Wandani wa Raila Odinga wakabidhiwa wizara zenye uzito serikalini
Вставка
- Опубліковано 15 жов 2024
- Maswali yaibuka kuhusu je ni asali au shubiri kwa viongozi wa upinzani waliopendekezwa kuendesha wizara mbali mbali zilizo na ahadi kuu za serikali ya kenya kwanza. Wizara ambazo kwa wengi zinaonekana kuwa na changamoto kuu na kuwa chanzo cha lindi la maandamano linalogubika taifa kwa sasa. Melita oletenges anaarifu zaidi kuhusu mawaziri wateule wapya kutoka odm waliopewa kibarua cha kuangazia madeni ya taifa, hazina ya hasla, nguvu za umeme na hata biashara ndogo
John mbadi wish you best of luck n do u work honestly to kenyans tujue pesa ya taifa vile inatumika.
I like the reporter. H.E. Ruto has just told them, "now guys, hebu ingia hapo ndani tuone vile wewe unasema sasa, kwa sababu ulikuwa unafikiria hatufanyi kazi"😂😂😂
What Kenya needs is a new and fresh crop of leaders not these turncoats
Matiangi please,,, come and safe us
Ni mtego Raila ameuingia mwenyewe....kiwa mwakubaliana na mimi nipeni likes zangu🎉
Anakuanga mjinga tu
Now it’s true that Gen Z is the opposition party of Kenya good to know
With no doubt
Raila must go
Go where?
😅😅😅
@@KenJuma-tz2hg wapi..raila u refused to vote.
Let kenyans enjoy bottom up
Mandago live long,siasa weka kwa mapafu sio kwa roho,war preparing on corrupt leaders now without blame game oooh Azimio,ooh UDA,oooh Wiper etc,corruption war started.
Ruto anacheza na akili zenu nimtego huo yaani anafuta watu tena anawaregesha 😂
Hayuko mentally stable
Hao watu wote wadai ndiye anafaa
Governor Mandago all over again "weka kwa mapafu sio kwa roho!"
Matiangi ako wapi
Mr Mbadi you have been handed back the skunk by Ruto.
Waziri wa mashamba karibu!
1:35 mbona ruto anakula mahindi na hasira hivyo? 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
niutamu
Wacha tuwaone sasa,twamsubiri joho
Sad
Rails ni yule yule mbwa tu
Odm is sold to ruto already
Mbati if you accept that chance you have sold the ODM...
ODM clean up crew...nkt anyway Ruto messed up with his friends...ODM has the best policy makers anyways...Ruto is Lucky they accepted....Gen z would've run him out of Town!
So Genz ndo opposition
Now ODM and it ministers will be laughing all the way when Gen Z' s blood is still flowing. Fortunately
this is Mzee's corn game
Ata angerundisha matiangi
😂hii siasa weka kwa mapafu. The old good saying . Thank u madago... please write a book for citizens education
Hiyo mahindi anakula vile anakula Tax 😂 1:35
Banaa unaeza Dhani Hana chakula kwake nkt 💀
Na gharama yake ni vifo vya vijana wadogo hamsini na zaidi.
These are birds of the same feathers,nothing but hyenas
🙄🙄🙄🙄