Tatizo sio mikopo tatizo ni riba ,wamekuwa kama wanalaana kwa izo riba ,hawawezi kuacha kukopa😢,mla riba na mtowa riba wote maisha yao ni mashaka,hiyo mikopa inayokopeshwa wanawake ni mtihani tu kwasababu ina riba Mwenyezi MUNGU awasaidie tu wanawake kwakweli
Mashallah zai na geah 🎉🎉🎉🎉
Jaman mie zai nampenda sanaa hnichosh kumskiliza kwakweli
Zai jmn nacheka mie
Zai kiboko, apewe maua yake 🎉🎉
Umezungumza point suali la ndugu wa mume .asilimia kubwa ya mwanaume hawakupeleki kwao.
😂 nampenda sana Zai Kijiwe Nongwa mimi 😂😂
❤❤❤ jamani dazai uko wapi hatumuoni Kwa dada he's mbona ukatufurahisha
Kweli dada zai hapo kwenye ushauri wa Bwana ni kweli kuomba ushauri kwa mtu sahihi
Zanzibar siku 4 xiyo 3...nakupenda da zai
Kanichekesha apo yaaaa of course
Mrembo wa uswahili
Mashallah kapendeza 😅😅
Kweli mpga ngoma ladhima atoke na mwanamke sjuwi kwanini
Uliponunua masofa hujayarandisha mana
Tatizo sio mikopo tatizo ni riba ,wamekuwa kama wanalaana kwa izo riba ,hawawezi kuacha kukopa😢,mla riba na mtowa riba wote maisha yao ni mashaka,hiyo mikopa inayokopeshwa wanawake ni mtihani tu kwasababu ina riba Mwenyezi MUNGU awasaidie tu wanawake kwakweli
😂😂😂😂😂 pesa inakuwa unatowa dazai njie
Zai mbona Gea alisema ww ndugu yake mtt wa mama ake mkubwa
Ndio alisema wakat alivyopata tuzo na ni kweli mbona wanafanana kias
@@asnathaman ndio wanafanana
Lakini kupigwa wanawake ni dhulma si kitu cha kusifia.
Zai hta mm siwezi kutunzana ila km nikimpenda mtu Nampa zawadi
😂😂,,😂😂kifua tena 😂😂😂
Zai....😅😅😅😅😅😅
HA A HAA JMN ZAI
😂🤣😂🤣😂Zaiiiiiiiiiiiiii😂🤣❤️❤️❤️❤️❤️❤️🎉🎉🎉🎉🎉
Zai haya ni maisha ya ulaya kila kitu unakopa 😂😂😂
Hakika ni kwamba hawajuagi tuu
Chawa wako hajambo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila huyu Zai et ukifika kwa mjumbe unafungua dirisha
unachambaaa ukiwa ndan kwa mjumbee roho ifanye ngaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Wewe zai si mtu wa tanga😂😂😂😂 wala mrazamo
😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😊
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Una burudani zai
Baada ya saum mnasherekea na tarab