Mungu akubariki sanaaaa Rais Hussein Mwinyi kwa tabia yako ya upole na kuchapa kazi kama Baba yako hakuna binadamu aliyemkamilifu unachapa kazi sana Zanzibar njema iko vizuri chapa kazi wenye kusema waseme tu midomo imeumbwa kusema Act Wazalendo hamna kitu hao mabomu wasiopenda maendeleo
@@mahamoudduchi3318 Nikuulize wewe kwanza Tanzania ni nchi si ndio?🔄 zanzibar ni nini kama sio mkoa??? Kwasababu Tanzania=Tanganyika+zanzibar,Hivyo Tanzania ikiwepo zanzibar haipo.
@@mahamoudduchi3318 Upo vizuri kwenye maswali👏👏👏 Mimi hoja yangu ni kwamba kama Tanzania ni nchi zanzibar ni nini ?? Kiufupi Tanganyika na zanzibar hazipo tena zilikufa! Kilichopo upande wa visiwani ni..... 1.Kaskazini unguja 2.Kaskazini pemba 3.Kusini unguja 4.Kusini pemba 5.Mjini magharibi Neno zanzibar halipo
Mungu akubariki sanaaaa Rais Hussein Mwinyi kwa tabia yako ya upole na kuchapa kazi kama Baba yako hakuna binadamu aliyemkamilifu unachapa kazi sana Zanzibar njema iko vizuri chapa kazi wenye kusema waseme tu midomo imeumbwa kusema Act Wazalendo hamna kitu hao mabomu wasiopenda maendeleo
Apo ameneno kwa kweli aise noma sana😅😅
Mimi sio ccm wala sina chama ila ninapoona kiongozi anafanya maendeleo makubwa bc hua nakua nae bega kwa bega
Safii Safiii Mwinyiii...Waoneshe hao kua kulalamilalamika sio kujenga nchi Wavisiwani Tuache kulalamika Sana.
Huyu ndie mrithia wa mzee Karume
inchi ina wazanzibar sio wababaisha hata kidogo nawapenda sana malais wete waili wa tanzania bala na visiwani ❤❤❤❤❤
Ww ni raisi mkweli thank you Masha Allah
ACT endeleeni kuzungumzia sera zenu za kila siku za kudai Zanzibar Kamili lakini mambo ya ujenzi wa hii nchi mwachieni huyu bwana mtahashimika sana.
KWANI SASA HIVI ZNZ NI NUSU?ACHENI ROHO M'BAYA NA UBAGUZI MNA UMM SANA ACT ULIKUWA ZAMANI SIO SASA TUJENGE NCHI NAC MALUMBANO
mungu akujalie rais mwinyi
Mabwana zenu walikuwa serikalini wengine wakakoroga wakatiwa jela na wengine wamewacha uongozi wenyewe
Hahahaha upo sawa baba
Good president of Zanzibar 👍👍👍
Safi sana mtani wangu rais
Safi sana raisi Mwinyi
hiiiii imeendaah hiiiiiih
President 2030
Mbona unaongea unatetemeka
Hahahahaah, Asante kwa kutuletea njaa na umasikini visiwani,
Kuongoza mkoa unasema unakwamishwa?? Ukipewa Muungano??
Pumzika
mkoa gani anouongoza Rais mwinyi hebu nifahamishe vizuri mwanetu
@@mahamoudduchi3318 Nikuulize wewe kwanza Tanzania ni nchi si ndio?🔄 zanzibar ni nini kama sio mkoa??? Kwasababu Tanzania=Tanganyika+zanzibar,Hivyo Tanzania ikiwepo zanzibar haipo.
@@Soon815 kwn tanganyika ilivyoungana iliungana na mkoa ama iliungana na nchi?? Au vipi
@@mahamoudduchi3318 Upo vizuri kwenye maswali👏👏👏 Mimi hoja yangu ni kwamba kama Tanzania ni nchi zanzibar ni nini ?? Kiufupi Tanganyika na zanzibar hazipo tena zilikufa!
Kilichopo upande wa visiwani ni.....
1.Kaskazini unguja
2.Kaskazini pemba
3.Kusini unguja
4.Kusini pemba
5.Mjini magharibi
Neno zanzibar halipo
Huna mpya ww unatuibia pesa zetu tu unahamishia kwenu bara
Umekusanya wapumbavu wanakuzomea