Wakiristo bana hahahahaha
Nimeota nimeota Jinga
Tunajua kunawatu nia zao mbaya uzuri wake tumewajua na hatuwaungi mkono na myngu atuletee salama ndani ya nchi ya tanzania nakila adui mungu amshinde
Yawezekana kuna jambo wakristo mnataka kulifanya Sasa ndio mnaandaa mazingira ya kuyatenda..
Upuuzi mtupu,,, hamtatoboa biidhinilah..
Acheni urongo wa masheTani ubanguzi wa rangi na kabila😂😂😂😂
Watanzania tuwe waagarifu sana.
Bwana Yuko kazini kuliko tuombavyo na tuwazavyo Ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai Kazi ya Msalaba na Damu ya Yesu Bado inatenda mema. Na ijulikane Kwamba yupo Mungu Tanzania
Mungu akubariki sana na aendelee kukutumia
Manabii wA Leo wanatabiri kwa kuhisi mpaka waone dalili
Hiyo ndoto inakuhusu wewe sisi Watanzania tupo na mama SSH,tumetulia na watoto wetu tukiijenga nchi yetu. HATUTAKI MAANDAMANO.
Wenye haki wanaaishi kwa Imani!( Biblia,kitabu cha Waebrania 10:38 Kwa jina la yesu kristo wa Nazareth) Tanzania ni nchi ya Amani,utulivu na mshikamano! Shetani ushindwe kwa jina la yesu kristo!
Hizo ndoto hizo,bas Mimi nitaota
Kazi yenu unafiki tena wanafiki jini toka lini anasiasa msimsikilize huyo anatafuta umaarufu
Tanzania tusikubali ujinga huo
MANABII WALIISHA MANABII WA LEO WOTE NI WA UONGO
Siuimbe lisitokee
Tuache ujinga wa kufuata mkumbo.Hatuna sababu
Hayo hayana mamlaka kwa jina la YESU KRISTO MWOKOZI. Amen. Vunja maandamano hayo kwa Mamlaka ya Roho Mtakatifu. Amen. 2022 sauti tanzania ipo giza. 2024 mwezi wa 3 watanzania wapo utumwani kama wana wa Israel walipokuaa misiri. Yote tumwamini Mungu mkuu. Amen.
WAKRISTO WALAINI SANAA MAJI MARA MOJA TU MARAGE YA MBEYA
HAHAHAHA MANABII WA UONGO WANAFUHISHA SAAAANA "VERY GOOD COMEDIANS"
Hiyo SI ndoto.,..NAMI nikusimulie yangu.....
Mzee naona umechelewa kuota mara hii maandamano yameshapita ya chadema au unaongelea kenya acha ujinga
Apo anakusudia uislam huyu jamaa
Wewesematu kwamba aislam
Unahusisha udini ulaaniwe
huenda amechukulia sheitwaan
HAKI HUINUA TAIFA, na HAKI ISIPOPATIKANA KWA MAZUNGUMZO (MEZANI) HUWA INAPATIKANA KWA (MAANDAMANO) na HAKI ISIPOPATIKANA KW MAANDAMANO HUWA INAPATKANA KW (VURUGU) na HAKI ISIPOPATKANA KW VURUGU HUWA INAPATKANA KW ?(VITA). HEKIMA YA HALI YA JUU INATAKIWA SANA TO SOLVE THIS TO ESCAPE CONSEQUENCES. Katiba Mpya,, Tume Huru,, Vitu kupanda Bei,, Michango iliyokithiri,, Ufisadi na Rushwa,, Dharau za Watawala,, Kutawaliwa na Chama Kimoja Kimabavu,, Elimu Mbovu,, Huduma za Afya Mbovu,, Ukosefu Wa Ajira,, Utitili wa Kodi ktk Mazao na pembejeo Za Wakulima na Ufugaji na Mundombinu Duni"
HIVI HIZI DINI ZA SASA, NI KUMJUA MUNGU AU SIASA.
USILOJUA NI USIKU WA KIZA.
KASKAZINI MWA AFRIKA WAARABU WAKRISTO PIA WAPO WENGI TU.
TUMBEA UONE KIJANA DUNIA TAMBARA BOVU
Ulisema kuhusu Mboye, tena ulimuonya sana, sasa yametokea kama ulivyosema Mboye akiendelea kushupaza shingo yajayo yanafurahisha.
MIE SASA NAIWEKA WAZO HIO MAJID. ..NI NINI. HIO MAJID NI ZANZIBAR. ..
ASANTE SANA MTU WA MUNGU
Pumbavu
Nabii mtaabishaji
Jamani nisameheni kama ni mimi mwenyewe kweli sikumwelewa hata kidogo
Nachojua Nabil akiwa na ujumbe toka kwa bwana Kwanza Kuna mstari WA kuusimamia .halafu huyu anasema et ameambia asitutafsirie jamani manabiii manabiii kuweni Makini na maujumbe yenu
Acha kumaliza mb zetu kaa na ndoto zako
Maandamano LINI?
