Kanisa la Kilutheri Afrika Mashariki kuzindua Dayosisi Mbeya Julai 17,2022: Mwambola

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 60

  • @benardmwakisunga7464
    @benardmwakisunga7464 2 роки тому +1

    Hongereni sana Mchg. Mwambola, nimependa huo mwelekeo wa kua na watumishi wachache na sadaka isadie kazi ya kulea wana wa Mungu, wajane na yatima. Kazi hiyo imeachwa na makanisa mengi kwa muda mrefu. Mwenyezi Mungu awabariki sana na muendelee na mtazamo huo,

  • @piussimtala5111
    @piussimtala5111 2 роки тому +2

    Hilo tatizo ,ila msichanganye siasa na Imani!! Ikiwa ni kazi ya Mungu mtaendelea.

  • @atuganilengomba7121
    @atuganilengomba7121 2 роки тому

    Baba mwambola fanya kaziyako uliyo itiwa baba mungu akusaidie

  • @williamhalinga3584
    @williamhalinga3584 2 роки тому +1

    Ndg yangu Mwambora pole sana umenikumbusha mbali sana

  • @afwililenisaidie9597
    @afwililenisaidie9597 2 роки тому

    Mbona sisi wakristo tulala je mungu ameweka roho mbili au

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 2 роки тому +1

    Mtafuteni MUNGU NYINYI NA WAUMINI WENU MAANA YESU mhukumu was YOTE anakuja

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 роки тому +3

    Hata nimehamasika kufungua tawi la KKAM. Tupo kama 10,tumejipanga 1/10 tutoe KKAM kuanzia July 2022. Pia sehemu ya mali zetu kama ardhi,mifugo na mazao tujitolee ili kuanzisha KKAM.

  • @homeland4447
    @homeland4447 2 роки тому +2

    Ikiwa Mnayo ongea Ni ya kweli, Mungu Akubariki Sana. Lakini Kama mlikua mnang'ang'ania kwa ajili ya madaraka na sadaka bas Mungu atende kazi yake, ikiwa mna uhakika kwamba mliyokua mnayafanya KKKT ni busara Mungu awabarki Sana, lkn Kama ilikua Ni kwa ajili ya maslah yenu. Mungu afanye kaz take🙏🙏

  • @mozesamizi931
    @mozesamizi931 2 роки тому

    Cha msingi msisahau Mungu ni mkali!

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042 2 роки тому +1

    Kikubwa mjitahidi kutoshikamana na vitu kuliko Mungu

  • @fidelismwakanyamale6787
    @fidelismwakanyamale6787 2 роки тому +1

    Injili hii itahubiliwa kwa namna yoyoteile, mpaka Yesu kiristo atakapo rudi

  • @mwaikalishukrani4752
    @mwaikalishukrani4752 2 роки тому

    Mungu awabariki Sana

  • @badenbensoni7516
    @badenbensoni7516 2 роки тому +1

    Watu wa mungu wanaangamia kwa kukosa maarifa

  • @geraldkishenyi5786
    @geraldkishenyi5786 2 роки тому

    Jamani kkkt naona linaelekea kualibika maana wamejikita sana kwenye siasa

  • @fabbyjames5525
    @fabbyjames5525 2 роки тому

    Uko vizuri sana Mchungaji ... wao waendelee kusali na Askari na Askofu wao wa mchongo hahahhaha

  • @rabielfadhili994
    @rabielfadhili994 2 роки тому

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa....yote hii ni kujitafutia ulaji..."mkiyaona haya tambueni mwana wa adam yu karibu kuja"

    • @leahestony2723
      @leahestony2723 2 роки тому

      Utakufa na kijiba cha roho, mungu ameamua nani apinge

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 2 роки тому +2

    Ulichokuwa unakitaka umekipata acha maneno!

  • @kingmageuzi7488
    @kingmageuzi7488 2 роки тому

    MUNGU awabariki sana

  • @joshuamatagane1318
    @joshuamatagane1318 2 роки тому +1

    VYOVYOTE IWAVYO, INJILI IENDELEE MBELE..

  • @herodejivava8994
    @herodejivava8994 2 роки тому

    Sizitaki Mbichi hizi mwee😄

    • @jontolimwambola2102
      @jontolimwambola2102 2 роки тому

      Kuna watu wa kuwaelezwa sio jivava balaa lake si unalijua lkn utaonaa kaziiii itavo pigaa kelele😆😆ww hata sio wa kubishana na ww mana unaelewaaaa kindaki ndakiii yani kimoyo moyooo unajiaaaaa kaziiii itayo kuja apooo 😆😆😆yaniii unaelewaaaaaa sanaaaaa kwahio tuliaaa baba 😆

  • @charitymbumi3145
    @charitymbumi3145 2 роки тому

    Sasa si umhubiri Yesu lazima uguse upande wa pili ili story yako ikamilike? Hubiri injili acha kushindana

