@@maulidi8479we mshenz watun wanaongea na muislam mwenzazo na mtu wa mji wao huyo kapotoka kwaiyo wanamuusia kwakua ni muislam nyamaza kimya ikiwa si mila yenu
Anaesema kuna sanaa na maisha halisi napenda kuwakumbusha kuwa kwa Allah hakuna tofauti baina ya sanaa na maisha halisi, ukifanya dhambi ni dhambi tu. Maana mnataka kutuaminisha kuwa hata wacheza filamu za ngono pia wapo kazini tu sio maisha yao yale. In short Huyu anadhalilisha wazanzibar, hayo siyo maadili yetu.
Mwanamke baleeg .haifai kumshika mwanaume. Hizii sanaa .kwa zanzibar ni marufuku. Ujuwe mwanaume anavichwa 2 kichwa cha chini kikisimama basi cha juu hakifanyi kazi
@@nassyzznassyzz7111 huku sio kudharau nikutoka katika heshima akiwa yeye ni binti wa kiislamu...Kuigiza sio tatizo wala sijadharau kazi ya kuigiza ila nilicho sema ni huo upambavu wa kuvaa uchi na kushikana na wanaume kama sio binti Muislamu. Hivi kama ni wewe binti yako unaridhika kufanya yale matendo mbele ya kamera...? Na kama utakuwa unaridhika basi jitambue una virusi vya udayuthi.
Huyu hawezi kurudi Zanzibar hadi atakapo pata pigo lamaisha ndio atamtambuwa Mungu na Atarudi kwawazazi,Mtoto kama mwanakharam anadhalilisha Wazanzibar na Waislam wote kwa Ujumla Wallah anakera kabisa
Acheni ubinafsi naona hpa wanao comment n wazanzibar tu muacheni mtoto atafute rizki yake ttzo kubwa n kua anafanya hizi move na watu weus angekua anafanya na waarabu msingesema tulizeni matako
COMMENTS ZA WATU KHAA si kila mtu aseme na roho yake na tabia zake mnamwandama huyu dada na bado vijana wengi wa kizanzibar wapo wanaovaa vizuri na kujisitiri lakini tabia chafu kupitiliza 😢😢😢
SIJAONA UBAYA WA HUYO DADA MNAEMWAMBIA HANA MAADILI KAJISTIRI MWANZO MWISHO LBD KWA NN CHOYO KINAWASUMBUA ILA USANII KAZI NA ZNZ WASANII WAPO KINA BI NJIWA NA WENGINEO SASA KWA NN MNAKEREKWA NA HUYO BINT AU MNAONA KAJA KUWAFUNIKA
Wallahi huyu hatoboi ata adhikiri uchi kinachomfata huyu sasa ni laana ya Allah huyu ataka awe kahaba wa kimataifa ila atajuta tena atajuta ata huna haya nyoooo
Km ww ulivyoziniwa ,muislam mzima Una mjudge mwenzako usikute huyu ataenda peponi ww utakuwa unazagaa ,mshaambiwa msihukumu mwenye Hilo jukumu ni Allah(s.w) pekee
Nimecheka kama mazur ati nyanyu kwato zako😂😂😂😂
Kazi nzuri sana mtanga Safi ni Rubani kutoka Kenya
Sasa na nyie hayo mapenzi mpska pawe na wageni😂😂😂😂😂 ningekuwa mm ningewatia ngumi😂😂😂😂
Namuomba Allah haitham akuongoe
Wewe mwanamke rudi kwa wazazi wako uombe msamaha vyenginevyo utapata tabu duniani na akhera itakua hasara kwako
Mhhh Mwenyezimungu akutuo hapo Haitham 😢😢😢.Mmhh umepotea kabisa
Hahaha anataka kuja kuowa muscati😂😂😂😂😂😂😂😂
Haitham MashAllah unajuwa my sister👏👏👏
Anajuwa nn kazi kufanya dhambi tu
Mtanga 😅😅😅 big up
Dada yetu acha haya mambo hata wazazi wko hawafurahishwi na haya unajidhalilisha wallahi
We ujielewi hapo yupo kazini acha wivu mtoto wa kiume
@@maulidi8479we mshenz watun wanaongea na muislam mwenzazo na mtu wa mji wao huyo kapotoka kwaiyo wanamuusia kwakua ni muislam nyamaza kimya ikiwa si mila yenu
Wewe na mbuzi huna tofauti
@kilelamniko9678 wewe kama nani nguruwe au
Mtanga bingwa wa ucheshi bongo heko 💕 kazi nzuri ❤
Mapacha hamna baya🇰🇪💯🔥
Et bambo kaoa MUSOMA aaaah acha kimrambe 😂😂😂😂
Anaesema kuna sanaa na maisha halisi napenda kuwakumbusha kuwa kwa Allah hakuna tofauti baina ya sanaa na maisha halisi, ukifanya dhambi ni dhambi tu. Maana mnataka kutuaminisha kuwa hata wacheza filamu za ngono pia wapo kazini tu sio maisha yao yale. In short Huyu anadhalilisha wazanzibar, hayo siyo maadili yetu.
