MIMI NI KIPOFU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 146

  • @clamvevo6472
    @clamvevo6472 Рік тому +7

    KALI SANA 🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @YusraYussy-n1p
    @YusraYussy-n1p Рік тому +26

    Hi...Shadow upo juu....Umeni fanya nilie mm😢...We love u Shadow ...Am yusra from KENYA❤

  • @amotv-kisii
    @amotv-kisii Рік тому +28

    From Kisii KENYA 🇰🇪 Niko Ndani

  • @Kiatufilms
    @Kiatufilms Рік тому +7

    Kazi nzuri, hongera sana.

  • @gikundiromechack3902
    @gikundiromechack3902 Рік тому +11

    Kazi nzuli shadow❤❤❤❤

  • @ChadiaIrankunda-jy6eb
    @ChadiaIrankunda-jy6eb Рік тому +9

    Love from chadia irankunda🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @mwajeymiraji
    @mwajeymiraji Рік тому +8

    Nzur san big up shadow

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga992 Рік тому +2

    Duuuuh, Shadow una maamuzi Magumu sana. Pamoja na yote bado ukakomaa nae. Ila cha kujifunza ni kwamba kuna wakati tunaoupitia kwenye Maisha unakuwa na changamoto ambayo mtu unaweza chagua jambo fulani ukadhani ni suluhisho. Linapogeuka unajuta na kusema ningejua bora ningebaki hivi au vile. Lakini yote KWa yote Tupambane kivyovyote halali kimaisha maana kesho yetu ni kubwa kuliko leo na siku Mungu akiamua ameamua Lili jema KWa mtu na kwa ukubwa anaoona unaweza kuubeba. Amina. Big up Shadow Kazi zako yunazipokea Wadau wako. Comarade Millinga - DSm - Kimara

  • @dinabilemanga1703
    @dinabilemanga1703 Рік тому +1

    Napendaga sana kazi zako uwaunanifurahishaga atanikiwa nauzuni nikihona komedi zako uwanajisikia furaha

  • @kimpendo474
    @kimpendo474 Рік тому +10

    Daa kazi nzuri sana Shadow big up namkubali sana huyo mke from kenya

  • @shabanrajab4079
    @shabanrajab4079 Рік тому +9

    Nice shoot bro shadow..

  • @Eliacytz
    @Eliacytz Рік тому +4

    Good job my brother showd god blessed you bro here from Mozambique 🇲🇿 boy from Tanzania 🇹🇿

  • @barnabasmarsel3876
    @barnabasmarsel3876 Рік тому +2

    Kwahyo sasa hyo million thelathin imeenda wapii na maisha hayajabadilika kaka

  • @YusraYussy-n1p
    @YusraYussy-n1p Рік тому +9

    Nice mv ...wid lov story...it's prt of lyf....love u All❤

  • @Jali-et8py
    @Jali-et8py Рік тому +7

    Great job bro Shadow 👏

  • @leisureboykenya200
    @leisureboykenya200 Рік тому +19

    sijali mimi ni wangapi kutazama filamu hii lakini ninapo fungulia account yangu kitu cha kwanza ni kuangalia notification zangu kama shadow ashaposti,napenda filamu zake,most love from kenya🤎🤎

  • @KelvinestonyMwanyonga
    @KelvinestonyMwanyonga Рік тому +2

    Dah kaka nakubalii move karii sannaa

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga992 Рік тому

    Kazi nzuri. Tunaoenda hivi mnavyobadilika badilika. Mtafika mbali.

  • @biba2552
    @biba2552 Рік тому +7

    Good 👍 job guys

  • @Zuansh2278
    @Zuansh2278 Рік тому +7

    Nipo like zangu nafungua shadow 😁😁😁 wa kwanza nikiwa Qatar

  • @AishaMossi-zh6gm
    @AishaMossi-zh6gm Рік тому +7

    Kazi nzuri 😢😢😢

  • @kelvinpaul3556
    @kelvinpaul3556 Рік тому +4

    Kaz nzur kaka xhadow

  • @hafidhabdi2004
    @hafidhabdi2004 Рік тому +2

    Like job respect 👌✊👍👍

  • @denotheactor
    @denotheactor Рік тому +3

    Kali saaana brother watching from kenya

  • @sagengejackson3623
    @sagengejackson3623 Рік тому +10

    Kaka uko vizur sana Ila punguza maelezo mengi , na action ziwe nyingi , sio watu wanakuwa wanaongea mda mrefuuu inaboa Mzee , watazamaji wengi ni wale wanaorudia Rudia , mtu akiona haisisimui hata harudii kuchek tena, vitisho vitisho ndo watu tunapenda , mapenz mapenz sio kivile

