TFF NA BODI YA LIGI WATOA TAMKO,KAYOKO APELEKWA KWENYE KAMATI,RAIS TFF WALLACE ME ATOA HUKUMU NZITO
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- kigooco #africa #africa #africa #afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague #africanfootballleague #africanfootballleague #simba #simba #numeroyapastorntambakigooco #kigooco #africa #africa #africa #afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague #africanfootballleague #africanfootballleague #simba #gt #numeroyapastorntambabazi0788554028 #uchambuzi #uchambuz #uchambuzi #sports #sports#afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague ##afrobeat #afrtobeat #news #news #middlesimba #gxy #middlesimbatg #africanfootballleaguebazi07y88554028 #uchambuzi #uchambuzi #uchambuzi #uchambuzi #sports #sports#afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague #africanfootballleague #africanfootballleague #simba #simba #numeroyapastorntambabazi0788554028 #news #numeroyapastorntambabazi0788554028 #uchambuzi #uchambuzi #jdg #utchambuzi #sports #sports #sports #sports #kigooco #middlesi#afcon2025morocco sports #sports #sports #sports #kigooco #kigooco #kigooco #africa #africa #africa #afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague #africanfootballleague #africanfootballleague #simba #simba #numeroyapastorntambakigooco #kigooco #africa #africa #africa #afrobeat #afrobeat #news #news #middlesimba #middlesimba #middlesimba #africanfootballleague #africanfootballleague #africanfootballleague #simba #gt #numeroyapastorntambabazi0788554028 #uchambuzi #uchambuz #uchambuzi #sports #sports#afrobeat #afrobeat #news #g
- Спорт
Jamani jamani acheni utani atakujaumia mtu
Duuuuuh mnazingua sana bodi ya ligi
Matukio yalikuwa ya haraka,kwani alikuwa haoni?Unatetea ujinga na upuuzi?Huyo Kayoko alishafanya makosa mara ngapi na kufungiwa,mbona habadiliki?
Siasa tuu za bongo, hakuna var hapooo
Karia unafurahia kufungwa Simba mana unatetea ujinga wa Kayoko
Kaka uyo bado anabifu lake la uzamini awalio ukataa simba ulaji ulikatika analipiza maisha yake yapo poa sana
Boss kayoko apelekwe mahakamani basi
Maelekezo mbona makosa yalikuwa wazi sana.tutaona kwenye champion league watabebwa?
Na kayoko akitaka kutetea ijinga wa maamuzi yake baada kupokea bahasha utaona anatoa macho kwelikweli ujue kisha pokea bahasha.
Tff unatetea ujinga kamalaisi unashindwa endesha mpila watazania,kwaiyo tunajuawanasimba mmewaandaa yanga wachukue kombe malayanne,kayoko mnampa iliiweje ,tunajua yanga niyaccm Simba hanamlezi, ila nauchanguzi wafanye awo wayanga Simba mtuache nchukue iyo timu yaccm yanga ikapigekula,zakalia jitasimini mpila umeingiliwa nasiasa
Karia league inaharibiwa na marefaa
Ww unateteatu lakini unajua kwann munaalibu mpila
Et matukio yamefsnyika kwa haraka acheni kutupanga
Karia unaposema jambo ni la haraka sana tusimlaumu kayoko unakosea maana yake kayoko hafiti nafasi hiyo ubongo wake wakuona na kufikiri na kutoa maamuzi ni mzito atolewe urefa
Ikooo sikuuu mashabik. Watampigaaa refaaa akuna polish atawazuia huyu kayoko. Ni. Shabik. Wayanga uwezi kinyima Simba penalty mbili z awazi
RAIS KARIA MWANGALIE SANA KAYOKO CY REFA SAHIHI. CJUI AMESOMEA WAPI? MAREFA YA NCHI YETU NDY MAANA HUWA HAWACHUKULIWI KWENYE MICHEZO MIKUBWA SABABU WANAUPENDELEO SANA.
