Kalamu tv ,nawaapta vizuri sana❤❤ pia leo METULETEA SHEKH NA MCHAMUNGU KWANZA ANAADABU SANA,MNYENYEKEVU ..MASHEKH VIJANA WA SASA BAADHI YAO HAWATAKI KUJISHUSHA .TUNAWAPEND MASHEIKH WETU NA NAWAHESHIMU SANA ILA TUJIFUNZE KWA HUYU SHEKH
Hapa lazima masheikh wajifunze kupitia hili darsa ni la umuhimu sana kwenye dini yetu na pia viongozi walioko mbele yetu na watakaokuja baadae yetu Insha'Allah,, Ni mafunzo mazuri sana ,pia nashukuru Alhamdulillah kuna mambo nimejifunza na mimi pia Mungu anizidishie umbri,uelewa mzuri,moyo wa kutoa ili na mimi ni wape wasiojuwa na kizazi changu Insha'Allah
Sheikh umeongea maneno mazito mno, maimamu wengi hawajitambui wao kazi Yao ni kuomba sadaka tu na kusoma Aya ya za vitisho za motoni, kuwatisha waislamu Ili watoe, kila siku mawazo Yao ni sadaka za ujenzi wa msikiti, misikiti haishi kujengwa, hawana wanachojua kuhusu uongozi, wao wanawakamua maziwa ngombe wasiowapa malisho.
Assalamualaikum warahmatulahi wabarakatu
Kalamu tv ,nawaapta vizuri sana❤❤ pia leo METULETEA SHEKH NA MCHAMUNGU KWANZA ANAADABU SANA,MNYENYEKEVU ..MASHEKH VIJANA WA SASA BAADHI YAO HAWATAKI KUJISHUSHA .TUNAWAPEND MASHEIKH WETU NA NAWAHESHIMU SANA ILA TUJIFUNZE KWA HUYU SHEKH
MAY ALLAH REWARD YOU ABUNDANTLY SHEIKH STAMBULI ALLAHUMMA AMEEN
Mashallah
Marshallah mungu akulinde na akuzidishie hikma. Unda kamati maalum kufanya restructure ya maendeleo ya ummah. Mzee mungu akupe umri mrefu
Waaleikum salaam warahmatullahi wabarakatu. Shukran brother. Jazaakallah kheir
Hapa lazima masheikh wajifunze kupitia hili darsa ni la umuhimu sana kwenye dini yetu na pia viongozi walioko mbele yetu na watakaokuja baadae yetu Insha'Allah,,
Ni mafunzo mazuri sana ,pia nashukuru Alhamdulillah kuna mambo nimejifunza na mimi pia Mungu anizidishie umbri,uelewa mzuri,moyo wa kutoa ili na mimi ni wape wasiojuwa na kizazi changu Insha'Allah
Sheikh yatima na maskini wasipopata ubinadamu kwa kusaidiwa watakua watu kindoki
Sadaktha STAR
له من الله ما يستحق....
Mashallah
Wa'alaykumsalaam warahmatulahi wabarakatuh
Naam
❤❤❤
Waleykum msalaam
Sheikh umeongea maneno mazito mno, maimamu wengi hawajitambui wao kazi Yao ni kuomba sadaka tu na kusoma Aya ya za vitisho za motoni, kuwatisha waislamu Ili watoe, kila siku mawazo Yao ni sadaka za ujenzi wa msikiti, misikiti haishi kujengwa, hawana wanachojua kuhusu uongozi, wao wanawakamua maziwa ngombe wasiowapa malisho.
Huyo ni hodari wa kusema na Ali uza dini yake kwa dunia....
Ukimfuata jiandalie kulipa khums kwa aali beytu kisra
Barakah ALLAHU fiiqum hbbi
Jazakallah khayran
له من الله ما يستحق
Waaleykum salaam warahmatullahi wabarakatu
Huyo ni wa kujibiwa
Wa aleikum..... pekee
@@muadhibrahim6914 kwa nini boss wangu? Nimekosea mahali?