TAZAMA KIJANA ABUNI APP YA KUPUNGUZA MATUMIZI YA UMEME, INATUMIA KADI KUWASHA UMEME NYUMBANI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 69

  • @abdulmajaliwa6376
    @abdulmajaliwa6376 2 роки тому +5

    Genius..... Uyu na wengine wapewe kipaumbele... Nchi yetu na mfumo wetu wa elimu unapoteza vipawa Kama hivi

  • @abdulazizsharif2984
    @abdulazizsharif2984 2 роки тому +11

    Kumbe bado kazindua nyingine hapo awali na bado anaishi maisha duni 😔 watu kama hawa wanahitaji wapewe kipaumbele kwa maendeleo ya Taifa ...

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 2 роки тому +3

    Tena hiyo ya gesi hiyo safi sana haya inapotokea ajali unaweza kuzima gesi hata ukiwa mbali kwa hatari ya kuungua

  • @asrymohd6690
    @asrymohd6690 2 роки тому +4

    Mashaaallaaaah elimuyko ni muhimu Sana kwetuuu

  • @gilbertmathias7594
    @gilbertmathias7594 2 роки тому +12

    Tunaomba watuka kama hawa kiundwe kikosi kazi ambacho kitakuwa chini ya JWTZ na TIS. Ni maoni yangu. Nchi yetu itasonga mbele . Tusiangalie sasa tujipange yajayo miaka 20

  • @gilbertmathias7594
    @gilbertmathias7594 2 роки тому +9

    Tunaomba serikali watu wa namna hii iwakusanye kwa pamoja wawezeshwe watafanya mambo makubwa . Ndo wanasayansi wetu naipenda Tanzania na Afrika

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 2 роки тому +6

    Vipaji tunavyo shida IPO kwenye kuendelezwa kitaaluma na jinsi ya kupewa connection na makampuni makubwa ili kupata mikataba minono 🙏🙏

  • @Michoarbah
    @Michoarbah 2 роки тому +1

    we nomaa..

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 2 роки тому +3

    Tunaomba Serikari imtambue rasmi ili kutambulika kitaifa na kimataifa kwa faida ya Tanzania yetu pendwa

  • @blackwarrior-animations593
    @blackwarrior-animations593 2 роки тому +3

    Geniuses are Born in TANZANIA

  • @kibatikombo713
    @kibatikombo713 2 роки тому +2

    Kazi nzuri kijana hongera sana

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 2 роки тому +4

    Hapo Kwa haraka haraka Kuna APP zaidi ya moja ukipata msimamizi mzuri utapiga mpunga mkubwa sana ,hiyo ya gas's peke yake ni app inayojitegemea nk.

  • @thatboywithakeyboard9292
    @thatboywithakeyboard9292 2 роки тому +9

    So sad seeing this Brain 🧠👽 is underrated.

  • @samsonmsetti1949
    @samsonmsetti1949 2 роки тому +1

    Soon mta mskia yuko america make nabii hakubariki home

  • @EngSALAHOT23
    @EngSALAHOT23 2 роки тому +1

    Hongera Sana.

  • @brunompolle1404
    @brunompolle1404 2 роки тому +4

    Kijana wa ukweli tunahitaji huyo asapotiwe zaidi niombee Ayo mfikishe huyu kijana aende kwa viongozi wajuu

  • @nelsonjonathan7660
    @nelsonjonathan7660 2 роки тому +3

    Yule dogo wa kigoma aliyetegeneza radio station waunganishe na huyu wapewe nguvu na serikali iwatumie kukuza walichonacho ktk akili zao kama nchi tunahitaji watu kama hawa watasaidia kwa namna moja au nyungine sio lazima tuwategemee watu wa mataifa mengine kutufanyia kila kitu

  • @zainabohus4903
    @zainabohus4903 2 роки тому +2

    Kazi nzuri kaka

  • @jamhuri_imala3976
    @jamhuri_imala3976 2 роки тому

    Duud big up brother 👏👏 unauwezo mkubwa

  • @Zahrazahra-ue7bp
    @Zahrazahra-ue7bp 2 роки тому +1

    Manshaallah

  • @cmantz8837
    @cmantz8837 2 роки тому

    Nakushauri mtafute zuberi was kigoma mshilikiane katika kazi zenu za ubunifu mtasonga

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 2 роки тому

    Whaaaaaatttttt wow

  • @hagarbills4023
    @hagarbills4023 2 роки тому

    Mansha'Allah Mungu akuzindishie amiiin

  • @suddytele3692
    @suddytele3692 2 роки тому +2

    Auwezi kuwafungia vifaa vya kuchangamka awa waandika sensa maana duuu akuna kitu

  • @sansmarttv
    @sansmarttv 2 роки тому +1

    Sio mpya watu wameshafanya kitambo hapa hapa bongo na bado maskini

  • @Laravel_Africa
    @Laravel_Africa 2 роки тому

    keep it up bro

  • @shabanimfinanga7540
    @shabanimfinanga7540 2 роки тому +1

    Vivaviva tanzania

  • @josephsimbili4344
    @josephsimbili4344 2 роки тому +1

    Daa!! Saf sana

  • @conganyoyo3195
    @conganyoyo3195 2 роки тому +3

    Jamaa anakipaj kikubwa sana,serikal imwone Kama m2 wapekee na kumsaidia

  • @claudematemu185
    @claudematemu185 2 роки тому +1

    Saafi kaka

  • @shabanimfinanga7540
    @shabanimfinanga7540 2 роки тому +3

    Watu kama hawa ndo serikali iwachukue waje watusaidie kweny mamb ya technology lakin chaajabu serikali yetu inawachukulia poah tujifunze kwa wenzetu urusi na marekan watu kama hawa huchukuliwa na kutumika na vyombo vya usalama ata jeshi kulisaidia kweny vit mbali mbali sasa jesh la zimamot mchkue kijan huyu tuachen umimi tuikuze tanzania yetu

