Maandamano ya kizazi kipya yashuhudiwa jijini Nairobi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 вер 2024
  • Maandamano ya leo ya kupinga mswada wa fedha yalijumuisha vijana ambao walijikusanya katika makundi kwa kutumia mitandao ya kijamii, katika kile kinachoonekana kuwa mabadiliko ya desturi ya maandamano humu nchini. Tofauti na maandamano ya awali yaliyoongozwa na wanasiasa na waandamanaji waliojihami kwa mawe na silaha butu, maandamano hayo yalijumuisha kizazi cha vijana waliojieleza kwa maafisa wa polisi kuhusu haki zao kwa lugha ya kiingereza. Hii hapa taswira ya maandamano ya kizazi kipya.
    Connect with KBC Online;
    Subscribe to our channel: t.ly/86BKN
    Follow us on Twitter: twitter.om/KBC...
    Find us on Facebook: / kbcchannel1tv
    Check our website: www.kbc.co.ke/
    #kbcchannel1 #news #kbclive

КОМЕНТАРІ • 12

  • @leonardnewschannel2965
    @leonardnewschannel2965 3 місяці тому +2

    PEACEFUL DEMONSTRATIONS AND PICKETING ISWITHIN THE LAW.THEREFORE NOBODY SHOULD INTRFERE WITH THAT

  • @erickandrew8524
    @erickandrew8524 3 місяці тому +3

    So proud of the youngones.

  • @a.malgis5871
    @a.malgis5871 3 місяці тому +2

    Gen Z proud of you.

  • @kathywillys1090
    @kathywillys1090 3 місяці тому

    These twin's are my neighbours at kisii

  • @geraldinemuraya2638
    @geraldinemuraya2638 3 місяці тому

    So so so proud of you all beautiful youth.. to imagine this was once me.. a journalist and a human rights activist. Fearless in th fight for justice in this country.

  • @tamaduni
    @tamaduni 3 місяці тому

    Hii ni mchezo ...Azimio inafaa iwaonyeshe jinsi ya kuandamana ....

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 3 місяці тому +1

    Mombasa is silent

  • @BermingtonGWaweru
    @BermingtonGWaweru 3 місяці тому

    We deserve accountability

  • @DANIELMACHARIA-d5y
    @DANIELMACHARIA-d5y 3 місяці тому

    Kuzazi Kipya ni shida tupu,walevi,malaya and lazy people

  • @mustolourien5823
    @mustolourien5823 3 місяці тому +1

    I hope this generation won't be corrupted by tribalism.