Mambo mengine sio fani yetu mpaka jagi lanashangaa linanaanza kumkataa tuseme hujaona ndugu yangu rudi kwa Allah kipenzi
Mzanzibari gani anaetutia aibu,kwa vijisenti
Anaigiza tu anatafta hela kwetu bara znzb amekosa fursa
😂😂😂 hii kiboko mapenzi hayo mi naungana na mkuria kila mtu afanye kwa mikono yake
Umesha laaniwa ww haitham.
😂😂😂😂 ila bamboo
Uyu Dada kapotea poteee
Mwanamke baleeg .haifai kumshika mwanaume. Hizii sanaa .kwa zanzibar ni marufuku. Ujuwe mwanaume anavichwa 2 kichwa cha chini kikisimama basi cha juu hakifanyi kazi
😂
😂
Mgunya huyo sio mzanzibari
😂hhhhhhhhhhhhhh eti tiktak
Bamboo wasema acha tubaki na mateso😂😅😅😂😅😂
Me unaniburuzo🤣
Huyu binti haithamu hana wazee au hana kaka au hana maami au hana wajomba au au au... mpaka akafanya upumbavu huu?!!!
umeongea point sana,namimi nimewaza hivohivo
Usizalau kazi zawatu
@@nassyzznassyzz7111 huku sio kudharau nikutoka katika heshima akiwa yeye ni binti wa kiislamu...Kuigiza sio tatizo wala sijadharau kazi ya kuigiza ila nilicho sema ni huo upambavu wa kuvaa uchi na kushikana na wanaume kama sio binti Muislamu.
Hivi kama ni wewe binti yako unaridhika kufanya yale matendo mbele ya kamera...? Na kama utakuwa unaridhika basi jitambue una virusi vya udayuthi.
Ila mambo ya afande na zinde ndio mazuri hapo kosa la binti ni lipi? Hiyo dini mmeleta nyie ?
Bhn mnazingua sio kweli wakurya wote ni wakatili wengine tumeelimika bhn
Cna comment ngoja nipite zangu shwaaaaaaa ila binadamu cc 😅😅😅mtanga atamfanya nn sasa hytham c kama mjukuu wake tuu😅😅😅
Pwani love VS baralove
😂😂😂😂❤
Dem watanga hawa jamaa zao sio mzanzibar mzawa huyu
Choko tu huyu dada anatafta umarufu atazinduliwa
Acheni wivu kuna sanaa na kufanya uhuni hiyo ni sanaa angekuwa ngozi nyeusi mnge sifia komedi komedi ina maudhui mazuri sana
wazanzibar wanajikuta keki sana😂😂😂
Huyu hawezi kurudi Zanzibar hadi atakapo pata pigo lamaisha ndio atamtambuwa Mungu na Atarudi kwawazazi,Mtoto kama mwanakharam anadhalilisha Wazanzibar na Waislam wote kwa Ujumla Wallah anakera kabisa
Msimuhukum HAYTHAM jamani haifai hakuna baya lolote tunampenda from uk 🇬🇧 tumuschie Allah hakuna anaejuwa kesho yake
Wee dada huo ulimbukeni simuda wakumkata mume kucha
Jiheshimu bx walau ungecheja film kwenu zenye maaadili zipo nyingi tu
Kwenda zako wahuni wakubwa nyie
@@nanalinda-nx2xm Weee fala usitafute maneno yalotulia kenge ww
Bambo unaona wivuuuuu
Kamutango😂
Wazanxibar nao hawana hixo tabia hixo zipo Tng...
Mapenzi yamezaliwa zanzibar uupo!! mahabba yanatokea zanzibar huko tanga waliiga tu
@@nahlahassan-fd6le nigaiye namba yako
Mzanbar mwanmke haongei kama ivo wazanbar wakuja hao kutoka mikoan tanga uko ndojama zaaao
Mbona watu mnamletea nongwa dada wa kizanzibar.? Kwani Kuigiza ni dhambi? kama ni dhambi imeandikwa wapi? Na kwa nini mnaangalia ? Acheni ujinga.
Good job
Unajua kunawati wanakometi ujinga huu mchezo wa maigizo nyinyi mnaleta makasiliko
Hiyiiii kwel africa kumbe kuna hizii stly
Wewe sio mzanzibar wewe ni mshenzi kama washenzi wengine.
😅😅😅
🤣🤣🤣🤣
Mbn mmekomaa na mzanzibar uyo wa musoma amsemi???
Jagi la maji linamshinda, huyo si mtambo wa fangasi
Tabia mbaya kushikaana mikono na wanaume aibuu hii
Wee haytham umekosa kazi ya kufanya au unajitangaza
Unamfahamu?
Mbona sauti ni ndogo?