    • @sagengejackson3623
      @sagengejackson3623 Рік тому +1

      @moazor we ndo mhusika au kiherehere

    • @sagengejackson3623
      @sagengejackson3623 Рік тому

      @moazor niliyemshauri kafata ushauri , nyie matutusa msio na mbele wala nyuma bakini hvyo hvyo wasenge nyie

    • @charlesmillinga992
      @charlesmillinga992 Рік тому

      ​@@Malik12kingJamani msitukanane. Please muelekezane tu KWA ukarimu na upole. SAWA ndugu zangu.

    • @Malik12king
      @Malik12king Рік тому +1

      @@charlesmillinga992 sawa bro nimekuelewa

  • @moramtanga-dar7372
    @moramtanga-dar7372 Рік тому +2

    Kal sana hongeraa shadow boy

  • @wilsonsamsonwilliams
    @wilsonsamsonwilliams Рік тому

    KAZI nzuri big brother shadow

  • @josephswana7286
    @josephswana7286 Рік тому +2

    SHADOW naomba hi film muzuri

  • @YordanyDieudonne-f8p
    @YordanyDieudonne-f8p Рік тому +8

    Riski sio popote ila nikujituma kimaisha wenda mungu atmkafungua milango ya mafanikio yako pambana kiume ili upate siri ya mafanikio

  • @leonardwluchagula9818
    @leonardwluchagula9818 Рік тому +2

    Ulifanya jambo lamaana kwa sa7bu hat mkeo kufanya kitendo hik alifanya kwa ajil ya kuweka maisha Yako na yey Salam mwanamke anaonekan mjasili xan ingawa alifanya mistek unaweza ukamsameh bule kwa xa7bu alifanya kwa ajil bolesha maixha Yako na yey kutka na ulemav wak au. Nimekoxea

  • @ChingaMediaa
    @ChingaMediaa Рік тому +4

    Mimba juu 😢😂😂

  • @FelixNtumba-t2p
    @FelixNtumba-t2p Рік тому +7

    Vous êtes les meilleurs

  • @jescaclemence
    @jescaclemence Рік тому +10

    Shodow is the best

  • @kassimkitta6118
    @kassimkitta6118 Рік тому +3

    Shadow skupingi. Sijui unapata wapi idea

  • @Hearts4rucyah
    @Hearts4rucyah Рік тому +2

    😢dah nimejifunza kitu🤞🏾💕😫

  • @MWAVITA1006
    @MWAVITA1006 Рік тому

    Ahsante muvie zuri sana

  • @aswaneliphas2271
    @aswaneliphas2271 Рік тому

    Aswan Elphas from Kenya you done a work my brother we'll done u have been teach me alot in this video 👍

  • @rashidiman5292
    @rashidiman5292 Рік тому +2

    Ontop shadowmazing

  • @MMGentil
    @MMGentil Рік тому +17

    Kwasababu weweni kipofu ndomana uliendelea naye. Ungikuwa unajaliwa mboni upate kuona... Inawezekana usinge endelea naye.
    Après avoir interrogé la conscience inawezekana kuendelea naye

  • @Lamarttown.
    @Lamarttown. Рік тому +2

    Yoooh washkaji mnaUmizaaa 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @hamadikhalfan6751
    @hamadikhalfan6751 Рік тому +2

    Shado unaweza

  • @hannan2793
    @hannan2793 Рік тому +2

    Lvly❤

  • @ChristianRugenge-kd1xh
    @ChristianRugenge-kd1xh Рік тому +88

    Nimechelewa kidogo nahomba ata like mbili

    • @Kabeya410
      @Kabeya410 Рік тому +3

      Kwendaaaa we kama nani tusitoe like kwa mchezaji upewe wewe nani kwa mfano umecheza sehemu gani ktk muvi kenge mmoja

