"Ndanyuaga maai ma kioro ndaflush.." Uira wa Carol Mwaura; part one

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2017
  • RURUMUKA; Carol Mwaura; Wuira part one

КОМЕНТАРІ • 561

  • @ruthkuriakuria3693
    @ruthkuriakuria3693 5 років тому +14

    Niko saudi 5yrs in wth my first bosses,natuko mob nasijawah skia hadthi kama hizi frm their bosses,hizi story joh, dada,may be ulipatana na devil worshippers ,kama tu vile mtu hupatana tajiri devil worshippers in kenya,or in other different countries.thank to God,for saving you, and you made it,

  • @pitchespn3290
    @pitchespn3290 3 роки тому +4

    aii, hii stori sioni ikiwa straight, iko crooked, ama anataka watu waogope kwenda gulf kutafuta. sijaweka judgement. iko wapi hizo jobs zenye mnasema ziko? then life ya mtu lazima ikue na stori na hii stori only comes after risking. let me just ask,, who connected this lady to go there? after returning home, did she took any action? anasema alipata jamaa mkenya Kwa hio offici Lebanon, so far amechukua hatua gani atleast aone akomeshe wengine kupeleka? lastly, hio kuruka second floor na hujakula 4days, wah, si hio ni noma, ama kwenye uliland Kulikua na mattress? I doubt, but sijaamua

  • @d_xxa6748
    @d_xxa6748 6 років тому +8

    Yeah it's true story ...waarabu huchukia Africans sana....Sana Sana if you are not Muslim...

  • @lucykariuki4520
    @lucykariuki4520 5 років тому +4

    pole kwa Carol.Mimi nimekaa saudi arabia 3 n a half years n surely siwesi complain about saudi.Now I'm in qatar n this far is God.Ni bahati mbaya kwako Carol n pole

    • @janemungari7039
      @janemungari7039 5 років тому

      Lucy Kariuki ...sasa Lucy uko Doha side ipi? Nko Al thumama

    • @rozygitau1153
      @rozygitau1153 5 років тому

      Thank to God ikiwa unapata watu wazuri

  • @charliebruce7793
    @charliebruce7793 2 роки тому

    Helen God bless you 🙏🙏🙏 Mii nakupenda deep in my heart ❤️❤️❤️🤩

  • @africangirl189
    @africangirl189 2 роки тому +1

    Never fallen for this story it sounded so exaggerated yaani 😂😂🤔 first time i heard it

  • @veronicachege1679
    @veronicachege1679 4 роки тому +1

    Si muniite na mimi nipeane a good side of arab..... juu mimi familia yenye nlikua nayo, Mungu azindi kuwabariki, i had a mum away from mum and in a home away from home, sio waarabu wote wabaya

  • @hannahmutiga7589
    @hannahmutiga7589 5 років тому +2

    Na serikali imefungua watu waje saudia...God hav mercy

  • @juddymburu1642
    @juddymburu1642 6 років тому

    Pole sana,,##carol God knows the pain yu were going thro'again sorry

  • @vgeegodseed1720
    @vgeegodseed1720 4 роки тому

    Wah interview ya leo na Martha imenituma huku....wah Carol ati holy anger...pole sana

  • @wambuidavis83
    @wambuidavis83 3 роки тому +2

    Where is a picture of this Joseph...Would really love to know

  • @PLACESNONDESCRIPT
    @PLACESNONDESCRIPT 2 роки тому +1

    I subscribed koz I have learnt Kikuyu from this channel ...

  • @alexmwaura4658
    @alexmwaura4658 2 роки тому +1

    Aiiihhh. Too perfect of a story with lots of gaps.

