Yesu uwe kwangu daima haijalishi nini ninapitia haijalishi maumivu niliyonayo, haijalishi hapa nilipo, haijalishi ni nimeachwa na watu wangapi🥹, bado ninakuamini Yesu kristo uko kwangu daima Bwana🙌🙏 ohoo Lord naomba uwe wangu daima
it takes me back in the 2005 ,that moment when you cant even pray,whn i lost both parents....when i felt like my whole world has crashed down on me,this song gave me anew hope,that no matter wht Jesus is there for me
nilalapo ndani ya mkapo wema wako baba bado upo kwangu nimezungukwa na nguvu zako ewe Yesu urafiki mwema nilalapo ndani ya mkapo wema wako baba bado upo kwangu nimezungukwa na nguvu zako ewe Yesu urafiki mwema karibu Yesu ukae kwangu siku zote maishani mwangu karibu Yesu ukae kwangu siku zote maishani mwangu karibu Yesu ukae kwangu siku zote maishani mwangu uwe wangu daima nikiwa mjane uwe wangu, uwe wangu daima nikikosa chakula uwe wangu, uwe wangu daima
haleluuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.... BWANA ASIFIWE. NAKUPENDA YESU SANA NA ROHO YANGU YOTE
Nakupenda sana Upendo Nkone Kwani nyimbo zako nizisikiapo natokwa na machozi, Mungu akubariki sana na azidi kukutia nguvu katika utumishi huo,Jipe moyo mkuuuu umeandaliwa taji kuu na Bwana.nakupenda sana ma mam..mwaaaaaaaaa
Mungu baba uliye mbinguni jina lako baba litukuzwe ufalme wako uje mapenzi yako baba yatimizwe Mungu baba uliye mbinguni jina lako baba litukuzwe ufalme wako uje mapenzi yako baba yatimizwe karibu Yesu ukae kwangu siku zote maishani mwangu karibu Yesu ukae kwangu siku zote maishani mwangu karibu Yesu ukae kwangu siku zote maishani mwangu uwe wangu daima nikijaribiwa, uwe wangu daima hata nikiteswa, uwe wangu daima ninaomba
After losing mum in 1996 and 2021 January 29th my dad too rested😭😭😭Karibu Yesu ukae kwangu,,,oooh LORD this is too much painful😭😭😭Still crying why💔💔💔And worst part have never been close to them to witness their departure 😭😭😭Why???
Mungu amenitendea mambo makuu sanaa,japo nimeteseka tena kwa muda mrefu hadi kufikia kulala njaa na hata kuumwa nilishindwa kwend hospitali au kununua hata dawa...nikaamini ipo siku mungu atanifungulia njia,nililia sana sana na leo hii mungu amenijib maombi yangu....Ahsante mungu
@Delyp2003 Praaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiise the Lord, she is no longer called a widow as of next month Upendo Nkone is getting married. God is so faithful...He has blessed her with a husband and blessed her children with a father. Halleluyia...God is good, He is the father of fatherless and husband of widows and even restors our lives.... Bwana Asifiwe Milele na Milele Amina.
Iam muslim.. whenever I feel like giving up.. this song comfort and make me stand again..2022 is so hard year for me .. but I believe I will make it.
God is with you my dear. Keep trusting him☺️🙏🏽
i hope you’re doing well
10/1/2020 Niko hospitalini nimelazwa lakini naisi uwepo wako ewe yesu
Yesu uwe kwangu daima haijalishi nini ninapitia haijalishi maumivu niliyonayo, haijalishi hapa nilipo, haijalishi ni nimeachwa na watu wangapi🥹, bado ninakuamini Yesu kristo uko kwangu daima Bwana🙌🙏 ohoo Lord naomba uwe wangu daima
2025 still my Favourite Song🤍
it takes me back in the 2005 ,that moment when you cant even pray,whn i lost both parents....when i felt like my whole world has crashed down on me,this song gave me anew hope,that no matter wht Jesus is there for me
laura msuka polee aisee Mungu anatupenda
😢😢😢😢😢😢😢😢😢 I lost mine too. The pain has never gone away.