wanakula peas za gsm
Huyu anakubali makosa alafu anasema VR watu siku hizi niwahuni,kayoko apelekwe mahakamani
Muheshimiwa mpira sio solomotion ya sinema kwa maana hio unatetea dhuluma wakati watu wanatoa mamilioni Yao na muda wao na kujinyima mambo Yao mtaharibu mpaka mapato ya vilabu kwa kuegemea kilabu fulani
Tanzania bado sana sisis tukubari hatna uwezo wskununua A.V.R
Wewe mshamba tatizo unakula pea za GSM ipo ck utaachiatu
Hakuna unachoongea refa razima alaumiwe kukosea unaweza kukosea mara moja siyo zaidi ya mara moja Kwa hiyo jibu kitaaram acha siasa tatizo siasa sana bongo ndo maana waamzi wkibongo Hawapo hata caf.kwa kauli yako hakuna unachowaambia wanamichezo
Ilisha fahmika kalia anawatuma malefa ilikuiujumu simba
Nawe lais wampila nchini unatetea ujinga uliojaa vichwani mwawenda wazimu ss WA Tanzania 🇹🇿 hatukuelewi
Matukio ya haraka sawa kwamba unatuambia kibu hakuanguka akagaragara zaidi ya mara4 na kàyoko akawa anamfokea kwamba anadanganya.
Ye mwenye kakubali kuwa makosa yalikuwepo
Karia bodi yaligi na T FF hatuwaelewi Ni vipi mnaruhusu GSM kufadhili timu zaidi ya nane kwenye ligi moja mmechukua bahasha?
Tff mnakula rushwa marefali awajitambui.njomahana hakuna refali anaetoka tz kwenda kuchezesha match ya kimataifa.TFF ninyi lazima mumtetee.ninyi kule rushwa mwisho wenu utafika.zulma munao fanya mtayalipa tu , naserekali waliangalie hili jambo .
Wewe mpuuzi,ninyi ndio mnaaribu Mpira kwa Rushwa zenu za kipuuzi,hachia ngazi mprira umekushinda😮
VR au La tuna macho tunawona kayoko apelekwe mahakamani
V A R baada ya kuibeba yanga sio?
Wewe mzee nae huna macho yale matukio mawili tafuta miwani uvae maana huna macho
Karia unaiharibu ligi yetu yani marefalii wanachezesha mpira kwa kufuata maelekezo yani wanauza mechi za simba
Analipwa na gsm huyo
Mpira umekushinda karia jiuzulu tanzania umeiharibu marefa wanafanya watakavyo hutufai karia
Matukio ya haraka kwani refa alienda kulala pale uwanjani msituletee siasa kwenye mpila
Kwa mara ya kwanza kumwoona karia akiongea sasa kuhusu mechi ya jana kisa simba ameliwa pole yako
😂😂😂unajua nn nacheka huyu kunakitu hakipo sawa kichwan tff sindio walituambia itakuepo asaiv anasema hakuna kwel bongo nyoso 😂😂😂😂
Huyu anaonekana ni fisadi
Kuna siku kayoko atatoka kilema au kazima.he MST change
tunataka atwambie mpaka hivi sasa tanzania ina waamuzi wangapi wenye uwezo wa kuchezesha mechi za michuano ya caf ?
Sema hilo goti au sio? Mbona hunyooshi maneno? Sema zile ni penart au sio? Mbona unatetea ujinga?
Yaani Kama unaongea hivyo kiongozi nihatar saana
Yan nmeleta vr ilikuwatetea malefa vr azfanyikaz na WWE kalia ndio unawatuma malefa waiujumu simba kwa kivuli Cha vr ili uwatetee malefa Tena WWE kalia nimsenge inaonekana ulisha mtomba mama yako ndio maana auna akili
mbona mnaleta interview ya wiki tatu huko???
Mwongeaji wa cilp hii ni mtu Fulani na si kiongozi wa tff
Hivi huyu kama raid anapaswa kutoka majibu mepes kwa kiwango hichi cha marefarii tunashaka name pia
Matukio yalikuwa ya haraka,zile camera zinazofungwa uwanjani kazi yake nini,au waamuzi wasaidizi kazi yao nini? Ipo siku patakuja kutokea machafuko watu wakakimbia nyumba zao ndipo upuuzi kama huo wa kayoko utapokwisha
Et unakosea ukimlaumu refa mbona alifanya kuwa kibu alijirusha apo vp sema tu ulaji aliyoukata babla gonzatenz ndo anarudishia machungu saizi
Anaye aribuuu mpira ni kariaaa
Mpuuuz uyu da yani anakubali kuwa kosa alafu anatetea du mpira kutoka penat mbili du ndomana ananenepa pesa zetu
Rais wa TFF uwe muwazi ninacho kuomba sio lazima VAR bari tualike Marefa wanaojielewa kuchezesha dabi .marefa wa kimataifa sio Hawa unao watetetea kila siku tùkio la haraka mechi ya dabi ilio pita kijili alikitwa ndani ya box na boka siliazi na mechi hii mtu mmoja rafu 4 arafu unatuambia matukio ya haraka😂
Nyote mnahongwa na gsm acheni ujinga.
