Bwana jacktan msafiri naomba utuendelezee hii simulizi nimeipenda sana imenigusa kiroho sana inamafundisho yamuimu sana tunayo paswa kujua sisi wanaadam
Aisee ni hatua moja Tu yakushika amri kumi za Mungu ukifanya hivyo bilblia yenyewe unaelewa wewe ni po box binguni shetani hawezi kukuchenga wewe shika Amri 10
Huyo pastor anafunza vizuri.. Anaongea kwa utarativu Sana.. Part 4 please
Bwana jacktan msafiri naomba utuendelezee hii simulizi nimeipenda sana imenigusa kiroho sana inamafundisho yamuimu sana tunayo paswa kujua sisi wanaadam
Amina mbaha hawaha yaani mtumami wa Muwaha ukuelezea viswanu sana na chikukutanga kabisa, Yesu ni Bwana.
Mungu akutunze tu mtumishi wa Mungu,Mungu alikuwa anakuandaa kwa utumishi uliotukuka barikiwa sana sana
Thank you for the great testimony I ve learned alot I Will pray and not look back
Aisee ni hatua moja Tu yakushika amri kumi za Mungu ukifanya hivyo bilblia yenyewe unaelewa wewe ni po box binguni shetani hawezi kukuchenga wewe shika Amri 10
Leo nko namba 1😂,
Ok mtumishi
Kabisa
Where is the continuation of this testimony promover tv coz it's very enlightening?
ua-cam.com/play/PLXTmPgeqbJ0mjYhbBrZwf_GUkTBkgt_Jv.html
Aise
The blood of jesus
Asante sana tunaendelea kujifunza
Shuhuda nzuri ila anafundisha biblia. Tunaomba tujue kz yake km headline ilivyo sema. Asante
Mungu mwema
Kumbe na Manabii wengi nahisi wanamapepo ya Utambuzi
Bado nakufatilia ili nielemike sana
Ushuhuda mmeufanyia karibu na msikiti duuu
Kwani tatizo liko wapi
@@brigithadidas5128 ni kama yuko msikitini anayeshuhudia maana swalaa iko juu
Mtumishi jirani yako amefungua radio kwa sauti ya juu kweli.
Hahahaha yuko Ibadani
Where is part 4
Coming soon
Watumishi tusonge mbele
Too much background noise
L.
Lkn ktk bible amna utatu so sijaelewa apo.
Mungu Baba,Mungu mwana, Mungu roho mtakatifu
Hii ndo 2 ama
Mi naona unahubiri zaidi hutoi ushuhuda,maana watu wa dini watadhani unapigia debe ukristo.
Ayo ni maoni yko lkn mimi nimemuelewa lbd ww ulitaka story za shetani
@@euniceeunice7680 Mimi Si mkristo Ila nimemuelewa Sana. Na anajieleza vizuri. Ushuhuda mzuri Sana
@@moalawy7001 barikiwa sana aiseee
Wewe sikiliza kwa makini