Pole laura
Pole sharon
Shalom
nilalapo
ndani ya mkapo
wema wako baba
bado upo kwangu
nimezungukwa
na nguvu zako
ewe Yesu
urafiki mwema
nilalapo
ndani ya mkapo
wema wako baba
bado upo kwangu
nimezungukwa
na nguvu zako
ewe Yesu
urafiki mwema
karibu Yesu
ukae kwangu
siku zote
maishani mwangu
karibu Yesu
ukae kwangu
siku zote
maishani mwangu
karibu Yesu
ukae kwangu
siku zote
maishani mwangu
uwe wangu daima
nikiwa mjane uwe wangu, uwe wangu daima
nikikosa chakula uwe wangu, uwe wangu daima
Asante
Huu Mwimbo unanikumbusha Sana Baba yangu wa Kiroho Apostle Peter Nyaga..Tabata Chang'ombe RGC
haleluuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.... BWANA ASIFIWE. NAKUPENDA YESU SANA NA ROHO YANGU YOTE
Nakupenda sana Upendo Nkone Kwani nyimbo zako nizisikiapo natokwa na machozi, Mungu akubariki sana na azidi kukutia nguvu katika utumishi huo,Jipe moyo mkuuuu umeandaliwa taji kuu na Bwana.nakupenda sana ma mam..mwaaaaaaaaa
Mungu aku bariki kua wimbo huu
❤❤
Jibu lako kwa christina shusho niliamin ww ni mtu wa Mungu na unaupendo 2025 ❤
Alie muona tin white karibu ulike
Tunaosikiliza 2019 tujuane
huu wimbo hunikumbusha kipindi kigumu na wazazi wangu ila Mungu ametuinua .. wasomjua Yesu wanateseka nimeijua faida ya kumjua huyu Yesu
Thank you Jesus for helping me to find this song.... I really needed this song
Anaeangalia December 2024
Mungu mwema sikia maombi yangu
It's 2022 still blessed with song I remember I sang it when I was in kibosho girls school my friends loved it be blessed my mom
Pongezi sana mama upendo kwan nyimbo hii nmeiskiliza zamani nkiwa mdogo mpaka leo nabalikiwaa
Karibu Yesu uwe wangu Daima, Kwa neema ya Mungu 2024
Hakika upako ndani wa wimbo huuu teleee Mungu akubariki upako wa Bwana usipuguke
leo gtarhe 18/8/2020 tupo tunabarikiwa
jaman sina la kusema zaid ya Mungu akubariki, kwa kwel nahc kubarikiwa
Mungu akubariki upendo nkone tokea nilipoanza kuusikiliza wimbo miakamingi ililuwa mwaka 2006 iloyopita hadi Leo tarehe 23-2-2020 bado nabariliwa
Mungu baba
uliye mbinguni
jina lako
baba litukuzwe
ufalme
wako uje
mapenzi yako
baba yatimizwe
Mungu baba
uliye mbinguni
jina lako
baba litukuzwe
ufalme
wako uje
mapenzi yako
baba yatimizwe
karibu Yesu
ukae kwangu
siku zote
maishani mwangu
karibu Yesu
ukae kwangu
siku zote
maishani mwangu
karibu Yesu
ukae kwangu
siku zote
maishani mwangu
uwe wangu daima
nikijaribiwa, uwe wangu daima
hata nikiteswa, uwe wangu daima
ninaomba
Amen Mungu baba uliye wambiguni jinalako litukuzwe
Nabarikiwa Sana na nyimbo zako upendo nkone
i grew up loving this song ; may the good Lord bless this musician. Amen
2020 nani bado tunamtukuza Mungu kwa huu wimbo
Nabarikiwa Sana Dada upendo nkone
Ubarikiwe sana mama, wimbo unagusa kweli, Mwenyezi Mungu atukuzwe
Ninamwinua Bwana Yesu kila ninaposikiliza huu wimbo, Mungu azidi kukutunza Mtumishi na kukupa mafunuo mapya kila iitwapo leo
Kama unasikiliza huu wimbo 2020, utukufu kwa Mungu, mwambie Mungu asante!!!!
Karbu YESU ukae kwangu siku zote maishani mwangu 2022 karbu YESU uzaliwe upya ndan yangu
Had to come here after we sang this song at Church on Sunday,sooo uplifting
Katika magonjwa Uwe wangu daima Yesu. 2019
Karibu yesu ukae nami Siku zote maisha mwangu nabarikiwa Sana nyimbo hizi
22/2/2020 wema wko bado uko na mimi 😥😥😥
It is one of the classic and timeless songs for Upendo Nkone.
2020 bado tupo pamoja kwa uwezo wa Mungu
Napenda huu wimbo sana....(from Kenya),..mungu akuinue zaidi..
karibu Yesu ukae kwangu siku zote za maishani mwangu..uwe wangu daima
Ubarikiwe sana dada Upendo hakika nyimbo yako ni Baraka
Nimemwona Yesu akinirudisha kwenye line kupitia wimbo huu,Mungu yupo na anatuhudumia,Nampenda Yesu.
There is no true loving friend like Jesus
only If you let Him .
Nimeujua huu wimbo nikiwa darasa la 2 2008 mpaka hivi sasa niko chuo kikuu 2022. Nabarikiwa🔥🔥🔥
napenda sana pia nyimbo za upendo nikizickia huwa zina nifarij sana ubarikiwe sana na mungu akutangulie kwenye kaz yako
Yesu karibu kwangu ukaye kwangu siku zote maishani mwangu🙏🙏
Ila upendo nkone una sauti nzuri kwakweli. Huu wimbo huwa naurudiaaaaaa na ule wa Yesu nasogea
Kwakweli huu wimbo haitaisha hamu kwangu, ninaupendaga sana 2020
Ubarikiwe sana mama hakika nyimbo zako zinanibariki sana,Amen Amen,Amen,Aminaaaa Yesu nakupenda
😭😭😭😭 uwe wangu daima Yesu kristo kwa ninayo ya pitia
Nilikuwa Kibasila sekondali 2003 UKWATA,Asante YESU
Nakupenda sana Upendo.wimbo wa Mungu baba huwa kila nikiusikiliza nalia.kisha naanza kuomba.Mungu akutie nguvu mom.