    • @fadhilfussi3637
      @fadhilfussi3637 Рік тому +1

      Matako yako

    • @ezeckiaemanuel2667
      @ezeckiaemanuel2667 Рік тому +2

      Kajifunze kwanza kuandka

    • @DanielmashaGona
      @DanielmashaGona Рік тому +2

      Unahomba😮😮😅😅😅puuz

    • @Malik12king
      @Malik12king Рік тому

      Don't worry

  • @minabuelysee8
    @minabuelysee8 Рік тому

    Kazi nzuri

  • @AlexChaka-w3b
    @AlexChaka-w3b Рік тому +2

    Kaz poa🎉🎉🎉

  • @Motalenttz-z4r
    @Motalenttz-z4r Рік тому +2

    Mmmh hii noma

  • @DieudonnéMUGIRANGABO-f2o
    @DieudonnéMUGIRANGABO-f2o Рік тому

    Ninaumiasana kwakwel dunia inabadilikasana 😭😭kunyanyasa kipofu kamavile kweli huyukijana hainahuruma Kbis 🤦🤦 nimilia namacozi kanitoka Kbis 😭😭🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @saidiabdalahshabani941
    @saidiabdalahshabani941 Рік тому +2

    Yan vibaka hd vipofu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Рік тому +1

    Nice work

  • @anlifaqueasamo6494
    @anlifaqueasamo6494 Рік тому +9

    Bom trabalho

  • @SharifuAlbughul-ls4mw
    @SharifuAlbughul-ls4mw Рік тому +3

    Oyah... Shadow ishi umooo to utatoboa ila comedy saiv wachawi kibao kak

  • @habibamura5255
    @habibamura5255 Рік тому

    Kazi zuri ❤❤❤

  • @amotv-kisii
    @amotv-kisii Рік тому +13

    Watu hawana huruma jameni😭

  • @RamaKirao-xs2rn
    @RamaKirao-xs2rn Рік тому

    Good lesson i hope kuna sehemu ya pil

  • @jamessamwel9456
    @jamessamwel9456 Рік тому +2

    Kwanini asingepewa hata advance ya 15M baada ya mimba kuwa kubwa kidgo

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608 Рік тому +3

    mwachilie mbali

  • @sports007tv4
    @sports007tv4 Рік тому +2

    Kipofu anashindwa kutambua mke wake kua na ujauzito hpa mmetupiga n kitu kizito

  • @Ronnieibrahim-yk1mz
    @Ronnieibrahim-yk1mz Рік тому +2

    Inauma sana angaria duniya ilivo sasa

  • @akajackso
    @akajackso Рік тому +2

    Pia mm nimechelewa naombeni atah mbili

  • @BandaQuibuanaQuibuana
    @BandaQuibuanaQuibuana Рік тому

    ❤❤❤❤ni mzuri sana😢

  • @MMGentil
    @MMGentil Рік тому +3

    Je suis Le premier à regarder la vidéo😊

  • @salimaiddy-jk7of
    @salimaiddy-jk7of Рік тому +2

    Nice

  • @josesombo186
    @josesombo186 Рік тому +3

    Namuacha tu viendavyo na maji ni vingi

  • @mafanikionaafya3062
    @mafanikionaafya3062 Рік тому +2

    wonderful

  • @Susannekesa001
    @Susannekesa001 Рік тому +5

    Much love from kenya

  • @alfredtebeka2497
    @alfredtebeka2497 Рік тому +2

    Nami pia ningendelea nae kwasababu haukukua kupenda kwake

  • @FRANKTV04
    @FRANKTV04 Рік тому +9

    Wakwanza Leo naombeni like zangu 😂😂😂

  • @JBPRICESOLUTION
    @JBPRICESOLUTION Рік тому +3

    Kma ni kiuhalisia huyu dada ilibidi ausishwe kweny miradhi ya big boss baada ya kujifungua huyo mtoto nategemea hilo mbeleni shadow