    • @bellaliga907
      @bellaliga907 Рік тому

      If you've never been there just shu*t up

  • @TehsHdhdh-lm3ow
    @TehsHdhdh-lm3ow Місяць тому

    Pole sana carol for that stution

  • @peterrufus1384
    @peterrufus1384 6 років тому +9

    Ngai ari ari tha ritwa riake rirogoocwo

  • @petersonmuigai3096
    @petersonmuigai3096 4 роки тому +2

    I like the way she talk,so polite

  • @gukamunene3292
    @gukamunene3292 6 років тому +28

    The story is true for those who have been 2 gulf can testify.
    In all these gulf countries kuna WAARABU TOFAUTI TOFAUTI .
    Kuna waarabu manyang'au kabisa na kuna WAARABU hata huwezi amini ni waarabu .wengine ni wazuri sana especially SHIA MUSLIMS they are very good.
    Lakini ukipatana na SUNI MUSLIMS auuuuuu!!! alafu akue na ile ujinga ya JIHAD 😁😁😁ndio utajua kweli kuna watu na viatu.
    Ndio maana unaona watu wako gulf pia wako DIVIDED kimaoni kwa sababu wako na experience tofauti .
    Hakuna nchi yoyote ya WAARABU AMBAYO haina vituko but the worst ni SAUDIA .
    Sababu ya saudi kuwa worst ni juu ni nchi kubwa sana na kuna part zingine hata nikama serikali yenyewe hua haifiki.
    Lakini pia wakenya wanafanya sarakasi sana kwanza ii hii saudia wakenya wana vituko mingi sana.
    Eti wajifanya nikutafuta pesa .
    Kwanza watu wa JEDDAH,MADINA,DAMMAM na wale walevi wa YAMAMA

  • @user-cv8ye5ob4y
    @user-cv8ye5ob4y 4 роки тому

    Mungu hua ana acha upitie Ayo ili uten,geneze testimony ya keshoo kinda lake Lee tukuzwe

  • @rosemarymbutu1542
    @rosemarymbutu1542 4 роки тому

    Carol I salute you🙆

  • @gracewangeci3324
    @gracewangeci3324 5 років тому

    Pole sana koz hii maisha ni ngumu sana.

  • @mutheekigwaci4871
    @mutheekigwaci4871 3 роки тому

    I love Carol Mwaura

  • @nancymbugua4755
    @nancymbugua4755 Рік тому

    This my home area. Thank you Lord. What happened to AIC? Bishop Manyara, why this? Something isn't right!

  • @annloisegitau4569
    @annloisegitau4569 5 років тому

    stori ya ukweli. many girls wamepitia hayo and even more.

  • @octohkamaah4842
    @octohkamaah4842 5 років тому +3

    this inspiring story ...God bless us all

    • @alexmwangi2652
      @alexmwangi2652 4 роки тому

      Ya and not Allah he devil don't worship

  • @ruthkorir6015
    @ruthkorir6015 5 років тому

    woiii ndikuga undu hau just crying

  • @esthermuthoka3464
    @esthermuthoka3464 3 роки тому +2

    Woooow beautiful Lady. Miss u só Mach my dear Friend pole sana kwa yle ulipata

  • @anneamor6192
    @anneamor6192 5 років тому +42

    Watu wangapi wamekufia kwa mikono ya Arabs na mtu anasema hajasikia kitu Kama hiyo ...Kama umepata place unakua treated nicely don't forget to pray for others who are through hell...and be thankful not condemning someone's testimony

    • @DoriskNjenga
      @DoriskNjenga 5 років тому +2

      True dear

    • @janenjenga5639
      @janenjenga5639 5 років тому

      Very true

    • @gashafashi08
      @gashafashi08 4 роки тому +1

      I love your comment. Just because someone is not experiencing abuse or assault, doesn't mean these things aren't happening. Ladies, let's be our sisters' or brothers' keepers! Tomorrow it could you, or your family members, or friend. Usipuuze experience mtu amepitia.

    • @agneswangari8164
      @agneswangari8164 4 роки тому

      Maheni , maingi ta nyeki githaka ,

    • @godsfavour4121
      @godsfavour4121 4 роки тому

      Anne amor she is a lier

  • @mercynjeri7373
    @mercynjeri7373 4 роки тому +2

    saudi arabia kwa wauwaji mshidwe kbxa cku yaja mtalipa damu ya watu shidwe nyinyi

  • @ruthwacira1772
    @ruthwacira1772 5 років тому +2

    Sitoki Kenya come what may!!! 😕☹️😬

  • @nyjeridavis3525
    @nyjeridavis3525 5 років тому +16

    Thank you God bcoz she came back alive, Arabs no joke some of them don't have heart a've been in Saudi Arabia i know but I was lucky myn was God fearing people they loved me like their sister may God bless them

  • @shekhaalndebyshekhaalndeby8739
    @shekhaalndebyshekhaalndeby8739 7 років тому +4

    mungu wangu niko oman muarabu ama kuna mungu binguni majabu hii mashida diyo inatuvanya twende uko

    • @cornflakes9075
      @cornflakes9075 5 років тому +1

      But u can also go to christian countries.

