatizo la salafi hawana adabu hata yakuvalia nguo
Nyie masalafi kazi yenu mipasho tu si dini
Kauzeni kanzu
As alaikum ndugu zangu hakika anayemkosoa shekh letu mselem ally sio bure nakuombeni msimtukane kwenye momento zenu maana huyo huwenda nikatika watu walotumwa na mayahudi
Huu usalafi kuna muda huwa una changamoto sana yaani salad huwa anajipa Pepo Kisha wengine wote matoni
Bora niwe sufi kuliko kuwa salafia jadida
Hivi huwa kunawakati mnavuta bangi nini manaake mnajipa majina mazito kweli sijui abuu fulani kumbe hakuna wajinga kama nyie sasa mselemu Ali kawakosa nini? Watu wabaya saana nyie hata sijui huu uislam wenu wa aina gani
Wewe akidu shika adab yako kwanza unaalama ya mwana wa kharamu nenda kamuulize mamako
Sasa wewe Sheikh umewahi kuwafuata hawa viongozi madhalimu ukenda kuwanasihi kwa siri? Pia hebu nipe mfano mmoja wa Sheikh Msellem kutukana viongozi?
Kataaaa salafia jadida
Kataaa SALAFIA jadidaaa
Kataaaa SALAFIA jadidaaaa
kataaaaaaa salafia jadida