  • @JoanYoace-or6df
    @JoanYoace-or6df Рік тому

    Big up shadow

  • @fredrickwesonga5783
    @fredrickwesonga5783 Рік тому +2

    Hiyo n kitu mpya poa

  • @chadracknshimirimana4761
    @chadracknshimirimana4761 Рік тому

    Nzuri ❤

  • @JumaMwambandele-bi9hp
    @JumaMwambandele-bi9hp Рік тому +2

    Hhhhh shadow weninom2

  • @Mwikaelikanah-pc1tv
    @Mwikaelikanah-pc1tv Рік тому +1

    Hii ikue episode bana shadow

  • @kulwanzobe7657
    @kulwanzobe7657 Рік тому +1

    Pesa ikikosekana upendo huisha kabisa siyo kupungua tu

  • @GracianneMbuka-ym3qr
    @GracianneMbuka-ym3qr Рік тому

    Courage shadow

  • @DOKO3467
    @DOKO3467 Рік тому +2

    Kipaji

  • @andrewraphael3098
    @andrewraphael3098 Рік тому +1

    😂😂😂 amigos 😎✌️💥

  • @husseinmgandi-ej5kp
    @husseinmgandi-ej5kp Рік тому +3

    Wa saba😁😁😁

  • @komlaakomlaa7465
    @komlaakomlaa7465 Рік тому +1

    Shadow tupatiye party2

  • @bonfacekajana8679
    @bonfacekajana8679 Рік тому

    Worderful

  • @husseinnassoro2535
    @husseinnassoro2535 Рік тому

    Mbona maisha hya kubadilika au ndo mtoto hakuzaliwa

  • @parcymomademomade3849
    @parcymomademomade3849 Рік тому +2

    Mozambique🇲🇿

  • @FadhilSimon-vd7yd
    @FadhilSimon-vd7yd Рік тому

    shadow nice

  • @Nemabuhuru
    @Nemabuhuru Рік тому +5

    ❤❤😂

  • @Ronnieibrahim-yk1mz
    @Ronnieibrahim-yk1mz Рік тому +2

    Hagar😎😎😎😎

  • @josephmacharia530
    @josephmacharia530 Рік тому

    Shadow we love you 😍

  • @Halimamaere
    @Halimamaere Рік тому +2

    Mashallah funzo tosha😢

  • @freddedresscode2951
    @freddedresscode2951 Рік тому

    Iyo ni funzo kubwa😢😢😢

  • @alencleophace2182
    @alencleophace2182 Рік тому +14

    Narudia tena likes ni kwa waigizaji tuu na sio waliotangulia kiwatcha Kama unataka likes igiza zako tutakupa by utawala

    • @marynamachanja1836
      @marynamachanja1836 Рік тому +2

      Kabisa wanaudhi sana 😏😏😏eti wa kwanza nipeni likes nikama walitupea tukawawekea 😏😏😏

    • @JoanYoace-or6df
      @JoanYoace-or6df Рік тому

      Wanaboa sana sijui tuwape like kwa kipi

  • @maureenechesa4074
    @maureenechesa4074 Рік тому

    aki mungu wangu sipoa

  • @jiwenzito6875
    @jiwenzito6875 Рік тому

    Jamani , mbona kama ina muendelezo ??? Na kama haina muendelezo , itakuwa kama mtu ana njaa halafu una mpa tu tonge moja la ugali

  • @JoecyCosmas
    @JoecyCosmas Рік тому +3

    Wa kwanz likes zang jyaman❤

  • @benyjohn8099
    @benyjohn8099 Рік тому

    Hatamm ningendeleyanae

  • @galaxywilliam3918
    @galaxywilliam3918 Рік тому +1

    Sasa Rey kila kazi ina advac umebeba mimba akupe milion 15 ukijifungua akumalizie iliyo bak au mnaxemaje watazamaji sasa kafa duu

  • @Way69-v5z
    @Way69-v5z Рік тому +1

    Kupandikiza ni surrogacy ama? Sijarada iyo kiswahili

  • @abdulazizabdulrahmaan8412
    @abdulazizabdulrahmaan8412 Рік тому +4

    FIRST VIEWER ILA STAKI LIKES😅

  • @bellabelle1593
    @bellabelle1593 Рік тому +2

    Yani vibaka havina huruma

  • @Mzalendojosiahcomedian
    @Mzalendojosiahcomedian Рік тому

    Amazing

  • @johnmakonge7480
    @johnmakonge7480 Рік тому

    Love you shadow❤😢

  • @generallylee1166
    @generallylee1166 Рік тому +2

    N haatareeeeeeeeee