    • @generalkago5361
      @generalkago5361 4 роки тому

      Msiba wa kujitakia ___. Why do you go to countries inhabited by non believers ?????

  • @willysmuriithi3098
    @willysmuriithi3098 5 років тому +11

    I feel bad for everything she and others went thru' in Saudi... but I'm also glad she can laugh

  • @marylandjowaka7069
    @marylandjowaka7069 5 років тому

    So pretty gal aki govt should be ashamed making life difficult that's y we leaving this country

  • @justmo6896
    @justmo6896 2 роки тому +1

    Wauw 🙄😥 Ngai aheo ugoci🙏👍🙌

  • @jesusyoulovemetoomuchwanji8860
    @jesusyoulovemetoomuchwanji8860 4 роки тому +1

    Bona haupeani hii story ikiwa ya ukueri mara dubai mara Lebanon bona unandanganya

  • @davidwamson4739
    @davidwamson4739 6 років тому +27

    I've been to Saudi but as a man didnt go through such but what carol experienced is real and God saved her soul.

    • @stellastella3771
      @stellastella3771 5 років тому +1

      niko Saudia since 2012 but this family is nice and they now God
      but Embassy inasaindia sana

    • @anniesallie2968
      @anniesallie2968 5 років тому +1

      @@stellastella3771 pass y u7

    • @joelkariuki8510
      @joelkariuki8510 Рік тому

      ​@@stellastella3771

    • @joelkariuki8510
      @joelkariuki8510 Рік тому

      ​@STELLA stella hhhhkhhhjh11hh1h222kkjh11um22g2gk2j2gmm22lkhg2l2hh22j2jjgjgh1g1kgmmmkj2mh11ggh1g11111mk111m1111k11k1jhkk1¹g¹1111k¹¹11k1111111g11¹111hg1gm2k
      11j19l9m99m2999km828h28
      Gh

  • @janethuo6353
    @janethuo6353 5 років тому +7

    My sis has been there aki alikua huko. She was not eating and drinking water. But God help her

  • @euniceevans7780
    @euniceevans7780 5 років тому +3

    Pole sana Caro, acio Tia andu,

  • @leahchege5627
    @leahchege5627 3 роки тому +3

    Carol I remember you telling me this story
    You're such a strong and lovely person
    God bless 🙏🏽

    • @stetsondavian5756
      @stetsondavian5756 2 роки тому

      I know it's kind of off topic but does anybody know a good website to watch new tv shows online ?

    • @demetriusjaylen8349
      @demetriusjaylen8349 2 роки тому +1

      @Stetson Davian flixportal

    • @stetsondavian5756
      @stetsondavian5756 2 роки тому

      @Demetrius Jaylen Thanks, I signed up and it seems like they got a lot of movies there :D I appreciate it!!

    • @demetriusjaylen8349
      @demetriusjaylen8349 2 роки тому

      @Stetson Davian you are welcome xD

  • @samuelkamande3620
    @samuelkamande3620 Рік тому

    Too bad for her but God is good the ending story is beautiful ❤️

  • @maggiemarcus4117
    @maggiemarcus4117 5 років тому +10

    Why do people go to this places after hearing this😭😭.pliz learn from her

    • @MyJOSE2013
      @MyJOSE2013 5 років тому

      well said.

    • @priscillahndungu3232
      @priscillahndungu3232 4 роки тому

      Maggie marcus my frnd don't say that shida ndio ufanya mtu aende huko

    • @perismcute5139
      @perismcute5139 4 роки тому

      @Joanne Muthoni even Oman is not that bad from my own experience

  • @asaadbadr7577
    @asaadbadr7577 7 років тому

    where was there??

