KIFO Cha MTOTO wa BAKHRESA / RAIS MWINYI Afika Kwenye DUA / FAMILIA Yaongea MAZITO!
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- Familia ya Ukoo wa Bakhresa imemuomba Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr Hussein Ali Mwinyi kupitia vyombo vyake vya ulinzi kumtafuta na kumkamata mtuhumiwa anaedaiwa kuhusika na tukio la kumchoma kitu kinachosadikiwa kuwa ni kisu Bwana Salum Ahmed Salum Bakhresa na kusabibisha umauti wake wakati akipatiwa matibabu Afrika Kusini
Ombi hilo limetolewa na mmoja ya wanafamilia wa ukoo wa Bakhresa Shekh Mohammed Omar katika kisomo maalum cha dua kilichoongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr Hussein Ali Mwinyi katika Msikiti wa Mchangani uliopo Mjini Unguja
Shekh Omar amesema wanaamini kuwa vyombo vya ulinzi vitalisamimia vyema jambo hilo la kuhakikisha wanamkamata muhusika wa tukio hilo
KIFO Cha MTOTO wa BAKHRESA / RAIS MWINYI Afika Kwenye DUA / FAMILIA Yaongea MAZITO!
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Innalillah Wainna ilayh Rajiun. Allah amsamehe Madhambi yake Nasi Atujaalie Mwisho mwema
Inalilah wainnalilay Rajuun!!li
Kila nafsi itaonja mauti..
Ya Allah!!.. msamehe yote
Aliyekulosea...mfikishe
Jannah. Ameen...
Pole kubwa kwa Familia
Na ndugu.....
Inna lillahi wainna ilayhi Raajioun
Allah ampe Kauli Thaabit!
Pole mzee Bakhresa naiona sura yako imejaa maumivu sana 😢
Allah amsamehe makosa yke na amuweke katika waja woman inshallah,na alomdhulumu nafsi yke nae allah atamlipa hapa hapa duniani
Amuweke katika waja wema inshallah
Duuu jaman pole sana mzeee bakharesa kwa msiba huuu najua maumivi nilisahau wahi kuondokewa na mtt wangu wa kiume wa pekeee ila yote kwa yote Allhamdullilah mungu akupe subra
Pole sana.
Pole sana wana familia Allah atawapa subra in shaa Allah na hao waliofanya M mungu atawalipa dunian akhera kwenda hisabu
إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
Poleni.sana
Inna lillah wainna ilayhi. Tunamuomba ALLAH ampe qauli thaabit na amghafirie madhambi yake in Sha Allah. 🤲
Innalillah wainnailah rajiun. Hakika c n wa Allah na kwake tutarejea.
Allah ampe kauli thabiti
Sisi sote ni wa Allah na kwake tutarejea
Innaalillaahi wainnaailayhi raajiuun tupoeni kwa msiba Allah atupe subra in shaa Allah awafanyie wepesi waislam wenzetu ndugu zetu wazee wetu watoto wetu na majirani zetu waliotangulia kwakee na sisi tuliobakia atupe husnilkhaattima yaarrabb ndugu zangu lini huu msiba umetokeaa mimi sijasikiaa ndio kwanza nasikia humuu innaalillaahi wainnaailayhi raajiuun
Jamani hii kadari llakini inauma usiombe yakukute mimi yalinikuta donda lake linauma sana lakinikilanikikumbu nashukuru mungu
Innallillah wainna illahi rajiuun mwenyenzimungu amsamehe madhambi yake hapa duniani na kesho akhera hakika umauti huja ghafla na hakika uchungu wa mauti mimi na wewe unayesoma sms hii tutakufa mwenyezi Mungu atujaalie mwisho mwema
Polen wafiwa ila inaskitisha sana kuona watu wanapigwa mapanga ovyo Zanzibar ,askari na viongozi wamo katika siasa tuu na siyo mengine hii ndo hatma yake
Poleni sana familia
Inna lillah wa inna ylayhi rajiun
Inalilah waina llaha raajiun
Mauti ni mawaidha kwa kila kiumbe nasisi tumuombe mungu atujaalie mwisho mwema nahuyo mwenzetu yalomkuta inatakiwa nasisi iwe mawaidha kwetu
Poleni wana familia 😢
Innalillah wainna ilayhi rajiuun
Innalillah wainnailah rajiun
Inalilahi wainalilahi rajuum
Mayusib illah makataba llana huwa hili ndio ALLAH alilomkadiria inataka subra na kumkabidhi Allah haihitaji mapizo ALLAH AKUPENI SUBRA.. UNAWEZA UKAKICHUKIA KITU NA IKIWA KHERI YAKO NA UKAKIPENDA KITU KIKAWA KHERI YAKO ...ALLAH AKUPE SURA NA ampe kaullithabit
Na ukakipenda kitu kikawa SHARI KWAKO
AMIIIIn
Innalillah wainnaillaih raajeoooun!!
