Kipindi ni kizuri. Napenda sana kipindi chako salama na pia nampenda salama. Ila Kitu kimoja kinanikera. Hayo mawazo yanayoandikwa apo Kwa ubao sisi watazamaji hatuyaoni. Sasa sijui ni Kwa sababu gani mshika kamera hatuonyeshi. Ningeomba baada ya kuandika mwandikaji ayasome halafu salama uyarudie au ayapitie Kwa kuyasoma. Mshika kamera ayaonyeshe Kwa ukaribu.zaidi . Kama inakua ngumu ni bora uo ubao usiwepo Kama awali. Kwa sababu itakua hauna maana kuweopo hapo. Ahsante.
kiswahili sio lugha ya waswahili.. ilianza kutumika mwaka 1790 na wakulima zanzibar wenye asili ya kiarabu na kiburushi. Mababu zako waliongea kilugha.. sio kiswahili.. ambacho kilifanywa lugha ya taifa mwaka 61
SALAMA WAAMBIE WAGENI WAKO WAONGEE KISWAHILI...... herufi kubwa kuonyesha msisitizo.
Kipindi ni kizuri. Napenda sana kipindi chako salama na pia nampenda salama. Ila Kitu kimoja kinanikera. Hayo mawazo yanayoandikwa apo Kwa ubao sisi watazamaji hatuyaoni. Sasa sijui ni Kwa sababu gani mshika kamera hatuonyeshi. Ningeomba baada ya kuandika mwandikaji ayasome halafu salama uyarudie au ayapitie Kwa kuyasoma. Mshika kamera ayaonyeshe Kwa ukaribu.zaidi . Kama inakua ngumu ni bora uo ubao usiwepo Kama awali. Kwa sababu itakua hauna maana kuweopo hapo. Ahsante.
Your so smart lady
I like so much this program's
uko vizur sana mrembo, kwa maelezo yako ya maendeleo ya nchi.
once again i love you briggie
napenda kumuona dada salama kila wakati ur my idol
Smart girl❤❤
Wanazingua na Lugha za Wema Sepetu Kiswanglish kinachosha kwanini wasinyooshe maelezo kwa lugha mojaaa jamaaniiiiiiiiiiiiiiiiii
I Love Brigitee
Nice xo qute
Ana mapozi sana huyu demu.
amaizin good girl
😂😂😂😂 Salama eti kisex
My baby sis Bri ♥
whaooo
KISWAHILI KITUMIKE kwani tunashindwa kuelewa baadhi ya mambo ya msingi ,sio wote tunajua kiingereza
show ilikuwa poa xn
jamani plz ongeeniii kiswahiliiii kwani nyie wazungu au mnajishauaa
kiswahili sio lugha ya waswahili.. ilianza kutumika mwaka 1790 na wakulima zanzibar wenye asili ya kiarabu na kiburushi. Mababu zako waliongea kilugha.. sio kiswahili.. ambacho kilifanywa lugha ya taifa mwaka 61
ndoroboooo wewe kiswahili ujui au dharau?
hahahahaaa umenchekesha sanaaa
@ 21 i wasn't that well put together.
unakera nyoko ww kuongea hayo makingereza uliposomeshwa ww wafikiri wote tumeenda shule
hefemi
hefemi