Unajua huu niuwaji
Kwani. Kenya kuna. V
A. R. Achaaa kupanga marefaaa wabovu refaa zako. Wanaiumiza timuj. Zingine
Kimataifa musemehivyo malefa wasilaumiwe
watu kama ninyi ayati magufuli alikua anawatumbua kwakuwafanyia watu zulma.
Kayoko hatumtaki bwana
Kama habailiki, maoni Yako ni yapi?
Hapo karia anabariki ule upuuzi,kwani refa kazi yake nn,anatakiwa kukimbia kwa kazi ya wachezaji Sasa kwa nn asilaumiwe
Mama atumie zile pesa anazotoa kununua goli anunue var
Bei ya VAR cio jibu , nikutaka kuhamisha mada tu , lawama ni zako wewe kisha ndio Kayoko . Wewe hufai mzee , kozi ngapi kwa mwaka wanapatiwa waamuzi .....?
Hamkulijua hil?
Koyoko uwezo wake wa kuona kufikiri na kutoa maamuzi ni mdogo hafai kuwa refa kwa huo ubongo wake mzito tutakuwa tunamlaumu bure kumbe ni ubongo wake mzito afanye kazi nyingine.
Basi hta yule wa azam na coast wapeleke walivyowabeba .mkibebwa nyie poa tengenezeni timu acheni blabla hamuiwezi yanga akili zenu zilikuwa kwenye mvua
Mbona wachezaji wakiharibu wanaadhibiwa vipi marefa kama akina Kayoko mnawalea vibaya inabidi na wao wapewe kibano makosa yapo wazi halafu unamtetea wewe ndie unaekosea na wenzako huko Tff na Bodi ya ligi na Chama cha waamuzi
Kama kayoko mtamfungia Kwa makosa basi kamati ya bodi ya ligi ifikirie mchezo urudiwe
😂😂😂.mwehu wewe.
karia wewe na kayoko sawa
YANGA WALIKATALIWA GOLI NA WAKATI VAR ILIKUWEPO. WALIPOCHEZA NA MAMELOD. OMBI KM TIMU IKIPEWA GOLI AMBALO CY SAHIHI KWANN LISIWE LINAPOKONYWA?NA KM KUNA TIMU IMENYIMWA GOLI AMBALO NI SAHIHI WAWE WANAPEWA HILO GOLI. HUO NI USHAURI TUU
Karia kumbe we pumbavu ,
Kayoko atufai mboo yak
mna wabeba oto
karia acha ujinga
we huna akili huwezi kuongoza mpila umekalia lushwa sana
KANYOKO atoke hafai kabisa
We mwenyew ujitambui apo asilaumiwe kayoko unataka alaumiwe wewe usitete ujinga viongoz wenyew mnaharibu michezo
Huyu naye heti rais wa mpira yaani matukio yalifanyika kwa haraka sana kayoko asione?Acha kutuletea ujauzito wa mashavu msomali wewe
Wewe fala tuu kwan kayoko alicĥo kifànya huona wewe umesha pewa rushwa ingekuwa costi ungetoa maamuzi wewe si rais wewe ni shamba tuu
HIZO VAR HUWA HAWATUMII WAAMUZI.BADALA YA MWAMUZI AENDE AKAANGALIE YEYE ANABAKI KUPIGA CM KUULIZA KWANN ASIENDE KUANGALIA?MAGOLI YANAKATALIWA WAKATI VAR IPO.
Unakosea wewe uliemtuma aaribu mpira ila mwisho upo
Kenge mama yako
We karia na wewe ni utopwax? Mbona unatetea ujinga alioutenda kayoko mbele ya simba?
Ujinga tu Sasa wewe mzeee na uzee wako unatetea ujinga umebakiza nini kwenyemaisha kikufanye ukose pepo uzeeni
Tapeli wewe
kama oto ndeo wangefungwa mngekataa bao wajinga wakubwa sana
Bado hamjasema mpaka mseme kenge nyie Simba sisi yanga tupo bega kwa bega safari hii mtapata taabu sana
Amina cheupe mbona unanifulahisha
Wamuzi wenu wabovu
Kinge mama yako kuma wee katombwee uko munashinda kwa kukubebwe marafa wewe na GSM wenu nae choko tu
Boss kayoko apelekwe mahakamani basi