Nipeni huyo mtoto Jotara ni msitiri asizuzuke na mitandaon hakuna anachopata kitu nipe namba yk ya simu
Mzanzibari gani huyo hajui hata kukaribisha wageni, inawezekana Mzanzibari lakini hana sifa za kizanzibari mgeni haulizwi tukuletee kinywaji gani unaleta akatae kukitumia
😂😂kwni mnajuwa kukaribisa
Duu 😅 had comedy watu mpo serious
@@saburibwalu1654😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂@@saburibwalu1654
Ni kweli, Zanzibar mgeni haulizwi tukuletee, hua analetewa tu, ni yeye tu kutumia au kuacha
😂😂😂
Mtanga ana raha
Ayo nimafundisho kwa manufaa ya wanawake wa kibabe
Afu wewe Bomba acha tamaa, shukuru mtambo ulonao, ya nini kutamani vya wenzio? Usiache vya mbachao kwa msara upitaow
Huo ni usungo
Acheni ubinafsi naona hpa wanao comment n wazanzibar tu muacheni mtoto atafute rizki yake ttzo kubwa n kua anafanya hizi move na watu weus angekua anafanya na waarabu msingesema tulizeni matako
Naahidi nitaoa zenji
COMMENTS ZA WATU KHAA si kila mtu aseme na roho yake na tabia zake mnamwandama huyu dada na bado vijana wengi wa kizanzibar wapo wanaovaa vizuri na kujisitiri lakini tabia chafu kupitiliza 😢😢😢
Nilichogunduwa wazanzibar wana roho mbaya sijapata kuona loh
Punda wewe wazanzibar wana roho mbaya kila kitu mnapata bure znz bila ya kusimbuliwa hamna shukurani nyinyi watwana
Saaana wana roho ya choyo wabinafsi kupitiliza ,yaani sijapata kuona
Wanao coment ushenzi na wao waseme kazi zao kama hatujakimbiana humu
SIJAONA UBAYA WA HUYO DADA MNAEMWAMBIA HANA MAADILI KAJISTIRI MWANZO MWISHO LBD KWA NN CHOYO KINAWASUMBUA ILA USANII KAZI NA ZNZ WASANII WAPO KINA BI NJIWA NA WENGINEO SASA KWA NN MNAKEREKWA NA HUYO BINT AU MNAONA KAJA KUWAFUNIKA
NI KWELI MWANZO WALIKUWA WANADEMA HAJISTIRI SAIVI WANASEMA HANA MAADILI YAANI WANACHUKI WAZANZIBAR SIJAWAI KUONA
Poor quality sound
Rudi kwa Wazazi upate Radhi zao....
Mpeni nasaha huyo bint atakuja kuishi maisha ya dhiki sna ktk dunia hii 😢
Mwanakulitafuta ......
@@z34-kp9qq mwanakulipata
Acheni kuchukulia vitu serious sana jmn daah😂😂
@@hassanovajunior6972kabisaaaa yaani wanaboa hawa wazanzibar
Ni upumbavu wa hali ya juu sana wanakuja wageni unaanza kumkata kucha na kumvua vyatu ndo nini? Ni zalau sana. Wahudumie wageni kwanza acha ujinga
Wallahi huyu hatoboi ata adhikiri uchi kinachomfata huyu sasa ni laana ya Allah huyu ataka awe kahaba wa kimataifa ila atajuta tena atajuta ata huna haya nyoooo
Acha wivu weweee...
@@godfreygoyayi6576 ndio najua mnamtaka mumfunue tu.
Acheni ujinga bana
Dhikri ni utajo wa mungu ,na uchi umeingia vipi apo kama akili zako sio pungufu
Mnh mbona mnamlaani sana hvyo ? Muachieni M/mungu na hukumu zake pia km amekosea tumuombeeni allah arudishe pahali stahiki in sha allah
Sio mmeanza hivi tunawafatilia na kuwapa support halafu mnapotea mnatuangusha
Mchezo au keleletu
Huna radhi za wazee wako wewe.
Huy mtt kashindaa asaaa hana maadili n Wala hajafunzwaaa
Nice
Yaan Haitham ndugu yngu huelekei haswaa na mambo haya unapotea huko ...sio sehemu salama 😢
Ni kweli kabisa
Allaah atuhifadhi na aturuzuku mwisho mwema
Huyu malaya haitham mpaka apo alipofikia kashaziniwa sana
Km ww ulivyoziniwa ,muislam mzima Una mjudge mwenzako usikute huyu ataenda peponi ww utakuwa unazagaa ,mshaambiwa msihukumu mwenye Hilo jukumu ni Allah(s.w) pekee
Isifikie hatua hiyo
Wewe unao ushahidi gani kusema kauli hiyo
Mzanzibar hafanyi mahaba had hajanitumia huo ni using wake
Huyu so mzanbar mzawa wakuja kwaio hawa ninmalaya wa tanganyika
Kwani Tanganyika ndio Kuna màlaya zuchuu mtanganyika kunakina mauu zinder nao watanganyik
Akili finyu
Huyo zuchu na hadija kopa je
Jamani Mimi naoa Zanzibar
😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