    • @leahestony2723
      @leahestony2723 2 роки тому

      Mnaumia na huku kweli mmelaaniwa nyie, mlifikiri wako peke yao

    • @lucymwaigomole1116
      @lucymwaigomole1116 2 роки тому

      @@leahestony2723 walijua tutawaacha kumbe mategemeo yao yamegonga mwamba

  • @zeblufingo8361
    @zeblufingo8361 2 роки тому +3

    Usipo mjua utadhani anasema ukweli 😂😂😂🤣

  • @zeblufingo8361
    @zeblufingo8361 2 роки тому +1

    Hapo anataka kusema alikopa basi la Kesha nami

  • @marymartin4813
    @marymartin4813 2 роки тому

    Maneno ya mkosaji hayo.

  • @amonidafa9665
    @amonidafa9665 2 роки тому

    Acheni janjajanja

  • @jeshimbilinyi5017
    @jeshimbilinyi5017 2 роки тому

    Manacho shindwa kujifinza ni hiki martin luther alipoondoka jiondoa kutoka katoloki mpaka leo haijafa kwa hiyo nanyi kkkt haitakufa ila ninyi ndio mtapoteana mda si mrefu

  • @winfridasanga9438
    @winfridasanga9438 2 роки тому

    Haaaaa

  • @zefaniaidafa1434
    @zefaniaidafa1434 2 роки тому

    Safi

  • @florianmwaibabile2541
    @florianmwaibabile2541 2 роки тому +1

    Kumwanya kutali mujomba!! ikisyesye Kya kyalindile Jutta

  • @omarinyahegs4539
    @omarinyahegs4539 2 роки тому +2

    Huyo jamaa kwa uongo kiboko.

    • @chancemgaya8705
      @chancemgaya8705 2 роки тому +2

      Nafuu ya Mwambola unayemwita Mwongo kuliko hao waliotumia hati ya Chuo Cha Uyole kukopa hela Crdb Bilioni Mbili na kuweka mfukoni ngojeni michango ya kulipa deni au kuuzwa Mali za Kanisa ndio hao mnawaita maaskofu

    • @florianmwaibabile2541
      @florianmwaibabile2541 2 роки тому

      🤣🤣🤣🤣🤣

  • @davisshao9158
    @davisshao9158 2 роки тому +1

    Hamna kitu hapo

  • @afwililenisaidie9597
    @afwililenisaidie9597 2 роки тому

    Wapendwa sijui kama kweli mnakuja na mapanga halafu mnatangaza aman jaman wachungaji kumbuken siku yamwisho mtatoa majibu

  • @ericmwankenja2050
    @ericmwankenja2050 2 роки тому +1

    Maneno yamkosaji

  • @tumainimwakyaka2775
    @tumainimwakyaka2775 2 роки тому

    Sasa kwann usingeanzisha la jina lako wkt mwenzio Martin Luther alianzisha la iman kutoka kwa MUNGU c kuchafua KKKT ww Mwaikali shida n nn

  • @otianasanga9106
    @otianasanga9106 2 роки тому +1

    Nenda kafungue kanisa Hadi mbinguni wewe nenda tu

  • @yudathadecostantine926
    @yudathadecostantine926 2 роки тому

    Kwa hiyo ulikuwa kwenye kampuni.

  • @foundationforcommunityhope7327
    @foundationforcommunityhope7327 2 роки тому

    Amani ndio Kila kitu hapa dunia hii...muwe na Amani

  • @tumainimwakyaka2775
    @tumainimwakyaka2775 2 роки тому

    Hakuna kanisa la kkam ila lipo kanisa la KKKT jaman Mwaikali MUNGU anakuona mrudien MUNGU nyie Mwaikali umelitenganisha kanisa mbona haijawah kutokea KKKT kuvunjika?

  • @ngusekisu6746
    @ngusekisu6746 2 роки тому +2

    Maneno ya kushindwa hayo majungu hayo sema neno usihusishe wengine unapokuwa madhabahuni

  • @obadiamwakisu9789
    @obadiamwakisu9789 2 роки тому

    Hahahaaaaaa pooooole sana ila saizi unaijua kweli eeee pale mwanzo ulikuwa huelewi weeejamaa

  • @fabbyjames5525
    @fabbyjames5525 2 роки тому

    Saizi wanadaiwa milioni mia walizokopa kumsimika askofu wa mchongo bado zile billion 4.7 za kujengea chuo nyieee nyieeeeee hahahah Mwaikali namshukuru kwa msimamo hakutaka kusaini upuuzi ..... ukweli wako ndio ulifanya baadhi ya wanufaika wakuone mbaya kumbe ulikuwa unataka haki ... ndio maana walikataa kusuluhisha walijua utawaumbua hahhahaha

  • @clauddanford5864
    @clauddanford5864 2 роки тому

    Hamna kitu hapo