  • @ossysandra9380
    @ossysandra9380 6 років тому +3

    So sad storry my dear ... all in all we thank God

  • @mumsally2263
    @mumsally2263 7 років тому +15

    Heeee reekei ndimwire ,mahonjiano boring cha ukweli 🙊,aiish ata host anafanya ikose taste,njukire guuku atîa?🙉reeke njokie mucene mucii🏃🏼🏃🏼🏃🏼🏃🏼#KamemeTV the best even the hosts are mwaaaaah.. 😍

  • @puritynatalia6725
    @puritynatalia6725 6 років тому +4

    Kirindi kiaremire musa,ati ni uongo

  • @janetsimba5860
    @janetsimba5860 4 роки тому +4

    Ulisema dubai kwa mt.kenya tv sasa ni lebanon cheei ulikuwa 2 places at one tym

    • @carolinemwangi8248
      @carolinemwangi8248 3 роки тому +1

      Ni uongo somehow..ukunywe maji ya Choo uki flash aje si ukunywe before uflash pale Kwa tank ya kuflash..na tap? Kaa Choo ina flash? Lebanon, Saudi huwa wanatesa but usi excagerate...how come kwingine unadai ni saudi kwingine ni Lebanon ..how didn't you know ulikuwa ukieda gulf... na Jkia exit ulitumia gani

  • @joywanjiku3683
    @joywanjiku3683 3 роки тому +1

    Tiga maheni Caro

  • @annmuitaimemusic6977
    @annmuitaimemusic6977 2 роки тому

    Heheheee😂😂 story Ina huru.ma.. but vyenye anaongea nashindwa kujizuia kucheka

  • @angelmichael9026
    @angelmichael9026 Рік тому

    Living Testimony

  • @kenyangal1976
    @kenyangal1976 5 років тому

    aki woiyee..

  • @karendikitchen8439
    @karendikitchen8439 5 років тому

    Maheeeeeeeni....
    dust bin iraruta ku irio na mararia muciii.
    Mwarabu daily basis lazima uchafu utoe takataka.
    conoka muno tiga maheni

  • @gideongathekiamkoloni5043
    @gideongathekiamkoloni5043 5 років тому +6

    Hapo Kwa kukataa Mambo nyingi isn't adding up

    • @rugurunjeriwariara1018
      @rugurunjeriwariara1018 3 роки тому

      True uongo nayo

    • @EEEZ2016
      @EEEZ2016 2 роки тому

      Ati mwiri ndware nyumba ware apartment kui thi... kae mundu ahuraga indo apartment ngima.

  • @mercymathenge5742
    @mercymathenge5742 5 років тому +3

    Usitamani kwenda gulf

  • @janej.wambugu7080
    @janej.wambugu7080 5 років тому +1

    Mnaboo kabisa

  • @lordOfSalem
    @lordOfSalem 5 років тому +12

    Actress with a vivid imagination.

    • @Goch46
      @Goch46 2 роки тому

      Lies i can note from this.
      1. Arabs hawafanyangi house driving jobs
      2. Mwarabu akakuona umepotea anakupeleka police instantly
      3. Hajui alikokuwa mara ni dubai mara lebanon
      4. The dead body was not in the same house ati ilikuwa on the same building huko chini. Nobody else saw it?
      Hii ni imagination inaweza fool wajinga tu. There are real people wamepitia makubwa lakini hii ya huyu i doubt

  • @joewayne61
    @joewayne61 4 роки тому +4

    Kwani hizi interviews mtu hulipwa how much wadau, juzi amesema ni Lebanon Sasa apa napo ni Dubai , aaiii???? Wewe madam tafuta kazi ingine acha kudanganya watu.

    • @anisaavaline8231
      @anisaavaline8231 3 роки тому

      Nimeishi nawarabu for 6years....so hawezi niambia kitu...hizo ni mehemehe😡

  • @janenyambora7279
    @janenyambora7279 5 років тому +3

    Ni maheni

    • @reginaregina5669
      @reginaregina5669 5 років тому

      Uongo mtupu Wee carol.. Mbona Kutafuta fame with this???