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 роки тому +1

    Tayari ni mwalimu ameshasoma ila Tanzania yangu hii utaskia kapelekwa chuo kuongeza ujuzi😁 badala wampe mtaji wamwezeshe atoe elimu kwa wengine afungue darasa lake

    • @yolenimocheng8745
      @yolenimocheng8745 2 роки тому

      Huyu tayr ni prof. Anatakiwa akafundishe elimu ya juu sio kufundishwa ten

    • @Maconcepty
      @Maconcepty 2 роки тому

      Co kufundisha tu aanze kuzarisha tuuze ndan ya inch na nje ya inch pia nasisi twende na kas ya dunia🙋

  • @kassebo
    @kassebo 2 роки тому +1

    Ingekuwa nchi zingine angekuwa kasha ajiliwa. Kwenye makampuni makubwa.

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 2 роки тому +1

    Mimi nahitaji utaalam huo sh ngapi itagarim

  • @Mwika12
    @Mwika12 2 роки тому +1

    JWTZ 👂🧠

  • @newagecommunications7258
    @newagecommunications7258 2 роки тому

    All the best, natumaini serikali itakuona utufaidishe raia wengi

  • @michaelipius2660
    @michaelipius2660 2 роки тому +1

    🙏🔥🔥🔥🔥

  • @albusaidi5132
    @albusaidi5132 2 роки тому +1

    Je nikipoteza izo kad au kutibiwa sm je aetaokota au alieba sm awez kufungua

  • @maprosokelly2986
    @maprosokelly2986 2 роки тому +1

    Angekwepo JPM duh?? chap angekuita mambo kama haya aliyapenda san ? pamoja San kwasasa sijuw pongez kwako ubunifu mzur san

  • @omarizuberi2300
    @omarizuberi2300 2 роки тому +1

    Je cct inaweza pia ?

  • @salehjuma5242
    @salehjuma5242 2 роки тому +2

    Dah hatar na nusu

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 2 роки тому +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿kuna vipajo

  • @peteralfred7006
    @peteralfred7006 2 роки тому +2

    Jamaa anachokifanya kinaitwa Internet of Things (IoT)

  • @yolenimocheng8745
    @yolenimocheng8745 2 роки тому

    Wazo langu waanze mashule

  • @djtiffa9664
    @djtiffa9664 2 роки тому +1

    ua-cam.com/video/zX90G-l2LEk/v-deo.html
    DAWA YA KUPANDISHWA CHEO..*#
    ua-cam.com/video/zX90G-l2LEk/v-deo.html

  • @josephswai2374
    @josephswai2374 2 роки тому

    Apo kwenye maji tu

  • @hamisiprinsi5240
    @hamisiprinsi5240 2 роки тому +2

    Naam bro app inaitwaje?

  • @tnuhappy5497
    @tnuhappy5497 2 роки тому +2

    Kwahiyo asaidiwe ili watu wasitumie umeme mwingi au? Tunataka umeme usitumike mwingi ili TANESCO wakose mapato? HUYU HASAIDIWI NG'O...

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 2 роки тому

      🤣🤣🤣🤣🤣kapigwa na kitu kizito au unasemaje

    • @Prishnakdrama
      @Prishnakdrama 2 роки тому

      mchawi wewe

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 2 роки тому +2

    Tengeneza ya kuweka luku bila kulipia😆🤣🤣

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes 2 роки тому

    Mungu amwinue uyu jamaa lakin serikali lazima itoe kipaumbire kwa wabunifu kuwe na mfuko maarumu ili Taifa lisonge mbere.

  • @yolenimocheng8745
    @yolenimocheng8745 2 роки тому

    Wizara ya Elimu sayansi na teknolojia iv kaz kazi yake ni nn jamani naomba nijuzwe tafadhal

  • @schosay_
    @schosay_ 2 роки тому

    Huyu apatikane mfadhili apelekwe masomo ya IT ili kipaji kitumike ipasavyo

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 роки тому

    .mh

  • @japhethbaalinda1756
    @japhethbaalinda1756 2 роки тому

    Serikali ya Tanzania inajua kunyonya raia tu

  • @raykul7509
    @raykul7509 2 роки тому

    IoT hyoo

  • @jumannempweza568
    @jumannempweza568 2 роки тому

    Instagram account?

  • @djtiffa9664
    @djtiffa9664 2 роки тому +1

    ua-cam.com/video/zX90G-l2LEk/v-deo.html
    DAWA YA KUPANDISHWA CHEO..*#
    ua-cam.com/video/zX90G-l2LEk/v-deo.html

    • @charlesmgina8180
      @charlesmgina8180 2 роки тому

      🚒🚒🚒🚒🚒😁😁😁😘😁😁😁