Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Dah Leo majembe yanatemeana cheche ila ningependa majembe yaendelee kuwa pamoja yasije yakatengana All the best kwenu bongo katuni Kwa burudani kali
Juma hana kheri na shukran chawa hili jitu lipumbavu tena ovyoo hafai ni lofa tu
Thx dj wetu
Amina ulipata mama mxuri wakufikia atakusaidia
Mama queen 😰😰😰😰
Wa nne kufika,watu laleni jameni,hii itafunguka kesho😂😂😂😂😂😂😂 anyway nawapenda 💗💗💗💗💓💓💓💓❤️❤️❤️💕💕💕💖💖💖💖
No moja mambo ni 🔥🔥🔥👍
Wa3 nimewai jaman ❤️❤️
Katunzi eti alikuwa officeni yaani wewe ninoma sana
Kumi boraaaa
Mama queen fuata lililokuleta hapo.Mzee rajabu ww nikiboko ya juma kweli.
Wà pili nasubiri mpaka keshi ifunguke jameni 🇰🇪🇰🇪💗💞💗💞♥️ mmeweka
Mama Queen 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 anataka kuvunja doa ya mtoto wake
Katunzi katunzi katunzi na ww Anna siku yenu itafika na itakuwa fupi balaa
Zakayooooo 🙌🤣😭😭😭🤣🤣🤣🤣
Mama Queen Bana🤣🤣Eti boss Katunzi alikuwa afisini 😅 😂🇰🇪
Wa 100 leo
🙄🙄🙄 ila nyieeee
Mzee rajabu ni chawa wa juma
Mama Queen 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wa sita
48
Wa 7
Ivi ni kweli kuna wanaume mabwege kama Zakayo
Aaah wapiii lbda hawaish dunia hiii
@@sophiaabdallah7821 hakika Sofia maana si Kwa ubwege huo
🔥🔥🔥🔥👍
Zakayo ww ni mjinga bwana khaa
Kwa mara ya kwanza Rajab ametema dumu 😂😂😂
Lkn uyu mm queen hivi hko n akili hivi kuharibia mwanaye ndoa rajab juma aliongea maneno ady ya kesho🤣🤣
Anataka kuvunja ndoa ya mwanae
Juma 😂 😂 😂 😂 😂 ashatafakari🤣🤣🤣🤣
Majembe kama majembe 😁😁😁😁juma tamaaa kiburi haviwi pamoja 😁
😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜Haha Ann tangu lini mahabusu ukaingia na fedhaa?? Yani jaman zakayo siku utajua Ann anaigiza mapenxi yani naona utaua mtuuuuu +zawadii atakapo kuachia kweli utazimia...katunz matawi ya juu
Mamake na Sophia jamani si Kwa urembo huo😍😍🇰🇪
Annah jamani utabadilika lini jamani 🇰🇪🇰🇪
🇰🇪💜
Anna ni sikio la kufa
Haez badlika huyooo
Tupo kusubiri hapa inshallah
Kidawa wewe ndouko na matatixo sio Qeen mpka unasema mwanao anamatatixo?hivyoo wataka kuvunja ndoa yamwanao Bora utoke hapo mana unapofikia utatolewaa hapo kwann unakazanie uambiwe uongoo
🤣🤣🤣🤣 yaan daah bora kutokuw n mam kuliko huyo mama queen
Juma ameshatengeneza dunia yake🤣🤣🤣
😁😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli kidawa ni kidawa tu, yaani unajitahidi kupenyeza kuharibu ndoa ya binti ako?? 😁😁😁😁😁Eti umeshatengeneza dunia yako tayari😁😁😁 nyie majembe mnanikoshaaaa
Katunzi wewe ni fundi
Dah Leo majembe yanatemeana cheche ila ningependa majembe yaendelee kuwa pamoja yasije yakatengana
All the best kwenu bongo katuni Kwa burudani kali
Juma hana kheri na shukran chawa hili jitu lipumbavu tena ovyoo hafai ni lofa tu
Thx dj wetu
Amina ulipata mama mxuri wakufikia atakusaidia
Mama queen 😰😰😰😰
Wa nne kufika,watu laleni jameni,hii itafunguka kesho😂😂😂😂😂😂😂 anyway nawapenda 💗💗💗💗💓💓💓💓❤️❤️❤️💕💕💕💖💖💖💖
No moja mambo ni 🔥🔥🔥👍
Wa3 nimewai jaman ❤️❤️
Katunzi eti alikuwa officeni yaani wewe ninoma sana
Kumi boraaaa
Mama queen fuata lililokuleta hapo.Mzee rajabu ww nikiboko ya juma kweli.
Wà pili nasubiri mpaka keshi ifunguke jameni 🇰🇪🇰🇪💗💞💗💞♥️ mmeweka
Mama Queen 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 anataka kuvunja doa ya mtoto wake
Katunzi katunzi katunzi na ww Anna siku yenu itafika na itakuwa fupi balaa
Zakayooooo 🙌🤣😭😭😭🤣🤣🤣🤣
Mama Queen Bana🤣🤣Eti boss Katunzi alikuwa afisini 😅 😂🇰🇪
Wa 100 leo
🙄🙄🙄 ila nyieeee
Mzee rajabu ni chawa wa juma
Mama Queen 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wa sita
48
Wa 7
Ivi ni kweli kuna wanaume mabwege kama Zakayo
Aaah wapiii lbda hawaish dunia hiii
@@sophiaabdallah7821 hakika Sofia maana si Kwa ubwege huo
🔥🔥🔥🔥👍
Zakayo ww ni mjinga bwana khaa
Kwa mara ya kwanza Rajab ametema dumu 😂😂😂
Lkn uyu mm queen hivi hko n akili hivi kuharibia mwanaye ndoa rajab juma aliongea maneno ady ya kesho🤣🤣
Anataka kuvunja ndoa ya mwanae
Juma 😂 😂 😂 😂 😂 ashatafakari🤣🤣🤣🤣
Majembe kama majembe 😁😁😁😁juma tamaaa kiburi haviwi pamoja 😁
😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜Haha Ann tangu lini mahabusu ukaingia na fedhaa?? Yani jaman zakayo siku utajua Ann anaigiza mapenxi yani naona utaua mtuuuuu +zawadii atakapo kuachia kweli utazimia...katunz matawi ya juu
Mamake na Sophia jamani si Kwa urembo huo😍😍🇰🇪
Annah jamani utabadilika lini jamani 🇰🇪🇰🇪
🇰🇪💜
Anna ni sikio la kufa
Haez badlika huyooo
Tupo kusubiri hapa inshallah
Kidawa wewe ndouko na matatixo sio Qeen mpka unasema mwanao anamatatixo?hivyoo wataka kuvunja ndoa yamwanao Bora utoke hapo mana unapofikia utatolewaa hapo kwann unakazanie uambiwe uongoo
🤣🤣🤣🤣 yaan daah bora kutokuw n mam kuliko huyo mama queen
Juma ameshatengeneza dunia yake🤣🤣🤣
😁😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli kidawa ni kidawa tu, yaani unajitahidi kupenyeza kuharibu ndoa ya binti ako?? 😁😁😁😁😁Eti umeshatengeneza dunia yako tayari😁😁😁 nyie majembe mnanikoshaaaa
Katunzi wewe ni fundi