  • @gracewangari4873
    @gracewangari4873 3 роки тому +2

    So interesting testimony GOD is really

  • @maggiejohn1958
    @maggiejohn1958 2 роки тому

    Encouraging stories

  • @petersonmuigai3096
    @petersonmuigai3096 4 роки тому

    Good talk

  • @milkamuteo5933
    @milkamuteo5933 5 років тому +1

    Maheni maheni

  • @verowanga8727
    @verowanga8727 4 роки тому +1

    she resemble Muthoni wa mukirii

  • @bonny4478
    @bonny4478 4 роки тому +4

    Uwongo ndiyo inakaa mingi

    • @marianjenga3946
      @marianjenga3946 2 роки тому

      Shut your facking mouth am here and that the truth aiiiii devils agent

    • @bonny4478
      @bonny4478 2 роки тому

      @@marianjenga3946 si ukanyangie hiyo stori basi

  • @gideongathekiamkoloni5043
    @gideongathekiamkoloni5043 5 років тому +1

    Mimi siwezi sema she's lying.Hii story is fully adding up

  • @gracemwangi3632
    @gracemwangi3632 4 роки тому +5

    Maheni mahana ma 😡😡 pthoo mchew

    • @anisaavaline8231
      @anisaavaline8231 3 роки тому

      Huyu dem nimuongo sana simpendi......kama alishindwa najob awache kuhalibia warabu jina

  • @stephennderitu6054
    @stephennderitu6054 Рік тому

    Pole Sana

  • @gracemuthoni2988
    @gracemuthoni2988 3 роки тому

    Ni maheni mau... Hii story apana

  • @martinmwangi6
    @martinmwangi6 5 років тому

    People not once Ivan heard this story about her so acheni kusema ni uwongo

  • @maggiemumbi4067
    @maggiemumbi4067 5 років тому +3

    Haha ati mwarabu ako na driver mwarabu😆😆😆😆aiiiii anadanganya tu..niko uku 6yrs na sijawai onaaaaaa

    • @MyJOSE2013
      @MyJOSE2013 5 років тому +1

      kama uko kitchen kila siku utajuaje?

    • @maggiemumbi4067
      @maggiemumbi4067 5 років тому

      @@MyJOSE2013 hahaha ushawai kam ukaniget kitchen....kama ujui anything plzz i ddnt ask u tk reply my commet..nkt!!!

    • @alvismumkaranja3360
      @alvismumkaranja3360 4 роки тому +1

      May be aliona Pakistani au indians coz somehow wanafanana

    • @bonny4478
      @bonny4478 4 роки тому

      @@maggiemumbi4067 pia hiyo sijawahi skia mm

  • @carolinaklvin748
    @carolinaklvin748 5 років тому +2

    Khai hayo yote nimeyapitia saudi...pole dadangu...

  • @susanmwaniki9595
    @susanmwaniki9595 4 роки тому +1

    This is very true 😭😭😭Carol ua goin far ,,,,

  • @mellisafrancis958
    @mellisafrancis958 5 років тому +4

    I trust u gal hve dealt wit diz pple en capable of anytin

  • @draah3
    @draah3 3 роки тому

    😲😲😲Woiye

  • @fresiawanjiru3211
    @fresiawanjiru3211 5 років тому +3

    I dont know her story that much but someone is not telling her story as it should adding salt....she is an actor she acting on live tv lol...

  • @isaiahnjoroge2850
    @isaiahnjoroge2850 3 роки тому

    Pole

  • @michaelokoth9908
    @michaelokoth9908 6 років тому +3

    reason to doubt

  • @piuschege7269
    @piuschege7269 3 роки тому

    Pole siz

  • @ruthmuthoni6431
    @ruthmuthoni6431 4 роки тому

    Aki this is sad, woiye sijasikia abt holy anger

  • @PLACESNONDESCRIPT
    @PLACESNONDESCRIPT 2 роки тому +1

    Subs from Mumbi rich nation!!!!

  • @gladysmukavane6949
    @gladysmukavane6949 5 років тому +19

    mateso nilipata saudia was spiritually . nililazimishwa kunywa dawa ambayo walikataa kunipea nisome nijue ni ni walikua wananipea for three days .God brought me back ,siezi ongea sana coz sometimes the story makes me crazy

    • @MyJOSE2013
      @MyJOSE2013 5 років тому +2

      i agree those r demonic things

    • @puritywamboi4040
      @puritywamboi4040 5 років тому +1

      Gladys Mukavane pole sana God is great hope ulimaliza contract sasa uko nyumbani?

