Ahsante Sana wapendwa wenzangu mbarikiwe Sana watumishi wa Mungu nakazi Njema izidi kuwainua watu nakurudi kwa Bwana Yesu kwa walio potea, Wimbo huu Umenibariki nakunipata Ujasiri kuomba msamaha kilawakati pindi nimkoseapo Maulana wangu, hakika Mungu warehema Awazidishie Nguvu Ujasiri wakuzidi kumtumikoa Mungu wetu nakuitangaza Injili yake kwa Mataifa yote, Amina 🙏🙏💖
Kazi safi sana.kongole🔥🔥🔥 Kenya tunawapenda ....kweli Nimerudi kama mwana mpotevu,Baba nisamehe........ Napendaaaaa❤🙏🙏🙏🙏
Kwakwel pongezi kwa mtangulizaji wa wimbo, wew umeifanya kazi ivutie kuangalia na kusikiliza. Mungu azidi kukuinua
Naitwa Juma kutoka kwa malungumba busulwa nawasalimia sana kwa kaz mzr xan mngu awatangulie katika kaz nyingine amina
Jamani Kaz yenu siyo bure ktk BWANA mbarikiwe Sana 🙏
mwabeja sana bana ngulla aict-kazi nzuri inaonekana
Mungu awainue Kwa viwango vya juu, mnaimba vzr nimebarikiwa sana🙏🙏🙏
Mbalikewe sana nimewapenda buleeeeeeeee
Safi sana kama ngulla imefikia hapa basis yesu atukuzwe good job sana ngukka inara hongereni sana
Mungu azidi kuwatumia wapendwa kazi nzuri sana, hongereni sana .
Mbarikiwe sana
Kaz nzur Mungu awabariki Asante kwa kutuwakirisha vyema❤❤❤❤❤
Soloist Mungu akubariki
mbarikiwe sana kwa huduma yenu mzur mungu awabariki sana
Safi sana watumishi kazo nzuri sana na sikutengemea kuona mambo makubwa kama haya ndani ya ngulla namuona kaka yangu nguli wa music jj
Good intro
Asante sana nisamehe Bwana makosa yangu yanaumiza Moyo wangu nimebarikiwa sana asanteni watumishi wa Mungu na Mungu azidi kuwainua sana
I love the songs and soon will come to Tanzania myself God bless you
Mungu awabariki kwa huduma njema wapendwa
Kazi njema saana Fazaa hongera sana
Utukufu kwa yesu ,good job hyo
inlove in the soloist..she is blessed
Kabisa, naipenda kazi yake pia. She's really blessed.
Ahsante Sana wapendwa wenzangu mbarikiwe Sana watumishi wa Mungu nakazi Njema izidi kuwainua watu nakurudi kwa Bwana Yesu kwa walio potea, Wimbo huu Umenibariki nakunipata Ujasiri kuomba msamaha kilawakati pindi nimkoseapo Maulana wangu, hakika Mungu warehema Awazidishie Nguvu Ujasiri wakuzidi kumtumikoa Mungu wetu nakuitangaza Injili yake kwa Mataifa yote, Amina 🙏🙏💖
Kaz nzur
Nimependa Mungu awatangulie kabsa
Amina Mungu awatangulie
❤❤❤❤
Npo mbele zako bwana nxamehe
Seama nasi bwana
Nisamehe bwana Niko mbele zako
nmewapenda bure mnaimba vizuri
Amina
INI
Hongera Sana mtunzi wa wimbo huu
Solo nimekukubali