Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Saiv imeingia FORD MUSTANG DARKHORSE NI BALAAA american car is funy kudrive haswa manual
❤ like zangu jaman # welcome to the future # tech in Swahili #DodgeSRT HellCat Maximum respect 💯
Daaah my dream car broo u deserve a medal for this review
Snash naskitika sana kwamba kila review zote za magari nimeomba sana reviev ya ''BENTLEY BENTAYGA'' Bila mafanikio
gari ya ndoto zangu hii inshaalah siku moja ntaimiliki.
Hyo inaenda 18 miles per gallon which uki convert kwenye km/L ni sawa na kim 7 ad 8 kwa litre city... lakin kwa highways ad km 9.8 kwa litre ....
Nilikuwa nasubiria sana hii review
Hatimaye ametufikia wa muscle cars🙌🙌
Bongo ipo hiyo kaka watu wameshaleta
Naomba review REMAC NEVARA
Naomba interview ya AUDI a8 ya mwaka 2024 please
Mambo vip? check snash naomba ufafanuzi kwa kina kati ya land cruiser v8 diesel na v8 petrol kwenye mfumo wao wa engine na kila kitu.
Hellcat 💥 dream car hyo aisee
Mkuu tupe review ya jeep trackhawk 2023
Gari zipo chache sana hapa bongo naweza nikasema zipo 3 ipo nyeusi ipo nyeupe na nyekundu iyo nyekundu km ya kwenye NEED FOR SPEED kafanye review live
Magari ya kibongo mnayouza hamtambii bei hayo ambayo mnajua tunanunua bei ni Siri ya ofisi.
Review ya rezvan lini
Apo kwenye mafuta apana
Watu Wana import bro, nmeshaziona bongo, asa sijui ushuru walichajiwa vipi
Haya bhana
Bro ongelea gari pia ya Chevrolet camaro naikubali since nikiwa na 15yr
M nishaagiza inshaallah mwezi wa 5 inaingia iyoo
Marekani sijui waga wanafikiria nn kwenye magari yao
Naomba ufanye review ya Toyota supra
Bado uko huku😪
Watu wa kununua wapo wengi sana ila barabara ndio changamoto
Engine v8 na supercharged alafu km 28 tena kama paso😅😅
Leo nimepata kitu kuhusu galon 1 ya mafuata = lita 4
Galon ni kama yale makopo ya rangi za lita nne kibongo bongo huwa wanapimia mkaa rangi ikishatumika
Barabara za Tanzania 50kph haitufai hapa
Mbona kama nishai kuliona katika Fast9
Yap fast and furious 8 , halaf fast 9 na 10 zimetumika ford mustang new model
Snash katupiga kwenye fuel consumption liter 1 iende 20km ,hii haijaeendaa nimekataa 6.7liter ni 6700cc
Snash bana katupiga 50 miles a galon hata prius hybrid haiendi hvo
Kuna mtu anayo Tanzania mbona
zipo kama tatu so far , nimeziona
engine kubwa,, alafu inatumia mafuta kama passo 😁
Uyo ktk review zake nyingi anakosea vitu kbao, ....
Ivi mnawajua farasi nyinyi😅😅😅
Kuna jamaa anayo hapa dar rangi ya njanjono, ila sio halicat ila ni dodge
Gari ipo tanzania kama utaitaji nicheki
😂😂 Contact ndugu
Hauna group la wtsp vingine uwe unattumia kule😊
Inakimbizana na Chevrolet Camaro ZL1
Kuna porsche 992 GT3 ni balaa
Km 20 per little kwenye dodge 😂😂😂 v8 uongo mweupe kabsaa
Hellcat man
Hahaa hapo TRA lazma ifike 1B
Barabara za kimara haieez stahimili 😂😂
Nigependa BMW i8
Saiv imeingia FORD MUSTANG DARKHORSE NI BALAAA american car is funy kudrive haswa manual
❤ like zangu jaman # welcome to the future # tech in Swahili #DodgeSRT HellCat Maximum respect 💯
Daaah my dream car broo u deserve a medal for this review
Snash naskitika sana kwamba kila review zote za magari nimeomba sana reviev ya ''BENTLEY BENTAYGA''
Bila mafanikio
gari ya ndoto zangu hii inshaalah siku moja ntaimiliki.
Hyo inaenda 18 miles per gallon which uki convert kwenye km/L ni sawa na kim 7 ad 8 kwa litre city... lakin kwa highways ad km 9.8 kwa litre ....
Nilikuwa nasubiria sana hii review
Hatimaye ametufikia wa muscle cars🙌🙌
Bongo ipo hiyo kaka watu wameshaleta
Naomba review REMAC NEVARA
Naomba interview ya AUDI a8 ya mwaka 2024 please
Mambo vip? check snash naomba ufafanuzi kwa kina kati ya land cruiser v8 diesel na v8 petrol kwenye mfumo wao wa engine na kila kitu.
Hellcat 💥 dream car hyo aisee
Mkuu tupe review ya jeep trackhawk 2023
Gari zipo chache sana hapa bongo naweza nikasema zipo 3 ipo nyeusi ipo nyeupe na nyekundu iyo nyekundu km ya kwenye NEED FOR SPEED kafanye review live
Magari ya kibongo mnayouza hamtambii bei hayo ambayo mnajua tunanunua bei ni Siri ya ofisi.
Review ya rezvan lini
Apo kwenye mafuta apana
Watu Wana import bro, nmeshaziona bongo, asa sijui ushuru walichajiwa vipi
Haya bhana
Bro ongelea gari pia ya Chevrolet camaro naikubali since nikiwa na 15yr
M nishaagiza inshaallah mwezi wa 5 inaingia iyoo
Marekani sijui waga wanafikiria nn kwenye magari yao
Naomba ufanye review ya Toyota supra
Bado uko huku😪
Watu wa kununua wapo wengi sana ila barabara ndio changamoto
Engine v8 na supercharged alafu km 28 tena kama paso😅😅
Leo nimepata kitu kuhusu galon 1 ya mafuata = lita 4
Galon ni kama yale makopo ya rangi za lita nne kibongo bongo huwa wanapimia mkaa rangi ikishatumika
Barabara za Tanzania 50kph haitufai hapa
Mbona kama nishai kuliona katika Fast9
Yap fast and furious 8 , halaf fast 9 na 10 zimetumika ford mustang new model
Snash katupiga kwenye fuel consumption liter 1 iende 20km ,hii haijaeendaa nimekataa 6.7liter ni 6700cc
Snash bana katupiga 50 miles a galon hata prius hybrid haiendi hvo
Kuna mtu anayo Tanzania mbona
zipo kama tatu so far , nimeziona
engine kubwa,, alafu inatumia mafuta kama passo 😁
Uyo ktk review zake nyingi anakosea vitu kbao, ....
Ivi mnawajua farasi nyinyi😅😅😅
Kuna jamaa anayo hapa dar rangi ya njanjono, ila sio halicat ila ni dodge
Gari ipo tanzania kama utaitaji nicheki
😂😂 Contact ndugu
Hauna group la wtsp vingine uwe unattumia kule😊
Inakimbizana na Chevrolet Camaro ZL1
Kuna porsche 992 GT3 ni balaa
Km 20 per little kwenye dodge 😂😂😂 v8 uongo mweupe kabsaa
Hellcat man
Hahaa hapo TRA lazma ifike 1B
Barabara za kimara haieez stahimili 😂😂
Nigependa BMW i8