    • @gladysmukavane6949
      @gladysmukavane6949 5 років тому +1

      Niko nyumbani

    • @rozygitau1153
      @rozygitau1153 5 років тому +2

      @@gladysmukavane6949 glory to God ikiwa ulieda ukiwa salama aki

    • @petermuchema3551
      @petermuchema3551 5 років тому +1

      Pole sana God atakuhelp

  • @dlatorevanso9418
    @dlatorevanso9418 3 роки тому +1

    Si angefungua iyo mtungi ya choo, lazima angeflash akunywe maji chafu?

  • @jessendegwahmusic488
    @jessendegwahmusic488 4 роки тому +3

    Very inspiring story there

  • @elengichanga7127
    @elengichanga7127 5 років тому

    My point of view..av been there they can't go for breakfast out coz of the kids going to school.then most of them have cooks ..when in problem you just run to the police station..fishy.fishy.

  • @njeritiebo5884
    @njeritiebo5884 7 років тому +30

    Wenye mnasema she is lying kuweni wa pole but the hosts are boring. Helen n Dj Covenant pull up ur game. Wah

  • @georgemungai1323
    @georgemungai1323 5 років тому +1

    Holy anger

  • @rabukaraumwa9131
    @rabukaraumwa9131 6 років тому +1

    holy anger

  • @trizawainaina4880
    @trizawainaina4880 5 років тому +1

    Maheni

    • @carolinemwangi8248
      @carolinemwangi8248 3 роки тому

      Uongo miingi 4 what now....si aongee ukweli waarabu sio wabaya that way... Maji ya Choo as in.how? Nko Saudi na challenges pia ..but siezi danganya vitu zingine

  • @jacintakamaah280
    @jacintakamaah280 3 роки тому

    Napenda kikuyu

  • @nishmpole7536
    @nishmpole7536 4 роки тому +3

    But I think there is difference between Dubai and Lebanon coz during My Kenya tv interview u mentioned Lebanon 🤷‍♀️ anyhow sorry
    for what happened.

    • @merciebryan4431
      @merciebryan4431 4 роки тому

      Haha...hapa sioni ukweli. Sasa alikuwa country gani. Acha tu ajitaftie sifa

    • @merciebryan4431
      @merciebryan4431 4 роки тому

      Lebanon anatumia mob kuchuna maua, Dubai anatoka nje kuchuna. Nie maya maundu

  • @muthonikibuka8733
    @muthonikibuka8733 5 років тому +1

    wewe umewatch movies sana, haikai real

  • @agnesmwikali539
    @agnesmwikali539 5 років тому +5

    This true hawa watu ni wanyama,the life of gulf

  • @tashwin2015
    @tashwin2015 7 років тому

    waaah God feel pity for all those who are suffering in foreigns land

  • @brotiblo8351
    @brotiblo8351 5 років тому +3

    fellow Kenyans mbona u want more money unaenda Saudi unakufa yet we can employ u here ama pia cc hatutaki maid

    • @essnjrnjr3635
      @essnjrnjr3635 5 років тому +1

      Point of correction akuna pahali kifo iwez kupata

  • @anna-cd7ht
    @anna-cd7ht 3 роки тому

    Sorry gal what u went through.
    Our African people
    Let fight modeln slavery

  • @carolleggy7042
    @carolleggy7042 4 роки тому

    woiye carol

  • @naff6302
    @naff6302 3 роки тому

    😆😆 maya mahana taro maheni ma

  • @annewambui2006
    @annewambui2006 5 років тому +1

    Njera citu

  • @storm.9818
    @storm.9818 9 місяців тому

    I LOVE INOORO TV

  • @maggiebernard
    @maggiebernard 6 років тому

    Haiyaaaa......

  • @beatricewanga3502
    @beatricewanga3502 5 років тому +7

    Ihave been in gulf and ican satisfy most arabs are not good,especially are very mean with the food of stomach,but she is exgerating,anaweka chumvi sana,zingine ni uongo.

    • @janenjenga5639
      @janenjenga5639 5 років тому +4

      How can you prove na haukua same house.

    • @naff6302
      @naff6302 3 роки тому

      😆😆😆