Innaalillaahi wainnaailayhi raajiuun Allah ampe qauli thaabbit amsameh makosa yake ampe kitabu chake kwa mkono wakuliaa amuepushe na adhabu za qabri amtilie nuru ndani ya qabri yake ampe makaazi mema jannat firdausil Aalaa iwe ndio makaazi yake yaarrabb na waislam wenzetu waliotangulia kwakee na sisi tuliobakia atupe husnilkhaattima yaarrabb husnilkhaattima yaarrabb 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Tunaomba tumjue huyo aliyefanya jambo hilo na lengo nn
Si nimesikia kachomwa na mchepuko wake au si kwelii
Mchepuko tena??? Ilikuwaje hebu niambie Sabiha!!!
انا لله وان اليه راجعون اللهم غفر له ورحمه وعفي وعفى عنه ووسع مدخله وغسل بماء ثلج والبرد امين
آمين
Dhwalimu mkuu ni Hussein Mwinyi ndie kiongozi wa madhwalimu.
Hapana kinachopatikana kwa dhwalimu isipokuwa ni hasara tu.
Kauli zake na vitendo vyake ni vitu viwili tofauti.
Hahahaaa
@@sabihaibrahim143sabiha hujambo?
@@AliAli-rx6wu alhamdulilah
Ok
Maskini dah rip
Hakika Ss sote ni Wa ALLAH Na kwake ndio marejeo yetu (kwake tutarejea) poleni wafiwa
Kweli sote tutarejea kwa Mola wetu... lakini siyo kwa kufanyiwa uhuni, unyama na ujambazi na watoto wa watu...kwenye Nchi...
Sentensi ya kwanza ni ndefu sana, haieleweki....imekuwa tungo tata.... Alichomwa kisu nchini Afrika kusini,, akafariki wakati anapatiwa matibabu kuokoa maisha yaje, au alikuwa akitibiwa kwa ugonjwa mwingine ndipo akachomwa kisu huko Afrika kusini?.... Au alichomwa kisu Zanzibar akapelekwa Afrka kusini kwa matibabu??..........
Nilisikia hapa Zanzibar akasafirishwaa
@sabihaibrahim143 yeah hapo zanzibar alikua akinanihiiiii!!! Na kuwananiiiihiiii!!!
Ila Bakhressa huwa haendagi kwenye misiba
Amended kwenye misiba akafanye nini??? Yeye anazalisha pesa na kujenga mahoteli makubwaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
Bakhresa mwenyewe ni yupi katika hiyo video?
Alie kunja mikono na amevaa SAA nyeupe
Kwani haunioni hapo nimekaa chini karibu na mzee shombe shombe
@@magallahramadhani8762 shombe shombe ndio nn?
Huyo aliefunga mikono mwenye saa
Huyo mzee said Bakhresa mwenyewe huyo.
@@suleimanmuhammed1347naaaam bakhuresaaa koni!