KWANINI MCHEZO DHIDI YA KMC TUNACHEZA ARUSHA?/SEMAJI AHMED ALLY AZUNGUMZA/"ARUSHA NGOME YA MNYAMA"
Вставка
- Опубліковано 21 вер 2024
- SUBSCRIBE NOW:
▶
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App: Iphone User: apps.apple.com...
📱 App: Android User: play.google.co...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC UA-cam Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi
Kitengo cha habr kipo vizr lkn ujinga uliopo mnachelewa Sana sana kutma highlight yani kama mnategeana na azam jirekebisheni tuwe tumefungwa au tumeshinda.someni comment jirekebisheni,Simba one team one dream
Simba nguvu moja 💖💖💖💖❤❤❤❤
Yanga Wana jambo lao Daressalaam🥳🤩🥰📯💛💚🔥💯
Helicopter itakuja huko
Bora wanasimba tuchange wote tujenge uwanja mo katuongopea awezi kujenga porojo tu
Kiukwer hiii kuhamisha hamisha mech zetu za nyumban nayo imepelekea simba kupoteza point nyingi sana yani mnatapa tapa sana mpaka tunaumia jmn sasa unategemea tutapata ushindi wa mabao mengi kwa wachezaji tulio nao na tunakua mikoan jmn sio uongo msim huu mmetuumiza sana mashabaki
Arsha nimikoani au ni jiji kama dar
💯
Woga tu kuoga aah😂😂😂
mmejiona mlivyo wapumbavu mnapeleka mchezo kwenye uwanja mgumu ili mjikoseshe Tena ushindi kutokana na uwanja
Yani mimi nakareka sana na hawa jamaa juzi walienda Morogoro tukapigwa 2 na mbangula
@@CHIIZATV-hl4zu timu yetu licha yakuwa walikosea usajili hususani streakers wawili kwenye dirisha dogo ila pia kuhangaikahangaika yaan hofu zao zinasababisha pia kugombea nafasi ya pili kuna uwanja mzuri tu karatu but eti wanataka mashabiki kipindi hiki
❤❤❤
Semaji tunaomba basi hayo maneno uwe unayasema baadae mechi,unajua happy ndipo unapomfanya mpinzani nae ajipange kweli kweli ,ivi unakumbuka kama wewe ndie uliesema kwamba azama hata afanye Nini hawezi kutufikia Sasa Yuko wapi, au Hawa wachezaji unaowasifia wewe Kiko wapi wanachokifanya? Sisi tunakukubali sana ila punguza kidogo ukalia wa maneno,uwe unatamba baadae ya mchezo,siunaona tukifanya vibaya watu wanavyokuhataki kwenye mitandao sisi tunakupenda sana ila pungunguz kiduchu sana alafu uone itakavyokuwa poa
Fact
Na prizoni yenu mfanyie arusha haina hj ya uturuki
Binafs nilitaka kumaind lakini sababu ni nzuri za kucheza muda ni mmoja
Kurwa na dotto bhana kwahyo juz kurwa kacheza arusha lazima hata dotto nae akacheze pale pale sawa mapacha wetu wa TZ tunajivunia kuwa na hivi vlab viwili
Timu kubwa Haina uwanja mnazingua sana
Hapo hata tukifanikiwa kuwa nafac ya 2 usajiri wa serious uwepo kama wa hovyo kama nihivyo tutabaki kufurahisha kinywa tu
Mo hata uwanja umemshinda Arusha mtaenda fungwa.
Ww endelea kusema mnaenda kumfanya vibaya KMC unajifanyan kuzizarau timu pinzani kule unaenda kufa au kutoa sare
Wana wamatawi mm najitolea kuifanyia kaz simba ya nje ya uwanja means tiba mbadala
Na ule mnaotupigia kelele ule wa Bunju kwani unamatumizi gani,🤣🤣🤣🤣
Mkifungwaa mtuambie wachezaji wamechokaa na safari
Jengeni uwanja wenu acheni ufala
Ongea vzr shoga ww
Huyu amexoea tarabu anacheza cheza nani huyu?
Shoga mwenyewe huwezi kumtukana hivyo semaji letu tukuangalie😂😂😂
Unauliza nani?
Mwataka tufungwe
Kwn mna ponti ngapi na magoli mangapi?nauliza jmn
Tuna point kama alizo nazo mamaako.
@@JuliusWandwi we kenge bb ako ana tango
Pimbi wewe fala mkubwa hayakuhusu ya Simba
@@SamwelSospeter-lz9fm we mboo uliingia kwnymoyo wanguukajua km mi sio mkuu wa pori,ht km sikotz nikirudi desemba nataka unitaftie Kariya uwanachama na wwkm huna ntakulipia mn ww ni wajina wa baba angu umenipata!alafunipe noyako
🦁❤️❤️🤍🤍💪💪💪
Ujinga wa simba na aibu sana tunakuwa kama timu masikini kwanini tunakosa uwanja wetu mo kaahidi kujenga uwanja mpaka leo katudanganya aibu sana
❤❤❤❤