2023 bado MUNGU yupo pamoja nasi
I like this song very much. Thank you Upendo. God bless you.
After losing mum in 1996 and 2021 January 29th my dad too rested😭😭😭Karibu Yesu ukae kwangu,,,oooh LORD this is too much painful😭😭😭Still crying why💔💔💔And worst part have never been close to them to witness their departure 😭😭😭Why???
Uwe wangu daima hata nikijarubiwaa uwe wanguu daima💕💕
Nafill uwepo.. MUNGU Baba takasa njia zangu.
Mama nakupenda Sana Mungu azidi kukutumia amen
I believe you still with me ;I real like this song😙
I always felt connected to God listening to this song since my childhood.
naipenda sana hiii nyimbo
Love thix song so much nitafamta cover
@@suzanamlaki8617 Barikiwa Sana Dada Upendo
Wimbo huu auludie Tena video naupenda saana
Naupenda Sana huu wimbo
Nyimbo zako zinanibariki Sana nikipitia jarbu niskilizapo nyimbo zako napata wepesi wakushinda jaribu
hongera upendo nyimbo zako huwa zinaniliza sana ubatikiwe
Penda Sana huu wimbo
Karb yesu kwangu.
Dada mungu akubari uendelee kum2kuza yeye ckuzote maishan mwako AMEN!
mungu akubariki mama
Mungu amenitendea mambo makuu sanaa,japo nimeteseka tena kwa muda mrefu hadi kufikia kulala njaa na hata kuumwa nilishindwa kwend hospitali au kununua hata dawa...nikaamini ipo siku mungu atanifungulia njia,nililia sana sana na leo hii mungu amenijib maombi yangu....Ahsante mungu
Barikiwa ndo faida ya kumtumikia mungu na uvumilivu mbele zake
Nyimbo zako nifaraja kwetu hasa mwanafunzi wako wakushona amani center azza
Mama YESU ainuliwe sana kwa ujumbe huu
Ubarikiwe mama yangu saña hii nyimbo nimeisikiliza Mtoto mpk Leo ukubwani naipenda mi Mtoto wa Bahati
Nakupenda Sana mama yangu
Ubarikiwe mtumish
Mungu wetu n mkuu n mweny nguvu😭🙏
I always feel blessed whenever I listen to this song!
Sweet song let me do cover
naisiku barikiwa
mungu akubariki nikisiklza huu wmbo naskia kububujika mno uwee wngu daimaa daah
Karibu Yesu ukae kwangu siku zote maishani mwangu, Uwe wangu daima
Karibu Yesu maishani mwangu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
May the Lord all mighty bless you with the golden voice u got
mungu nakupenda sasa karibumungu ukae moyoni mwangu hatakama nikijaribiwa ukae kwangu usiniache yesu ( ongera upendo nkone good girl mwimbo wako mzuri kweri)
It's Holy Jolly Christmas and I am right here listening to this song .... too blessed! God is Good
NAMUONA TIN WHITE.OOH! RUDI UMTUMIKIE MUNGU
Katika Baraka na Mafanikio uwe wangu 🙏
@Delyp2003 Praaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiise the Lord, she is no longer called a widow as of next month Upendo Nkone is getting married. God is so faithful...He has blessed her with a husband and blessed her children with a father. Halleluyia...God is good, He is the father of fatherless and husband of widows and even restors our lives.... Bwana Asifiwe Milele na Milele Amina.
Nabarikiwa sana na nyimbo hii
Absolutely! she sings with an uplifting heart
That's what's very interesting about her songs!
keep up mum:)
i really like this song... be blessed upendo
o
Uwe wangu daima, niwe wako daima
Amen and Amen
Such blessing song
Uwe wangu daima
Mungu azidi kutulinda
Nilalapo na niamkapo**....rekebisha hapo
I love this song so much, Mungu akubariki mama..
Uwe wangu daima wakati huu wa ujane 😭 eee Yesu wangu🙏
Naam, Yesu yu pamoja nawe, anakaa kwako
unaimba kutoka moyoni..nabarikiwa sana na nyimbo yako
mapenzi yako Baba yatimize juu ya maisha yangu in this sunday morning 🙌🙌🙌😔😔😔23.10.2022
Nice spiritual song is inspired me God bless you
Imana Ikuhezagile
Amen
nice spiritual song it inspired me
Napenda sauti ya huyu mama 🙏
More than 13 years old but still refreshes my heart. God bless you mom.
napenda,sana kuimba
Nakupenda.......
nice song listening now