Maandamano hayo sababu yke na dhuruma dhidi ya Yusuf manji hawa ni wahindi
NYIE MAKAFIRI MNASHIDA KWELI TABIRINI NAUSHOGA HUKUONA TOA UNABII
Faras ww
Acha yawepo ili umaskini utoweshwe kwa watanzania. Viongozi wawatumikie wananchi inavyostahili na si kinyume chake!
Aliyeko ndani yetu ni mkuu kuliko hao nje yetu. 1 Yoh 4:4. Usilete utumwa huo.
Wewe mpigaramli wpigaramli siku hizi wako kwenye makanisa nawasemauwongopia wako kwenye makanisa wachukuaviungo vyaalibino pia wapo kwenye makanisa wewe nimpigaramlitu hakuna Mungu wakukuonyesa umemfanyianinimungu wewe mpigaramli mpungapepo
Haya ni maono yake yasingiliwe ila dalili zipo na maono ya mtu siku hizi huitwa ramli chonganishi. " Chamsingi yasibezwe".
Siyo Tanzania. Hizo ni ndoto
Dini ya kiarabu inafananaje we mchunga kondoo wauongo
Acha urongo
Nimeelewa wanalasimishwa kuwa wakatoliki
Ndoto Tena , mwee ,
Tanzania ni nchi ya ujamaa na kujitegemea , Atakae anzisha virugu huyo atavugulikiwa mwenyewe,.
Jaribu kuweka sawa hapo sio wenye dini ya kiaarabu sema hiv waislamu uislamu sio wa waarabu isipokuwa umeshuka tu kwa waarbu kama yesu na injili kwa wayahudi lakini si ya wayahudi ila ulimwengun kote upo hapo nabii
Mchochezi na mshirikina mkubwa bwana unae msema jini shetani wacha ujinga
Prophet of doom
Ulikuwa mkojo unakuuma brother ndo maana uliota mauza uza. Acha kutia taharuki nchi. Nchi haiongozwi kwa ndoto.Umechelewa Waislam hawatoandamana tena Tz. Mmezoea kuona Waislam wanamwaga damu. Poleni sana brother acha uchonganishi.
Kwaiyo nawewe kumbe ulikuwepo maana umesema uliwafunguli mlango kwaiyo wewe ndyo chanzo
Africa nzima yanaweza yakatokea si unaona kenya yalizuka tu bila mtu yeyote kuota bwana mchungaji.
Acha kutafuta maneno
Hiyo ndoto ni ya kishetani pamoja na wewe ni wakala wake 10:52
Amen, jipe moyo mtumishi
HIZO NI NDOTO ZA KUFIKIRIKA .....MBONA KILA MTU HUOTA NDOTO. PLEASE TUSIDANGANYANE, ETI BWANA AMENITUMA....SASA MIMI SIJAOTESHWA LAKINI NAKUHAKIKISHIA MAANDAMO HAKUNA.
mnao mubeza nabiiiii kwani mumelazimishwa kufwatilia 😂😂
Unajuwa maana ya nabii wewe hakuna nabii hapo taperi nabii wa mwisho ni mtume Muhammad swalallah aley wassalaam
Ngoja nikwambie we kenge maneno yako hayatuogopeshi na kawambie wanaokutuma tuko na samia mpaka 2035. Ubaguzi wako haututishi mbwa wewe.
Huna lolote muongo
Nonsense!
Sio unabii si umeota ndoto wewe?
HAKI HUINUA TAIFA, na HAKI ISIPOPATIKANA KWA MAZUNGUMZO (MEZANI) HUWA INAPATIKANA KWA (MAANDAMANO) na HAKI ISIPOPATIKANA KW MAANDAMANO HUWA INAPATKANA KW (VURUGU) na HAKI ISIPOPATKANA KW VURUGU HUWA INAPATKANA KW ?(VITA). HEKIMA YA HALI YA JUU INATAKIWA SANA TO SOLVE THIS TO ESCAPE CONSEQUENCES. Katiba Mpya,, Tume Huru,, Vitu kupanda Bei,, Michango iliyokithiri,, Ufisadi na Rushwa,, Dharau za Watawala,, Kutawaliwa na Chama Kimoja Kimabavu,, Elimu Mbovu,, Huduma za Afya Mbovu,, Ukosefu Wa Ajira,, Utitili wa Kodi ktk Mazao na pembejeo Za Wakulima na Ufugaji na Mundombinu Duni"
Ukirsto wana kila vtuko wallah lkn uadui wako utakurudia mwenyew mana taifa la tz lina waislam na wakirsto nawote ni wao kwa wao acha fitna wewe
Mungu atatunusuru na kila balaa na kila mwenye nia mbaya na nchi hii mungu amnakamishe